Тёмный

TOFAUTI YA UPENDO NA MAPENZI | DEO SUKAMBI 

Deo Sukambi
Подписаться 19 тыс.
Просмотров 24 тыс.
50% 1

Karibu katika kipindi cha UPONYAJI WA FAMILIA na Pastor Deo Sukambi. Leo tunajifunza TOFAUTI YA UPENDO NA MAPENZI.
Unaweza Kusapoti huduma hii
TIGO PESA 0715 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
M PESA 0746 104 034 (DEOGRATIUS SUKAMBI)
Endelea kunifuatilia kwenye kupitia
/ deosukambi
/ deosukambi
/ deosukambi1
Usisahau ku subcribe kwa mafundisho zaidi
www.youtube.co...
Deo Sukambi is Counselor | Mentor | Pastor | Public Speaker | Corporate trainer | Author
#DeoSukambi #Familia #Malezi #Watoto #Ndoa #MahusianoUnaweza Kusapoti huduma hii

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 197   
@jeremiahsanga899
@jeremiahsanga899 17 дней назад
I really. Admire you Pastor Umebarikiwa mnooo Unatusaidia sanaaaa
@noelinasaru1496
@noelinasaru1496 7 месяцев назад
Nilidhani ananipenda kumbe ilikuwa ni mapenzi tuu baada ya muda mfupi tukaachana .mtumishi Sasa nimeelewa asante sana be blessed.from Saudia
@Oman-ue5el
@Oman-ue5el 5 дней назад
Asante sana unafundisha vizur sana .nipo oman jazila
@Pili-m8r
@Pili-m8r 8 дней назад
Shukuruni Sana nime ji funza upendo na mapenzi
@judymwangi6370
@judymwangi6370 7 месяцев назад
Kwa mafundisho haya,🙌 basi asante sana mume wangu kwa kunionyesha upendo, kuhusu mapenz, nitapunguza haya matarajio, eeh Mungu tupe afya njema kama familia🤲...baba Emma📢📢📢📢📢🎉🎉🎉🎉🎉❤❤❤❤❤ out with my head down
@Oman-ue5el
@Oman-ue5el 5 дней назад
Shukran sana nimejifunza mengi sana.from oman
@LucyEzekiel-gm2jr
@LucyEzekiel-gm2jr 7 месяцев назад
Barikiwa sana mtumishi wa Mungu, Yesu aendelee kukupatia mafunuo ili uwasaidie watu wa Mungu kwa sababu hiki kizazi kinahitaji mafundisho sana.
@fatumamesso2573
@fatumamesso2573 7 месяцев назад
Upendo ninmaana kuliko mapenzi. Asante pastor
@ibrahimukikwilili4368
@ibrahimukikwilili4368 7 месяцев назад
Anafundisha vizuri sana nimekubali unaelimisha jamii vizuri hata mb zangu kula tuu
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
Haleluyaaa
@genevievesunday
@genevievesunday 3 месяца назад
Uko vzr baba
@JosphineAtieno-m6t
@JosphineAtieno-m6t Месяц назад
Najee,mtu,mwenye,alitaka,kuniuwa,nilipomwuliza,aliniambia,ati,nikunipenda,ni,ukweli,
@WemaJohn-r1e
@WemaJohn-r1e 7 месяцев назад
Mungu akubariki sana tena azidi kukujaliza hayo madili nimechukua nondo hizo da! Hakika umenitoa upofu god bless you pastor
@SimpleNdagije
@SimpleNdagije 4 месяца назад
Nimefurahi sana kwa somo Asante sana ubarikiwe sana ❤❤❤
@esthermliga4875
@esthermliga4875 7 месяцев назад
Asante sana Pastor Kwa Somo zuri, tangu nimeanza kufuatilia vipind vyako Kuna kitu napokea siku Hadi siku ambavyo ni msaada San ktk familia yangu!!! Mungu akubariki sana
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
Ameeeen
@hammerymachogu3885
@hammerymachogu3885 5 месяцев назад
Bravo pastor somo zuri sana nimejufunza kitu ,barikiwa sana mtu wa Mungu
@MamaNabii
@MamaNabii 6 месяцев назад
Asante Sana pastor kwa mafunzo
@MonikaAsedi
@MonikaAsedi 6 месяцев назад
Asante kwa mafundisho mazuri ,ubarikiwe sana
@MwinyiAli-k9x
@MwinyiAli-k9x 15 дней назад
Uko sawa bro
@maryamChumas
@maryamChumas 7 месяцев назад
Asante baba nimejifunza japo sina mtu ila naogopaaa maaana hiyo engo inahitaji msaada wa mungu inshaallah khery ya allah anipe kilicho bora kwangu nami niwe bora kwakeee amin ❤❤❤❤❤shukran sana
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
Mungu atakujalia aliye bora na kufaa. Endelea kujifunza
@maryamChumas
@maryamChumas 7 месяцев назад
@@DeoSukambi amin
@frolaibrahim1257
@frolaibrahim1257 7 месяцев назад
Uko vizuri Pastor Uko sawa kabisa. Hongera kwa Kipawa hicho.
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
Asante..utukufu kwa Mungu
@sifaoksbagirishyasie2410
@sifaoksbagirishyasie2410 6 месяцев назад
ASante kwa Ujumbe huu mzuri Jamani😊🌻, nimejifunza Mengi saana. Lazma kurudi kwenye asilia, kama mababu zangu.
@davielubuyih-yh7sx
@davielubuyih-yh7sx 6 месяцев назад
Ahsante kwa nondo za uhakika unatutoa tongotongo kwakweli
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 месяцев назад
Asante sana
@DeniseKarafuli-fn2qb
@DeniseKarafuli-fn2qb 5 месяцев назад
Asante kwa mashauri kuhusu ukimia wamwanaume
@SubiraSanga
@SubiraSanga 7 месяцев назад
Asante kwa somo zr barkiw
@manmanonline6394
@manmanonline6394 3 месяца назад
asante sana bro Mungu akubariki,hakika umenipa ujasiri wa kujua na kutoka ktk madhila
@politenessjasper4100
@politenessjasper4100 7 месяцев назад
Asante sanaa,nimekuelewaa
@mavelyenlaurent8103
@mavelyenlaurent8103 7 месяцев назад
Asantee sana Kuna sehemu umenipeleka
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
Barikiwa
@rithatekakwitha666
@rithatekakwitha666 7 месяцев назад
Asante sana mafundisho ya maana
@HalimaHalimaomary
@HalimaHalimaomary 23 дня назад
Hap kwenye SIM shukran
@work24onme
@work24onme 7 месяцев назад
Holy Spirit Amen 🙏🏼 Asante sana mwalimu Joel, God Bless you, Amen 🙏🏼
@MarcelBlessing-ef7rz
@MarcelBlessing-ef7rz 7 месяцев назад
Papa ubarikiwe unanifadha kujuwa mapenzi na upendo ✊
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
Amen..barikiwa sana
@AbubakariAmani-g9j
@AbubakariAmani-g9j 12 дней назад
​@@DeoSukambipasta ninachangamoto kubwa katika maisha yangu kuhusu mahusiano sina wakunishauri wala kunifariji naisi kwako nitapata kitu sjui nakupata vipi kimawasiliano
@rithatekakwitha666
@rithatekakwitha666 7 месяцев назад
Asante sana
@williardfesto5162
@williardfesto5162 2 месяца назад
Ubarikiwe sana doctor
@LilianMbangwa
@LilianMbangwa 3 месяца назад
Ubarikiwe kwa somo
@godwineliya5434
@godwineliya5434 7 месяцев назад
Daah masomo mengine yalipaswa kufundishwa miaka kadhaa nyuma but somo nzuriiii nimejipatia kipande changu barikiwa Pastor Deo
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
Amen amen ndugu
@beera.g5302
@beera.g5302 6 месяцев назад
Asante sn pastor 🥺, very educative ✍🏼🙏🏼😊❤
@Khadjaty
@Khadjaty 7 месяцев назад
Asante Sana tunajifunza mengi kupitiya wewe
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
Karibu sana
@jennytugara9470
@jennytugara9470 7 месяцев назад
Hata mimi umenifurahisha sana Mr Sukambi umewatoa Watu wengi upofu. Wadada wengi kwa kweli they cant tell the difference katika Upendo na Mapenzi ndio maana ndoa zinachechemea. Kumbe expectations zao zinakuwa off🙏🏾
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
Barikiwa sana ndugu
@mhamadaldo7338
@mhamadaldo7338 7 месяцев назад
​@@DeoSukambishukurani sana
@OmanOman-c9d
@OmanOman-c9d 7 месяцев назад
Nimekuelewa pastor ila kuna mwanaume anaupendo sana na mm ila tumeachana wazazi wamemtafutia mwanamke mwingine ila nahisi ana upendo sana bado na mm na bado nina upendo na mm je inawezekana aliyemuoa anamuonyesha upendo au ndo mapenzi tu
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
@@OmanOman-c9d sasa kama upendo wake kwako haukutosha yeye kusimama upande wako ina maana gani? Wazazi wanamuamulia mke wa kuoa? Sifikiri kama huyo anajua maana ya kuwa mume
@jennytugara9470
@jennytugara9470 7 месяцев назад
@@OmanOman-c9d kama ana kupenda ni jambo jema hata bible inasema pendaneni. Ila swala la mapenzi ni hisia na hisia huwa zinaisha ila upendo ndio kinacho dumu. Kama Mke alietafutiwa anampenda basi ndoa itadumu ila kama ni Mapenzi tu hisia huwa zina expire.
@TasusiSalum
@TasusiSalum 7 месяцев назад
Asante sana ,Mungu akubariki
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
Amen
@ClailleICIDUHAYE-xh3ll
@ClailleICIDUHAYE-xh3ll 4 месяца назад
Kweliiii unafundisha vizuli,nakupenda ten napend gisi unafundisha ❤from burundiii
@inkflygraphix
@inkflygraphix 7 месяцев назад
Mungu akubadiriki sana Pastor
@KhadijaMayange
@KhadijaMayange 29 дней назад
Nakupata. Mkubwa
@fatmakombo9793
@fatmakombo9793 7 месяцев назад
Asante kaka nimejifunza mengi sana 🎉
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
Barikiwa
@loycep7785
@loycep7785 7 месяцев назад
Mimi Loyce niko Marekani nabarikiwa na mafundisho haya na nimejifunza kitu Barikiwa sana mchungaji
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
Amen Loyce
@ipyanaangetile38
@ipyanaangetile38 7 месяцев назад
Uko vizuri mtumishi .niko Arusha tunakupata
@InviolataLuena-f2j
@InviolataLuena-f2j 6 месяцев назад
Kuhusu Uvamizi wa Mizimu ktk mahusiano Kupitia mila potofu unaonaje? Kuna kiburi kumbe si MTU anafanya. Mie Heri Halisi Niko Songea Kanisa Halisi. Hongera kwa kujitoa
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 месяцев назад
Uvamizi wa roho chafu upo lakini kabla hujafikia huko ni vema kutathmini vyanzo vingine vya tabia hizo
@VivianAudax-f1l
@VivianAudax-f1l 7 месяцев назад
Hasante mchungaji umenisaidia namimi mungu akubariki
@HyleneGesare
@HyleneGesare 7 месяцев назад
Amen mungu àkubariki
@StevenMatei
@StevenMatei 7 месяцев назад
Yanu una madini sanaaaa kaka ubarikiwe sanaaaa
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
Ameeeeeen
@claricemapenzi7581
@claricemapenzi7581 4 месяца назад
Hakika umenifunza kitu asante sana
@fatumakale7004
@fatumakale7004 4 месяца назад
Shukrn kakngu
@rozaliaWilson
@rozaliaWilson 13 дней назад
Mm hana mixemixe nyingi ❤
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 7 месяцев назад
Bora upendwe kuliko mapenzi
@angeldeusdedith2918
@angeldeusdedith2918 6 месяцев назад
Ashsante Mr sukambi
@RukiaMdide
@RukiaMdide 4 месяца назад
Asante sana yupo mwanaume anaupendo na mimi lakini mimi nipo mbali nipo Oman ameniambia atanivumilia mpaka nitakapo rudi ila anasema ananipenda
@HalimaHalimaomary
@HalimaHalimaomary 23 дня назад
Je utajuaje kama anakupenda
@PatrickMusyoka123
@PatrickMusyoka123 2 месяца назад
Safi mwalimu
@salambajosephine3211
@salambajosephine3211 3 месяца назад
Nikweli unacho kiongeaa ubarikiwe
@work24onme
@work24onme 7 месяцев назад
Holy Spirit Amen 🙏🏼
@Gladysalbinus
@Gladysalbinus 6 месяцев назад
Asante sana barikiwa sana nimejifunza sana adi nimejikuta nina subscribe.
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 месяцев назад
Karibu sana
@josephwawuda3204
@josephwawuda3204 7 месяцев назад
Asate sana kwa mafundisho nyako hakii nimejifuza mengi sana kupitia haya mafundisho GOD BLESS YOU 🙌
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
Amen amen ndugu
@matildakaria1532
@matildakaria1532 7 месяцев назад
Mwenzangu tulipendana tuna mwaka wa 14 hatujafunga ndoa ila tuna mpango lkn tutafanya biashara pamoja na tuko vizuri hakuna shida tunashirikiana kwa mambo mengi na ananishauri mambo mazuri hata yanayohusu familia yangu.napia tunafanya miradi kwa ajili ya maisha yetu ya baadaye.
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
Mungu awafanikishe kwenye nia yenu hiyo ya kufunga ndoa
@matildakaria1532
@matildakaria1532 7 месяцев назад
@@DeoSukambi Amina pastor nafaidika sana na mafundisho Yako na tayari Nina majibu ya maswali niliypkuwa najiuliza kwa kukusikuliza Kila wakati Mungu akubariki sana.
@NuratyAlly-lq7xc
@NuratyAlly-lq7xc 7 месяцев назад
Dada umeona jibu la deo jitafakari
@NuratyAlly-lq7xc
@NuratyAlly-lq7xc 7 месяцев назад
Kutengeneza mali pamoja bila ndoa ni riziki san
@joycebosire3434
@joycebosire3434 7 месяцев назад
Subiri kukimbiwa tu na huyo mwanaume. Nafikiria huwajui wanaume wewe ataenda tafuta mwanamke mwingine wa kuowa na atakula hizo Mali be careful 😅
@SarahTsuma-g3r
@SarahTsuma-g3r 7 месяцев назад
Very true
@SaraEmmanuel-f9d
@SaraEmmanuel-f9d 6 месяцев назад
Mm ni mgonjwa aiseee pastor hapo mwsho umeongea nimimi kabsa lakin mwanaume nilienae hawezi kabisa....pia if possible naruhusiwa kukupigia cm kwa namb hzo nikuelezee kitu kidogo tafadhal
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 месяцев назад
Sawa unaweza kupiga japo ni vizuri ukanitext whatsap ili tupange appointment
@dianajuma2734
@dianajuma2734 5 месяцев назад
Asanteee mi wangu yuko bize lakin ananijali pale ninapo kua n uhitaji na hua ananiuliza kuusu changamoto zangu maan yupo mbali na mimi
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 7 месяцев назад
Nimekuelewa
@EstherGoodwell-jb5wq
@EstherGoodwell-jb5wq 7 месяцев назад
Asante sana mtumishi wa Bwana umenitowa upofu kweli yote uliyangumza kama umeniona Mimi jinsi navolalamika Mme wangu asiponigiya SIM naona kama hanipendi nimejifunza mengi sana alafu nimeamini Kweli mapenzi hayalazimichiki
@lightnessmamuya3893
@lightnessmamuya3893 3 месяца назад
❤❤❤
@enerstmusa5398
@enerstmusa5398 7 месяцев назад
nakukubari sana kaka naomba kitabu chako cha usilolijua kuhusu mwanaume
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
Asante sana kaka..piga namba 0786903727 kukipata
@SubiraSanga
@SubiraSanga 7 месяцев назад
kwahiy m mme wangu sipaswi kumnunulia hata yebo za kuogea
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
Mnunulie haina shida kabisa
@menshitunze
@menshitunze 5 месяцев назад
Pastor your👍good,bravo,🙏🙏
@JohnVincent-fc3vp
@JohnVincent-fc3vp 5 месяцев назад
John vicent ,Toka singida mada nzuri
@rithatekakwitha666
@rithatekakwitha666 7 месяцев назад
Kweli nimejifunza
@LeticiaShoka-me2wq
@LeticiaShoka-me2wq 7 месяцев назад
Asante mtumishi uko vzr sanaaa
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
Amen amen
@DoreenMwende-te7zd
@DoreenMwende-te7zd 3 месяца назад
Big up🎉🎉🎉
@harosicharo2736
@harosicharo2736 3 месяца назад
❤❤unaongea ukweli kbsa nasikiliza nikiwa mombsa likoni
@Marsiana-s1t
@Marsiana-s1t 6 месяцев назад
Asante Sana kwa Somo lako nzuri
@sarah-hy7gz
@sarah-hy7gz 7 месяцев назад
Nipo ugaibun huku gulfu ndy kufa Tulia sana deo
@rozaliaWilson
@rozaliaWilson 13 дней назад
Mm hana mixemixe nyingi
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 7 месяцев назад
Mwenye upendo wa dhati duniani ni mama tu🎉
@josephlubaba
@josephlubaba 7 месяцев назад
sio mama wote tu
@aateriadaniel1135
@aateriadaniel1135 6 месяцев назад
🙏🙏🙏🙏🙏
@jamilamanariyojamila1487
@jamilamanariyojamila1487 7 месяцев назад
Asante kumbe Wengiwetu tulikuwatunadanganyika na mapenzi🤭🙏🙏
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
Yeah wengi wanalaghaiwa na mapenzi
@DorothyNambeye
@DorothyNambeye 7 месяцев назад
Nimekupata nipo Zambia umenitoa upofu mkubwa Mungu akuongezee maarifa
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
Asante sana kutoka Zambia
@jenipherkavusha1661
@jenipherkavusha1661 7 месяцев назад
❤❤❤
@johnathumani6891
@johnathumani6891 7 месяцев назад
John kuyoka US nakupata vizuri
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
Asante sana kutoka ISA
@josephwawuda3204
@josephwawuda3204 7 месяцев назад
Josphine nakupata vizuri kutoka Jordan 🇯🇴
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
Asante sana kutoka Jordan
@frolaibrahim1257
@frolaibrahim1257 7 месяцев назад
Pasta kiukweli nakuelewa sn. Ila tunavunjika sn Kuwapenda wasio tupenda.
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
Naelewa..Neema ya Kristo isiwapungukie
@SahimSahil
@SahimSahil 3 месяца назад
Nakupata viziri npo uturuki kaka salma hapa
@luselose9944
@luselose9944 7 месяцев назад
Nakufuatilia kutoka Saudi
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
Asante sana kutoka Saudi
@PriscaWiliam-vh5tl
@PriscaWiliam-vh5tl 3 месяца назад
Pastor ndoa yangu ipo ICU umenigusa sana nahitaji kukuona
@rozaliaWilson
@rozaliaWilson 13 дней назад
Mm nina mahusiano ya mtu ambae mambo hayo ya kuonyeaha mapnzi hana mixemixe za kisasa. Kukupa pesa wala kukusaidia kitu lkn huwa anaonba msamaha na kunifundxa baadhi ya vitu ila bado hatujaoana
@rozaliakimwaga4648
@rozaliakimwaga4648 7 месяцев назад
Hakika umenifundisha vingi mtumishi
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
Asante sana kwa mrejesho
@imanimwakinga4934
@imanimwakinga4934 7 месяцев назад
Umerahisisha sana process 😂😂😂😂😂😂😂
@perpetuaganyara2048
@perpetuaganyara2048 7 месяцев назад
Somo hili liimenigusà mno, limenihusu, naitaji kufànya appointment nipone nafssi
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
Karibu sana
@universalgospelministriesh8751
@universalgospelministriesh8751 7 месяцев назад
niko kenya
@DeoSukambi
@DeoSukambi 7 месяцев назад
Asante sana salamu zangu kenya
@SarahTsuma-g3r
@SarahTsuma-g3r 7 месяцев назад
Nafatilia nkiwa saud arabia am a kenyan
@LupiPrisca
@LupiPrisca 6 месяцев назад
Nashuruku kwa somo zuri na vipi kuhusu mtu ambae hatoi huduma yyt na anajiangalia yy na hufanya vitu kiubinafsi hapo nko kwenye upendo au nko miaka 4 Sasa naishi nae
@DeoSukambi
@DeoSukambi 6 месяцев назад
Kuna shida mahali..upendo unaendana na kutoa sio kupokea..kama mtu hatoi basi kuna uwalakini kwenye huo upendo wake unless iwe hana uwezo kabisa
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 7 месяцев назад
Jamani kihelehele kibaya
@happnesskitumbo5713
@happnesskitumbo5713 7 месяцев назад
Kibaya Sana, ndicho kinachpwafanya watu wengi waumizwe kwenye mahusiano.
@judithnjunwa6668
@judithnjunwa6668 7 месяцев назад
Kama Yesu KRISTO alivyonipenda,,,,,
@RenatusMatungwa
@RenatusMatungwa 4 месяца назад
Wanawake wa kisasa mapenzi kwao ndo upendo anataka umfanyie vitu anavyohitaji hapo ndo ataamini unampenda
@MwajeyMussa
@MwajeyMussa 5 месяцев назад
Ndio
@SophiaMalley-kw7pi
@SophiaMalley-kw7pi 7 месяцев назад
Naitwa Sophia kutoka manyara
@theresiachigali9482
@theresiachigali9482 4 месяца назад
Nico dodoma mama samwel
Далее
KWANINI MWENZI WAKO HAKUPENDI |  Deo Sukambi
41:00
TOFAUTI YA MKE NA MSAIDIZI | DEO SUKAMBI
53:50
Просмотров 6 тыс.
NAFASI YA MAMA NA BABA KULEA MTOTO
31:29
Просмотров 5 тыс.
UDHAHIFU WA MWANAUME #mapenzi #upendo #ndoa #uaminifu
27:12
SIFA TATU (3) ZA MKE | DEO SUKAMBI
1:03:07
Просмотров 145 тыс.