Basi leo ndio nimeelewa... Tunda starehe zake hategemei wanaume... Yeye mwenyewe tu anajiweza kutokana na kuwezeshwa na wazazi wake.. Loh kuna wazazi na nusu Duniani.👌
hongera sana tunda.pia hongera kwa kufanya bday yako na kuwahalika wazazi wako.wasani wengi hawafanyi hinyo. hongera mkuu saba sita wa kiteto kwa kuwa na binti anayejitambua .nimefurah sana.
Nimelia nimemkumbuka my dad he was there for me but allihamdullah kwa mapenzi yako baba leo hii nimekuwa mama bora maadili yako naupendo wako yamenifanya niwe mama bora dada bora rest in peace my Daddy ❤🙏🙏🙏💔
Ester Wakidunda hakuna binadamu asiyepitia magumu na yasimteteleshe hata walokole wanapitia ugumu haswa hadi wanakaa kujiuliza labda wamemkosea Mungu nn na wengine ndy wanaamuaga kabisa kuacha hata wokovu kwa taarifa yako hakuna binadamu asiyepitia changamoto na walokole au wenye imani kali ndiyo wanaongoza kwa kujaribiwa
Ester Wakidunda unakuta mwenzio anakesha hotelin yupo salama ila ww unayekesha kanisani ndiyo kanyagio la wachawi wanakugeuza kwa miguu na kukutimba watakavyo🤣
Haya wapenzi njia kadhaa za kuondoa harufu mbaya ....wadada najua itakua mumenielewa ....douching ikiwa mmoja ya sababu za harufu kutokea kama hujui douching ni nini .......link hii hapa 👇🏾👇🏾ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE--P-WKpKl1cM.html Usikose ku subscribe na ku like ikiwa utajifunza kitu pia nidondoshee wazo lako hapo kwenye comment. Shukran 😘😘😘😘
Baba tunda ana wa fungisha vinywa nunao uliza kila siku eti tunda anakula bada sehem nzuru nzuru ndo kama ivi ana wambiya tunda ni tajiri ana ma gari yame andikwa eko tunda🇧🇮🇧🇮
@@khadijaomar2723 yan mambo anayo yafanya tunda watu wa pemben wanamdharau lkn kwa wazazi wake kama dhaharu unaambiwa mtt mbaya mzuri kwa wazazi wake dahhh tueshimuni wazazi wetu na tuwapende kama w anavyo tupenda
Bba mkwe umeiyona iyo mkweo whozu iko na elen kulia na kushoto bola unipe mm uyomwanao mm hua napenda kushida na boksa kutwa mzima bola ya mm mzee nakuomba 🙏🙏🙏
Nakumbuka nlwahi kuwa na namba ya Tunda kipindi bado hata hajawa star nkaishia kuchat nae tuu kila siku mambo, poa.. mweee sahiv kawa star hivi! Ningejua ningemtongoza kipindi kile kile bado tunakua 😆😆😆