Mungu nakuomba unipe uyu mtumishi wako ili awe Baba yangu wa kiroho anifundishe kukutii ww na nikutumikie mpaka mwisho wa maisha yangu niziache njia zangu mbaya nikugeukie ww muumbaji was mbingu na nchi.
Mchungaji Magembe wewe ni mmojawapo wa wachungaji wachache sana mlio salia hapa duniani. Mungu akutie nguvu na umri mrefu ili uendelee kuifanya kazi ya Mungu.
Wazee wa mfano huu ni adimu sana Kwa kizazi hili,sisi tuliobahatika kupata mafundisho tumerithishwa Kwa mwendelezo wa kuchunga kanisa na watu wa Mungu.... HALELUYA mtumishi wa Mungu.
Safi sana.mtumishi wa mungu mungu aliye hai anaishi napenda kumtafakali mimi namuona nimzee wameka niwasikunyingi hakuna wakufana yeye nampenda sana ❤❤❤❤❤❤❤
Mungu akubariki sanaaaaaa..,,,,Watu watubu Dhambi wamrudie Mungu..,,Wokovu si kimbilio la kupata mafanikio ya kidunia..., Nanukuu maneno ya Askofu wa kwanza wa TAG Tanzania (Emmanuel Lazaro) "Mimi siwahubirii mafanikio, nyie mliumbwa kufanikiwa tangu mwanzo..." Wakristo Turejee huu mstari tutaelewa kwanini Mungu hajibu Maombi yetu. Isaya 59:1-2
BWANA YESU kRISTOR akubaliki sana mtumishi wa MUNGU BWANA YESU kritor aliye hai ubarikiwe akuongezee siku za kuishi ili injili kama hii tuendelee kuisikia maana vijana wa kisasa hawaelewi injili iliyo sahihi ni ipi na kuombea maisha malefu MUNGU muumba mbingu na Nchi akupe maisha malefu Baba yangu
Barikiwa sana Mjoli wa Bwana 🙏 🙏 akika nimebarikiwa nimeona ukinipigisha atua kwenye uduma yangu nanisema nimechukiwa na wengi kupitiwa hii clips kwenye magroup ya kiroho ila fanya kazi baba hata Yesu aliposema kweli wengi walimchukia dah ninamengi sana ila Mungu akubariki mno🤝🤝🙏🙏
Ufunuo. Wa Yohana. alionyeshwa. Kuwa kutakuwa nawahubiri wenyekujitukuza kuwa wametumwa na Mungu kufanya miujiza lakini tahadhari ikatololewa watavaa ngozi zakondoo lakini ni mbwa mwitu! Tutafakari. Wakristo mbwa Huyo humula mnyama akiwa jai mpaka anakufa. analiwatu tena wanakuwa wengi. Sana tujifunze kwa Huyo mchungaji au some I kitabu chaufunuo vinginevyo mbinguni kuingia! Labuda!!!!
Baba ubarikiwe sana hii ndio injili ninayo itafutasana kwa sasa maana hata mimi nilipotea baba nahitaji kupona unanibariki sana,ubarikiwe sana Mungu azidi kukupa uhai
Asante jactani kwa kutuletea congamano hili maana kiukweli limenibariki ,ombi langu kwako utuletee kongamano lote kuanzia siku ya kwanza hadi siku ya mwisho pia utuwekee hadi mwisho wa maombi maana tujifunze na kuombewa pia usikate muda wa maombi ,asante
Bwana yesu asifiwe ukweli ndio huu na ukweli huweka watu huru mungu anasema tunapotea kwa kukosa hekima na marifa mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
Asante sana mtumishi wa bwana kwa ujumbe wako mzuli ambao umeuandaa mungu wambinguni akupe neeema kubwa kwa ajili ya maneno yake watumishi wa sasa ni wachache ambao wanaotoa meseji ya hivyo walisha baki toa ubalikiwe mala nimeona nyota yako imeibiwa mala nimeona kabuli kiukweli acha mungu akutumie ktk viwango vikubwa amen🎉
Ahsante.Nabarikiwa sana na huyu mtumishi yuko wazi na injili ya motomoto isiyogoshiwa.Mungu aendelee kumtunza azidi kuliamsha kanisa la leo na la hapo mwanzo.
Amen niombee na mimi Mchungaji nko na.vita ya kiroho maishani na Familia yangu pia magonjwa na issues zinazo fuata mfano watu wafamilia yetu ni ngumu kupata ndoa changamoto za kiuchumi etc
Mchungaji, naandika tu sijui hata kama unaweza kunijibu. Kuna wimbi la watumishi wa Mungu manabii wanaodai kukutana ana kwa ana na Bwana Yesu na akawafunulia mambo ya mbinguni na kuzimu. Wanatushirikisha mambo mengi kuhusiana na maono/mafunuo waliyopata. Moja ya mambo wanayotuambia Bwana Yesu aliwatuma kuonya kuhusu Wanawake kujipamba, kwamba, wanawake wanaojipamba (kuvaa vitu bandia kama wigi, kucha, kope; kujichubua rangi ya ngozi, heleni, bangiri, shanga, n.k.) kamwe hawatoingia katika Ufalme wa Mbinguni. Nawaona baadhi ya wanawake unaowahubiri hapo wapo hivyo. Jambo hili limekaaje Kiongozi wangu.
Praise be the name of God I just came across with this clip when was looking for a true word of may God keep u burning 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 the Gospel am blessed..... N kweli mchungaji
@@willisonrushenza7427 Mungu aliyehai huandikwa kwa herufi zote kubwa au ya kwanza. Ukiandika herufi ndogo kama ulivyoandika ujue unazungumzia mizimu. Ubarikiwe
Mutumishi wamungu,mungu akusaiidiye sn uwedeleye kuhubiri manone mazuri kama haya napiya akuongeziye miaka yakuiishi ili utuokowe mubitedon bibaya amen.
Mchg unavumri gani ? Umesema una miaka hamsini katika huduma tukiongeza umri wa uganga hadi kusoma na kumaliza naona inafika zaidi ya sabini lakini nakuona unakimbia mbio za kijana kabisa. Ubarikiwe Baba!
Asante sana mtumishi, nimebarikiwa sana kwa kweli, watu sk hizi wanapenda kula vitu laini wanakataa kula makande,! Ooooo YESU tusaidie watoto wako, uyu mchungaji anapatikana wapi,? Jamani injili kama hii wanao ipokea ni wachache. Asante asante isaya 42; 22 ameni