Тёмный
No video :(

TFF YATOA MAAMUZI SAKATA LA CHAMA NA SIMBA JUU YA RELEASE LATTER YA KUICHEZEA YANGA MSIMU UJAO.. 

BATTLE TV
Подписаться 84 тыс.
Просмотров 50 тыс.
50% 1

#BATTLETV

Опубликовано:

 

26 авг 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 119   
@usiniguse
@usiniguse Месяц назад
Mchezaji Kama alikuwa huru release later ya Nini? Si aende tu. Acheni ushabiki. Kama amemaliza mkataba Thank you ya Nini?
@JuhudiKasanga-yq5ks
@JuhudiKasanga-yq5ks Месяц назад
Swala la chama niushamba TU mchezaji kamaliza mkataba shida labda hawa Simba na tff ndo tatizo katika mpira wetu huu wanaturudisha nyuma Kila siku
@user-yz6ds9hn9l
@user-yz6ds9hn9l Месяц назад
Hawa yanga hawachui mchezaji kwa utaratibu waanza kumpa rushwa acheze chini ya kiwango hayo yamefanyika kwa chama na wenzake serikali inajua inafumbamacho kwakuwa mawaziri wa serikali wapo humo wanachangia jeuri hiyo,
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 Месяц назад
TIMU ZOTE ZIFUATE UTARATIBU WAKUCHUKA WACHEZAJI NA NYIE ONGEENI KIMPIRA USIONGEE KIMAPENZI YA TIMU
@AlfredMwakabana
@AlfredMwakabana Месяц назад
Mkiwa wachambuzi wachane ukweli watoe ujinga kwani ni aibu kwa vilabu vyetu mchezaji ni haki yake kimaisha yake
@user-bi8hr3nu6g
@user-bi8hr3nu6g Месяц назад
Wapende wasipende watatoa
@user-ff1it9og8y
@user-ff1it9og8y Месяц назад
Simba ❤❤❤kumpa chama hiyo arudi kwa nizam kubwa alikua anadharau viongozi na hiyo ndo malipo yake na wampe 2025 hiyo istlechar wala siyo figisu Yanga wao kwa Feitoto kuja Simba wanakinga kifya haya sasa ngomo drooo
@asiaruhasha5561
@asiaruhasha5561 Месяц назад
😊😊😊😊
@user-eg9jq5ny3n
@user-eg9jq5ny3n Месяц назад
Dunduka bwegeeee
@vaxminja9053
@vaxminja9053 Месяц назад
Mashabiki wa Simba hawajui hata wanaongea nini, hivi unafikiri release letter ni utashi wa Simba? Ni sheria
@OS-pf6op
@OS-pf6op Месяц назад
Wataitapika tu watake wasitake😂
@athumanibakari8618
@athumanibakari8618 Месяц назад
Mpeni Pole Injinia wenu
@JafarOmar-b1u
@JafarOmar-b1u Месяц назад
sasa iv wachezaji wakubwa watakuja kuchezea timuiyo wataogopa ayo wanajiferisha
@amanifadhi
@amanifadhi Месяц назад
Simba siowajinga
@user-yr4pv2vj7m
@user-yr4pv2vj7m Месяц назад
Chama ata wafira.nyie makoro msim uuuuuu
@user-bi8hr3nu6g
@user-bi8hr3nu6g Месяц назад
Simba yafungiwa
@fatumamtakyawa3612
@fatumamtakyawa3612 Месяц назад
FEI NA YANGA NI VITU TOFAUTI TOTO ALIKUWA AJAMALIZA MKATABA
@ThobiasBarnaba-fs6pv
@ThobiasBarnaba-fs6pv Месяц назад
Moto uwake
@christianjohnmwalugaja8090
@christianjohnmwalugaja8090 Месяц назад
Hao Jamaa (Simba) wanashirikiana na Karia. Karia tuachie mpira wetu. Bado unaupotosha sana mpira wa Tanzania.
@abdallahmzee4335
@abdallahmzee4335 Месяц назад
Yani umsajiri mchezaji wakati akiwa kwenye mkataba arafu unasema Karia kafanya nini acha uchoko
@user-bt6ep3yb2h
@user-bt6ep3yb2h Месяц назад
Fei mkataba wake ulikuwa haujaisha ila aliomba kuvunja mkataba, je chama mkataba wake na smba ulikuwa bado haujaisha? Chama ameomba kuvunja mkataba?.
@simonndunguru1629
@simonndunguru1629 Месяц назад
Wachambuzi semeni Ukweli kuhusu Chama Mnababaisha tu. Muda umeisha wa Mkataba wa Chama
@ayubujoel
@ayubujoel Месяц назад
Simba wanasuburi kumtambulisha Elie mpanzu ndo chama apewe thank u
@ManzabaySalim
@ManzabaySalim Месяц назад
Chama kamaliza contract fifa ipo huwezi kuzuia asicheze yanga
@williamkajala8005
@williamkajala8005 Месяц назад
Wao Fei toto Wamemgomea kuja Simba sasa wacha Dawa iwaangie
@jiarosmazengo966
@jiarosmazengo966 Месяц назад
Mbona FEI TOTO yanga imetuwekea ukingo na la chama hakuna thank you
@CikeTanzania
@CikeTanzania Месяц назад
Wampe tuu wanini
@ZaharaniMisso-ke4dy
@ZaharaniMisso-ke4dy Месяц назад
Mulisema chama mzee kumbe bado munamuitaji sio
@Esterkomba-ef7eb
@Esterkomba-ef7eb Месяц назад
Kwani Simba hajiandai endeleeni kuichafua Simba lakini hamtaweza
@williamkajala8005
@williamkajala8005 Месяц назад
Ubaya Ubwela, Hawa kinachama wameichezea Sana Tim yetu msim huu Lazima tuoneshane ubabe tu mpaka kieleweke
@user-tt8ew7tf8e
@user-tt8ew7tf8e Месяц назад
Yanga walivyofanya kwa fei ilikuw saw Ila akifanya simba ni sahihi
@OmariBwagizo
@OmariBwagizo Месяц назад
Hakuna TFF kutetea kitu mbn yanga mulimbana fei toto mpka kaongea raisi samia ndio mukamuachia lengo lenu alikua munataka kumpoteza sasa bas chama nae amepotea hii ndio bongo atajua hajui
@MaguguStore
@MaguguStore Месяц назад
Ngoja ashike adabu , Chama chama chama ndio nani amekamatiwa pazuriii
@yudamanyumbu4978
@yudamanyumbu4978 Месяц назад
Mchezaji akisha maliza mkataba na timu yoyote ana uhuru wa kuondoka au kukubali kusaini mkataba tuache ubabaishaji
@JuhudiKasanga-yq5ks
@JuhudiKasanga-yq5ks Месяц назад
Swala alikuwa amemaliza mkataba au ni upumbavu wa Simba kwani chama ndugu yenu au anatafuta maisha kama alivyokuja kwenu toka timu nyingine acha ushamba nyinyi wenyewe lawi alafu chama Tena aibu na magoli wenu huyo ni matatizo matupu
@BantuntibahezwaToyi
@BantuntibahezwaToyi Месяц назад
Hahahaaàa gazeti la Leo chama yanga waishia kumvisha shuka la kijani😂😂😂hiyo ndio tafasiri ya ubaya ubwera
@revocatusmalimi4525
@revocatusmalimi4525 Месяц назад
Hakuna anyetaka Chama arudi simba huo ni ushenga wenu waandishi kwa Chama na timu yake.Kwanza ni mchezaji huru tangu 30 June 2024 sasa hiyo release letter ya nini
@makamelila
@makamelila Месяц назад
Tatizo chama kaleta dharau na nyie mnaongea tu yachama kwa sababu ni WA Tim yenu lakini mbona hamuongei kuhusu lawi
@josephlorri431
@josephlorri431 Месяц назад
Makolo wamekuwa machoko.. team ya tajiri namba 2 Africa, my foot
@OmariBwagizo
@OmariBwagizo Месяц назад
Amepotezwa manara atakua chama huyu anapotea kirahis sana tu
@OmariBwagizo
@OmariBwagizo Месяц назад
Huyo chama atakua kama Morrison tu
@makamelila
@makamelila Месяц назад
Kama kunahitajika barua maanayake hapo kinajambo inamaana mkataba ulikuwa haujaisha
@MamboMbuli
@MamboMbuli Месяц назад
Watangazaji wa kibongo bana,,,mujiulize kwa Feisal mbona yanga warikomaa 😮😮😮na hadi Rais Samia akaingiria kati ,,🎉acheni unazi nyie
@user-ox1eg1ej6u
@user-ox1eg1ej6u Месяц назад
😊 ni bad😊😊😊
@user-ff1it9og8y
@user-ff1it9og8y Месяц назад
Kama Tff mnasema wafanye haraka kwa chama waanze Feitoto sheria ya kuwa Simba wakitaka kumchukua walipe Azam na Yanga walipwe sgeria gani jama acha nao chama wamlipe bila kuwachezea msimu mzima malipo ni hapa hapa Duniani😂😂😂😂😂
@robertphilip385
@robertphilip385 Месяц назад
Utateseka sana Fei kuichezea Simba na siwasawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano
@salumomar-ph8ht
@salumomar-ph8ht Месяц назад
Kama Tff washindwa kumpa haki yake leo ndio nitahamini Tff ni simba sakata la morson yanga walivyo zuia hirizileta ya morson simba waliruhusiwa na tff morson alicheza kama kawaida
@user-ox1eg1ej6u
@user-ox1eg1ej6u Месяц назад
Ins. .maana .iyo. Ndio
@user-bt6ep3yb2h
@user-bt6ep3yb2h Месяц назад
Kwani tarehe ya mkataba wa Yanga na Chama unaonyesha umefungwa tarehe ngapi? Mwezi June au July? Mkataba wa chama na simba imeisha tarehe ngapi? June au July?. It s too much simple to give out decision.
@hassannickson7654
@hassannickson7654 Месяц назад
Ni suala la mda tukucheza Yanga hawa tifuatifua wakishindwa ni fifa wanaamua wachambuzi wetu ni sheeda sio watu wa mpira ila ni washabiki wa timu flani
@salumomar-ph8ht
@salumomar-ph8ht Месяц назад
Chama awataki kwanini mnalazimisha aipende tim yenu achen ushamba
@WiseRigers
@WiseRigers Месяц назад
Huyo ni mchezaji huru release later ni kwaajiri ya uthibitisho tu kama wamemalizana kiroho safi kama hawataki kutoa tff wanawajibika kumpa haki mchezaji ili aendelee kucheza Tofaut na Feisal alikuwa na mkataba simba hawana uwezo wa kumzuia chama sema nyie wachambuzi wa kibongo ni wa hovyo sana huwezi fananisha sakata la chama na Feisal ni tofaut kabisa
@matiankomola2391
@matiankomola2391 Месяц назад
Mpira wa Tanzania unaendeshwa kishabiki!
@user-eg9jq5ny3n
@user-eg9jq5ny3n Месяц назад
Shida niudundukaaaaa😂😂😢
@hassannickson7654
@hassannickson7654 Месяц назад
Kwani mchezaji anatakiwa kuzungumza na Timu nyingine wakati Gani? Kama sio miezi 6 mbona ishu iko wazi tu
@user-os9ps3ry6x
@user-os9ps3ry6x Месяц назад
Simba Kila wkitaka mchezaji yanga wanazuia angalia fei nyie mnataka yanga wafaidike
@damianmcba9525
@damianmcba9525 Месяц назад
Mchezaji yupo huru kuongea na timu yeyote ikiwa imebaki miezi 6 ya contract, hiyo ni sheria ya FIFA, Amna lolote hapo , Contract ikiisha hayo mambo ya release letter ayana uhitaji
@abdallahmzee4335
@abdallahmzee4335 Месяц назад
Shida chama alimwaga wino wakati yupo kwenye mkataba watu wana akili nyingi kuliko yeye
@fanuelnkyalu974
@fanuelnkyalu974 Месяц назад
Simba waache upuuzi wa kuidhoofisha ligi yetu, hii ni habari ya sungura zisitaki mbichi hizo, TFF walione hilo ni AIBU KWA TAIFA.
@KakeSimba
@KakeSimba Месяц назад
We fala unaongeya nini
@ChristopherTogolan
@ChristopherTogolan Месяц назад
Aloo chama n mchezaj hulu
@mussammanga7791
@mussammanga7791 Месяц назад
Mashaka gani mkubali kuwachwa, mchezaji timu haitaki. Fei si mlisema asilazimishwe? Sasa kibao kimegeuka. Hahahahaaa!
@ElizabethEmmanuel-nj1oi
@ElizabethEmmanuel-nj1oi Месяц назад
Nyie wanayanga si ndo nyie mliokua mnawasema wachezaji wa Simba wazee na Chama mmemsajili katoka timu Gani?
@martinkabazo8412
@martinkabazo8412 Месяц назад
Kama mkataba umeisha na wamemsajiri cmba inalaumiwaje
@magrethmakauki235
@magrethmakauki235 Месяц назад
Fei mkataba ulikuwa haujaisha, chama mkataba umeisha
@frbm1729
@frbm1729 Месяц назад
Aligoma mapemaaa kuichezea Simba kutombana na ushawishi wa Yanga usiofuata utaratibu.Atajampa.
@phoebembwambo2763
@phoebembwambo2763 Месяц назад
😂😂😂😂😂😂😂kutombana?????
@RichardSanga-zr2nj
@RichardSanga-zr2nj Месяц назад
NIMESIKIA HIRIZI LETA 🤣
@chemstry409
@chemstry409 Месяц назад
Sasa siwalisema mzee??? na matusi wakamtukana....
@shukranionesphoro7744
@shukranionesphoro7744 Месяц назад
Ww dogo chama anakiburi , piga pini ngao asicheze
@joshuamwambene2874
@joshuamwambene2874 Месяц назад
TFF kila siku mnaindama Yanga hamuoni aibu .,Acheni kabisa yanga icheze kandanda
@abdallahmzee4335
@abdallahmzee4335 Месяц назад
Tff hawaindami Yanga ila Yanga inabanwa kwenye mkataba wa chama ulikuwa lini hapo ndiyo mtajua kuwa timu yenu inaviongozi watoto
@makamesaid9137
@makamesaid9137 Месяц назад
Mfa maji haishi kutapa tapa Mara lawi mara Chama na mara hii tutawapiga 10 G MAKOLO wasipoangalia.
@abdallahmzee4335
@abdallahmzee4335 Месяц назад
Shida akili za viongozi wenu bado ndogo sana walimsajiri Chama akiwa ndani ya mkataba na hapo ndiyo tutawakamatia mpaka mavi yawatoke
@user-bt6ep3yb2h
@user-bt6ep3yb2h Месяц назад
MkATABA UMEISHA TAREHE 30/06/2024, sasa kinachogombaniwa ni nini? YUKO HURU.
@husseinkarim7663
@husseinkarim7663 Месяц назад
Wamruhusu Chama aende Yanga,wa.mwachie tu
@FatumakunemkaKunemka
@FatumakunemkaKunemka Месяц назад
Twataka tumpe bench kwanza
@raymondsambaa6687
@raymondsambaa6687 Месяц назад
Atarudije Simba wakati hana mkataba?
@lotimwansule5017
@lotimwansule5017 Месяц назад
Nyie mmesahau ya fei yanga walichofanya, nyie acheni unazi wote nyie ni Yanga
@usiniguse
@usiniguse Месяц назад
ACHENI USHABIKI. KAMA MKATABA UMEISHA REALEASE LATER YANINI SI AONDOKE TU?
@issaalfani1030
@issaalfani1030 Месяц назад
Sheria hujui
@user-jc4mm7vs9x
@user-jc4mm7vs9x Месяц назад
NI KUMNYOOSHA HANA ADABU CHAMA.
@user-fi6hb3lp5y
@user-fi6hb3lp5y Месяц назад
Kabisa yaani mpaka anyooke
@NdayishimiyeEvelyne-ws6ts
@NdayishimiyeEvelyne-ws6ts Месяц назад
Mutaweweseka sana
@sosthenesmaemba
@sosthenesmaemba Месяц назад
We ndio huna adabu, mtu ksmaliza mkataba wake
@user-qw4pm2xe4j
@user-qw4pm2xe4j Месяц назад
​😅😮😢🎉
@user-or9cl2tc1h
@user-or9cl2tc1h Месяц назад
Muwe wakweli chama alisajiliwa yanga bado akiwa na mkataba na simba hiyo ndo shida iliyopo
@FadhiliSalehe-l2c
@FadhiliSalehe-l2c Месяц назад
Ushaidi unao kaka? Ila kisheria mchezaji anarusiwa kuongea na timu nyingine akiwa amebakisha miezi 6 kabra ya mkataba kuisha.
@FadhiliSalehe-l2c
@FadhiliSalehe-l2c Месяц назад
Ushaidi unao kaka? Ila kisheria mchezaji anarusiwa kuongea na timu nyingine akiwa amebakisha miezi 6 kabra ya mkataba kuisha.
@abdalla8193
@abdalla8193 Месяц назад
Mpeni tu
@shamissuleyman4894
@shamissuleyman4894 Месяц назад
Hahahahahaha huyu chama na timu yake mpya walifanya fujo kusajiliwa kabla ya mkataba kuisha
@user-os9ps3ry6x
@user-os9ps3ry6x Месяц назад
Mnaona ni kitu kidogo nyie ni yanga tunawajuwa
@chiefmajai9345
@chiefmajai9345 Месяц назад
Maumivu walio wasajiri simba bado pengo
@MkuwaTheDon
@MkuwaTheDon Месяц назад
Mmmh
@user-bt6ep3yb2h
@user-bt6ep3yb2h Месяц назад
Chama kamaliza mkataba au bado? Kama hajamaliza kwa nini hamkwenda naye Misri?.
@MgangaMasudi
@MgangaMasudi Месяц назад
Anataka nini
@abdallahmzee4335
@abdallahmzee4335 Месяц назад
Mbona unajiuliza mwenyewe na kujijibu mwenyewe
@revocatusmalimi4525
@revocatusmalimi4525 Месяц назад
Tunashauri viongozi wetu wampe tu hiyo taraka ili akafunge ndoa nyingine akiwa huru
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv
@SmilingFlowerBouquet-hs2hv Месяц назад
SIMBA MUMESHA PEWA TARAKA SHIDA NN? MWACHE AENDEEEE
@VeronicaAdam-lx8yd
@VeronicaAdam-lx8yd Месяц назад
Kanun 😂😂😂 zifatwe
@CornenciaFaustine-pd2rc
@CornenciaFaustine-pd2rc Месяц назад
Akili mu kichwa si mnae mchezesheni tu
@anithawidambe7543
@anithawidambe7543 Месяц назад
KUNA TIMU WANA WIVU SANA NA SIMBA
@deboy3323
@deboy3323 Месяц назад
Hhhhhhhh hatumpi✊🦁🔥
@AllyMasangaluka-bm5ib
@AllyMasangaluka-bm5ib Месяц назад
Acheni ujinga nyie mchezaji akifika miezi SITA analusiwa kuongeza na timu nyingine kengenyie chama huru
@abdallahmzee4335
@abdallahmzee4335 Месяц назад
Ni kuongea ila cyo kusaini mkataba we kichwa maji
@julianajeremiah4353
@julianajeremiah4353 Месяц назад
Mjinga anatakiwa kuwaombea kuwapeleka ndio sababu😂 na asicheze
@abdalla8193
@abdalla8193 Месяц назад
Lawi hanadabu
@jumaathumani6886
@jumaathumani6886 Месяц назад
Ni kwamb huko TFF wallace ni Pacha na simba sc huyo chama atajua hajuw ubaya ubwela qmmk😅😅😂
@maimunaathumani9121
@maimunaathumani9121 Месяц назад
Safi jeuri uyo
@user-ox4fv4cf5l
@user-ox4fv4cf5l Месяц назад
Nyie na Mikia fc wote ni mbumbumbu tu,mbona Simba walimtangaza na bado wanadai Lawi ni mchezaji wao hali y kuwa ni mchezaji halali wa Coastal..? alafu kw nn Simba tu? hata KMC walilalamika kwa Awesu Awesu
@Prosperkaluta
@Prosperkaluta Месяц назад
Upumbavu wa viongozi wa wa Simba tu. Kumbe wana haja naye sana.
Далее
HOW DID SHE DECIDE TO DO THIS?!
00:27
Просмотров 7 млн
When A Gang Leader Confronted Muhammad Ali
11:43
Просмотров 7 млн