Muheshimiwa mpira sio solomotion ya sinema kwa maana hio unatetea dhuluma wakati watu wanatoa mamilioni Yao na muda wao na kujinyima mambo Yao mtaharibu mpaka mapato ya vilabu kwa kuegemea kilabu fulani
Hakuna unachoongea refa razima alaumiwe kukosea unaweza kukosea mara moja siyo zaidi ya mara moja Kwa hiyo jibu kitaaram acha siasa tatizo siasa sana bongo ndo maana waamzi wkibongo Hawapo hata caf.kwa kauli yako hakuna unachowaambia wanamichezo
Na ww chizi haraka sana wakati alikuwepo jurani,alafu hizo VAR unaongeza tuu lkn wizi ndio umekithiri humo achia ngazi kama hutaki,mwisho kabisa hatumtaki kayoko achezeshe mechi za Simba ,mwisho Sasa jichanganyeni aje tena
VAR toka mmeanza kuisema lin. Tff ela mbona ipo simba na yanga ela zote zile mkizichanganya aipatikaniki VAR juz uwanja umeja ela zilizoingia ni mabilion ya kutosha. Aya bc wamuzi tuwatoe nnje simu awa mashoga wa umu tz. Sisi simba inatuuma sana refa yupo apo apo eti ajaona penarty ya wazi
RAIS KARIA MWANGALIE SANA KAYOKO CY REFA SAHIHI. CJUI AMESOMEA WAPI? MAREFA YA NCHI YETU NDY MAANA HUWA HAWACHUKULIWI KWENYE MICHEZO MIKUBWA SABABU WANAUPENDELEO SANA.
Karia unaposema jambo ni la haraka sana tusimlaumu kayoko unakosea maana yake kayoko hafiti nafasi hiyo ubongo wake wakuona na kufikiri na kutoa maamuzi ni mzito atolewe urefa
Kwani nyinyi TFF sheria hamuzijui na hamna mamlaka ya kutoa adhabu kwa refa au wasaifizi Kama hamna basi hapo mnafanya nini Ila mnaipeleka pabaya ligi ya mpira wa Tanzania kimataifa msije mkalalamika kuwa mmeonewa ni makosa yenu na tamaa zenu.
Nyie mnadai penat mbil, penat hizo nyepesi yanga wslitakiwa kupewa pia penat 2, pacoume alisukumwa na mutale, musonda aligongwa na camara, pia hamza tunamdai redcard. Simba walioewa gori 2 za offside na azam, penat ya bure dhid ya dodoma jiji. Mbona hawakulalamika dhuruma dhidi ya azam na dodoma.
Acha kutetea matatizo mnayoyalea hivi hii ina waamuzi watatu wa derby yaani Sasii, Kayoko na Aragija haya mambo mnayajua mnatakiwa kuchunguzwa ngoja tumuombe mbeshimiwa Rais awachunguze itajulikana tu
Kwenye ngao ya jamii penat ya kijir live live Kama mnataka yanga awe bngwa milele anzishen ligi ya yanga peke yake,tmu unatumia garama kubwa kuiandaa Leo anaibuka mjnga mmoja anatetea upuuz
Yani kwa hayo majibi inaonekana wazi kuna mtandao mkubwa kuwahujumu simba kwa faida ya kwenda kunywa supu ya vibudu... jiangalie karia unapoteza heshima yako
Mbona waamuzi wa nchi za wenzetu wanakuja nakuchezesha mechi vizuri tu bila Var ila hawa wa tff hawaiwezi kuona mpaka Var??? Tanzania yetu hiyo awamu ya sita 😢
Nyinyi bodi ya ligi kuu hamuna mpya munajua wazi kama kayoko hawezi kuchezesha daby mulifanya makusudi kunguni nyinyi mbona hamukumpa kuchezesha muhamed mkono mulijua atauchezesha vizur mumetuekea mbwa kama nyinyi
Mashabiki wa makolo wanamlaumu refa wakati walishangilia iliposemekana kayoko ndo atachezesha mechi,leo hii wanalalamika😅😅😅,basi tufanye mechi za mwisho mwisho za Simba ziwe zilichezwa fair,leo hii mngekuwa mnaongea?? Acheni siasa kwenye mpira,aliyepata kapata na aliyekosa kakosa tu... Kenya is watching 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Karia wewe ni kiongozi kwa majibu hayo unaonyesha wazi kuwa yaliyotendwa na refa ni sahihi hauwezi kusema kuwa matukio yaliyotokea yalikuwa ni ya haraka sana na hii ni kwa Simba ila kwa upande wa yanga hakukuwa na mtukio ya haraka yaliyotokea hapo Karia umekosea sio majibu hayo na ni njia ya kutoa mwanya kwa marefa kuendelea kufanya makosa.
Mmeona aibu mnapanga waamuzi takataka wanapendelea team moja mnaharibu mpira wa tz. Hata kama mkileta V. A. R waamuzi takataka kama kayoko watapindisha tu
Unaogopa kwanini gharama? Mapato na viingilio mnapelekanwapi? Mgao wa Fifa Mna pelekaga wapi? VAR BEI GANI ,Nunueni kuepusha marefa kufanya madudu aibu ya mpira unaopendwa na watu wengi duniani, efa anadanya utumbo
Ila bakayoko ndio aliyewamaliza simba nakumbuka arajiga aliwahi kufanya hivyo nakumbuka Kuna cku diara alimvunja kibu Denis makusudi baada ya kumaliza akasema ametumia akili nyingi
Ww mzee hufai kuongoza mpira bora ukalime nyanya tu huko mabonde Kwinama. Unatetea ujinga wa huyo kayoko. Mbona zamani hapakuwa na ujinga kama huu na huyo muuza magodoro kawashika
Yan nmeleta vr ilikuwatetea malefa vr azfanyikaz na WWE kalia ndio unawatuma malefa waiujumu simba kwa kivuli Cha vr ili uwatetee malefa Tena WWE kalia nimsenge inaonekana ulisha mtomba mama yako ndio maana auna akili
Hii siyo mara ya kwanza utopolo kubebwa kwenye penalt. Utakumbuka kelvin yondani na tshishimbi walishawahi kudaka mipira kwa makusudi ila marefa hawakuona. Mwaka jana ngao ya Jamiii jijini tanga yanga walikomiti penalt mbili kina ndairagije hawakuona, ngao ya Jamiii juzi, kelvin kijiri kapigwa teke la makusudi, marefa hawajaona, juzi penalt tatu zote kayoko na wenzake hawajaona, halafu kiongozi mkubwa kama wewe unasema tunakosea kumlalamikia refa. Kwanza kwanini circle ya marefaree wenu ni hao hao watatu, ndairagije, kayoko na heri sasi kama si upangaji matokeo ninini?. Watu pia wanalalamikia udhamini wa gsm kwa timu nyingine zikihusishwa na upangaji matokeo, I inaonekana karia na wenzako hamna uwezo nalo.