Тёмный

TAZAMA MANABII WALIVYO MWAGA PESA KWA MASANJA 

Masanja TV
Подписаться 228 тыс.
Просмотров 74 тыс.
50% 1

TANGAZA NASI MASANJA TV:
SUBSCRIBE | Masanja TV | For more Updates:
👇 👇
/ @masanjatvgospel

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 256   
@jacklinakinabo6479
@jacklinakinabo6479 3 месяца назад
😂😂😂😂 Nifundishe kunyamaza ee Mungu wangu ,,acha hukumu iwe juu yako .
@MarkoWMichael
@MarkoWMichael 3 месяца назад
Haahahhahha jamaa anaesambZa maiki goti mpaka chini 😂😂
@solomondanny-1507
@solomondanny-1507 2 месяца назад
Utumwa huo. YESU hakuwa hivyo.
@agnesdeogratius7018
@agnesdeogratius7018 Месяц назад
Na uanaume kupig goti apo wanaoneshana ufahari tu naizo ela wanazoahid ili waumin wanogewe nao wachange kumbe wanatapeliwa ee mungu tusaidie
@emmanuelsumari7553
@emmanuelsumari7553 3 месяца назад
Kwakuwa kila kazi atendayo mwanadamu itapimwa kwa moto. Mungu ndiye ajuaye mtenda kazi wake, na wasio wake.
@siaveramanga289
@siaveramanga289 3 месяца назад
I see my prophet Rolinga,God bless you all
@DavidMbwilo-qk1bz
@DavidMbwilo-qk1bz 2 месяца назад
Hii nchi yangu 😂😂😂 naipenda
@jacksonpetro495
@jacksonpetro495 2 месяца назад
Kanisa lolote ambalo kipaumbele chake sio utakatifu na kuurithi ufalme wa Mungu kama kipaumbele cha Yesu, likimbieni jamani hizi ni siku za mwisho.
@agnesspeter6416
@agnesspeter6416 3 месяца назад
Masanja apunguze mzaha madhabahuni kazi anayoifanya ni nzuriii mnooo Mungu ambariki saana
@selegioelias9076
@selegioelias9076 3 месяца назад
Wewe ndo unaona madhabahuni wenzio wako kwa kazi kupiga pes
@deviselisaria5488
@deviselisaria5488 3 месяца назад
Kazi gan ukimpgia simu hana la kujibu
@zebedayokatamaduni9676
@zebedayokatamaduni9676 2 месяца назад
Kazi gani Yaani watu wanachezewa akili
@msafiriomary893
@msafiriomary893 3 месяца назад
Watumishi WA mungu kwer nyinyi au mnajidanganya wenyewe
@NaimaniMndeme
@NaimaniMndeme 2 месяца назад
Hizo zote zitapita lakini mwisho wake mungu ndiye atakaye hukumu kama Yuko sawa wanacho kifanya apo madhabahuni.
@nicholausrwezaura1971
@nicholausrwezaura1971 3 месяца назад
Mungu akubariki sana Mtumishi wa Mungu
@deomhina
@deomhina 3 месяца назад
Huyu si masanja huyu hahahaha😂😂😂
@ChazJulias
@ChazJulias Месяц назад
wachuna waumini hao😂😂😂
@Madsan-q7i
@Madsan-q7i 2 месяца назад
Tumtafute Mungu, maadamu anapatikana sarakasi za madhabahuni nyakat za leo zmekuwa nying jaman Yesu Kristo amevunjiwa heshima vha kutosha so Mungu alisaidie kanisa.
@abdallahsaidi2300
@abdallahsaidi2300 2 месяца назад
Jamann
@WTC492
@WTC492 3 месяца назад
We masanja unaenda lesi usingekimbilia kwenye uaskofu au kuwa mchungaji au kufungua kanisa bado una uchanga mwingi na mizaha. Ungekubalii kukaa chini ya maongozi ya Mungu kwa muda na watumishi waliokaa vizuri kama wakina Mwakasege na Mbarikiwa mpaka upate ukomavu.
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz 3 месяца назад
hatumuhuku ila anapoelekea alipofikia tumwechie. MUNGU
@focusernest5610
@focusernest5610 2 месяца назад
Huyu anawaza pesa,,,kabla alikuwa akisali jangwani kwa mchungaj mwakiborwa TAG,,,wanaanzisha huduma nje ya makanisa walikozaliwa ili wapate pesa
@joicejoshua3258
@joicejoshua3258 Месяц назад
😂😂😂😂😂😂
@JaliwaMbembela
@JaliwaMbembela 3 месяца назад
😮😮 acha mungu tu aingilie kati na haya makanisa naona yaliyotabiliw yanazidi kwa kasi sana tujiandae watumishi mungu amekaa kimya ana makusudi
@ismailsoud3634
@ismailsoud3634 2 месяца назад
Wanajuwa mchezo wanao ucheza ndani ya nafsi zao. Kuwa Nabii si jambo dogo katika nchi. Kuwa Nabii nie kupokea kutoka kwa Mungu kuleta kwa wanadamu katika marejeo ya uonyaji katika kuacha matekelezo yaliyo andikwa ndani ya vitabu. Na hukumbusha ki roho so kwa kusoma maandiko kwa kutumia MACHO YAO. Manabii wa Mungu hunena vya rohoni. si vya kusoma kwa macho. Manabii wetu hawa wanasoma kwa macho. Ila nawapenda wengi wanavyo ponya watu magonjwa na kuwapa utajili kama Kweli maana nasikia tu sina uhakika. zaidi ya hayo Mungu ni mmoja tu sijuwi kama kuna miungu watatu.
@erodiasmallya2869
@erodiasmallya2869 3 месяца назад
Nyakati Za mwisho tutaona mengi. Manabii wa uongo wameongezeka na wanazidi kuongezeka😭
@Churchofecclesia
@Churchofecclesia 3 месяца назад
Ukiwepo na ww mkristo wa uongo, fool
@AverinaShirati
@AverinaShirati 3 месяца назад
Masanja naomba milion mbili
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 3 месяца назад
Ha ha haaaaa haaaaaaaaaaa haaaaaaaaaaaa ha ha haaaaa!!! Nawew kusanya manabii!!!!
@kingmsanya3524
@kingmsanya3524 3 месяца назад
Naona prophetic Roringa anasema leo ni meingia wapi hapa.😂
@faridymtobozi7086
@faridymtobozi7086 2 месяца назад
Apo ni kibaha ua mail moja?😮
@JustinKituyamaana-og3bg
@JustinKituyamaana-og3bg 3 месяца назад
Napita sisemi kitu.😅😅😅
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 3 месяца назад
Kamwanamke kamevaa suruali kamebeba chombo cha sadaka hakaogopi da watu yesu anarudi kamekaa mbele ya madhabahu ila siku za mwisho hatari sana uhuru wa siku za mwisho jaman yesu atarudi naogopa sana mwe naogopa sana nikisoma.biblia na tulivo tofauti
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 3 месяца назад
Ha ha haaaaa! Htr sn ! Shetan n mjnja sn, hakuzuii kwenda kanisan ila anahakikisha lazima akupe kufuru yake moja ambyo kw hyo tuu anauhakika hauioni mbngu, kupiga kelele kuruka hkumpi shida, yey anachojua , ukifny mapenz yke wew n wke ht km uwe mke wa nabii km huyo hpo mbele alovalia jezeberi wearng style sjui n ya kubust matiti au ya mabega waz yy anajua. Lkn yte hy htupasw kushangaa c UMESOMA JINA LA KANISA!? HV JNA HALIATHIR TABIA/ MATENDO YA MWENY JNA HLO?
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 3 месяца назад
@@chrisdeoglatias8665 na sasa hivi shetan anajua kanisa limemgundua ko analeta mawimbi mengi sana makanisan I'li kanisa likate tamaa ila atakatisha tamaa dini.sio kanisa kanisa limejengwa juu.ya mwamba.imara damu ya Yesu na loho mtakatifu yupo akiliongoza kwA kila kitu habari ya mavazi loho anasema kwA habali ya maisha loho.anasema.usiishi hivi kwA habari ya.vinywaji loho anasema usinywe.mapombe habari ya vyakula loho anasema usile.vyakula vya madhabahu ya kipepo.watu wanasema utajuaje loho anasema unakuta mtu anasema huyu jilani.kila.mwaka.anachinja.kondoo.ndio ma'ana anaweza.sikukuu.nyumbani pake ko.unajiepusha unajua.ni.mshilikina Mungu atufungue macho tuone kinachoendelea
@OswardalexandarbapafukeB-ty9oe
@OswardalexandarbapafukeB-ty9oe 3 месяца назад
Hata Mimi Nashangaa sijui wanasoma biblia Gani maana amevaa suluali alafu eti amekaa mbele ya mazabahu sijui anamuwakilisha shatani maana du ajabu.
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 3 месяца назад
@@OswardalexandarbapafukeB-ty9oe ninachoamini ni kwamba shetani anajua kuwa Mungu.amewafunulia.watu.wake siri sasa kainua watumishi wengiwengi maajenti wake wamefungua makanisa wanalahisisha.hakuna kuwakataza watu dhambi.nikukusanya.hela makanisa ambayo yana imani anatuma maajenti wake wavae wanavotaka wanywe.wanavotaka wafanye.wanavotaka.ili.mladi.wajae.kanisani heshima madhabahuni isiwepo ila islamiki wangekili.yesu.ni.bwana mm ningehamia.msikitini ma'ana makanisani shetani amewajaza malaya.wengi sijajua.ivi.hawajui.kuwa.suluari kwA mwanamke ni ukahaba mpaka.mtu.anaimba na suluari.kabisa.Mungu.atusamehe
@moseshaule586
@moseshaule586 3 месяца назад
Akuogope wewe kwani ndo uliyemfia msalabani.... au wewe ni mchungaji wake? Kila mtu abaki na malezi ya babaake wa kiroho... Wewe mbona huogopi kuandika jina Yesu kwa kuanza na herufi ndogo... hujafundishwa vizuri na babaako kwa kiroho?
@shantiMickel
@shantiMickel Месяц назад
Musaidia mayatima na wengine muwanunulia vyakula 😢😢😢😅😅😅
@LusekeloMwambene
@LusekeloMwambene 2 месяца назад
Mungu atusaidie 😭😭😭😭😭😭
@danielmrashani8710
@danielmrashani8710 3 месяца назад
Yesu akutunze Sana bishop masanja
@allenmlelwa7950
@allenmlelwa7950 3 месяца назад
Wapongo nikukosoa tu.kila kitu.tafuteni jela acheni umasikini.mtaenda jehanamu kwa kuhukumu kila kitu😂
@evajeremiemunkamba362
@evajeremiemunkamba362 3 месяца назад
What is this in church
@Namaize-lc8sh
@Namaize-lc8sh 3 месяца назад
Mmmh kama ni kweli basi Mungu akutangulie
@peterrulagora7403
@peterrulagora7403 3 месяца назад
Eti manabii😂😂,hao ni watabiri na waganga kwa mgongo wa jina la Yesu
@agnesdeogratius7018
@agnesdeogratius7018 Месяц назад
Kabisa kbisa hawana ata aibu
@agnesdeogratius7018
@agnesdeogratius7018 Месяц назад
Wanaendelea kujenga milango ya kuingilia freemason
@ElizabethMafie-m1g
@ElizabethMafie-m1g 2 месяца назад
Yaaay yaan sjaelewa mwanaume unapiga magoti au ni mm sjamuangalia vizur ooh ni siku za mwisho zijaribuni hizo roho 😂
@CleverGalaton-tz
@CleverGalaton-tz 3 месяца назад
Hahahaaa Masanja unapiga GIA za uwongo unataka uprrrrrrofesai kitu gani 😂😂😂
@judithminja770
@judithminja770 3 месяца назад
😂😂😂😂
@pumarice2710
@pumarice2710 3 месяца назад
Eeh, Mwenyezi Mungu tusaidie.
@WilbertChambilo-yl1kc
@WilbertChambilo-yl1kc 3 месяца назад
Duuh, kweli tutafute hela coz majungu cyo mtaji
@laurentraphael5470
@laurentraphael5470 3 месяца назад
Makanisa ya waabudu mashetani watakokota wengi kuzimu Freemason churches.
@TheresiaMwetitu
@TheresiaMwetitu 2 месяца назад
Mungu tusamehe hatujui tuyatendayo
@subirawasia5180
@subirawasia5180 Месяц назад
Mungu naomba nifundishe kukaa kimya madhabau za kweli wazijua ww
@Godishereforus
@Godishereforus 3 месяца назад
Glory be to God. Mtubu ndani ya siku 7, Mungu adhiakiwi, repentance and accept Jesus Christ in 7 days. Don't say you were not warned.
@deborahmchona5584
@deborahmchona5584 3 месяца назад
Nimemwona sijui wanamuita kiboko ya wachawi jmni 😭😭😭 Mungu tusaidie
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 3 месяца назад
Na atusaidi kwlkwel
@HappyFlowers-ee8ru
@HappyFlowers-ee8ru 3 месяца назад
Mmmh kweli basi nmehakikisha kuwa masanja siooooo kabisaaaa maana Giza na nuru havichangamani kiboko ya wachawi sio kabisaaa maana alisemaga hata utakatifu sio kazi yake kufundusha Wala muda wa kukemea dhambi Hana
@EZRA-b1c
@EZRA-b1c 3 месяца назад
​@@HappyFlowers-ee8ruYESU KRISTO A TUSAIDIE WAJA ZAKE
@K-go1qj
@K-go1qj 2 месяца назад
​@@HappyFlowers-ee8ruwote wanajoka hapo
@FrankJackson-m8e
@FrankJackson-m8e 3 месяца назад
Duuh mungu atujalie mwisho mwema jamani
@elizabethkisogole34
@elizabethkisogole34 3 месяца назад
Nilichogundua Masanja umejuankucheza na fahamu zao Kwa nafasi zao kuwacgomoa pesa
@NasraMrisho-z4o
@NasraMrisho-z4o 3 месяца назад
😂
@barnaba3037
@barnaba3037 3 месяца назад
Mungu atuokoe
@FamtamAli-vl2wx
@FamtamAli-vl2wx 2 месяца назад
😢😢😢😢😢😢😢😢😢😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭 Mungu wangu
@paulezekia1041
@paulezekia1041 3 месяца назад
Wwe hunahakiri unampagia mungu filimasoni hawanauwezo wakumzidi mungu acha kanisa lijegwe nawewe update kuokolewa nakunjua mtendo makuu yakilisto
@AdamusonKomba
@AdamusonKomba Месяц назад
Madevo ship wote umeona andiko loote happ
@AdamusonKomba
@AdamusonKomba Месяц назад
Mashetani wakubwaaaaaa wote wadogozake na popu wavatikani tuwaombeee Baazi yahoo wasichomwe watubu laki inikazi kutubu maanauliapa
@giftmed1a332
@giftmed1a332 2 месяца назад
I see my prophet kiboko za wachawi!! Say wooooyooo prophesize paapaa!!
@pielefrank4087
@pielefrank4087 2 месяца назад
Daah kumbe na lolinga nae ni walewale.!!!
@RehemaRehemaJosephbaraka
@RehemaRehemaJosephbaraka 3 месяца назад
Mungu awasaidie waache kufanya kazi za shetani wamu lidie yesu kristo atawa samehe
@MageseBasubukundi
@MageseBasubukundi 3 месяца назад
Masanja ubalikiwe
@HappyWilaganu
@HappyWilaganu 2 месяца назад
Naona wawakilishi wa yusufa mnajitowa madhabahuni mwa shetani sisi tulie wa mungu hamtuwezi mungu tunae muabudu ni wakwer ila nyie fanyeni hivo ila siku yenu ipo mtowa hukumu yupo mungu atulehemu😮😮😮
@jeraldjensen6504
@jeraldjensen6504 3 месяца назад
Kazi ya MUNGU isonge mbele , wenye hela ndo wanaoijenga nyumba ya Bwana tusio na hela kazi yetu ni kukoment😂😂😂😂
@DeogratiusAndrew-zi7zv
@DeogratiusAndrew-zi7zv 3 месяца назад
Ila masanja pia jifunze maana umekuwa ukiwashambulia sana manabii
@MfiriFulgensi
@MfiriFulgensi 3 месяца назад
Hapa and anataka hela
@HorizonLtd-ty7ep
@HorizonLtd-ty7ep 3 месяца назад
Anamaslai
@mbonicosmas5984
@mbonicosmas5984 3 месяца назад
DRESSING CODE. they put on red, black or white golden shinning garments as working uniform. it is never a coincidence. each color represents a spiritual rank that one has got, red being the highest.
@StevenFaustine-mb7qo
@StevenFaustine-mb7qo 2 месяца назад
Mafreemason awa Amna Cha mungu walaniwe
@PastorJosephTindo
@PastorJosephTindo 3 месяца назад
Polesana
@KabestarMusic-l2o
@KabestarMusic-l2o 2 месяца назад
Freee church dah
@rosekihawa8824
@rosekihawa8824 3 месяца назад
Mungu wa mbinguni akutumie zaidi mtumishi
@YohanaWanda-v7d
@YohanaWanda-v7d 3 месяца назад
Ivi kweli na ninyi ni kanisa la Mungu hilo ni kundi la wasanii Mungu hakai mahali pa jins hiyo
@RachelBahahazo
@RachelBahahazo 3 месяца назад
Anakaa sehemu gani?
@RajabuHayyan
@RajabuHayyan 3 месяца назад
😅😅😅😅​@@RachelBahahazo
@RajabuHayyan
@RajabuHayyan 3 месяца назад
Anakaa wap😅
@peterrulagora7403
@peterrulagora7403 3 месяца назад
Ndio roho mtakatifu hayupo hapo labda nguvu za majini
@StephenZangira
@StephenZangira 2 месяца назад
Eh Mungu wa Abraham tunusuru🙏🏼
@ClaudineHARERIMANA-d8y
@ClaudineHARERIMANA-d8y 3 месяца назад
Hahaa izo makanisa jamani niku lomba lomba mavazi na pesa shida😢😂😂
@dafrosamonko8254
@dafrosamonko8254 3 месяца назад
Ni nini hichi
@JOHAIVENY
@JOHAIVENY 3 месяца назад
Wamevaa ngozi ya kondoo kmbe chui mi cijuhi ila yeye tu aliye juu
@jumakihiyo
@jumakihiyo 3 месяца назад
Genge la wahuni tu hilo
@VictorJohn-fu7ch
@VictorJohn-fu7ch 3 месяца назад
Wow❤❤❤
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 3 месяца назад
Ni muda sahihi sasa serikali kuanza kupata kodi kwa haya makanisa wachangie kulijenga taifa...ngoja niandae waraka nimtumie waziri wa fedha
@neemamwanga407
@neemamwanga407 3 месяца назад
Jamani wanaume nao wanapiga magoti😂😂
@agnesdeogratius7018
@agnesdeogratius7018 Месяц назад
Mimi mwenyew sijawai ona mwanaume anapiga magoti tena anampigia mwanaume mwenzie
@mastermurundidon1431
@mastermurundidon1431 3 месяца назад
Huwo niujinga,wanawarubuni,wanawaiba,wanawafanya mbumbumbu,hivi ninyi wa Tanzania nani kawaloga hadi stage hiyo
@josephkaveya4284
@josephkaveya4284 3 месяца назад
Masanja mjanja amewachezea kekundu
@FlorensiaMkombozi-et1ts
@FlorensiaMkombozi-et1ts 3 месяца назад
Manabii tunao ila niwachache waache kutumia wanyama watu kujinufaisha wao wanasema wanyama mavi Mungu amechoshwa na matedo yao madhabahu wanazoabudia Yesu ana kwenda kuziwasha moto niwambia ukweli zitawaka moto kwa Jina la Yesu
@MjumbeAgano
@MjumbeAgano 2 месяца назад
Mwisho wa manabii wa UONGO umefika, Mungu hakai kwenye majengo, jifunze kwa mjumbe wa agano duniani uingie kwenye ufalme uepukane na dhiki kuu inayoujilia ulimwengu wote fuatilia you tube MJUMBE AGANO upate semina ya ukamilifu wa kristo.
@K-go1qj
@K-go1qj 2 месяца назад
Freemason wote hao
@WillySonny-u1k
@WillySonny-u1k 2 месяца назад
Tuweni macho sio kila atajae jina la bwana anamwakilisha bwana kweli wengi ni wachawi
@evodiajohn7991
@evodiajohn7991 3 месяца назад
Tafuta hela wacha kuhukumuhuku
@GraceOtieno-vo3sj
@GraceOtieno-vo3sj 2 месяца назад
Usi waone hao......Wana hubiriiii........ukadhani wote ni wa ukweli.....usisikie wote waotabirii ukadhani wote ni wa ukweli
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 3 месяца назад
Uganga mtupu wapinga Kristo Yesu wote
@RehemaMtono
@RehemaMtono 3 месяца назад
Na zumaridi
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 3 месяца назад
@@RehemaMtono ukweli mtupu Mungu ktk Kristo Yesu akubariki kwa kujuwa kweli
@RehemaMtono
@RehemaMtono 3 месяца назад
@@BeniJohn-xd3cn manabii wa kuzimu hao woote
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 3 месяца назад
@@RehemaMtono Asante Sana ndungu yangu ktk Kristo Yesu ubarikiwe Sana kwa kujuwa kweli na kweli imekuweka uru🙏🙏
@prophetDanielyMwanisenga-bk8cc
@prophetDanielyMwanisenga-bk8cc 3 месяца назад
Wewe unashingap
@AbsalomMwamaloba
@AbsalomMwamaloba 3 месяца назад
Kinacho sikitisha TRA wamekomaa na maduka kudai mapato na kupandisha kodi ,ila matapeli kama Hawa wanaachwa huru 😢 . Endeleeni na uganga wenu huo Atakuja mwana wa Adamu kumlipa Kila mtu .
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz 3 месяца назад
Etijamani
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz 3 месяца назад
Masanja. ameingia kingi
@WinbirdFrancis
@WinbirdFrancis 3 месяца назад
Jamani nyakati za mwisho zinatimia
@teyllalugazia
@teyllalugazia 2 месяца назад
Acha tu nionekane nahukumu jamani ila hapo ni uhuniuhuni tu, watu wa Mungu tulieni kwenyeadhehebu yenu
@GideonMsengi
@GideonMsengi 3 месяца назад
Masanja😂😂😂😂😂😂
@BuzaTandika
@BuzaTandika 3 месяца назад
Siyo freemason ni upendo wa mungu😊
@BartolomeuHenrique-mx1fn
@BartolomeuHenrique-mx1fn 3 месяца назад
Duh massanja Nini????umepotea
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 3 месяца назад
Amekosekana Mzee wa Kenya na Mzee wa Arusha Ezekiel na Jodevi
@mwana3887
@mwana3887 3 месяца назад
Geordavie ni royal anafuata kanuni na taratibu za kinabii nabii hawezi Kuwa Kila sehemu lazima ajichukue Kwa nidhamu na pia kutokana na uongoziwa roho wa Mungu(Mtakatifu)
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 3 месяца назад
@@mwana3887 angekuwa anafanya show ya mavazi kanisani si ushetani tena ya kike na wanapita mbele yake ata wewe pia uoni kuwa uwo ni shetani
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 3 месяца назад
@@mwana3887 ni wa Mungu gani uyo Roho Mtakatifu ni Mungu mwenyewe awezi kuruusu ujinga kama uo unajuwa Maana ya Roho Mtakatifu wewe
@BeniJohn-xd3cn
@BeniJohn-xd3cn 3 месяца назад
@@mwana3887 kuwa makini na kusema anaongozwa na Roho Mtakatifu tena fanya toba uombe rehema upesi Sana utapita kwe wakati ngumu kwa kumshrikisha Roho Mtakatifu kwenye ujinga na ushetani
@ashasalim612
@ashasalim612 3 месяца назад
Kabla hujambeza mwenzako au kumsema vibaya jichunguze kwanza je wew ukosahihi kwakila kitu MUNGU atusamehe
@danielbrizzy
@danielbrizzy 3 месяца назад
mbalikiwe sana
@RitaLameck
@RitaLameck 3 месяца назад
Jamani mwenzetu mpo ukweli? Mbele ya kiti cha enzi iko kazi siku ile ya mwisho.
@jamalmanishi7282
@jamalmanishi7282 Месяц назад
Iwewe isiwe mtaripa garamaya Roho zawatu mnazopoteza
@ednakawau9842
@ednakawau9842 2 месяца назад
😂😅😂😂
@mariapendael626
@mariapendael626 3 месяца назад
Eee mungu wangu maanget sasa wako hadharani tena wanatumia jina la yesu 😭😭huyo ni yesu gani hata hivyo? Labda yesu wa yezeberi laana na iwe juu yao
@godlovemrosso5973
@godlovemrosso5973 3 месяца назад
Chaaaa uyana chu ngachoooka Kama Mungu yupo basi atatenda yenye haki maana yy ndo anaona yaliyo sirini
@daudiazizi8495
@daudiazizi8495 3 месяца назад
Nanyie si muigize muwe wa uongo mpate hela,watazidi Kubarikiwa.achen kuaonea wvu
@EzekiaMtwale
@EzekiaMtwale 3 месяца назад
acha ujinga WEWE, wanawaonea wivu kwa lipi?! hayo maigizo?!!
@patrickmunishi2277
@patrickmunishi2277 3 месяца назад
AKUNA MANABII TZ ILA KUNA WANAOTIMIZA UNABII
@JustinMkumbwa
@JustinMkumbwa 3 месяца назад
Wakiristo tuwen makinisana hiimizaha katka Kaz ya MUNGu mh najua watu wa mungu wapo tuingie kwenye maombi shetan anapambana kulivunja kabisa la bwana
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 3 месяца назад
N kwl unajua sasahv shetan katuletea maisha ya ubz na uviv, wat hatusomi Neno, hvyo adui hutumia kutojua/ ujnga wetu kutnda kaz yke kw kivuli cha Mungu. Tumesahau kuwa WALA UPUUZI au utani au midhaha, kamwe hvtakiw kusikika wala kufnyw na mtumsh wa kwl wa Mungu ila wale wa upnde wa pili aaah ht kukmbia madhabhun sio ttzo au kuleta commed sio ttzo!
@NizerMgombele-xn5hb
@NizerMgombele-xn5hb 3 месяца назад
Kila manabii ni wa uongo hvyo hakuna wachungaji wa uongo huu ni upumbavu mjue mungu ndo maana liko neno linasema ukishakuwa na roho mtakatifu utazipima roho kujua zimetoka wapi usilopokelopoke tu , mara nyakati za mwisho unazijua hzo nyakati na maana yake ,shauri jambo unalofahamu usilalamike 2 kama hujui kitu jifunze kumjua mungu utapotosha watu mpende mungu na uwe mwaminifu kwake utabarikiwa sana
@chrisdeoglatias8665
@chrisdeoglatias8665 3 месяца назад
@@NizerMgombele-xn5hb Kwan shida iko wp? Usemalo nisawa ila sjajua kwa vdeo hii uko upnde upi? Au wewe unafikir manabii wa uongo mpk waweje?
@ElizaphanKamando
@ElizaphanKamando 3 месяца назад
Hii pesa bhana duuh hamna utumishi hapo ni usanii tu
@ThomasMgaya-y1r
@ThomasMgaya-y1r 2 месяца назад
Mimi Napitatunamabegiyangu
@maryinyas9320
@maryinyas9320 3 месяца назад
Hakika Timothy alisema hata yatatokea, tunayaona live.... Roho zidanganyazo.....
@MlyakadoHassan
@MlyakadoHassan 3 месяца назад
Jamani hebu tujiulize yakwetu
@costofamily4861
@costofamily4861 2 месяца назад
Usihukumu pasipo kuhukumiwa, Ogopa neno hili, acha kujihesabia haki imagine ww ndo ungekuwa nabii hapo
@philomenastephen3364
@philomenastephen3364 3 месяца назад
MASANJA NISAIDIE HATA KA LAKI 5 TU JAMANI.
@florapeudy3963
@florapeudy3963 3 месяца назад
Mwee😅 unajua kupamba watu hataka hawataki watatoa tu
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm
@RwegasiraHelmanBENJAMIN-lj7lm 3 месяца назад
Mbon hamjamwalika yule nabii anae gawaga pesa?
@kadejahh4036
@kadejahh4036 3 месяца назад
Yupo apo
@jumazamoyoni3745
@jumazamoyoni3745 3 месяца назад
Usimnyooshee kidore. Mtu mana. Vingine vyarundi kwako acheni kukosoa azisheni nanyinyi
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 3 месяца назад
Watu wasio na hela utaona comment zao tu😂😂😂 jamani hela inaondoa hasira
@festinamwakipale3919
@festinamwakipale3919 3 месяца назад
@@warakawayohana2896 usisahau hela inaondoa akili wengi.wenye.hela.kama wamepata.hela.haraka wanakuwa.hawana akili.ko.kama hela.inaondoa.hasira b yake.huondoa.ufahamu.na.akili.asilimia wengi wenye hela hawafikilii.ndio ma'ana wengine wanakufa.kaa mbwa
@MasanjaTVgospel
@MasanjaTVgospel 3 месяца назад
😆😆😆
@peterrulagora7403
@peterrulagora7403 3 месяца назад
Nani kakwambia Kila anayechangia mada hana pesa?
@warakawayohana2896
@warakawayohana2896 3 месяца назад
@@peterrulagora7403 hata wewe Huna?😂😂😂
@WTC492
@WTC492 3 месяца назад
Maprophet ni shidaa
@BYAMUNGUGERLASMASHAURI
@BYAMUNGUGERLASMASHAURI 3 месяца назад
Umoja wa manabii wa uongo kwa kutamani kuwavuta watu kwa shetani. Wote hawa sio watumishi wa kweli basisa kabisa.
@StevenMwannega
@StevenMwannega 3 месяца назад
Mliambiwa mtawatambua kwa matendo yao,nashukur kwa sabab nimekumbukalisem hiz nyakati zitafik inadhihilisha izo nyakat ndio hiz sasa,,,,.
Далее
MASANJA  HADHARANI FATILIA MPAKA MWISHO
24:02
Просмотров 733 тыс.
MTOTO WA MRISHO MPOTO AWALIZA VIONGOZI KWA UCHUNGU
17:36
ATOLEWA JINI NA KUINULIWA KIUCHUMI .
14:31
Просмотров 77 тыс.