Тёмный

TAZAMA VIDEO NZIMA YA YULE MCH.ANAEWACHANA LIVE WABABAISHAJI "Hutaki nenda kwanza sijakuita" 

PROMOVER TV
Подписаться 154 тыс.
Просмотров 618 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

17 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 787   
@HadijaHsalehe-z4k
@HadijaHsalehe-z4k 3 дня назад
Hii ndiyo Injili ya Kristo inatenganisha mifupa na nyama,maji na mafuta....kutoa utu wa kale na kuvaa utu mpya...Be blessed servant of God
@Spark8Technoo
@Spark8Technoo 3 месяца назад
Mungu nakuomba unipe uyu mtumishi wako ili awe Baba yangu wa kiroho anifundishe kukutii ww na nikutumikie mpaka mwisho wa maisha yangu niziache njia zangu mbaya nikugeukie ww muumbaji was mbingu na nchi.
@justamwesiga1877
@justamwesiga1877 3 года назад
Mungu azidi kukutumia kwa viwango vya juu zaidi baba yangu wa kiroho..pia Mungu akupe maisha marefu zaidi
@FlorahMuhonja
@FlorahMuhonja 13 дней назад
Hak I God bless you kwa kunionyesha njia ya kwenda mbinguni be blessed
@martinakyoo148
@martinakyoo148 Год назад
Bwana Yesu azidi kukutumia kwa utukufu wake Mzee wetu Mch Mose's Magembe ,siku zote jumbe zako zinanibariki.
@elizabethmgassa7243
@elizabethmgassa7243 11 месяцев назад
Mungu akubariki sana baba yangu mpendwa..unaisema kweli tena unakemea kabisa.barikiwa sana baba.
@marykibwana9413
@marykibwana9413 3 года назад
Barikiwa baba, Mungu aendelee kukutumia kanisa lipone. Gonga like kama unakubali maneno yangu.
@absalimlufyagile4974
@absalimlufyagile4974 3 года назад
Hongela sana kwa mafundisho mazuri ambayo ni hadimu sana kwa kizazi Cha leo
@isaacmolllah9451
@isaacmolllah9451 3 года назад
Nakubaliki
@beatricewanjiku4078
@beatricewanjiku4078 Год назад
wambie ukweli barikiwa mhungaji
@EmmyLungwe-pi1oi
@EmmyLungwe-pi1oi Год назад
, God bless you pastor
@mamacherie2103
@mamacherie2103 Год назад
​@@isaacmolllah9451😮😮99y😮😮😮 33:28
@venancemwanya4212
@venancemwanya4212 2 года назад
Mchungaji Magembe wewe ni mmojawapo wa wachungaji wachache sana mlio salia hapa duniani. Mungu akutie nguvu na umri mrefu ili uendelee kuifanya kazi ya Mungu.
@juliussabuni2033
@juliussabuni2033 2 года назад
Mzee Magembe uko wap I? Nataka kujifunza kwako
@agnesspaul1866
@agnesspaul1866 Год назад
❤❤❤❤nimeamini watu mkiwa na hofu ya Mungu mnafanana Mungu awe nawe baba
@irenemunuo1710
@irenemunuo1710 3 года назад
Mungu akupe miaka mingi ya huduma mtumshi wa Mungu. Mungu azidi kukutumia katika shamba lake.
@romanmwaisela
@romanmwaisela Год назад
Wazee wa mfano huu ni adimu sana Kwa kizazi hili,sisi tuliobahatika kupata mafundisho tumerithishwa Kwa mwendelezo wa kuchunga kanisa na watu wa Mungu.... HALELUYA mtumishi wa Mungu.
@ednaabyudi8465
@ednaabyudi8465 6 месяцев назад
😊
@mtesingwanyanguri3431
@mtesingwanyanguri3431 3 месяца назад
Mchungaji Magembe,mafundisho yako ni adimu Sana kuyasikia kwa wachungaji wengine.Mungu akuzidishie afya baba, Endelea kuwaamsha watu waujuwe ukweri.
@PeterMahona-zd3oz
@PeterMahona-zd3oz День назад
Safi sana.mtumishi wa mungu mungu aliye hai anaishi napenda kumtafakali mimi namuona nimzee wameka niwasikunyingi hakuna wakufana yeye nampenda sana ❤❤❤❤❤❤❤
@bobnassa6151
@bobnassa6151 3 года назад
Am not Christian but this pastor is truly touch my heart, Glory to God & we are all brothers & sisters 🙏
@this.is.aaliya7395
@this.is.aaliya7395 3 года назад
May the Lord touch you soul in Jesus Name and may the Holy spirit réveil himself in you bless you brother
@monicabh1668
@monicabh1668 3 года назад
I pray for you brother one day Our living God will touch your soul 🙏🙏🙏
@sammymasinde373
@sammymasinde373 2 года назад
Okoka brother
@harrietkiden7808
@harrietkiden7808 Год назад
Brother Bob Nassa, may the Holy spirit continue to touch your heart and get more revelation
@imangunjaimangunja
@imangunjaimangunja Год назад
@@monicabh1668 0l
@JAMESMUTUNGI-o3b
@JAMESMUTUNGI-o3b 2 месяца назад
Thanks mtumishi,glory returns to jesus...the church needs revival.
@jimmyfund1502
@jimmyfund1502 3 года назад
Mungu akupe maisha marefu zaidi ili tujifunze zaidi kwako.
@JamesPaulo-x3z
@JamesPaulo-x3z Месяц назад
Mungu akujalie baba yangu mussa, azidi kukulinda na kukutunza.
@christsontarimo5803
@christsontarimo5803 3 года назад
Mungu akubariki sanaaaaaa..,,,,Watu watubu Dhambi wamrudie Mungu..,,Wokovu si kimbilio la kupata mafanikio ya kidunia..., Nanukuu maneno ya Askofu wa kwanza wa TAG Tanzania (Emmanuel Lazaro) "Mimi siwahubirii mafanikio, nyie mliumbwa kufanikiwa tangu mwanzo..." Wakristo Turejee huu mstari tutaelewa kwanini Mungu hajibu Maombi yetu. Isaya 59:1-2
@mediavumbi9243
@mediavumbi9243 Год назад
Asante sana muchungaji kwa Neno,umenirudisha kwa misingi ya Neno la Mungu, ubarikiwe sana
@VeronicaMacha-pl3xt
@VeronicaMacha-pl3xt 9 месяцев назад
Piga kazi babaaa wewe ni katika wachache mnaotulisha maziwa yasiyoghoshiwa Mungu akubarik🙏🙏🙏
@micamathew2595
@micamathew2595 3 года назад
Bwana Mungu atutie nguvu jmn!!! Nimeguswa sana na mahubiri ya huyu mchungaji!! Jmn Bwana Yesu asifiwe sana
@IREENNTIJE
@IREENNTIJE 9 месяцев назад
Asante baba ubarikuwe mno hiyo ndiyo injili ya wa TAG
@nominetjacob8137
@nominetjacob8137 9 месяцев назад
BWANA YESU kRISTOR akubaliki sana mtumishi wa MUNGU BWANA YESU kritor aliye hai ubarikiwe akuongezee siku za kuishi ili injili kama hii tuendelee kuisikia maana vijana wa kisasa hawaelewi injili iliyo sahihi ni ipi na kuombea maisha malefu MUNGU muumba mbingu na Nchi akupe maisha malefu Baba yangu
@prosperprosper3192
@prosperprosper3192 3 года назад
Barikiwa sana Mjoli wa Bwana 🙏 🙏 akika nimebarikiwa nimeona ukinipigisha atua kwenye uduma yangu nanisema nimechukiwa na wengi kupitiwa hii clips kwenye magroup ya kiroho ila fanya kazi baba hata Yesu aliposema kweli wengi walimchukia dah ninamengi sana ila Mungu akubariki mno🤝🤝🙏🙏
@SimonAkyoo
@SimonAkyoo 2 месяца назад
Ubarkiwe mtumishi unaongea ukwel kabisa
@AngelBayo-p5u
@AngelBayo-p5u Месяц назад
Asante Mungu hakika wanahitaji kuwa na wachungaji wenye msimamo namna hii, ubarikiwe mno mtumishi wa Mungu
@charlesgasper2243
@charlesgasper2243 3 года назад
Ufunuo. Wa Yohana. alionyeshwa. Kuwa kutakuwa nawahubiri wenyekujitukuza kuwa wametumwa na Mungu kufanya miujiza lakini tahadhari ikatololewa watavaa ngozi zakondoo lakini ni mbwa mwitu! Tutafakari. Wakristo mbwa Huyo humula mnyama akiwa jai mpaka anakufa. analiwatu tena wanakuwa wengi. Sana tujifunze kwa Huyo mchungaji au some I kitabu chaufunuo vinginevyo mbinguni kuingia! Labuda!!!!
@SabinaEzekiel-vb5nh
@SabinaEzekiel-vb5nh 5 месяцев назад
Amina, nampenda sana mchungaji huyu, Mungu ampe maisha marefu.
@VioletMbezi
@VioletMbezi 9 месяцев назад
Baba ubarikiwe sana hii ndio injili ninayo itafutasana kwa sasa maana hata mimi nilipotea baba nahitaji kupona unanibariki sana,ubarikiwe sana Mungu azidi kukupa uhai
@mayelegeneral
@mayelegeneral 7 месяцев назад
Mzee ubarikiwe na munguwetu
@cristianoprincegabrielles3951
Barikiwa Mtumishi Wa Mungu aliye Juu..... Bwana Yesu akutendee Mema Baba Mchungaji Magembe
@VertasiaMatimbwi
@VertasiaMatimbwi Месяц назад
Mungu azidi kutumia katika viwango vya juu zaidi ili kukomboa kizazi hiki asante Mungu Kwa utumishi wa huyu mchungaji
@mossesezekiel7862
@mossesezekiel7862 9 месяцев назад
Amina mtumishi wa MUNGU sema tupone! Heleluya Bwana YESU asifiwe sanaa
@gloryurio1213
@gloryurio1213 3 года назад
This is a true servant of God, Mzee Mungu akupe nguvu
@richardesther6738
@richardesther6738 3 года назад
Asante jactani kwa kutuletea congamano hili maana kiukweli limenibariki ,ombi langu kwako utuletee kongamano lote kuanzia siku ya kwanza hadi siku ya mwisho pia utuwekee hadi mwisho wa maombi maana tujifunze na kuombewa pia usikate muda wa maombi ,asante
@PromovertvTz
@PromovertvTz 3 года назад
Amen, ntafanya hivyo
@NyotaMahuvi
@NyotaMahuvi Месяц назад
Balikiwa sana mnapatikana wapi​@@PromovertvTz
@GhislaineMuhindo
@GhislaineMuhindo 2 месяца назад
Mungu akubariki mtumishi wa Mungu.akuongezeye miaka mingi zaidi ya miamoja.unatufundisha mafundisho Mazuri sana.❤
@annamwaipopo9485
@annamwaipopo9485 3 года назад
Nimebarikiwa sana kwa neno lako Mungu akupe maisha marefu na akubariki mchungaji wetu
@ElizaCharles-qj4he
@ElizaCharles-qj4he 26 дней назад
🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏barikiwamtu.mishi
@ModesterSakyambo
@ModesterSakyambo Год назад
Amina baba endelea kutusahihisha maanake Kuna waumin hatujui tumetoka wapi. Mungu akubarik baba
@graytonndamgoba4805
@graytonndamgoba4805 Год назад
There is authority in this man when he speaks.Haleluja
@FrancisMwamboma-g6c
@FrancisMwamboma-g6c 9 месяцев назад
Asante baba iyo ndio injili apaswa buhubiliwa na watu wote
@Nacy-vt5yb
@Nacy-vt5yb 2 месяца назад
Bwana yesu asifiwe ukweli ndio huu na ukweli huweka watu huru mungu anasema tunapotea kwa kukosa hekima na marifa mungu akubariki sana mtumishi wa Mungu
@fredrickbaijukya2800
@fredrickbaijukya2800 2 года назад
Mungu akupe maisha marefu ili uzidi kufundisha Neno la kweli maana kanisa limeishajichanganya.
@MESHACK-yk6lj
@MESHACK-yk6lj 2 месяца назад
Kbsaaa
@joemunyasya7958
@joemunyasya7958 3 года назад
Nimependa xana mafunzo yako Rev .moses magembe am revived already fire is burning in me may the Lord keep u and bless u pastor
@siboniobubinga4523
@siboniobubinga4523 3 года назад
Ni mm peke angu namuona ....kafanana Na marehemu Mengi au daaah.,..Ujumbe mzur saaana Be blessed😍
@linahselestina6025
@linahselestina6025 3 года назад
Hata mimi naona hvy
@PhilipoNjau
@PhilipoNjau 3 месяца назад
Yap, copy right Mzee Mengi
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 3 месяца назад
Not even close wewe una makengeza
@sammymasinde373
@sammymasinde373 2 года назад
God bless you for the wonderful massage
@nemaodhiambo7274
@nemaodhiambo7274 3 года назад
Powerful message We all need repentance
@alfredmwangi9640
@alfredmwangi9640 2 года назад
Powerful n practical, oh God revive us again !
@AbedinegoSteven
@AbedinegoSteven Год назад
Asante sana mtumishi wa bwana kwa ujumbe wako mzuli ambao umeuandaa mungu wambinguni akupe neeema kubwa kwa ajili ya maneno yake watumishi wa sasa ni wachache ambao wanaotoa meseji ya hivyo walisha baki toa ubalikiwe mala nimeona nyota yako imeibiwa mala nimeona kabuli kiukweli acha mungu akutumie ktk viwango vikubwa amen🎉
@AbedinegoSteven
@AbedinegoSteven Год назад
Asante sana
@ElizabethNgusway
@ElizabethNgusway Месяц назад
Ooh mungu akubariki mtumishi wa mungu hakika mimi na barikiwa sana
@AmosWangese-mk9yy
@AmosWangese-mk9yy 9 месяцев назад
Thank you pastor be blessed
@charitymwema6604
@charitymwema6604 Год назад
This is the man of God who was my friends mentor the late Peter and he went to be with Lord while serving God. Thank you man of God.
@noelmbosa2736
@noelmbosa2736 Год назад
Amina baba wapo watumishi wasiojua wajibu wao ni majungu tu madhabahuni hawajui ni ofisi ya Mungu madhabahu!inashangaza sana nimekuelewa sana baba.!
@YoungsHilary-xd2ml
@YoungsHilary-xd2ml 10 месяцев назад
Nimebarikiwa sana ,Asante Mtumishi wa Mungu
@cresensiankwera1776
@cresensiankwera1776 Год назад
Nimebarikiwa Sana na mahubiri ya baba mchungaji🙏🙏🙏👏👏
@victorwilbard2585
@victorwilbard2585 3 года назад
Asante sana kwa mahubiri mazuri. Nimefarijika sana kumuona Baba yangu Mch.Urassa.
@paulntafatilo
@paulntafatilo 10 месяцев назад
God bless u preacher for the preaching you provide,
@shabanimbwambo7297
@shabanimbwambo7297 9 месяцев назад
Asante sana mwinjilishi umegusa sehem sahihi
@ElishaWilson-c7p
@ElishaWilson-c7p 3 месяца назад
Barikiwa sana baba na Mungu akupe umri mrefu zaid
@raphaeldaud532
@raphaeldaud532 3 года назад
Karibu kwenye mkutano wa injili unakaoaza tarehe 20-12-2020 hadi tarehe 03-01-2021 kanisa la TAG Majumbasita kwa mchungaji Magembe. Wote mnakaribishwa
@lightnesskantu523
@lightnesskantu523 3 года назад
Ahsante.Nabarikiwa sana na huyu mtumishi yuko wazi na injili ya motomoto isiyogoshiwa.Mungu aendelee kumtunza azidi kuliamsha kanisa la leo na la hapo mwanzo.
@raphaeldaud532
@raphaeldaud532 3 года назад
@@lightnesskantu523 Amen.. Usikose kufika kwenye mkutano. Ubarikiwe sana
@hansondaniel-nb2jn
@hansondaniel-nb2jn Год назад
Nampenda sana huyu mzee mungu amuweke hai
@elienew3788
@elienew3788 Месяц назад
Amen niombee na mimi Mchungaji nko na.vita ya kiroho maishani na Familia yangu pia magonjwa na issues zinazo fuata mfano watu wafamilia yetu ni ngumu kupata ndoa changamoto za kiuchumi etc
@BaloziAron-ff1ly
@BaloziAron-ff1ly 6 месяцев назад
I'm blessed sana Mungu akubariki sana
@nickodemsimchimba594
@nickodemsimchimba594 3 года назад
Nimetokea kumpenda Sana huyu Baba,ana neno la kweli moyoni! Amembeba Mungu alie hai!
@titogood3002
@titogood3002 3 года назад
Amina
@valentinandukuvalentinandu4779
@valentinandukuvalentinandu4779 3 года назад
true
@jamsonjasson7591
@jamsonjasson7591 10 месяцев назад
Wewe umesema amembeba MUNGU ila sio MUNGU,,
@WilsonNiwagila-fh7pu
@WilsonNiwagila-fh7pu 10 месяцев назад
Anasema ukweli. Tuhubiri NENO Sio maneno. Tujue historia yetu, Tutambue wakati huu Mungu anataka tufanye nini Na Maadalizi ya kesho no yapi?
@adennashon
@adennashon 8 месяцев назад
Mungu akutunze na kukuongeza miaka.
@PETERNKUFYA
@PETERNKUFYA 8 месяцев назад
Baba Mungu akubariki sana unafundisha sijapata kuona
@pirminmatumizi5464
@pirminmatumizi5464 Год назад
Mchungaji, naandika tu sijui hata kama unaweza kunijibu. Kuna wimbi la watumishi wa Mungu manabii wanaodai kukutana ana kwa ana na Bwana Yesu na akawafunulia mambo ya mbinguni na kuzimu. Wanatushirikisha mambo mengi kuhusiana na maono/mafunuo waliyopata. Moja ya mambo wanayotuambia Bwana Yesu aliwatuma kuonya kuhusu Wanawake kujipamba, kwamba, wanawake wanaojipamba (kuvaa vitu bandia kama wigi, kucha, kope; kujichubua rangi ya ngozi, heleni, bangiri, shanga, n.k.) kamwe hawatoingia katika Ufalme wa Mbinguni. Nawaona baadhi ya wanawake unaowahubiri hapo wapo hivyo. Jambo hili limekaaje Kiongozi wangu.
@salvinahassan8778
@salvinahassan8778 Год назад
Wokovu ni process,. Kufika mbinguni ni Neema, kukamilia ni pale safari yake imefika mwisho, kanisa ni sehemu ya uponyaji, Kila mtu ana siku yake
@salvinahassan8778
@salvinahassan8778 Год назад
Kujua kama mafunuo Yao ni kweli au sio kweli, yapime kwenye biblia
@emmylema5911
@emmylema5911 Год назад
Soma biblia maana unabii unapimwa kwa neno la Mungu
@MariaJuma-q2k
@MariaJuma-q2k Год назад
Mimi ni msabato,lakini nilikuwa najipamba tu,lakini nikawa sikuwi rohoni,nashuku tu,Kisha nikaanza kuota ndoto zakulala nawanaume nisiowajua naninaowajua,nimeombewa sana,nimefunga sana,lakini nilikuwa sifunguliwi,Hadi nipo kwenye mfungo naingiliwa kimwili nakula vyakula ndotoni,nikamlilia mungu sana,nikamuomba anionyeshe mlango ni Upi unaoingiza uharibifu kwangu,siku Moja nikalala,nikaona maono,jini lilinitokea limejipodoa kama wanawake wakawaida,napafyumu limepaka vipodozi nilivyokuwa navyo ndani,likataka kunigandamiza kitandani,nikakemea likapotea,nikamuuliza mungu ,akaniambia ndo huo mlango,nikaamka asbh nikatubu,nikavichoma VYOTE,nikanyoa nywele,nikafunguliwa bila hata maombi,,nikaamini,vipodozi nimlango wauharibifu mkubwa sana,usijifananishe namtu yeyote hata kama nimtumishi ,thamani Yako anajua mungu tu,wengine hujui wanamaagano gani
@MariaJuma-q2k
@MariaJuma-q2k Год назад
Ndugu,ninao ushuhuda wavipodozi,vimenitesa sana,Hadi nilipoviacha,viliniua kiroho kabisa
@KevinRajab
@KevinRajab 2 месяца назад
Mose's magembe barikiwa sana mtumishi wa "MUNGU"🙏
@hilgathjoshua8804
@hilgathjoshua8804 3 года назад
Akiri zimeisha hata ufahamu wa kuazima hakuna 😊😊😊 Barikiwa mchungaji 👏👏👏👏
@jameskenzedex
@jameskenzedex 3 года назад
Praise be the name of God I just came across with this clip when was looking for a true word of may God keep u burning 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 🔥 the Gospel am blessed..... N kweli mchungaji
@MzubaloJunior
@MzubaloJunior 4 месяца назад
❤❤❤❤ Mungu akupe maisha malefu baba
@ezekieljacob5795
@ezekieljacob5795 3 месяца назад
Marefu
@SultanMgani
@SultanMgani 10 месяцев назад
Ubariki wewe ndio Mzee unazeeka na pamoja na Yesu barikiwa sana
@rosendanshau2674
@rosendanshau2674 3 года назад
We mch ulikuwa wapi wewe na mafundisho yako mazuri Mungu akutumie kuponya makanisa yya kipentecoste jamani Mungu atuponye nakupenda baba chapa neno
@willisonrushenza7427
@willisonrushenza7427 3 года назад
Nakuelewa mtumishi wa mungu hakika weee ni mtumishi wa mungu aliye hai Amina sana
@ellymaz2187
@ellymaz2187 3 года назад
@@willisonrushenza7427 Mungu aliyehai huandikwa kwa herufi zote kubwa au ya kwanza. Ukiandika herufi ndogo kama ulivyoandika ujue unazungumzia mizimu. Ubarikiwe
@lydiawanjiru5654
@lydiawanjiru5654 Год назад
Kweli Mungu amembakisha wa chunganji waukweli, Mungu wetu na azindi kumuinua, Amen
@simonwanyama749
@simonwanyama749 3 года назад
Mungu akubariki sana mtu wa Mungu,mimi ni simon toka kenya
@tutuyamononi5185
@tutuyamononi5185 3 года назад
Glory to God Bishop welcome Kenya
@RajiTarie-d5c
@RajiTarie-d5c 3 месяца назад
Big Ameen mtumishi.. balikiwa sana kwa ujumbe mzuri
@aganzemukongomani272
@aganzemukongomani272 3 года назад
Mutumishi wamungu,mungu akusaiidiye sn uwedeleye kuhubiri manone mazuri kama haya napiya akuongeziye miaka yakuiishi ili utuokowe mubitedon bibaya amen.
@jacquelineb3643
@jacquelineb3643 3 года назад
Mungu akubariki akuongeze Miaka mzee naitaji kuokoka umeguza Maisha yangu
@leonardliberath2664
@leonardliberath2664 3 года назад
Ubarikiwe unaweza ukaja kanisan kwake,karibu
@jacquelineb3643
@jacquelineb3643 3 года назад
Niko kenya ameguza maisha yangu sana
@JastFinancial02
@JastFinancial02 Месяц назад
Abarikiwe SANA mtumishi wa Bwana
@fridalyanguka1733
@fridalyanguka1733 10 месяцев назад
Yesu na Kristo ni watu wawili tofauti. Chunguzeni hizo biblia vizuri.
@SiphunMkulu
@SiphunMkulu 5 месяцев назад
Huna maarifa wew, hilo ni jina ni moja sawa na wew unaitwa frida lyangula
@fridalyanguka1733
@fridalyanguka1733 5 месяцев назад
@@SiphunMkulu Math 24:4-5 hapo utajua kuwa Yesu aliundwa na sio Kristo yeye mwenyewe amesema.
@denisjosephat1503
@denisjosephat1503 3 года назад
Ubarikiwe baba kwa ujumbe wa kweli yaani hii unafundisha doctren. Hi sir dogma, Asante baba , by postar Denis nipo muleba kagera tz
@thomasisimkonda5072
@thomasisimkonda5072 2 года назад
Asante pastor Kwa kunena kweli
@GhislaineMuhindo
@GhislaineMuhindo 2 месяца назад
Ongeya baba.pasuwa mawe.mungu akuongezeye upako wa ajabu.❤
@jrsmusic8959
@jrsmusic8959 3 месяца назад
Ubarikiwe sana Baba yangu, Mungu akuweke
@rosehaule6765
@rosehaule6765 5 месяцев назад
Mungu ni mwema nyakati zote❤
@EliudKeivoo-md1vw
@EliudKeivoo-md1vw Месяц назад
Amen nabarikiwa san
@tobeymershal4154
@tobeymershal4154 3 года назад
spirit ya moses kulola inaongea ndani ya huyu mtumishi hata sauti ni ya kulola. barikiwa sana.
@frankizack3401
@frankizack3401 3 года назад
Kweli kabisa
@mariagodwin104
@mariagodwin104 3 года назад
Kwel
@happinessmkombwemkombwe8677
@happinessmkombwemkombwe8677 3 года назад
Sema anaongea lafudhi ya kisukuma,pia kulola pia alikua msukuma🎶🎶
@sadockchengula5542
@sadockchengula5542 2 года назад
Sana. Servant wasio na kwere
@HadijaHsalehe-z4k
@HadijaHsalehe-z4k 3 дня назад
Kweli kabisa nami ninamuona Moses Kulola ndani ya Moses Magembe...hii ndiyo Injili ya kweli.
@AmonAmon-l8w
@AmonAmon-l8w 2 месяца назад
Mungu akubari sana kwa mafundishi mazur Mungu azidi kukutunza Baba yetu
@claudianyangasi206
@claudianyangasi206 9 месяцев назад
❤❤ hongera sana mtumishi
@NGUSSAPAULO-ll6gm
@NGUSSAPAULO-ll6gm 2 месяца назад
Hongera mtumishi wamungu ❤ nakumbuka mafundisho kama haya nakumbuka yalikuwepo miaka 19880❤
@NGUSSAPAULO-ll6gm
@NGUSSAPAULO-ll6gm 2 месяца назад
Yalikuwepo mwaka 1980
@nkunsialfred6595
@nkunsialfred6595 11 дней назад
Mungu Akubariki muchungaji❤
@gracepalex7454
@gracepalex7454 3 года назад
Wewe ni mtumishi wa kweli kila neno lako linagusa mioyo .... Mungu akupe miaka mingi
@janetnzai9866
@janetnzai9866 3 года назад
Mungu akubariki Baba akupe maisha marefu uzidi kuokoa nafsi za watoto wa Mungu
@sumaKaya-rd7ms
@sumaKaya-rd7ms Год назад
L
@mazongholabaraka6575
@mazongholabaraka6575 3 года назад
Mungu akubariki mtumishi wake Mungu.
@hilarymatheka5048
@hilarymatheka5048 Месяц назад
Ubarikiwe mtymishi
@thamratysuleiman3053
@thamratysuleiman3053 3 месяца назад
Mungu akuongoze kwenye haki.amina
@AilenMakaka
@AilenMakaka 2 месяца назад
TUMUOMBE MUNGU ATUJALIE KARAMA ZA ROHONI.....BILA ROHO TUTAPOTEA🙌
@missarepafra3973
@missarepafra3973 Год назад
Mchg unavumri gani ? Umesema una miaka hamsini katika huduma tukiongeza umri wa uganga hadi kusoma na kumaliza naona inafika zaidi ya sabini lakini nakuona unakimbia mbio za kijana kabisa. Ubarikiwe Baba!
@mwanawamfalmetz
@mwanawamfalmetz 3 месяца назад
Unaweza kuanza huduma uku ukiwa unasoma hivyo hiyo isikuchanganye
@yallasmasanjankelebe8202
@yallasmasanjankelebe8202 2 месяца назад
Nabarikiwa Sana na Mahubiri haya baba mtumishi wa mungu , kanisa laleo limekosa mwelekeo linahitaji mafudisho haya.
@DamianaMhamilawa
@DamianaMhamilawa 5 дней назад
Nakubariana naukweli,barikiwasana,mtumishi
@veronicamhanga2548
@veronicamhanga2548 3 года назад
Asante sana mtumishi, nimebarikiwa sana kwa kweli, watu sk hizi wanapenda kula vitu laini wanakataa kula makande,! Ooooo YESU tusaidie watoto wako, uyu mchungaji anapatikana wapi,? Jamani injili kama hii wanao ipokea ni wachache. Asante asante isaya 42; 22 ameni
@marthamahangula9327
@marthamahangula9327 3 года назад
AMEEN.hii ndiyo injiri iletayo Wokovu na Mifupa iwakayo moto safi saana Mtumishi wa MUNGU.Msema kweli siku zote hapendwi najua wapo wakuchukiao.
@LevocatusMwaisumo-qe8ge
@LevocatusMwaisumo-qe8ge Год назад
Ubarikiwe BABA MCHUNGAJI
@mosesndahani243
@mosesndahani243 3 года назад
Huyu kwahakika ni nabii wa kanisa la leo. Mungu akupe neema zaidi
Далее
Это было очень близко...
00:10
Просмотров 3,4 млн
SIKIA MIJITU ILIYOTEMBEA NA UPAKO, REV:MOSES MAGEMBE
31:10