Kitanda usichokilalia hujuwi kunguni wake,,tafuta mkuu wa hesabu za serikali za kila mwaka utajuwa ,, HIYO filamu uliyoweka HAPO ya treni inayopita KWA mbali tukiona jiji zuri, HIYO filam si ya Tanzania usitudanganye
Just came across your website after I've enjoyed following the progress of the sgr for three and a half years. However, you'll still a dozen languages with closed captions. But there aren't closed captions in any of the listed languages. Although my language is English, what I actually find most disturbing, is that you don't have Swaheli list so that Tanzanians who are Def, don't know what is being said either. Would love to hear about plans for a sgr linking Nairobi to Arusha and then on to Dodama. I also keep wondering why I don't hear anything about the SGR to Kigali. It willalso be interesting to see if a completely new line is built between Tabora and Kigomah, or if a dual track which can be put in place quickly.
Here is the link for English version ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-NudJXVatue4.html&ab_channel=AdvancedEngineeringSolutionsLtdTanzania
The plans for SGR line to Kigoma and then to Burundi and Rwanda and Congo are already on plan and onboarding with the Tanzania Burundi segment will be starting sometime next year. The Tabora-Kigoma segment is also in preparations and ready to go.
challenge nyingi sana , muwatumie vijana wengi walioenda kusoma highway marekani, ukiangalia hizo system zina possibilities za ajali ya hali ya juu sana
Labda Jpm Afufuke ndio tutaona matokeo hayo Sina imani na viongozi WA SERIKALI .UFISADINDIO WAMEBOBEA MARA ROYAL TOUR MAREKANI MARA ULAYA KUMZIKA MALKIA MARA KUTEMBEZA BAKULI HUKU NA HUKO AIBU KWA TAIFA TUMELOGWA NA NANI BASI TUWATAFUTE MAPADRE NA MASHEHE WATUOMBEE
SGR imegeuzwa .....mmetuletea mibehewa ya kigoma to Dar mnatuambia ya kisasa afu et imefugwa kwenye manaironi cjui ndo zuga .aya bwana let mzungu mm naenda zangu 🏃🏃🏃🏃
@@mpendakiswahili3053 hapo umesema lakini si waona Kwan sisi hatuwezi kzitengeneza wenyewe hizo way paka waje wao wachukuwe kwao watengeneze🤔🤔🤔 shangazo kubwa sana
Idadi ya watu Dodoma inakadiriwa kuwa milioni 3 ifikapo mwaka 2050!! Sensa ya mwaka 2022 tayari watu Dodoma ni milioni 3; Badili design ndugu. Ifikapo 2050 Dodoma itakuwa na watu 22 milioni
Hakuna kitu ni maneno tu na mipango mingi. Ya dar Dodoma yenyewe imeshindikana kwisha. Kila siku ni 90% zisizoisha. Barabara ya kimara city center imeshindikana kumaliziwa tu. Hiyo mipango ni hadithi za nchi ya kusadikika tu