yani hata akili ya kawaida tu mnatunga vitu ambavyo hamna uhakika na mnacho kifanya una jua kabisa hizi Tum kubwa zina uadui huoni anaweza kujitokeza shabiki feki na akafanya hayo na kupoteza point kwa mpinzani wake ebu acheni kua watoto
Hizo kanuni hakuna hata moja itakayopita mpira ni Biashara muwekezaji anafanya Biashara kwa kanuni hizo sioni wawekezaji wakifadhili ligi ama timu tutarudi nyuma miaka 20 iliyopita
Katika watu wapuuzi wewe ni mwalimu wa wapuuzi wote. Hayo mapendekezo anzisha team yako ukifanikiwa utakuwa umeshawishi..... Mpira ni biashara siyo maneno maneno.
Kwa mara pili tunaona waandishi wa habari wanakuja mapendekezo,mapendekezo kwani Kuna nini au huu mpira ni waandishi wa habari? mbona wanao endesha hizo timu na wanacheza na ndio wavuja jasho hamuwashirikishi? Unasikia waandishi wa habari wanawasiwasi, ni Tanzania pekee waandishi wamekuwa ndio wenye mpira, kanuni kanuni, wao ndio makocha wao ndio wanacheza! Tujiangalie!!!!
Achen ujinga mnataka kuturudisha tuliko toka kiufupi lilamtu acheze na nafasi yake anzeni natim ya taifa luchezesha wachezaji wandan tu halafu kuhusu matola nimiaka mingapi nimsaidizi naye mdokalizika na kazi yake na ety mashabiki waingie nachungu wannjani timu ikatwe point ujinga huo alafu serikali haiamini uchawi vipi hoja izo me zitoa wapi.
Naongeza nyingine Kama Ikibainika kuwa mchezaji alipewa KADI nyekundu kimakosa na ikatengliuliwa wakati mpinzani amenufaika kwa kupata point 3 kwa kupungua kwa mchezaji huyo basi points 3 hizo zifutwe ili ilete uwiano kwa kuwa kuendelea kwa mpinzani huyo kunufaika itakuwa bado haisaidii chochote kufutwa huko kwa KADI hiyo
Tumieni akili mnaotunga sheria shabiki. Ni shabiki tu anaweza kua shabiki wa yanga kwenda kufanya ujinga kwa simba na wa simba akaenda kufanya ujinga kwa yanga mnaweza kusababisha timu zikapolwa pwent kwa sababuya shabiki wa mchango kama mchome
Mnajisahau mpila ni biashara msilazimishe huo mpango wenu unataka vijana wanne wacheze Kila mechi na kama hawana uwezo wa kuisaidia timu je acheni mambo ya kizamani hayo
Sijajua mnafikiria kutumia kiungo gani? Hv karne hii bado mnazungumzia habari ya ushirikina kweli km taifa? Hv shabiki wa simba avae kibuyu shingoni akawa anakimbia uwanjani,, yanga wakatwe point na mashabiki wasiingie tena uwanjani. Kwanza mnaaibisha taifa, inaonesha taifa halina watu waelewa. Kwa hilo mmefeli....ushauri wangu kaeni na watu walioelimika kupitia maswala hayo ndipo muweze kayaainisha kwa uma.
baadhi ya mapendekezo mliyoyatoa imeonyesha mnataka kuua soka hapa nchini, imeonyesha baadhi ya watu waliotoa mapendekezo siyo watu wa soka Aiwezekani kipa ambaye ajitumi anapewa nafasi kwa kuwa ni mzawa kwenye ligi ya NBC wakati timu ikitafuta ubingwa, Kazi ya kupanga timu uwanjani ni mapendezo ya kocha , awezi kumpanga mchezaji wa kigeni ambaye ajitumi kwa hilo tumeona kwenye timu za simba na Yanga. Watu wamewekeza wanatoa fedha kwa wachezaji wa kigeni, nawashauri kama kweli nyie mnataka kukuza mchezo wa soka nchini wachezaji wa timu za vijana watafutieni vyuo vinavyokuza mchezo wa soka nje ya nchi Kwa mfano nchi kama Senegali ilipeka vijana wengi nchini Ufaransa, sasa angalia Senegali kisoka wakoje. Mpendekezo yenu kwanza yengepelekwa kwa watu wataalamu wayapitie arafu mtangaze, siyo kutangaza kwa kuwa ni kamati ya masaa 72.
Ni kweli, lazima uwe na pesa zakutosha kufanya usajili mzuri, kuhonga marefa na kuhonga wachezaji kuhujumu team yao lkn pia kuumiza wachezaji muhim wa tim pinzani kabla ya mechi kwa kutumia mechi zingine zitakacho chezwa karibu ya Darby.
Kwani huu ubora wa league ambao tunayo Sasa hivi umelewa na vitu gani ukisha kuuliza hivyo ujiulize hivyo unavyoleta mapendekezo hayo unategemea nini? Na hayo mapendekezo je ni ya kimataifa? Msituharibie mpira wetu ilipofika hapa.
Ni tff hao hao walipanga time kusajili wageni 12 ili kuongeza ushindani kwa wachezaji wa ndani, sasa hii nadhani ni kutapatapa. Kama ligi yetu ni ya wachezaji wa kulipwa hayo mapendekezo hayana mashiko. Hao waliotuheshimisha ni juhudi za mchezaji binafsi si vinginevyo
Hao Sio waliopendekeza bali waharibifu wa Soka letu Akili zao mbuzi. Serikali haitambui Ushirikina mtajuaje huo ni Ushirikina? Mpira unavitu vingi ss hayo mapendekezo yenu utumbo mnampa Nani? Mpira ni gharama useme ww wacheze Vijana Akili kweli? Hao ni waandishi uchwala wakaanzishe Timu zao wawape masharti hayo Utumbo. Tff msiwasikilize wapuzi Hao na njaa zao.
Hivi kweli kamati inakaa kujadili Maswala ya Ushirikina? ✔️Serikali ilitupilia mbali maswala ya Ushirikina Je, KAMATI imeangazia faida na hasara za kujikita kufuatilia Ushirikina?
Nchi zilizoendelea haziongelei maswala ya Ushirikina hata kama Kuna fununu ya timu kujihusha na Ushirikina sisi tunakwama wapi!!? ✍️Nilidhani Kamati ingeangazia Makosa ya Marefa, Academics kuanzishwa na VAR yaani jamani Dah!
Sio sawa kwahiyo kama hawajuwi wapewe nafasitu sindio?! Binafsi nazani mngependekeza makocha waende shule na zitengenezwe akademi za maana ili kukuza vipaji vya wachezaji na si vinginevyo!
Upended makipa wazawa uko long kabisa hiyo kanuni zako.inamaanisha kipa mzawa kama mbovu maanayake timu ifungwe nusu msimu wewe Acha kuchanganya mashabiki. Unajua kabisa mashabiki wanapoteza uhai juzi tu shabiki kafa halafu unaleta uzawa unajuwa machungu ya watu.
Haya mapendekezo na kanuni ni za kijinga...huwezi kuwa na kanuni baada ya ligi kuanzia.....ni ujinga mtupu ilibidi haya yafanyoke kabla ya ligi.....tafutenibibunifu sio kuleta mambo ya kijingan yasiyo na tija hasa ligi ikiww imeanza Upande wa makocha ...angalieni upande timubyavtaifa na siyo kilabu
Kissing mapendekezo mengi hayana tija ktk mustakbari ya hadhi ya ligi yetu. Bodi ya ya ligi insoaswa ijitambue majukumu yake mambo mengine yatakiwa yabski kwa timu husika. Pili kuna swala hili la ushirikina na hali ya labia ya sasa kwa baadhi ya washabiki maana utamuona ni shabiki wa yanga lakini anajifanya ni shabiki wa simba sasa kwa staili hii akifanya tendo au mambo ya kishirikina si mtaiadhibu timu wakati kiuhalisia si shabiki wa timu husika..
Ndio maana kila kukicha tunahitaji ushauri wa wakoloni tu, maana wenyewe kama ndio mawazo mnadhani mtakuza mpira. Hivyo kabisa. Hata tusiokuwa wanamichezo tunaona udhaifu wa mapendekezo yenu nje nje. Kama huna hoja kunyamaza nako ni busara.
Kiufupi mmeharisha kwenye maoni na kanuni zenu kiufupi mmefeli sana bado sana na kama mtakua nyie ndo watoa ushauri wasoka wote mufukuzwe sie tunataka kwenda mbele na kitu kizuri,,, na swala jengine lakusema tutaona wachezaji wakigeni tu uwanjani uo utakua uzembe wa taifa na TFF kwasababu Dunia inaanda vipajo mapema sana sie tumechelewa kwenye ilo ila tayar jitihada za serekali na wadau wasoka wanalipambania sana ilo nnaimani baada ya miaka kumi tutakuwa na kina MBAPPE WETU NA NUER WETU soka litakua zaidi ya namba6 tulokua nayo halafu angalia tumetoka wp na tuko wp kwasasa tumecheza na wachezaji wandani zaidi ya miaka 40 hamna jipya
Bodi mbona mnataka kuirudisha Ligi kwenye kupoteza Ubora? Unamlinda nani wakati Hana kiwango? Naona ninyi munayaendee mambo kimhemko saana na Wala hakuna mnacho kijenga kwenye lingi.Achaneni na siasa ktk Maendeleo ya mpira.
Hiyo mipango unayo panga kwa timu ya taifa au timu za binafsi ? je ? kama timu binafsi nani ataye walipa hao wachezaji ni Club au TFF ? sikia huwo ni mipango ya kuuwa mchezo wa mpira Tanzania ujuwe hivyo
Sasa ligi yenu njo bora zaidi Afrika?kuzidi ligi zote za Afrika 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 Tanzania Tanzania Tanzania kama leo munajiona kwenye soka la afrika mko juu siyo wachezaji wa ndani 😂😂😂😂😂😂 acheni utani pesa watu wanaweka pesa zao juu ya club zao leo na kesho iyo kauli zenu mutajuwa amujuwi vimbeni kichwa tu kesho kesho yake mtaviba midom😅😅😅😅
Hawa wametumwa na watu walioshindwa hawa wote ni Simba nasema haiwezekani hilo jambo la hovyo kabisa hizo kanuni ni baada ya simba kufungwa mara nne mfululizo hawa wote simba wamechanganyikiwa
Hakuna Cha maana kabisa kwenye Hilo na Hilo suala halitoumiza sana yanga TU hata hao makolo pia nao watateseka Bure , huu ujinga unasababishwa uchoyo wa ushindani
Hivi ninyi munageuza kama vile hizi timu Kuna kitu mnazisaisia ktk kugharamia! Mnakuja na midomo yenu mioano tu,mkifikiri Kuna kitu mnakiongeza badala ya kubomowa,hivi nani atakubai kuweka fedha zake,kwakuwa na timu ambayo hamfikishi kwenye malengo yake ya kurejesha gharama zake? Achaneni kabisa na mawazo ya kutaka kutawaliwa mambo ambayo hajawahi kushiriki ujenzi wake