Je kama namdai mtu pesa kiasi cha milioni moja ila mimi nipo kagera na yeye yupo Zanziba au nipo iringa na yeye yupo Zanzibar natakiwa nifanyeje naomba ushauri
Kama ni kosa la jinai umestaki au umepeleka kesi yako ya jinai police unatakiwa siku ya kutowa ushaindi tu uwepo sababu kesi zote za jinai zinaendeshwa na serekali wewe unakuwa kama shahindi namba moja upande wa serekali.tu.lakini kama ni madai autakiwe kupeleka police unatakiwa ufunguwe shauri lako mahakamani.siyo police ndipo mutapewa numba ya kesi yako kusikulizwa.police awana mamlaka ya kuendesha kesi ya madai.