Henry mwakajumba ningependa nikuulize hili swali next week hii tamsilia ya baba olivia season 1 inaisha je tutapata season2 au mnaandaa aje kusema tupate season2 ama ndo inaisha kabisa hakun season2 sababu kuna interview ya mwalim janet nimeona yestrday akiongelea season2 je tuisubilie au? Wanao niunga mkono kwa hio.swali gonga like?
EE MWENYEZI MUNGU TUNA KUSHUKURU KWA KILA JAMBO 🙏MBALIKI KILA ATAKAYE SOMA COMMENT HIII NA KU MTUMIZIA MALENGO YAKE KAMA UNA AMINI LIKE NA KUSEMA AMINA 🙏
Siku zote Huwa napenda kuangalia movie yote kisha nitowe comment.my brother Gabo kiukweli unajua sana Tena sana na nataman walio sema kanumba NDIE kaondoka na Kibari cha movies zote za bongo Mungu awasamehe sana nakuombea sana sana Mungu akupe nguvu ya kulendelea kufanya vizuri unajua sana my brother good job 🙌🙌🙌🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Ninavyomutazama Arthur ninamtazama kanumba ndani yake ishi sana Arthur unaujumbe mzuri Sana Kwa familia zetu na watoto wetu keep pushing bro unajua sana.
It's very sadness 😢 for baba olive , hawa ndio mama walikua ovyo wasiojali maisha ya bint zao , mwisho wa siku huyu mama atamtoa kikao au kumuuza km mfano alivyo uzwa yeye na mamaake