Тёмный
No video :(

TANASHA DONNA: AFUNGUKA UKWELI HATUWASILIANI NA DIAMOND/HANIPI MATUMIZI YA MTOTO/HAMISA/ZARI/MWIJAKU 

Carrymastory
Подписаться 473 тыс.
Просмотров 174 тыс.
50% 1

KUPITIA kipindi cha bomba la Sanaa nchini Kenya kinachoruka kwenye TV47 Tanasha amefanya mahojiano na mtangazaji mahiri sana Tony Mwirigi na kuzungumzia mambo kadhaa ambayo yanaendelea kwa sanana kuhusu yeye na Hamisa pamoja na kuweka wazi kuwa hawazungumzi na Diamond.

Опубликовано:

 

22 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 271   
@juliaayieta2578
@juliaayieta2578 4 года назад
Jamani nimependa alivyo jibu maswali yake......Tanasha umenifanya nikupende kwa kweli 💗💗💗
@lisaemil1528
@lisaemil1528 2 года назад
😘😘😘😘😘
@maggykavata9439
@maggykavata9439 3 года назад
mtoto mmoja hawezi kushinda kumlea that guy he doesn't deserve u..u are so beautiful my sister
@aviwaomar439
@aviwaomar439 3 года назад
Duh katika wanawake wa diamond huyu nakubali msomii sanà hagaa vitu vya ajabu haropoki tuuu big up tanashaaaaa 💪💪💪👌
@dianawitgar6760
@dianawitgar6760 3 года назад
Zari is nomber one
@rukiakhamsin9220
@rukiakhamsin9220 4 года назад
Masha Allah, mwanangu tanasha umejibu vizuri sana maswali ,nakupenda sana tanasha
@eunicekiilu9330
@eunicekiilu9330 2 года назад
This lady is just wonderful an Icon. Moving on with such a clean heart waa
@wemakatishankatha5963
@wemakatishankatha5963 3 года назад
young lady with a beautiful heart
@MariamMohamed-bw8xf
@MariamMohamed-bw8xf 4 года назад
Tanasha mama nassib junior nakupenda sana na ume jitahidi kuongea kiswahili like that 🙌🏽😍
@azizaally1706
@azizaally1706 3 года назад
ww ni mwanke jembe shika uzi huo huo
@fearless7125
@fearless7125 3 года назад
She speaks soo well and the truth. 😊
@brendahmwende6473
@brendahmwende6473 3 года назад
Big up to our Kenyan queen.. Chuki iekwe kando na tufocus na the positive vibes onlu
@halimaabdallah2625
@halimaabdallah2625 4 года назад
I love this girl 😍
@bintimohamed2646
@bintimohamed2646 4 года назад
I Love you Tanasha it’s very much true what you are talking about. 🙏🏽💓
@margaretcharlton1960
@margaretcharlton1960 3 года назад
Donna my darling to what you have said it’s true. You don’t have to tell DP that need to take care of his blood, if he doesn’t want to take care, they are so many single parent and they are doing wow. I respect you so much and I’m very proud of you. Keep smiling 😊
@sharifaseif5174
@sharifaseif5174 4 года назад
Very cute darling, keep on moving sweetheart, may Allah bless your efforts!! Ameen
@anglemallya3998
@anglemallya3998 3 года назад
Tanasha una roho safi sana hupendii chuki ambzo hazina msingi
@stacia4797
@stacia4797 Год назад
your the best,independent woman tanasha
@CarosKitchen
@CarosKitchen 4 года назад
Tanasha amenenepa 🥰🥰ila amekuw amzuri
@tedymwandara5480
@tedymwandara5480 4 года назад
Kanenepa sana
@julianalawrence5327
@julianalawrence5327 4 года назад
Kwa kweli amependeza
@saidaramadhan2335
@saidaramadhan2335 3 года назад
Katoka kwenye kelele za mkwe acha ajinenepee
@slowclimbertothetop4572
@slowclimbertothetop4572 3 года назад
True
@shamlimah5682
@shamlimah5682 3 месяца назад
I love this lady she look down to earth. Hope it's true
@sheysarahnjeno9326
@sheysarahnjeno9326 4 года назад
Pole tanasha Mungu atakusimamia
@mariamathuman9703
@mariamathuman9703 4 года назад
Tanasha jiangaishe usitegemee Cha mtu mwanamke ngangari
@khadijatirionaire2510
@khadijatirionaire2510 4 года назад
Nakupenda sana wee bint ..❤❤❤
@eunicewanjau2390
@eunicewanjau2390 3 года назад
Tanasha you are such a sweartheart😘😍
@naimanurdin1354
@naimanurdin1354 4 года назад
Dada nampenda sana huyu Naomba Mungu Azidi kukubariki mamy
@saravikula9090
@saravikula9090 3 года назад
Hongera Dada kwa ujasiri na hoja zenye nguvu pambana kutafuta maisha mengine ni ziada
@nasrihussein4293
@nasrihussein4293 3 года назад
Love from Kenya
@achyachy6367
@achyachy6367 4 года назад
Tanasha I love that you have moved on...though truth be told, Diamond loved you from his heart but unfortunately for you, you had your other goal strategy to benefit from him which he came to realise early enough..you were not genuinely in love with him........I love that you are not begging for child support like Zari and Hamisa, child support should come naturally from the kid's father but not him being forced or reminded to support his blood... ..I love you for that...us luos we don't beg ..... you look pretty Gal. Keep doing your thing, God will bless you big ...kiss Nasib junior for me ...
@judithmanasekitomari5824
@judithmanasekitomari5824 4 года назад
True that umesema ukweli kabisaaa
@achyachy6367
@achyachy6367 4 года назад
@@kinyamal8201 Very true
@achyachy6367
@achyachy6367 4 года назад
@@judithmanasekitomari5824 👍
@cheekygyal944
@cheekygyal944 4 года назад
M not in support of this coz kama hangekuwa anampenda sidhani kama angebeba mimba haraka plus angevumilia madharau yote aliyofanyiwa,nways who am i to judge🙌
@achyachy6367
@achyachy6367 4 года назад
@@cheekygyal944 if you have a goal , you will do everything and anything until you achieve it...she had a strategy...alivumilia madharau thinking that the guy was going to give in to her demands ...the problem with Tanasha, she thot that Diamond loved her so so so much and that he would do anything literary anything for her...until she got a shocker !!!
@lydiakenya2814
@lydiakenya2814 4 года назад
I love this girl
@faithbahati8938
@faithbahati8938 4 года назад
Tanasha wangu nakupenda sanaaaaaaaaa
@berniceonegbmusic2324
@berniceonegbmusic2324 3 года назад
Tanasha ana roho safi sana
@Noah-se3ni
@Noah-se3ni 4 года назад
Tanasha. Umehongeya vizuri sana ongera sana kwako. Lakini kusema Kweli Diamond ni muongo kwasababu Alisema heti Anaongea na baby mama wote watoto wake kumbe ni uwongo. Huyu mwanaume nimongo sana natena Anapaswa kutowa child support kwa watoto wake wote. Hilo ni jukumalake na sio kulazimishwa. So Tanasha wewe na mwanamke wangu ongera sana kwako.
@annamrima5507
@annamrima5507 3 года назад
I hv just liked yr conversation...keep it up
@dorismwenda4758
@dorismwenda4758 4 года назад
I feel u T. Ma heart was broken when u broke up. Though am team Zari
@swafiyahthanny2408
@swafiyahthanny2408 4 года назад
Same here
@khayriyamussa6274
@khayriyamussa6274 3 года назад
Me
@marryflowerhahaha2375
@marryflowerhahaha2375 3 года назад
😂😂😂😂😂😂😂really?
@rizikibondora3550
@rizikibondora3550 4 года назад
Kwani before tanasha na hamisa hamukuwa Munatok business ulipokuwa na diamond but why now🤔🤔vile umeachana na diamond ndo umerealize you need to support each other realy
@jasminlyall1243
@jasminlyall1243 4 года назад
Tanasha is gorgeous and God is with you.
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 3 года назад
You are cool really be blessed💖💖🙏🏼
@ininahazwechristella8190
@ininahazwechristella8190 Год назад
Tanasha uko mzuli sana we ni namba one muwake wote wa mondi
@buyukubwa9713
@buyukubwa9713 3 года назад
Ukiangalia sana Tanasha anaonekana ananipenda Diamond ila kuna kitu in the box inaweza kuwa mama dada ndugu wa Diamond kuna kitu kati
@linahsemindu9575
@linahsemindu9575 3 года назад
Yan dai hapa kaacha mke jmn Tena saiz yake jmn😩🔥
@nyamoyanaomi7222
@nyamoyanaomi7222 4 года назад
Nice tanasha
@citymwacheo4497
@citymwacheo4497 4 года назад
Nimekupenda bure Aisha alhamdulillah
@johnmwadime4590
@johnmwadime4590 4 года назад
Daah! Kanenepa 🤗🤗
@rizikibondora3550
@rizikibondora3550 4 года назад
Yuko ivo ivo
@rizikibondora3550
@rizikibondora3550 4 года назад
Kwanza amekonda
@mwanaally8250
@mwanaally8250 3 года назад
Kweli amenenepa kapendeza sanaa
@masitisharifnur8441
@masitisharifnur8441 3 года назад
Hana stress yah simba😂😂😂😂
@bintimohamed2646
@bintimohamed2646 4 года назад
Tanasha. 👍. Supper good 🙏🏽💓💓
@kisakim5660
@kisakim5660 4 года назад
Sikuwahi kujua Kama unaongeaga vizuri hivyo I love it ❤️🥰
@euniysharon4704
@euniysharon4704 4 года назад
kabisa tanasha sweet luv
@nasimiyususan8927
@nasimiyususan8927 4 года назад
Beautiful 👑🙏🙏😇
@AyushAli-gv1yl
@AyushAli-gv1yl 4 года назад
This Dude is bored kila swali diamond why she has a new work u can talk about na ana kazi nyingi sana na biashara kw nn asimuulize huyo diamond mwamfanya km mungu wa pili mxiiiiiiiiiiw
@paulinafanuely1868
@paulinafanuely1868 4 года назад
Nakupendaga Sana'a tanasha
@ikhlassathman8782
@ikhlassathman8782 3 года назад
Wanaume mukiachana ukisubiri kupewa child support bila kupelekana mbio utasubiri sana lazima mupelekane kiasi ndio walivyo.
@renathajohn879
@renathajohn879 4 года назад
tanasha alipokuwa kwa dai alijifanya hajui kiswahili leo anaongea vizuri sana .. aliyegundua hilo nipeni likes zangu
@florabaruti8032
@florabaruti8032 4 года назад
@@liliankarla4786 we mwenyewe fala kenge wewe
@liliankarla4786
@liliankarla4786 4 года назад
@@florabaruti8032 MF
@duduvule8124
@duduvule8124 4 года назад
@@liliankarla4786 U are fkn @$$#013
@annalfonce259
@annalfonce259 4 года назад
Sura kama jaba ume tewa juzi kasiya mwache Tasha
@zainabubakari8489
@zainabubakari8489 4 года назад
Nmejifunza kitu kutoka kwako tanasha love mingi mingi
@fannytonny9032
@fannytonny9032 3 года назад
Beautiful in and out
@zenamshana6852
@zenamshana6852 4 года назад
Nice interview 💕
@thymathyma7931
@thymathyma7931 4 года назад
Jesus cry my God, hamdulillah very nice save junior
@mwanahawahamisi9052
@mwanahawahamisi9052 3 года назад
Nimependa ulivojibu sana hayo maswali
@christinenyaboke4655
@christinenyaboke4655 4 года назад
Na amenona sana waaah
@janethkilonzi4260
@janethkilonzi4260 4 года назад
Mond unafel wap jaman tanasha kazur kwel kwel..
@saadaalharthi9295
@saadaalharthi9295 4 года назад
Sanaa kazur nampenda
@everlineeverline105
@everlineeverline105 4 года назад
Nyota ya diamond ni kuzaa si kuoa.
@ayushjhay1979
@ayushjhay1979 4 года назад
Mwanamke ni Tania si sura
@ayushjhay1979
@ayushjhay1979 4 года назад
Tabia
@freelancer6368
@freelancer6368 4 года назад
@@everlineeverline105 wewe Umesema kama nani?God's P.A ama
@veroniquesiwak1343
@veroniquesiwak1343 4 года назад
Waoo amenenepa vizuri sana
@kautharsalat6449
@kautharsalat6449 4 года назад
Hongera sana unajitambua kweli
@fozyafozya4060
@fozyafozya4060 4 года назад
Amenenepa mashaallah 😍
@zuleikhakhamis3303
@zuleikhakhamis3303 4 года назад
kwa sababu hana stress za familia ya Diamond
@fozyafozya4060
@fozyafozya4060 4 года назад
@@zuleikhakhamis3303 you're right my dear
@aishaismail9685
@aishaismail9685 4 года назад
Nampenda tanasha asee kazuri
@joycemuname5885
@joycemuname5885 3 года назад
Love you tanasha tanasha so much love
@sylviagoddard568
@sylviagoddard568 3 года назад
New York city love you .you're Beautiful in and out💕
@yasminally1015
@yasminally1015 Год назад
Asallamalequ Maashalla Maashalla Natasha Donald💞💞💞
@ritchiexanti9587
@ritchiexanti9587 4 года назад
basi kwenye hii comment section utaona single mothers kama wote watakavokuja kutuhubiria jinsi gani wanaume hatufai na Tanasha ni hero😂😂😂.....fieni mbeleeeeeee!
@consolathajohn131
@consolathajohn131 3 года назад
Nimecheka kifara
@buyukubwa9713
@buyukubwa9713 3 года назад
Wazazi wanapelekea mtoto anaishi maisha ya one side maisha ya mama au maisha ya baba jambo ambapo linaweza kumwathiri mtoto kisaikolojia mtoto anapoanza kutafuta baba au mama inaumiza sana hata kama anakaa na baba au mama mwenye pesa Kwani baba na mama ni Mungu wa.pili
@fatmamgunda4049
@fatmamgunda4049 3 года назад
Ndugu yangu huwezi sema mzazi ni mungu wa pil huon km umemshirikisha mungu ,mungu hafananishi na kitu chochote na wal hafanan na kitu chochote km yeye ndiyekaumba viumbe vyote utasemaj mzaz ni mungu wa pil
@rosemarymathew9215
@rosemarymathew9215 3 года назад
Utatoka tu tanasha mungu atakuwezesha
@sherin3171
@sherin3171 4 года назад
Nakamenepa mashallah
@chany9950
@chany9950 4 года назад
Je t,aime tanacha
@saraabigail211
@saraabigail211 2 года назад
Beautiful and intelligent young lady! He lost Gold!! I don't know, what do men really want?
@mwanahawahamis1321
@mwanahawahamis1321 3 года назад
umependeza saana tanasha
@amourdelicieuse2961
@amourdelicieuse2961 3 года назад
Uko mjinga sana Tanasha Dona hamisa kakuloga akupendi ata kidogo nika Mnafki hamisa ni mchawi alikuloga ukaondoka nyumbani kwa Diamond bila kukufukuza...angalisho n'a hamisa
@naumi2302
@naumi2302 Год назад
Tanasha mzur jaman kasaut katam kakiupole😊
@venstonvedasto
@venstonvedasto 4 года назад
Ila Tanasha mzuri daah
@rispermokaya1902
@rispermokaya1902 3 года назад
Good girl I love you so much don't depend to a man even has we are single
@atuganilekitego8616
@atuganilekitego8616 Год назад
I like it, me too siezi force my baby daddy kusapot my kid
@johndieme6402
@johndieme6402 4 года назад
Tanasha usikuwe hamisa matumizi atombwe shida
@juxjemc5768
@juxjemc5768 4 года назад
We ulitafuta followers na mwenzio ametaka mtoto nahis hayo yalikuwa makubaliano yenu
@cheekygyal944
@cheekygyal944 4 года назад
And that's why she's not complaining nor forcing hlp from her babydaddy
@truth7796
@truth7796 4 года назад
Bado unahisi😂🤣😅
@krisongalax1736
@krisongalax1736 4 года назад
Mwanamke shetani huyo
@smootkizy_jr
@smootkizy_jr 4 года назад
Watangazaji wa kenya hawajui kuvaa yani wanavaa nguo kama vibaka wapolaji wa Ubungo stand yan hawaendan na fashion na kipind kabsa stylish zao ni za buzaaaaaaaa
@shijacs23
@shijacs23 4 года назад
Kenya hiyo fashion
@marthalasoi8253
@marthalasoi8253 4 года назад
Buza kwetu koma wewe vyuuuu
@magynzioka1122
@magynzioka1122 4 года назад
Iyo nguo ya juu ameva hata wewe uwezi nunu nguo za ngali sikuzote ukaha ivio km hazielewiki
@margarethsaramaki3966
@margarethsaramaki3966 4 года назад
Mtu unaangalia eti kavaa nini?? Inashangaza kwa kweli
@smootkizy_jr
@smootkizy_jr 4 года назад
@@magynzioka1122 mtangazaji kioo cha umma bana sio aonekane kama mporaji wa stendi bwana
@wardamasoud4061
@wardamasoud4061 4 года назад
Love u tanasha
@diascookout8270
@diascookout8270 3 года назад
U are Right Young Lady
@philemonnyankuru5042
@philemonnyankuru5042 4 года назад
Katoto kazuri Sana daah! Zo mapaja😝😋
@damarissaline.2315
@damarissaline.2315 3 года назад
Mature responses
@linahsemindu9575
@linahsemindu9575 3 года назад
Nakapenda haka ka dada jmn💞💞
@sumayahfathi9413
@sumayahfathi9413 4 года назад
Huyu mtangazaji mbeya Sanaa, hana maswali mazuri ila mbeya tu, kutaka kuchimba
@judynasambu8428
@judynasambu8428 3 года назад
Huna mahalo pengine ni hapa Tu as soon as tnz
@angelinajoseph1248
@angelinajoseph1248 4 года назад
Nakupenda bure
@Abubakarallyhamad-kj9sx
@Abubakarallyhamad-kj9sx Год назад
Shidah ya TZ tunapenda kuliza maswal ya mapenz tuh 😂
@SaraSara-nf1uc
@SaraSara-nf1uc 4 года назад
Tanasha unajielewa ata kuwaliko watu uliowapita umri haki ntakupenda sana
@hadijamagufuli2661
@hadijamagufuli2661 3 года назад
Sana sio yule mtu mzima asiyejiheshimu kutwa kutwa mitandaoni miaka 40lakini bado hajiheshimu mhm
@hadijamagufuli2661
@hadijamagufuli2661 3 года назад
Zari hajiheshimu nguo zake kama si mtu mzima
@aishamwinyi3566
@aishamwinyi3566 4 года назад
Kumbe jaman anakijua kiswahil vzr sana chezea wabongo
@jackiewange1348
@jackiewange1348 4 года назад
Love mamake nassib don't need to b supported do ur own
@luksenen7759
@luksenen7759 4 года назад
Unanenepa sana mond alikuwa hakulazi usigizi kwaku chomeka ndizikubwa usikuwote ukakondeyana dada ivisijuwikama itananihii tena😃😃😃
@HawaaHawaa-ke2um
@HawaaHawaa-ke2um Год назад
Huyo nimkenya halisi hajui kushindana, kimapenzi kz kutafuta hela sn
@maimunaabdalla7146
@maimunaabdalla7146 3 года назад
Tanasha babe,tulikuonya mondi born shamba,uswazi wewe ni born uzunguni mtazinguana,wewe umekulia Kwa pesa mondi amekulia Kwa dagaa ,kapata pesa ukubwani asikutambie washamba Tuuuu..tutalea mtoto wetu banaaa iko nini?🇰🇪001
@naumi2302
@naumi2302 Год назад
Kabisa 😂😂😂
@thymathyma7931
@thymathyma7931 4 года назад
Good mama naseeb junior from Kenya mama wow good day good Allah new mama , LOVE you ok bye mama naseeb thank you I love u i am coming from coming from Ke ja veri nice dance studio where can I s studio where NIC Asia comedy of rhombus are very nice fire, you
@kulway4669
@kulway4669 4 года назад
Kweli
@carenalphonce5013
@carenalphonce5013 4 года назад
Dah tanasha mzuri jamani
@aishaaboud4406
@aishaaboud4406 4 года назад
Mwanamke bomba👍
@innocenthamisonndalahwa9541
@innocenthamisonndalahwa9541 3 года назад
U' re brilliant women love u keep moving forward this interview had made u different and put u a next level good good
@catherine2621
@catherine2621 4 года назад
God bless you
@ndegejr4218
@ndegejr4218 4 года назад
Carry Umeiba Content ya watu
@amissahassan495
@amissahassan495 3 года назад
Huyu mtangazaaji haelewi kazi yake anaongea. Kwa jazba sana.
@fatumaally3266
@fatumaally3266 4 года назад
Tanasha shes very beautiful
@zackybenny4320
@zackybenny4320 3 года назад
Tanasha mzur sana
@joanwachira4121
@joanwachira4121 3 года назад
Carry mastory amekua kikweli
Далее
Mombasa, mzee wa Mjegeje and the  Traditional coffee
2:01
Italians vs @BayashiTV_  SO CLOSE
00:30
Просмотров 4,4 млн