Тёмный

TAARIFA: RAIS AMEFANYA UTEUZI TENA NA MABADILIKO MAKUBWA SANA BARAZA LA MAWAZIRI, WENGI WATEMWA.... 

HABARI KIGANJANI
Подписаться 293 тыс.
Просмотров 30 тыс.
50% 1

#baraza #mawaziri #raissamia #raissamiasuluhuhassan #raissamiasuluhu #serikali #tanzania

Опубликовано:

 

10 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 38   
@dennisezakiel3380
@dennisezakiel3380 Час назад
Yeye kazi kubwa ni kubadilisha mawaziri tu , lakini kubadilisha maisha ya watanzania hawezi na hata weza , atupishe
@abubakaldismasdismasdismas7
@abubakaldismasdismasdismas7 5 часов назад
Taaluma ya uandishi wa habari ni nzuri sana. Unapo tangaza jambo acha kona kona
@faridamatata1950
@faridamatata1950 5 часов назад
Mama naomba mteue Henry matata Mtoto na mjukuu wa chief hapo mwanza utapata support lines sana
@ImaniAbdallah-e9x
@ImaniAbdallah-e9x 2 часа назад
Dah
@jimmundakege
@jimmundakege 7 часов назад
Kila la their Tanzania ni haki Na amani. Mungu mbariki rais wetu Samia.
@davidmwaipopo5171
@davidmwaipopo5171 50 минут назад
Mheshimiwa rais ntakuomba uniteue Mimi niwe mkuu wa wilaya ya chunya Hadi utapenda
@OttoChiduo
@OttoChiduo 29 минут назад
Sasa hizo wizara zitapata tathmini ipi iwapo kufumba na kufumbua wizara imekaliwa na watu 4 au 5 kabla awamu haijaisha ?
@damasgabriel6249
@damasgabriel6249 7 часов назад
😂😂😂wewe mwandishi kiboko,
@AkwiliniMpeka
@AkwiliniMpeka 54 минуты назад
Poa
@MuddysumaMuddysuma
@MuddysumaMuddysuma 2 часа назад
Mteue makonda awe waziri was aridhi utabarikiwa nimm mchungaji baraka
@MeyaSagwa
@MeyaSagwa 5 часов назад
Mwandishi hatukuelewi!! Kwanini usiende moja kwa moja kwenye mada yenyewe?
@SakinaValy
@SakinaValy 7 часов назад
Sio hatumtaki ccm tunachotaka ni kupata viongozi sahihi,,,
@DavidJohn-d7i
@DavidJohn-d7i 7 минут назад
Asa mbona mi sijateuliwa?
@JonathanMgaiwa
@JonathanMgaiwa 4 часа назад
Siku hizi kuna waandishi vilaza kupita kiasi, wanasomea chuo gani?
@charlesnguge5825
@charlesnguge5825 4 минуты назад
Acheni ujinga wenu.
@gkanyanda1173
@gkanyanda1173 2 минуты назад
Mmh
@PonsianoNgaga-g4w
@PonsianoNgaga-g4w 3 часа назад
Jinga sana wewe. Huna kazi ya kufanya
@piomaato1770
@piomaato1770 6 часов назад
Amna jipya,
@RobertMachenga-tz3re
@RobertMachenga-tz3re 5 часов назад
Ni utapeli wa habari kilichosemwa siyo habari yenyewe na waziri ardhi mbona hajatajwa? acheni ubabaishaji wenu.
@BADRUMWIMBO
@BADRUMWIMBO 31 секунду назад
Waziri wa ardhi n8 nani
@rubenMbokwa-b3o
@rubenMbokwa-b3o 2 часа назад
Mbona mimi mchapa kazi hanikumbuki?
@habarikiganjaniworldwide
@habarikiganjaniworldwide Час назад
😅
@MgalulaYusuph
@MgalulaYusuph 4 часа назад
Kamtangazie bibiyako huu upuuzi mjinga mkubwa
@issasalum274
@issasalum274 2 часа назад
Unapoteza muda sema moja kwa moja
@davidmwaipopo5171
@davidmwaipopo5171 53 минуты назад
Unakona Kona za kipumbavu unachasha kukusikiliza Mimi sijataka hata kufika mwisho wa story yako
@AllyDaudiNgoyeji
@AllyDaudiNgoyeji Час назад
Mhe.Rais ni kweli amekuwa akiteu pamoja na kubadilisha Mawaziri mara Kwa mara,hata pia Vioñgozi wengine. Mimi nashindwa kuielewa kwanini uteuzi umekuwa wa mara Kwa mara. Hii inaashiria kuwa Washauri wake wamekuwa wakimletea majina ya watu wasio na sifa zinazoendana na Wizara husika! Yawezekana kabisa Washauri hao humpelekea majina ya jamaa zao,jirani zao,kabila zao,Kanda zao;hata kama hawana vigezo sahihi. Pia rushwa yawezekana inatumika ktk kupata majina ya wateule-watarajiwa. Hivyo,Wateule hao baada ya kupewa Wizara au Nafasi husika,wanaonekana kushindwa kumudu madaraka Yao mapya! Hivyo kupelekea Mhe.Rais atengue uteuzi huo,na kuteua wengine Tena. Hata hivyo,wale waliotenguliwa Kwa kukosa vigezo stahiki ,Mhe.Rais huwahamisha kwenda sehemu/Wizara nyingine tu;"Badala ya Kuwafukuza kabisa! Hivyo ,wateule-tenguliwa hao tayari wanakuwa wamepanda ngazi kiulaini tu. Ni vyema kabisa Mhe.Rais achunguze sana majina ya wateule-watarajiwa kabla ya kuwateua! Vinginevyo,washauri wake wataendelea kutumia mwanya huo kama daraja la kupitia kupata nafasi za juu ktk ngazi ya Taifa. Isitoshe,ni gharama kubwa kufanya uteuzi wa mara Kwa mara Kwa sababu Vioñgozi wengi mbalimbali huwa wanahudhuria ktk hafla hiyo. Hivyo Taifa linalazimika kutumia fedha nyingi ktk shughuli hiyo,badala ya fedha hizo kuelekezwa ktk huduma mbalimbali za jamii,km matundu ya vyoo shuleni,vyumba vya madarasa,nyumba za Waalimu,madawa hospitalini nk. Ni Bora kabisa nafasi zinapo tokea basi zitangazwe ili wenye sifa sahihi waweze kuomba,badala ya kufanyika teuzi ambazo hazina tija,badala yake zinapelekea Mhe.Rais kulazimika kuteua Tena Ni Mimi Ally Daudi Ngoyeji wa Itilima,Kishapu Shinyanga.
@jeremiahchiguma7126
@jeremiahchiguma7126 4 часа назад
Unamaliza mb zetu bure tu kwa kurefusha story.
@mwitajoseph5003
@mwitajoseph5003 4 часа назад
Na ku unfall huna content
@elizeusrwilanga7786
@elizeusrwilanga7786 3 часа назад
Nadhani huna content mtaani
@ChristmasMaheri
@ChristmasMaheri 6 часов назад
Haya mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yamekuwa yanafanywa kila mara.Jambo hili linatusaidia kwa kiasi gani? Matatizo yetu makubwa tunayoyaona yamebadilika? Matatizo ya ajira za vijana,ardhi za wamasai,muungano,utawala bora, usalama wa raia,n.k yamepatiwa ufumbuzi?
@adamlubawa1281
@adamlubawa1281 6 часов назад
Pumbavuuuuu
@naphtalkingori8811
@naphtalkingori8811 6 часов назад
Ww ni kanjanja tu. Unaboa sana ktk usomaji wako. Hivi Okt 2024 ndo unaleta hii taarifa? Very boring!!
@FredyLukwaro
@FredyLukwaro 5 часов назад
Unatuchosha na Habari hainakichwa wala miguu
@Mkundi-o7v
@Mkundi-o7v 4 часа назад
Mbwa wewe
@philipolulale
@philipolulale 7 часов назад
Kichwa na habari yenyewe vitu viwili tofauti. Mnachosha ajirini waandishi muwalipe wachape kazi
@jumanesaidi7635
@jumanesaidi7635 6 часов назад
Nilitegemea kusikia habari, lakini hii sio habari,ni historia iliyopita zamani, na kupambwa kwa maneno mengi, na mbwembwe nyingi. Kwa mtindo huu, enyi waandishi wa habari, mnatupeleka wapi?
Далее
TUNDU LISSU AFUNGUKA MAZITO AKIFANYA MAHOJIANO NA DW
9:09
КОТЁНОК ЗАСТРЯЛ В КОПИЛКЕ#cat
00:37
КОГДА НЕВЕСТУ ВЫБИРАЕТ МАМА
00:56
İlham Əliyev və Vladimir Putin görüşü başladı
00:17
КОТЁНОК ЗАСТРЯЛ В КОПИЛКЕ#cat
00:37