Тёмный
No video :(

TAZAMA! WATOTO WAKICHEZA NYIMBO ZA KIHAYA MBELE YA ASKOFU 

Tumaini_Tv
Подписаться 30 тыс.
Просмотров 76 тыс.
50% 1

Kwa Udhamini au Kuwasiliana na kitengo cha Masoko
☎✉ 0762 431 028 | 0652 848 112 | 0735 666 772
Watoto wa Shule ya Msingi Mary Mother of Mecy wakisakata nyimbo ya Kabila la Wahaya katika Mahafali ya Kwanza katika shule hiyo iliyopo Mji Mpya Relini, Huku Askofu Jude Ruwa'ichi akiwatazama Mbashara.
Tafadhali Endelea Ku- Subscribe akaunti hii na bonyeza alama ya Kengele ili kupata taarifa zetu kwa wakati sahihi.

Опубликовано:

 

1 ноя 2020

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 51   
@dasilvajunior3016
@dasilvajunior3016 3 года назад
Mtoto wa nyoka ni nyoka tuu ,amani kwenu wahaya 😊🙌👏
@emiliusfrance8286
@emiliusfrance8286 3 года назад
Wamecheza vizuri sana, najivunia kuwa muhaya
@juliethjulius3855
@juliethjulius3855 3 года назад
Kumbe tuko wengi
@verdianabanabi5943
@verdianabanabi5943 2 года назад
Wahaya kwa kweli tumesukia raha.sana. hongereeni.
@emmanuelmutensa3261
@emmanuelmutensa3261 3 года назад
Najivunia kuzaliwa mhaya
@dianaselestine3138
@dianaselestine3138 2 года назад
Hakuna ngoma ya asili tamu Kama ya wahaya, najivunia saaaana kuzaliwa bukoba
@user-yd9rj1sx3p
@user-yd9rj1sx3p 7 месяцев назад
Najivunia kabila langu
@user-hq5vu1vn9n
@user-hq5vu1vn9n 6 месяцев назад
Nmeeapenda
@user-hp2ix5wp6i
@user-hp2ix5wp6i 4 месяца назад
Naupenda sana unaitwaje?
@livinusmugisha4496
@livinusmugisha4496 3 года назад
Ozaaaa big up saaana ongereni sanaa wahaya wenzanguuu
@livinusmugisha4496
@livinusmugisha4496 3 года назад
Asante sana kwa kuendelea kulinda tamaduni zetu adi raha jamani
@livinusmugisha4496
@livinusmugisha4496 3 года назад
Asante Mungu kwa kuniumba Mimi nikiwa mhaya nawasihi ndugu zangu tuendeleze utamaduni wetu
@juliethjulius3855
@juliethjulius3855 3 года назад
Yaan adi nasikia laa sana nataman ningekuwepo
@almachusjohn8227
@almachusjohn8227 3 года назад
Only thing make me happy on my HAYA trib is the culture, it's so fantastic
@ndeshukurwakaaya4385
@ndeshukurwakaaya4385 2 года назад
Right ✅ time to install culture above all will sound 👌 when is accompanied with JESUS LOVE. true love cements better NATION. 🙏
@livinusmugisha4496
@livinusmugisha4496 3 года назад
Big up sana wahaya
@r14kgroup68
@r14kgroup68 3 года назад
Safi sana
@co-architectureltd2689
@co-architectureltd2689 3 года назад
Safi sana watoto wazuri. je ni shule gani hiyo? Naomba jibu tafadhali
@nicethavictor9010
@nicethavictor9010 3 года назад
Jaman. Rahaa
@floridahkainyu8565
@floridahkainyu8565 3 года назад
I love the dance. It's so amazing
@ndeshukurwakaaya4385
@ndeshukurwakaaya4385 2 года назад
Cool!!! Culture is the backbone of proud NAYION. GREAT 👍 🙏
@isabelastanley1156
@isabelastanley1156 3 года назад
Jamani
@sr.jovithavincent4119
@sr.jovithavincent4119 Год назад
Hongereni sana walimu na wanafunzi pia . Mmecheza vizuri Mungu awabariki
@AdelinaPayovela-hv6dy
@AdelinaPayovela-hv6dy 6 месяцев назад
Hadi raha,wap wahayaaaa!!!
@gosbertrwezahura3645
@gosbertrwezahura3645 10 месяцев назад
Hongereni sana watoto wazuri.
@renatusmatungwa2508
@renatusmatungwa2508 6 месяцев назад
Safii ngoma nzuri sana
@albertinaraphael2763
@albertinaraphael2763 2 года назад
i love my tribe
@theopisterjovent3483
@theopisterjovent3483 Год назад
Hongera sana watoto
@alikarisa
@alikarisa 3 года назад
Timua singo. Kwetu patamu
@teopistakomba2189
@teopistakomba2189 Год назад
Hongeren sana Watoto wazuri
@veronicamtinia869
@veronicamtinia869 2 года назад
Hongereni sana, inapendeza mno
@upendomwayeya1397
@upendomwayeya1397 2 года назад
Hongereni sana Walimu wa Mary mother of Mercy kwa kazi nzuri.
@dianarevelian7553
@dianarevelian7553 3 года назад
safi big up kwetu wahaya
@user-dt7bl3yb7v
@user-dt7bl3yb7v 7 месяцев назад
Watoto wako vzr
@wardakangezi9483
@wardakangezi9483 2 года назад
Safi sana watoto
@prudencekatebara97
@prudencekatebara97 2 года назад
Owaitu bukoba
@ChristerShao
@ChristerShao 7 месяцев назад
Bukoba kwetu.
@felisterkokuberwa5783
@felisterkokuberwa5783 2 года назад
Wao mwakola bojo
@kalegapeter2715
@kalegapeter2715 8 месяцев назад
Mwakolo muno
@neemanelius2478
@neemanelius2478 Год назад
Najivunia kuwa muhaya
@kelvinkaijage3275
@kelvinkaijage3275 2 года назад
Hatar hatar
@miriammustafa5380
@miriammustafa5380 2 года назад
Makubwaaaa😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳
@vailethhenlyhenly3426
@vailethhenlyhenly3426 3 года назад
Safiiii
@JKQGAME
@JKQGAME 3 года назад
Ozaaaaaneeeeee
@anordrenatus3991
@anordrenatus3991 3 года назад
Mwakola abomwaityu siiiiiiiiiiiii
@dianadeogratius4036
@dianadeogratius4036 Год назад
Kwetu pazuri jmn
@renatusmatungwa6506
@renatusmatungwa6506 3 года назад
Kulikuwa na nini mbona namuona askofu mkuu wa jimbo katoliki la dar Yuda Ruwa'ichi Thadei.?
@upendomwayeya1397
@upendomwayeya1397 2 года назад
Mahafali ya darasa la saba mwaka jana.
@renatusmatungwa2508
@renatusmatungwa2508 6 месяцев назад
​@@upendomwayeya1397ahsante sana kwa kunijuza
@benson8305
@benson8305 2 года назад
Utamaduni wa kupiga Ngoma live umekwisha hapo! Hakuna kitu
Далее
MTOTO WA MRISHO MPOTO AWALIZA VIONGOZI KWA UCHUNGU
17:36