Nyinyi Ayo Tv msitoe habar km izi hao wamarekani wanachochea machafuko ktk nchi za watu km walikua wanawasaport si wangeenda kuwatoa uko walipoekwa washatoka tn eti wanaunga mko Nyinyi jiangalieni hamko marekani apo mko tz
Wao marekani yakwetu yana wahusu Nini washaanza shobo hawajamaa Kila alipo marekani au kutia mguu basi machafuko yatahusika Wao ndo furaha yao ili wafanye biashara ya silaha na kuiba mali za nchi husika mungu ibariki nchi yetu Tanzania 🇹🇿🇹🇿🌹👏
YESU Ndiye njia ya kweli na Uzima ya kwenda mbinguni hebu mwamini YESU na UOKOKE na Ulithi Uzima WA MILELE na uende Mbinguni.(Yohana14:6, Warumi10:9-10).
Magonjwa wa funza, akiambiwa na rafiki yake, ndugu funza miguuni mwako wanakudhuru afya yako, mara nyingi hûwa anajibu wewe niache na funza zangu, zinakuhusu nini. Nayo ni hekima ya Mtu ambaye funza wanakula mwili wake.
Ayo kutoa taarifa ya kukamatwa na kupigwa kwa viongozi wakubwa wa CHADEMA ni sahihi(hilo watajibia mamraka husika),ispokuwa kutoa taarifa kuwa balozi ya Marekani wamesema nini juu ya hayo tunarudi palepale kuwa"hii ni athari ya ukoroni",japo inaonekana ni ripoti ya kwaida ila ni kujidharirisha na kuwadharirisha wa TZ wote.Tunaweza bila wao kama tutaamua🎉🎉🎉🎉
@@RomanMwinyihapana huku na palestina ni tofauti.Hebu punguza ujinga uliokujaa kichwani.kama unashindwa kutetea watanzania wenzako wanaoumizwa hapa hapa nchini ambao unaishi nao ,hao wapalestina ww wanakuhusu nini kama sio unafiki.
Education Education Education hoooh God..mwanangu usimwache elimu aende zake..xaxa hawa walimwacha elimu wanaishi ka misukule ndani ya nchi yao..hawajuhi kitu then wanajidhalilisha kwa post zao
Kwa hiyo wewe Frank Daniel unafurahia KUTESWA na kuonewa BILA sababu kwa Viongozi wa CHADEMA tu Kwa sababu ya chuki binafsi za Serikali? ANGEFIRWA MAMA YAKO, BABA YAKO NA MKE WAKO, WATOTO WAKO ungefurahishwa? Tuache ujinga KWENYE mambo ya Msingi. NCHI NYINGINE WASIOPENDA UTANI UNGEJUTA KUZALIWA. Injustice anywhere is a threat to justice everywhere".
Tanzania yetu tunajua kwamba atuna upinzani kwasababu wapizani awajitambui kabisa kama uyo mboe na tundi ni amazo kabisa Kwa mtu mwenye akiri uwezi kuwafuata kabisa nausisubutu Kwa zito daa,, Mingu tunusuru watanzani
Nahisi vitu vibaya sana naona dalili mbaya kwa siku kazaa zijazo kwenye taifa hili haswa huyu mnafiki kutoka magharibi mungu alilinde taifa la Tanzania 🙏🙏🙌🙌
Kweli kabisa maana Mungu watu wenye vipaji halihamrisha wakaee chama tawala. Ni swala la mda tu siku Raia wakiwaamini watawapa Madara. Huo ni ukweli wa kikatiba sio hisia tu. Tusijidanye tukaacha kufanya kazi za kujenga vyama vyetu bila kuchoka. Mfano CCM kwa kujua au kutijua ikidhoofu au ikidhoofisha vyama vingine mbadala vitapewa madaraka tu na Raia. Cha kusaidia ni kwa CCM kujikagua kila leo na kujikagua si kwa maigizo😅😅😅😅
@@AlphaxardMRusweka-jr1wiBible inasema moto ukikosa mtu wa kuchochea Kuni mekoni unazimika, vivile fitina nayo ikikosa mchongezi ukoma. Kwenye hili mchochezi na mchongezi ni sisi wenyewe. Wamarekarini pamoja wa mapungufu yao wanatusadia kutuonyesha madhaifu yetu. Ila hisia Zetu nitufumba macho tu sione. Hisia sio itikadi ya Chama. Na hisia sio jambo muhimu katika kujenga taifa. Wabda ni woga wa kupoteza vitu fulani vya Bure hujenga hisia mbaya.
Shobo zitakuponza toka lini marekani akawa msaada kwa mwafrika konde boy ameimba Bora ugali dagaa kwenye amani kuliko wali nyama vitani sasa we jishobokeshe kwa marekani uone kama utakuja kukoment tena 🇹🇿🫡💯
Lakini ndio wanaokufanya ufurahie maisha.simu wamegundua wao,huu mtandao ni wa kwao,intaneti ni ya kwao.ww ukoo kuna mmoja kagundua hata kutengeneza kijiko mbwa ww.
Mamae! Kwan tz inatawaliwa na marekani? Kwan ubalozi ndyo nn? Wao wanawaua wenzetu kwao nan aliwaingilia waende zao huko! Kwao kuna haki? Tutakuja kupata raisi awafukuze kabisa hawa mambwa ndyo wanaotusumbua ndyo maana kule bukinafaso wamefukuzwa
Irudishe USD dollar kwenye mzunguko , Serikali imepiga marufuku USD na wenyewe hawapendi, mtajionea mengi mno, issue sio Chadema issue kubwa Wamarekani hawapendi muikache hela yao, irudisheni kwenye mzunguko tu wa biashara maana imekuwa ni adhabu hata kwa wafanya biashara
Eti waache kusemea uvunjifu wa demokrasia na haki za binadamu Tanzania na hususani Afrika, kwani huyu Bibi Tulia Ackson alipokutana na Putin kujadili namna ya kumaliza mgogoro wa UKRAINE yeye ni MZUNGU? Isitoshe mbona hajawahi kuona namna ya kuleta amani japo Kongo ambayo iko Afrika Mashariki? Tuache uzwazwa, yeyote anatakiwa kupinga kwa nguvu ushetani wa DEMOKRASIA Afrika hususani Tanzania
Hehee mmarekani ameshaiunga mkono chadema sasa ccm kazi munayo safi sana marekani kwa kuvunja ukimya namin marekani akikupa support hajawahi feli marekan tusaidie wananchi tumeichoka ccm
@@hamadsuleiman5177ww kweli mjinga.Nani kakwambia kuwa marekani hakuna demokrasia?watanzania wenzako wameumizwa paza sauti kupinga uonevu.Ipo siku na ww yatakuja kukupata utajuta.
@@MathewNathan-yb2bz Mjinga wewe unafagilia mashoga....Hivi ndio huna akili basi hata Smart phone huna ukaangalia America juzi tu Trump wamemshoot...Wacheni dharau bora Tanzania democracy than huko munakoenda kupiga goti
Wazungu walifanya SIASA katika mabara ya Africa ilikupinga maendeleo ya waafrica wenyewe na bila kutabu waafrica tuka zichukua hizo SIASA tukaanza kuzitumia na bila kujali kuwa tuna jiumiza sisi wenyewe
Acha uongo wako kwani huko ulaya na Marekani hakuna Demokrasia.kwanza ujue wenzetu wazungu wana maadili sana,wanapendana sana na mifumo yao ya utawala inatoa haki bila ubaguzi wowote.pia ujue sisi tunafuata mifumo ya maisha ya wazungu.ww mbona unajiita sayeed hilo jina umelitoa wapi kama sio umeiga kwa waarabu.
@@MathewNathan-yb2bz basi oaneni mwanamke na mwanamke alfu mwaume na mwanaume mwenzie na hio ndio democracy ya wazungu na ndiomaana lisu alisea akipita atarusu ushonga upuuzi mtupu maendeleo hauna kazi mikelele tu
@@sayeedmsct4255 ww kweli mjinga sijapata kuona.Marekani ni taifa lenye maadili na lenye viongozi waadilifu.Maraekani hailazimishi mtu wala taifa lolote kuwa mashoga.Hiyo habari yako ya kuwa heti binadamu alikuwa nyani ilishafutika kitambo.labda uniambie ni mwanasayansi yupi mmarekani aliyesema binadamu walikuwa nyani
@@sayeedmsct4255 ww ujinga umekujaa kichwani.Ndio maana Mungu aliwapa maarifa watu weupe kwa sababu aliwaona wako vizuri kiakili.kama pepo ina nina imani wazungu mbinguni wataenda wengi na sio sisi watu weusi.pia ujue wazungu ukristo,waarabu uislamu,wahindi hindu.je sisi watu weusi dini yetu ni ipi?
Hivi huo ubalozi lile tukio la trump lilikuwa lina haki za binadamu kweli ? kabla ujaziba kwa jirani jenga kwako kwanza 😂😂 ndugu zetu hawa wanafeli kukimbilia kwa mabeberu wakati watanzania wamesha pevuka akili hahaaa sikuizi tuna wagoogle na yanayotendeka kwao tunayaona hakuna haki hiyo wanayoililia tuifanye kwetu
Marecani kinawausu nini nyinyi fateni kilichowaleta mambo ya nchi waachiyeni wenye nchi msituletee umbulula wakuwaona watu awajuwi kuongoza nchi ila nyinyi ndomnajuwa kosa usomi ata Africa sasa wasomi wapo akuna kumburuswa mlionea mababu zetu sio sisi
Watanzania tuwe Makini Na Hawa jamaa Wanataka kutuingiza kwenye utumwa mamboleo wakati Kuna nchi zinawakimbiza marekani Na uchafu wao Hawa viongozi wa Hiki Chama wanatusukumia kuamini America Ni watu sahihi wa kutatua matatizo yetu😲
Ni nguvu ya uchumi wao,nguvu ya jeshi,nguvu ya siasa yao ukibisha wanakushughulikia.Jifunze Kwa Gaddafi,Saddam Hussein, Osama bin Laden,Irani,kama unaleta ubishi endelea kumwambia Samia uwabishie ndo utawajua
Jamani huyu nimama. Tujue nimwanamke vidume vyenye nguvu wamemtumia kufanikisha rengo. Yan tujue zile safari za kimataifa za bimkubwa hazkua nania kama turvyo aminishwaga na wezetu waandisha wa habari kuna mazto yariptishwa nyuma yapazia ndyo haya 2024 zashaaza naikiendele ccm tutaishia arzin wa TANZANIA