Тёмный

The story book : Mfahamu Christina Shusho Je ni Malaika au Shetani wa Injili Aliyevunja ndoa yake 

EPIC BONGO
Подписаться 12 тыс.
Просмотров 174 тыс.
50% 1

#christinashusho #freemason #injili #gospel
Maisha ya christina shusho kutoka mahali alipozaliwa Tanzania mkoani Kigoma,kusoma shule yake ya msingi Mpaka sekondari, ndoa yake, maisha yake binafsi mpaka kuwa mwanamuziki wa injili.
vipande vya video clips nilivyotumia katika video hii vinatoka kwa christina shusho mwenyewe kuwa huru kumsapoti katika channel yake ya youtube, kuna nyimbo nyingi za kuburudisha na kufurahisha Asante. / @christinashushomusic

Опубликовано:

 

24 фев 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 115   
@user-ck7ip4qr1o
@user-ck7ip4qr1o Месяц назад
Napenda sana nyimbo zako dada na zina ni tia nguvu kwa mapito mbali mbali na ubarikiwe na Mungu akutie nguvu ya kuendelea❤
@THEKINGBROWN-Top_angrybadman
@THEKINGBROWN-Top_angrybadman Месяц назад
Uyo shusho ni mcongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 twamjua vizuri alikua naishi kambini Tanzania ndo Aka anza imba uko , alikua muimbaji tokea Congo drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 alikua bado kujulikana ,nyie wa Tanzania amna vipaji acheni Kuji Tia Ku vitu visio vyenu,
@reubenjoram9675
@reubenjoram9675 Месяц назад
​@@THEKINGBROWN-Top_angrybadmanSasa kama nimkongo kilichomleta Nchini kweri TANZANIA n nn? Kwann asingekaa hkohko cngo kwenye mpaka aibuke. Huku alifata Amani wakongo Nchini yenu imewashinda
@user-ic6cv5vx2sWahise
@user-ic6cv5vx2sWahise 19 часов назад
Tata wahiseelelwa neno yuko djuu ya watu njooni mpate mibaraka ya mwenyezi mungu
@FrolidaLuvanda
@FrolidaLuvanda 6 дней назад
Ubarikiwe
@fabianmkemesa9606
@fabianmkemesa9606 9 дней назад
Nampenda sana dada yangu shusho pamoja na nyimbo zake mungu akutie nguvu na ujasir
@carolinenyemba2412
@carolinenyemba2412 Месяц назад
I love this woman with my heart, may God fight for her devil will never shake this woman because she carries a big God in her
@NassariWalulya
@NassariWalulya 5 дней назад
Mungu tupe jicho la tatu
@user-dr7si9qw6e
@user-dr7si9qw6e Месяц назад
Ni hatari sana kumaliza Kwa mwili maana unakuwa mhalibufu kuliko ata wapagani Christina Mungu amsaidie sana maana ni siku za mwisho hizi asema bwana watu wataikana imani
@nicenard5749
@nicenard5749 Месяц назад
Pole Christina Shusho, shetani anatumia watu kukupiga vita, usikate tamaa ifanye kazi ya MUNGU,taji yako ipo mbinguni
@MarthaNyanmech
@MarthaNyanmech Месяц назад
Napenda nyimbo za Christina anasauti ya ajabu mungu hakutiye nguvu na kukuinua zaidi
@nininahazweEritier-tr6fh
@nininahazweEritier-tr6fh 13 часов назад
Nice
@user-kb8wv6kg8g
@user-kb8wv6kg8g 2 месяца назад
Mungu Anazo nguvu njia zake hazichunguziki ngoja tuone
@esterkabigili
@esterkabigili Месяц назад
Neema ya Mungu na izidi kwa christina shusho
@woissopaschal6391
@woissopaschal6391 Месяц назад
Sielewi sana haya. Maana kama amejitenga na ndoa kwa ajili ya kristo ahakikishe anaendelea naye vinginevyo matokeo yatakuwa fundisho.
@EliaLazaro
@EliaLazaro Месяц назад
Jamnii na mm na mpnd sana
@onesphorebizimana9808
@onesphorebizimana9808 6 дней назад
Ft
@jacsax3436
@jacsax3436 Месяц назад
Aliyesimama aangalie asianguke hizi ni siku za mwisho. Tumwombe Mungu atupe kusimama siku hizi za mwisho
@stephaniakanka8178
@stephaniakanka8178 Месяц назад
Ni kweli kabisa shushu ni wa kwetu Congo Kalemi njoo kwao na hiyo jina ni za kwetu 🙏🙏🇨🇩🇨🇩🇧🇻🇧🇻
@RwachiryoraWema
@RwachiryoraWema Месяц назад
At this point hata shusho mwenyewe hatambui congo. Wacongo mnashida. Haya Bolingo tumekuskia shida ni hatuezi kuja hatujui kwenyu ni wapi mwaya
@lydiamburia4113
@lydiamburia4113 Месяц назад
The story book : Mfahamu Christina Shusho Je ni Malaika au Shetani wa Injili Aliyevunja ndoa yake. THE DEVIL IS A BIG LIAR IN HIS NATIVE LANGUAGE.
@user-hv1rg1be4w
@user-hv1rg1be4w Месяц назад
Jmn wat u eating Mung u tusihuku Tusije Tula hukumowa na Mungu mwenyewe🙏🙏🙏🙏🙏
@user-ml4of7yu5g
@user-ml4of7yu5g 29 дней назад
Mbona sia mini
@Inkubutembo7779
@Inkubutembo7779 2 месяца назад
Huyo sasa ni sawa na Yezebeli.
@FredyMsigwa-ul5kr
@FredyMsigwa-ul5kr Месяц назад
Da! Yote anayajua mungu mimi ninani hata nihukumu
@SamsonEzekiel-or9xc
@SamsonEzekiel-or9xc 2 месяца назад
Anasura nzuri yuko bombaa
@catherineangaufoo2530
@catherineangaufoo2530 Месяц назад
She not he
@EzekMhale
@EzekMhale Месяц назад
Mungu ndie atoaye hukumu acheni afanye kazi yake
@MiruhoFaida
@MiruhoFaida 2 месяца назад
Ulianza kwa roho umemaliza kwa mwili😢😢
@basilisamsaka8469
@basilisamsaka8469 Месяц назад
Mwacheeeeni jmn
@THEKINGBROWN-Top_angrybadman
@THEKINGBROWN-Top_angrybadman Месяц назад
Uyo shusho ni mcongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 twamjua vizuri alikua naishi kambini Tanzania ndo Aka anza imba uko , alikua muimbaji tokea Congo drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 alikua bado kujulikana ,nyie wa Tanzania amna vipaji acheni Kuji Tia Ku vitu visio vyenu
@rabilubinza7661
@rabilubinza7661 Месяц назад
hahaaaaa
@everfredrick4979
@everfredrick4979 Месяц назад
Ukisikia siku za mwisho ndo hizi paka watumish nanamsema mtumishi mwenzawo Sasa nani atamuombea huyu dada ? Mungu atusaidie sanaa!
@michelinemapendo6652
@michelinemapendo6652 Месяц назад
Nishetani kajiunga nawa imbaji waduniyaaa khaaaa 😢😢😢😢
@herimornchriston6083
@herimornchriston6083 2 месяца назад
rip my mbs
@PeterKyamba
@PeterKyamba Месяц назад
ubarikiwe neno Mchungaji
@ElizabethFaimu
@ElizabethFaimu 29 дней назад
Christina muogope Mungu
@gibranmwasi-kw8px
@gibranmwasi-kw8px 2 месяца назад
Hapa mmegonga pahali sipo
@user-fc2rk1rp2z
@user-fc2rk1rp2z 2 месяца назад
Kwa Nini??
@johngeorge4834
@johngeorge4834 Месяц назад
Mwenye kumhukumu ahakikishe pia yeye hana dhambi hata kidogo ivi😢
@saumbliz8983
@saumbliz8983 2 месяца назад
Wasanii wote wa tanzania freemason
@davejeams
@davejeams 2 месяца назад
Malaya wa Ch. shusho !
@joannesmalipo3008
@joannesmalipo3008 Месяц назад
Christina Shusho akuzalia Tanzania! Ni mu Congo wa DRC kwabo Uvira nimukimbizi wa vita DRC mwaka 1996. Nimu Congo wa baba na mama kwa Uvira jina yake ya kweli ni CHRISTINE NONDO.
@MarcelinMashala
@MarcelinMashala Месяц назад
Njo habari ya kweli tunayoijuwa
@user-hr7ep8zt2r
@user-hr7ep8zt2r 2 месяца назад
Uleamechanganyikiwa mungu amukumbuke amekuwa ikabodi
@JoshuaCharles-jr6ro
@JoshuaCharles-jr6ro Месяц назад
Huyo cyo jamali mdogo wake mandonga
@AnethSwila-tw9mv
@AnethSwila-tw9mv 2 месяца назад
Na hizo Pete zake hata Huwa siziamini
@user-lo9kv9vv3n
@user-lo9kv9vv3n 2 месяца назад
Acheni uongo
@janewasilwa8813
@janewasilwa8813 Месяц назад
Let God who is true speak. The rest are irrelevant
@AdolfKitawa
@AdolfKitawa Месяц назад
Haujaeleweka
@user-ew4qf9ud4v
@user-ew4qf9ud4v 2 месяца назад
Naona kama sio jamaal hivi sijui vip
@AlbertYangson
@AlbertYangson 2 месяца назад
Mamekap2 yanafanya aonekane binti but ni mzee huyo
@jamescarloss9671
@jamescarloss9671 Месяц назад
Sio mtanzania uyo ni mcongomani, na alikuwa anaishi pale kambini nyarugusu kijiji cha H2
@alicekthoya96
@alicekthoya96 2 месяца назад
Mungu ndio hukum, msipende kuhukum wengine acheni Mungu afanye kaz yake....
@habililailo271
@habililailo271 Месяц назад
Mungu hadhihakiwi utavuna ulicho kipanda. nuru na giza haviwez kuwa pamoj. Imani bila matendo imekufa. Haiwezekan mtu anatuhubiri kupitia uimbaji na ni mchungaji aseme Mungu amemuita kumtumikia amesema achana na ndoa kwa hiyo alipokua kweny ndoa alikua anamtumikia nani? Na sasa anamtumikia Mungu? Hapo lazm kweny vichwa vya watu kuwe na( ?) kumbuka NURU NA GIZA HAVIKAI PAMOJA YESU ALISEMA.
@yosurekirahuka
@yosurekirahuka Месяц назад
Kumbuka, Mungu hufanya kazi yake pia kupitia watoto wake, au wanadamu wake,
@alicekthoya96
@alicekthoya96 Месяц назад
@habililailo271 there's alot behind the social media zenye ni sababu ya maisha binafs.....I can't judge her bcoz yy mwenyewe na Mungu ndio wanajua kilichomtoa kwenye hio ndoa ....tusiwe wepes wa kuhukum....
@habililailo271
@habililailo271 Месяц назад
@alicekthoya96 yeye anadai kilichomtoa kweny ndoa yake ni Mungu, sababu amemuita kumtumikia kwaiyo asitufany sisi hatujasoma neno la Mungu aje kweny social media atudanganye.
@DomeMasti-jeuneAkilimali
@DomeMasti-jeuneAkilimali Месяц назад
Yaani umependa wamupakae mafuta? Iyo siyo hukumu. Haujue kwamba Yesu kristo alisema hakuna jambo halitafunuliwa! Elle est fausse servante !
@NiyizigamaClaudine
@NiyizigamaClaudine Месяц назад
Myaka 50 mbona kacelewa Atulite na muze mwenzake Aace vijana huyo ni mubembe
@isaacnjoni8021
@isaacnjoni8021 Месяц назад
Shenzi saana
@zainababdul2704
@zainababdul2704 Месяц назад
Ndo maana sipendagi kufungua video za RU-vid yaan content ya picha nje na video yenyewe ni vitu viwili tofauti
@zamdanamwenje9415
@zamdanamwenje9415 Месяц назад
Huyu anatangaza vibaya
@hildamsumal8628
@hildamsumal8628 Месяц назад
Kume kucha
@jemsjingo483
@jemsjingo483 Месяц назад
Wacha mwenyewe aseme kwa kinywa chake
@salamsabdullah-st9pt
@salamsabdullah-st9pt 2 месяца назад
Sipendi iruminat
@theogeorge3773
@theogeorge3773 Месяц назад
1974 kumbe mkubwa aisee
@user-kg7xb4hm5m
@user-kg7xb4hm5m Месяц назад
Hawezi kuwa na 50yrs
@uzimakwayesutv
@uzimakwayesutv Месяц назад
Sisi Ni Nuru Ya Ulimwengu Nuru Na Giza Havikai Pamoja Tena Nichunvi Ikihalibika Yafaanini?
@janewangui7074
@janewangui7074 2 месяца назад
Please pray for me stroke paralysis revred
@emoalembe4790
@emoalembe4790 2 месяца назад
Que la main puissante de Jesus-Christ notre Seigneur puisse vous toucher dès maintenant et que la guérison entre en vous au nom de Jesus-Christ !!!!
@amoskariuki2881
@amoskariuki2881 Месяц назад
Healing in Jesus name
@user-si3ts1px8z
@user-si3ts1px8z Месяц назад
Huyu mwanamke christina shusho ni malaya tu aliache jina la shusho
@johnngugi9552
@johnngugi9552 2 месяца назад
Ukweli setani husababisha wanandoa waachane,lakini ki biblia ni kifo tu kinaruhusiwa wanandoa waachane 1corinthians7:39-40.
@johnngugi9552
@johnngugi9552 2 месяца назад
Setani hupiga vita ndoa sana maanake nini unanjua sikivunjika Kakuba ufalme wa milele
@godlovemalekela17
@godlovemalekela17 Месяц назад
Usihukumu
@yusuphyusuph1641
@yusuphyusuph1641 Месяц назад
1974 uongo labda 1984
@NondelaCastro
@NondelaCastro 17 дней назад
Ni hatari kuwaona awa wasani wa kikristo kumbe nima shetani
@imanimulumbilwa6056
@imanimulumbilwa6056 Месяц назад
Mwaka wa 1974,acheni uwongo ninyi .
@marionoti5760
@marionoti5760 2 месяца назад
Walokole bwana! sio muziki uliompa umaarufu , walokole wanavutwa na sura yake, wanajisikia fahari kuwa na sura ya Delila miongoni mwao.
@user-go5hd4wl5r
@user-go5hd4wl5r Месяц назад
Storia ya uhongo mmmmm 🤔😳 siji utube tena
@user-mf8su7us1j
@user-mf8su7us1j 2 месяца назад
Kumbe mkubwa Sasa mbona ansonekana Binti
@EspoirJosueBahizire
@EspoirJosueBahizire Месяц назад
Ni Congolaise ule dada
@shabani_Osee_Ngena
@shabani_Osee_Ngena 3 месяца назад
😂😂
@swalehsalim5576
@swalehsalim5576 Месяц назад
Wanawake waokovu nao pia wana balaa zao
@momylaviel
@momylaviel 2 месяца назад
Mambo ya watu hayakuhusu nyau wewe
@uzimakwayesutv
@uzimakwayesutv Месяц назад
Shetani huyo Hatufai Kwenye Familia Yetu Watoto Wa kristo Yesu
@esterkabigili
@esterkabigili Месяц назад
Kwani we ni mtakatifu?
@esterkabigili
@esterkabigili Месяц назад
Kama neema ya Mungu imekuhifadhi si umuombee neema ya Mungu pia? Si vema kujihesabia Haki kama mkristo. Mwenyewe YESU alikuja kutafuta kilichopotea
@aidankakulu398
@aidankakulu398 Месяц назад
LIMALAYAAAAAAAAAA HILOOOOOO JIBWAKOKOOOOOO
@VeronicaKamau-np2si
@VeronicaKamau-np2si Месяц назад
Kama hujui historia yake mwache,,,you cannot understand 😂😂
@stanslaustwanje7543
@stanslaustwanje7543 Месяц назад
Sawa ss unatak kusemaje kwamb na yeye n Freemason au ..?!!tafuta content nyngne
@beverlykabz5429
@beverlykabz5429 Месяц назад
Hii ni tabia mbovu sana. The creator of this video must repent :/
@mercynina6288
@mercynina6288 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@Farajahelene23031
@Farajahelene23031 2 месяца назад
Nonsense
@salamsabdullah-st9pt
@salamsabdullah-st9pt 2 месяца назад
Shetani huyo
@RwachiryoraWema
@RwachiryoraWema 2 месяца назад
Nani nishetani wewe au yeye we mwenyewe bin Adam kumuita mwenzio shetani ina maanisha wewe una roho ya sherani pengine
@user-ew4qf9ud4v
@user-ew4qf9ud4v 2 месяца назад
Hivi wewe ni jamaal??..nauliza tu
@Epicbongo
@Epicbongo 2 месяца назад
Hapna hii sio wasafi.
@MolinaSammy-gi1lb
@MolinaSammy-gi1lb 18 дней назад
Asilimia 70 ya unayosema hapa ni uongo mkubwa kwa sababu chanzo cha habari zako ni aidha toka kwa media kama hizi au za christina shusho mwenyewe ambazo anasema uongo mtupu. Historia yako kumuhusu ni uongo mtupu. Hakuna substance katika mambo mengi mnayojifanya mnaandika, mnatafuta views tu.
@luckymsomba4818
@luckymsomba4818 Месяц назад
Naona kama mmetumwa wajinga nyny
@phanicelidjo8011
@phanicelidjo8011 2 месяца назад
Shushos voice is very poor, she can't even perform live. She serves other gods.
@lucytonkei2391
@lucytonkei2391 Месяц назад
Rubbish
@THEKINGBROWN-Top_angrybadman
@THEKINGBROWN-Top_angrybadman Месяц назад
Uyo shusho ni mcongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 twamjua vizuri alikua naishi kambini Tanzania ndo Aka anza imba uko , alikua muimbaji tokea Congo drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 alikua bado kujulikana ,nyie wa Tanzania amna vipaji acheni Kuji Tia Ku vitu visio vyenu..
@AnithaMuvurwaneza
@AnithaMuvurwaneza Месяц назад
Ayakuusu mu Congo mu tzt wote ni Wa africa 😂😂😂
@THEKINGBROWN-Top_angrybadman
@THEKINGBROWN-Top_angrybadman Месяц назад
Uyo shusho ni mcongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 twamjua vizuri alikua naishi kambini Tanzania ndo Aka anza imba uko , alikua muimbaji tokea Congo drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 alikua bado kujulikana ,nyie wa Tanzania amna vipaji acheni Kuji Tia Ku vitu visio vyenu&
@merinazyd0532
@merinazyd0532 21 день назад
Kwao Tanzania Kigoma
@eliassoingei2046
@eliassoingei2046 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@THEKINGBROWN-Top_angrybadman
@THEKINGBROWN-Top_angrybadman Месяц назад
Uyo shusho ni mcongo 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 twamjua vizuri alikua naishi kambini Tanzania ndo Aka anza imba uko , alikua muimbaji tokea Congo drc 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩 alikua bado kujulikana ,nyie wa Tanzania amna vipaji acheni Kuji Tia Ku vitu visio vyenu
Далее
МАЛОЙ И РЕЧКА
00:36
Просмотров 108 тыс.
Repeat 🥴🤣 LeoNata family #shorts
00:11
Просмотров 1,5 млн
Israel Mbonyi - Nina Siri
11:11
Просмотров 51 млн
The Story Book:Ukweli Wote Kuhusu PEPONI.
48:39
Просмотров 625 тыс.