Seif Ibrahim pamoja na Emmanuel ni watoto ambao wana kipaji cha utangazaji ambapo leo wakiwa katika shule yao wameonyesha jinsi wanavyoweza kutangaza mpira nakusema kwamba wanatamani kuwa watangazaji wakubwa huku mmojawapo akimtaja mchambuzi wa mpira Tanzania mwalimu Kashasha
18 май 2021