Hivi nyie ambaò mnaomba like kwann msinge kuwa mnaomba kwa wiki vitoke vipade viwili au mnasemaje mashabiki wenzangu ambao hatuombi like❤❤❤❤ kazi nzuri gambo
Hata kila siku watowe tu mana kusubili siku 7 wanatuuwa jamani nakuwa nime miss saana mwalimu janet na baba olivia na mama mwenye kutongozwa na mzungu hhhhhhh mimi na mwitaga mama mishemishe
Hapa nyinyi watanzania muna jua sana ku toa filamu nzuri sana, tatizo like zenu muna jipa wenyewe 😢 🇨🇩🇨🇩 ila sisi wa congo na inchi zengeni nikama tunajipendekeza tuu
Tusamehe kwani hatukujua kama litakua ni tatizo na hatuna maana ya kwamba tuna dharau congo kuna mziki mzuri na tunasikiliza pia so hatuko hivyo tuta jitaidi ku like
Asante sana Napenda jinsi Baba Oliver anavyo igiza kila igizo zake Napenda kuzifuatilia zinamafunzo ndani yake❤❤🎉❤❤🎉❤🎉❤ nipo Africa kusini South Africa 🇿🇦🇹🇿 Thank you 🙏👍Mwali Jannetti namsalimia aendelee kuigiza anajuwa sana pamoja na Olivia🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳🥳
You put put put halafu kalasi! Mama Tina just waooo. Jamii zetu linapokuja jambo la MTU na mzazi mweza ni habari nyingine! Miaka itaenda kumbukumbu zinaishi nimemuona yule baba Olivia alivo poa
❤kwekweli iyi ni fundisho sana nahamini Gabon kafikiya atuwa kubwa sana na ashukuriwe allah kwa kila kitu napenda sana izi episode inaubora wake kwakweli kwaio ndo ivo
hii tamthilia ni nzuri sanaa, lakini ijumaa mpaka ijumaa nyingine tena ni MBALI SANA mpaka tunasahau ilipoishia...Kwako ndugu Mwakajumba..naomba kuwasilisha😊
Unasahau vipi kwa kukaa wiki? Hebu tuwe wavumilivu kuweka interval ya wiki inatoa nafasi kwa watu kuendelea kutazama sehem iliyopita hiii ni biashara na channel inatakiwa ikue. Kama unahitaji kutazama thamthilia nzima nenda Kweny website kuna maelekezo pale
Wow movie fantastic wallah but kuna mahali utamu ukianza kutiririka muda ndo huo kwao halafu kibya zaid n mara moja kwa wiki kwel baba Olivia hebu jitahid utuletee angalau part 2 per week nawapenda nyte waigizaji mko makini sna🥰🥰🥰🥰
Mama yake olivia tayar ameshakuwa hawezi kuwa mama wa kushuhulikia family na akimtaka mwaname anamtumia na anamuacha kwa tabia hii ni bora abakie na mwalim Janet hasa pale ambapo wamepata mimba ❤❤ ya mahaba makali
amna bhana dont panic jamaa ni mtu wa huruma na anajali sana na yuko fair anastahili kuwa treated vile kwasababu ya msiba na ni mzazi mwenzie ukiachana na yote hata mama olivia hategei chochote kwa mzee ndo mana amemfungukia tu kila kitu juu ya maisha yake
kwakweli binafsi sikuwahi kuwa na tabia ya kuangalia series za youtube lakini hii timu imenibadili mtazamo wangu they're amazing alafu hawakupi nafasi ya kukosoa everything is in place and mavilous Mungu awalinde tu kwakweli
Hivi ni hakiri yangu2 au wario ria kire kipande cha baba oIivia na mama oIivia na oIivia mwenye mpo humu ndani maan nimeria😢😢😢😢 daah. Cjw nimewaza nini😭
Baba olivia anataka kupadha kiporo 😅 bado anahisia na kumpenda mama olivia 😢😢 so sad kwa mwalim janet kapo ana mimba 😢😢 jamni hii ni situation mbaya sana kwa baba olivia 😢 .. wacha tukamalize majuma mawili 😢😢😢😢 ❤❤❤❤ BEST MOVIE IN 2024 EST AFRICA