Тёмный

TRUMP ajeruhiwa kwa Risasi kwenye Jaribio la Kuuawa wakati wa Mkutano wa kampeni, wawili wauawa 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,4 млн
Просмотров 76 тыс.
50% 1

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Опубликовано:

 

9 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 270   
@King_Of_Everything
@King_Of_Everything 2 месяца назад
No place to run. Except for God's protection.✌️
@dandara008
@dandara008 2 месяца назад
uko wrong my Guy sometimes lazima u Fight, Ngoja AI iwe moto utajua how to save yourself just incase God will not come to intervene .
@AlmachNestory
@AlmachNestory 2 месяца назад
Hii sasa ndiyo Marekani tunayoijua
@AsminHakimo
@AsminHakimo 2 месяца назад
Nimecheka kwa sauti imeshanyesha huko
@azasam1447
@azasam1447 2 месяца назад
Fbi na cia hamna ulinzi imara kbc bora bongo
@AlmachNestory
@AlmachNestory 2 месяца назад
@@azasam1447 Sasa hili tukio la mauwaji lingetokea Urusi, vyombo vya habari vya magharibi ungesikia wakisema CIA na FBI walikuwa wanajua na waliwatahadharisha. Hawa ni matapeli wakubwa wao wenyewe ndio wahuska haya mengine ni mbwembwe tu na propaganda.
@dandara008
@dandara008 2 месяца назад
@@azasam1447😂😂😂😂 acha utani fatilia vizuri iyo ilikua inside work mzee CIA na FBI knew about it sema is an inside job walitaka wamfanye trump kama walivyo mfanya JFK ila sio eti kwamba awajui akati kuna mwana alikamtwa kwa kupitia social media tu acha utani na surveillance ya marekani wewe
@issalyanali4119
@issalyanali4119 2 месяца назад
Huwezi mpiga Putin kuzembe vile
@Abdulrahmaniluhumba-kf6sd
@Abdulrahmaniluhumba-kf6sd 2 месяца назад
Kisha wanazishtakigi nchi za kiafrika kuwa hazina demokrasia ....
@musiccaentertainment100k8
@musiccaentertainment100k8 2 месяца назад
Kwan democrasia ni nini😅😅
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 2 месяца назад
​@@musiccaentertainment100k8democracy ni ushoga
@dandara008
@dandara008 2 месяца назад
😂😂😂😂😂😂 ona sasa yan hajui chochote anaropoka Trump kawa targeted kwa sababu nyingi sio inchi ni Sera za chama ,marekani wazungu kibao wanajitambua na wana hofu ya mungu kama wewe, issue ni viongozi wa vyama vya siasa democratic part VS republican mzee kama unafatilia fatilia mpk mwisho usitikise mti maembe hayaja wiva
@dandara008
@dandara008 2 месяца назад
Sera nyingi za ubaguzi juu ya watu weusi na ndoa za jinsia moja zimeidhinishwa na kuanzishwa pia kutekelezwa na chama cha democratic part ambao ndo walikataa pia kufuta utumwa mpk chama cha republican (abraham lincoln) kupiga vita kufuta biashara hiyo na pia kuwapa watu weusi nafasi ya kufungua biashara na kununua ardhi
@dandara008
@dandara008 2 месяца назад
Na ata ivo marekani ni REPUBLIC OF UNITED STATES kwamba inchi zote ambazo zipo ndani ya bara la American (canada,australia etc)kuungana na kutumia sarafu moja ya kiuchimi na mifumo ya kisiasa na sheria za inchi kwaiyo Sisi wenyew Africa tunatakiwa kujita REPUBLIC OF AFRICA kwa sababu bara la africa ni moja usipagawe na mipaka ya wakoloni democracy is like saying socialism
@rasvegas8991
@rasvegas8991 2 месяца назад
Dj sima alisemaga yupo salamaa
@ramdanmbara8500
@ramdanmbara8500 2 месяца назад
Daah, kwa tukio hili sasa NAMKUBALI SANA DJ SMA. na kuanzia leo najiunga kwenye group la whatsapp
@fauzanhamed
@fauzanhamed 2 месяца назад
hujachelewa sana
@fauzanhamed
@fauzanhamed 2 месяца назад
karibu kweny ulimwengu wa ukomboz wakifikra
@eve3894
@eve3894 2 месяца назад
Asante sana Sky . I was waiting for you to report this. You and your team am doing a great job. Lots of love from London ❤
@redtk2971
@redtk2971 2 месяца назад
We na we icho kingereza cha mkoa gani kwani😂
@mathiaslyamunda2526
@mathiaslyamunda2526 2 месяца назад
Kabisa
@salimbahatisha3003
@salimbahatisha3003 2 месяца назад
Ni London hii hii yenye kiengereza iki au London lounge ya kule ubungo external jeshini😁
@GoodDeeds-Jesus
@GoodDeeds-Jesus 2 месяца назад
@redtk @salimbahatisha Inaonekana ninyi wawili ni wajuaji sana halafu hamjui kitu, hapo alichosea kikubwa hasa ni kipi? Inawezekana hata mkiulizwa kakosea wapi mnaweza kuwa hamjui. Kakosea kwa bahati mbaya nina uhakika huo kwasababu kila kitu kipo sahihi isipokuwa kAtype "am" badala ya "are" kwa mtu muelewa anafahamu kabisa ni bahati mbaya, wabongo sisi kwa chuki na wivu asee!
@habibahabiba7128
@habibahabiba7128 2 месяца назад
Hatari​@@redtk2971
@sonnyr1899
@sonnyr1899 2 месяца назад
Halafu vyombo vya magharibi hawajasema kanusurika kifo bali wanasema eti Trump kaumiya 😮😮😮 Ukweli utakuja tu.
@dandara008
@dandara008 2 месяца назад
😂😂😂😂😂 hao ni CNN ndo mana Trump anawaitaga fake news america is so divided yan utahisi vyombo vyote vya habari vina sugarcoat vitu ni kweli hata raia wanapata shida juu ya icho kitu ndo mana wanatumia social media kama X au TRUTH social kupata habari pure
@dandara008
@dandara008 2 месяца назад
censorship is real na huo ni mfano mdogo
@DavidMwamengo
@DavidMwamengo 2 месяца назад
Sky this is so great, I really appreciate your effort 👌 💪, I think in Africa we practice democracy despite everything which happens here, united state they should come to Africa and learn from us how to practice democracy, anyways its really bad for Trump hoping he will get back to his feet soon
@AliAbdousalami
@AliAbdousalami 2 месяца назад
Marhaba SNS kwa kututa Habari Zauhakika , Hongera ❤
@ayubusossy2893
@ayubusossy2893 2 месяца назад
Perfect keep it up Brother Sky
@ContentSmartphone-rq6po
@ContentSmartphone-rq6po 2 месяца назад
Huyu ndio rais ajae kwakweli😊😊
@elmelekidaniel3015
@elmelekidaniel3015 2 месяца назад
INGEKUWA AFRICA UNGESIKIA WANATAKA KULETA WALINDA AMANI WA UN WAKATIKWAO AMANI HAIPO
@JamalDikolaga
@JamalDikolaga 2 месяца назад
Duh aisee Pol San
@zeinababdi4757
@zeinababdi4757 2 месяца назад
I was watching live when it happened 😮
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 2 месяца назад
Washenzi Mungu Ajaalie NA wao Wapigane Wao kwa wao... kama wanavosababisha mauwaji kwenye ULIMWENGU huu.....🤲
@dandara008
@dandara008 2 месяца назад
😂😂😂😂 siku america ikidondoka jua adi bongo mzee acha kujichetua kaka fatilia siasa mwanzo mwisho isishie njiani
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 2 месяца назад
@@dandara008 mbona tayari ameanza kidogo kidogo kuondoka kwenye sovereignty ya dunia.. Hii kawaida huwa kidogo kidogo
@ayshasaid1547
@ayshasaid1547 2 месяца назад
Damu ya gaza itawaghalimu watageukana wenyewe kwa wenyewe Mungu ajibu maombi
@nassercurtis9579
@nassercurtis9579 2 месяца назад
Unaongea upuuzi mjinga wewe, huyu ni mkweli hafichi hata maovu yao ndio hawampendi, na kuhusu gaza ameshasema sana raisi wa sasa ameziba masikio ukumbuke huyu ni rafiki wa Urusi maana yake uwepo wake ungepunguza vita.
@rjqaasam4587
@rjqaasam4587 2 месяца назад
Aaamiin
@TunuAdam-gc9rc
@TunuAdam-gc9rc 2 месяца назад
​@@nassercurtis9579kweli kabisa unachokisema
@ayshasaid1547
@ayshasaid1547 2 месяца назад
@@nassercurtis9579 wewe ndio mwehu usiejitambua
@jumamussantuiche
@jumamussantuiche 2 месяца назад
Na amini dunia awafuati marekani democrasia.bali wanafuata misaada na uwoga.
@Lewinglovbi6699
@Lewinglovbi6699 2 месяца назад
Ingilikuwa Africa kwetu hapo wangilisema wazungu mpka basi tu😂😂😂
@evelynemugeni2369
@evelynemugeni2369 2 месяца назад
Nawao njo wanaleta migogoro Africa
@SaidSeif-d4y
@SaidSeif-d4y 2 месяца назад
Kwanini wasisemwe, ni wanafik sana ndo wao kwa makusudi wanailetea Africa na n'nchi zengine migogoro kwa zimwi liitwalo democracy
@dandara008
@dandara008 2 месяца назад
@@SaidSeif-d4yKabisa sema we unataka mfumo wa chama kimoja ili iweje ukifatilia chama cha democratic kimekaa madarakani muda mwingi na kina kura za watu wengi weusi lakini chama hicho hicho ndicho kilikataa kuwachilia watumwa wawe huru kimewanyima reparation watu weusi kwaiyo na ni chama cha watu wanaotaka ajenda zao zitimizwe🌈 2016 ulimuona wap trump anaenda inchi za watu anawambia wakubali ushoga akuna kwasabubu yeye anatokea chama cha republicans na sasa chama cha democratic kimemaliza muda wake na raia wanamtaka trump arudi madarakani lazima watime nguvu kubaki madarakani hasahasa pale kiongozi anaerudi madarakani ataki shogo na ajenda zao
@DrNelsonJohnMuhirwe
@DrNelsonJohnMuhirwe 2 месяца назад
Asanteni Sana
@AmaniMathod
@AmaniMathod 2 месяца назад
Joe Biden anawaza vita na trump wanajuwa kwamba watashinda... trump na Vladimir ni marafiki na marekani hawataki Hilo wao wanawaza vita
@jamesraphaelmdima4729
@jamesraphaelmdima4729 2 месяца назад
LGBTQ+ Community hawamtaki trump!
@dandara008
@dandara008 2 месяца назад
@@jamesraphaelmdima4729Trump kafanya mengi chakwanza Amani ukiangalia middle east kwanzia 2016-2020 kulikua hakuna vita Putin alimuheshimu trump kwasababu alizuia bomba lake la mafuta kwenda Europa kwaiyo putin lazima angekua mpole ili afanye biashara kwasababu Russia bila mafuta awana nguvu ya kupigana vita na Trump alikua anajua ilo kwamba hata uwe na vifaru elfu hamsini mabumu hayajifyatui yenyewe lazime wese liwepo na United Arabs walikubali kuendele kuuza mafuta kwa dola na USA ilikua no1 katika uzalishaji wa mafuta kwaiyo hakuna ambaye angeweza kununua mafuta kutoka russia bila kua na hofu kutoka marekani na kwaivyo trump miaka yote 4 ilikua na Amani pia wana inchi waliishi maisha mazuri kwa kushuka kwa bei za mafuta na kila kitu ni mafuta (umeme) pia soko la hisa lilikua zaidi ajira zilikuwepo sio tu kwa watu weupe bali ata watu weusi na raia south american na wachina waliopo marekani ivyo kila Race ilikua inapata ela ya kuendesha maisha yao uhalifu ulipungua uhamiaji haramu pia kwaiyo trump alikua totauti sana na Rais waliopita na ndio mana masocialist awakupenda na wana taka wakabi madarakani pia kwaiyo kwa wao wanamuona trump kama tishio ila kwa raia wanamuona Tumaini lao la mwisho
@Fgldesigns
@Fgldesigns 2 месяца назад
Haya waendelee kutuaminisha Marekani kuna Amani na Demokrasia
@RizikiQueen
@RizikiQueen 2 месяца назад
Marecani akuna amani mimi niko uku amna amani kbs
@gracenbarnes5254
@gracenbarnes5254 2 месяца назад
Hakuna amani sehemu gani ya marekani kazini,mtaani,kazini au wapi mimi naishi marekani sijakutana na kadhia yoyote
@ce-08
@ce-08 2 месяца назад
😂😂 watu bhana amani ipi nyinyi mnayoitaka changamoto ndogo ndogo Kila nchi zipo hakuna nchi ambayo inaamani kama vile uko peponi haipo hyo nchi
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 2 месяца назад
Marekani mashoga
@dandara008
@dandara008 2 месяца назад
@@omarymwaluko9765😂😂😂😂 ushadanganya mpaka basi ukitaka kujifunza anza umpya anziaa na WORLD ECONOMIC FORUM na kama umesoma kitabu cha think and grow rich utaona jinsi gani majina makubwa ya mabilionea wa kimarekani ndio wanotaka kutumia njia hii kutawala dunia yote ndio mana wanatoa ela ili kusambaza agenda hii ndhani corona pia imekufunga macho kwaiyo sio tu America kama utafatilia nlichokwambia utagundua inchi ya Marekani ikijakudondoka Hakuna inchi yoyote itakayo baki zote zitadondoka kwaiyo usichukie inchi bali fatilia watu wanaoichafua inchi na MALENGO hayo hasa ni nini
@Sakinaamani-o1t
@Sakinaamani-o1t 2 месяца назад
Dah!amshukuru mungu cna
@emmanuelmanga25
@emmanuelmanga25 2 месяца назад
Hao hao secret services watammaliza na huyo waliyemuua ni mtu wao
@MohammedAlly-hp8fg
@MohammedAlly-hp8fg 2 месяца назад
Yes wla ujakosea ni mchezo tu umefanyika kwa sbbu zao ilikumjengea Iman mbele za umma na kumchafua mwengine ujinga ujinga tu
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 2 месяца назад
Nyiny mashoga mnasemaje hiyo ndio marekani halisi
@Ryannkae
@Ryannkae 2 месяца назад
Hapana kuna mda unawekwa huru ila hawa ndo wwamefanya drump asife walimrukia mapema na kumuweka chini wao wakakaa juu yake sisi tulikuwa nao live
@shafiiramadhani
@shafiiramadhani 2 месяца назад
Hiyo ndiyo tofauty ya sns nawengine
@jemjay1011
@jemjay1011 2 месяца назад
Was waiting for this
@hilarymtepa9811
@hilarymtepa9811 2 месяца назад
Love it love it.
@evelynemugeni2369
@evelynemugeni2369 2 месяца назад
Inchi inaotufunza democracy kwetu Africa 😢
@jeanmusamba8448
@jeanmusamba8448 2 месяца назад
God is good he survived
@hamzafishten9560
@hamzafishten9560 2 месяца назад
Mpo vizuri
@Zuhuranadadoita
@Zuhuranadadoita 2 месяца назад
Watauwana wao kwa wao kwa laana za watoto wa gaza
@fasterwalker1464
@fasterwalker1464 2 месяца назад
Watoto wa Gaza kvp
@DavalsonMarlony
@DavalsonMarlony 2 месяца назад
upo tz unaiwaza gaza how😅😅😅
@harrisongakure-ob7kw
@harrisongakure-ob7kw 2 месяца назад
Na wacongo
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 2 месяца назад
Mushafahamu musijitoe akili....
@humphreymwihambi4330
@humphreymwihambi4330 2 месяца назад
Unawaza udini tu. Congo, Sudan wanauana kuliko Gaza mbona husemi?
@officialyoung-6
@officialyoung-6 2 месяца назад
Ni hatar
@ShabanKarim-tv3vn
@ShabanKarim-tv3vn 2 месяца назад
Marekani niinci yaajabu wahuni niwengi
@EmmanuelLupoja
@EmmanuelLupoja 2 месяца назад
Hapa kwenu hawapo si juz tu JPM ametoweka
@radjamtaki5597
@radjamtaki5597 2 месяца назад
Taarifa za kushambuliwa kwa patriot defensive system huko ukraine mbona hamtupi???
@lisawilliam2491
@lisawilliam2491 2 месяца назад
Duh
@josephkiwale374
@josephkiwale374 2 месяца назад
Kitabu cha ufunuo wa Yohana kilishaga mmulika trump kitambo!!what a mysterious book
@sammy-b6281
@sammy-b6281 2 месяца назад
Wanasiasa ni wajanja sana wakiwa Kwenye kampeni wanatupumbazisha kwa matukio ya kweli na ya uwongo .
@MaridadiRashidilikwesoLikweso
@MaridadiRashidilikwesoLikweso 2 месяца назад
safi sana ulafi wa madaraka umezidi
@richarddavidmk
@richarddavidmk 2 месяца назад
Traore awe makin sana zile ishu za watu kumlaki aachane nazo. Mfikishie taarifazake
@robertkabuthia2781
@robertkabuthia2781 2 месяца назад
That was close
@mussakiziyzi408
@mussakiziyzi408 2 месяца назад
Dah ! Kwa hio wakam mau zinde sio ?
@hemedrashid2921
@hemedrashid2921 2 месяца назад
tenaaa boraaa wangemuuaaa wnyonyajii wa bara la africa na wabuguzii na watesaji wa wafricaa wenzetu huko americaa
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 2 месяца назад
Iyo ki2 kaipanga mwenyewe ili awe katika safe side wa2 wamuhurumie m2 apewe kazi ya kumpija yy amkose kabisa huu ni uongo imepangwa na wao wenyewe
@adamkapolo8817
@adamkapolo8817 2 месяца назад
Dj sma alitabiri mwezi mmoja kabla
@ZariaAbdullah-r5t
@ZariaAbdullah-r5t 2 месяца назад
Acha owongo
@DodomaTanzania-r5z
@DodomaTanzania-r5z 2 месяца назад
Dj sma alitabir kitu gan tujuzane
@Niget-us1np
@Niget-us1np 2 месяца назад
​@@ZariaAbdullah-r5tsababu ufwatiliwi fuyus
@adamkapolo8817
@adamkapolo8817 2 месяца назад
@@DodomaTanzania-r5z alitabiri kuuwawa kwa ant west viongozi wote wanaopinga magharibi alimtaja pia trump
@SaraphinaKidoti-qe7gi
@SaraphinaKidoti-qe7gi 2 месяца назад
Uwauwane mamaeeee washazoea kutufanya tuuwane africa wafeee
@Torono_95
@Torono_95 2 месяца назад
Africa niwakati wetu kuwatumia barua ya onyo waache izo mambo zao
@shaabanramadhan6770
@shaabanramadhan6770 2 месяца назад
Siasa za wenzetu zina hatarisha maisha yao sana
@saudamwinyipembe5749
@saudamwinyipembe5749 2 месяца назад
Africa tujifunze kujiendesha wenyewe si kutengemea hawa watu ambao hata wanaoneana wivu wao kwa wao 0:00
@AllyHassan-e2m
@AllyHassan-e2m 2 месяца назад
Marekani ya maqaidi
@surusuru1994
@surusuru1994 2 месяца назад
Duuh hatary😳😳
@salmaalimusa6809
@salmaalimusa6809 2 месяца назад
Watajijua wenyewe.
@denisrenatus4935
@denisrenatus4935 2 месяца назад
Hongera kwa Dj sma na tunasubl uchambuz wake kwa hili tukio
@Africaamkenitznawenuso
@Africaamkenitznawenuso 2 месяца назад
Nchi inayo tetra haki za binadamu! Hovyo. Biden na jopo lake anahusika
@Gulfnas1
@Gulfnas1 2 месяца назад
Sma alisema kitambo!! Hujawahi kufeli
@SalehSonda-bz3hl
@SalehSonda-bz3hl 2 месяца назад
Africa amka acheni kuuwana acheni vita kaenipamoja serikali na waasi amani ipatikane,moto hauzimi moto,moto unazimwa na maji.
@bahatichungu8312
@bahatichungu8312 2 месяца назад
All fighters are in dangerous,oh!! God protect them.
@IshipalemyPasko
@IshipalemyPasko 2 месяца назад
Mbona kama utabili niliousoma kuuwawa kwa Trump unataka kutimia jaman.
@KassimAlly-xp4dz
@KassimAlly-xp4dz 2 месяца назад
Trump amepanga yote ayo
@FredCharles-u3z
@FredCharles-u3z 2 месяца назад
Acha Africa ingekua urusi leo sipat picha
@uwembatvonline
@uwembatvonline 2 месяца назад
Wao kwa wao,, ndiyo maana wamemuua ili kupoteza ushahidi 😂😂mchezo wake Trump huo
@ReyzDon
@ReyzDon 2 месяца назад
yaleyale aliyo sema DJ sma
@sharonvugutsa969
@sharonvugutsa969 2 месяца назад
😢😢😢😢😢😢
@salumunsabimana6502
@salumunsabimana6502 2 месяца назад
👏👏👏👏👏💪💪
@amanijampion3045
@amanijampion3045 2 месяца назад
Ila hajadhurika sana
@martinisadru9899
@martinisadru9899 2 месяца назад
Mbona hatari sana!,, mwamba trump aishi,,,
@Ryannkae
@Ryannkae 2 месяца назад
Nasikia aliye jaribu kumuhuwa ameuwawa nawana nchi
@kennedyjomo9255
@kennedyjomo9255 2 месяца назад
Democracy is not Democracy
@stevenmahinda657
@stevenmahinda657 2 месяца назад
Kwann auawe badala ya kumkamata...
@moseskulola6913
@moseskulola6913 2 месяца назад
Kazi suri Sana ya lizi walipo mu protect trump
@SaidSeif-d4y
@SaidSeif-d4y 2 месяца назад
Toka zako damu zimetoka..jamaa yako kaafa , walinzi wameprotect nini😅😅
@ShabanKarim-tv3vn
@ShabanKarim-tv3vn 2 месяца назад
Nazidi kupenda taarifa zenu
@peterIrungu-bq1hj
@peterIrungu-bq1hj 2 месяца назад
Hii ni kiki ya Wana siasa
@JeivinMtundu
@JeivinMtundu 2 месяца назад
Afu tunaambiwa marekani kuna democracy..ukitaka kujua waandishi waa marekani hawakubali nchi yao kuchafuliwa wanaandika simpo tu ashambuliwa iwe hapa bongo tungeyasoma mengi freemason wangehusishwaaaa
@chany9950
@chany9950 2 месяца назад
Duuuh
@HASSANBAKARI-q9c
@HASSANBAKARI-q9c 2 месяца назад
Nampongeza Mpiga picha aliyeipata io shot ya chini akiwa kashapigwa
@mootelahamongus633
@mootelahamongus633 2 месяца назад
Ndiyo tunaambiwaga hiyo ni nchi ya demokrasia.
@solomonjackson3827
@solomonjackson3827 2 месяца назад
Mwenye maono Hafi mpaka yatimie
@RichardBwire-z1j
@RichardBwire-z1j 2 месяца назад
Hiyo ndio historia halisi ya mabeberu wanaposema sisi sio wastaarabu ni kwasababu ya uchonganishi wao ila wao wamekua sio wastaarabu kwa kutuua sisi makutuibia mawekuja kustaarabika baada ya kuiba sana duniani kote na kuua watu kwa njia tofauti ikiwemo utumwa
@mdimistudio6041
@mdimistudio6041 2 месяца назад
Daaah wanataka kumuua mwamba
@cheiknamouna2058
@cheiknamouna2058 2 месяца назад
Im smelling something bad wacha kiumane vizur tuone😂😂
@ramadhankilango9088
@ramadhankilango9088 2 месяца назад
Awe makini kwakua ki majukwaa tiari kamshinda Biden
@brownjulius8514
@brownjulius8514 2 месяца назад
Asee wamarekani shikamooo
@zainakingwele9228
@zainakingwele9228 2 месяца назад
Siasa za trump izo
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 2 месяца назад
Big up trump
@HamzaMbasha-xs2ky
@HamzaMbasha-xs2ky 2 месяца назад
Ingekuwa imetokea Africa ungesikia wanasema nchi flani haina usalama kwa viongozi wa kisiasa
@ankalmzito254
@ankalmzito254 2 месяца назад
RUTO MUST GO
@agwalubifaridah7079
@agwalubifaridah7079 2 месяца назад
Mchewww
@ankalmzito254
@ankalmzito254 2 месяца назад
@@agwalubifaridah7079 hata kuandika haujui nadhani pia kusoma haujui.....
@DaudFataki
@DaudFataki 2 месяца назад
Nakingine utaskia mshambuliaji anaasili yakiarabu au kiparestin
@rumdeesonsoa1811
@rumdeesonsoa1811 2 месяца назад
Tukio kubwa sana hili na limenishitua sana
@salimfaraj5509
@salimfaraj5509 2 месяца назад
Hiyo mipango ya serikali ya marekani. Wanajua Trump akiwa raisi atasitisha kupeleka silaha Ukraine na kuacha kuisapoti Ukraine.
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 2 месяца назад
Sio wanajua ameshasema hakuna shilingi itatoka kwenda Ukraine
@samwelipima3795
@samwelipima3795 2 месяца назад
Jamaa huyu ananguvu Sana kisiasa pale marekani hasa kwa watu namanisha raia Ila kwawenye mfumo hawamwelewagi kabisa mmmmh Kaz nakumbuka maneno ya hayati JPM amani tuliyonayo hapa inatutosha hao wageni (wazungu) kwao hakuna amani ambayo huwa wanatuzuga nayo isipokua wajuzi wakucheza na akili za waafrica
@abdallahlugendo3221
@abdallahlugendo3221 2 месяца назад
Hiyo ni ushindi kwa Trump wameshindwa jaribio Lao la kupanga matokeo sasa ni ushindi wa Trump
@amadou564
@amadou564 2 месяца назад
Vamoos Trump
@allyiddy6311
@allyiddy6311 2 месяца назад
Naona kma bado meng yanakuja kweny uchanguzi wa rais America
@AbuuBakar-t26
@AbuuBakar-t26 2 месяца назад
Tukio la kutengeneza ilo
@fahadfaraj6474
@fahadfaraj6474 2 месяца назад
Naamini hivyo pia
@Williamsalum-n1z
@Williamsalum-n1z 2 месяца назад
upooo sahii ndugu
@Williamsalum-n1z
@Williamsalum-n1z 2 месяца назад
Ukiskia paaaaaaaaaaaaaah ...................... Alieee lengaaaa hanaaa shabaaaah😢
@Williamsalum-n1z
@Williamsalum-n1z 2 месяца назад
Kweliiii mtuu amepanga kukumalizaa anapigaa risasi Kama njuguu angekuwa mtuhumiwa angekuwa anania kweliii angepitaaa na kichwaaaa 😂😂😂😂
@GibsonNtamamilo
@GibsonNtamamilo 2 месяца назад
Kwahiyo huyo aliyekufa amejiua 😂😂😂
@StrongbowArrow2004
@StrongbowArrow2004 2 месяца назад
Afu utakuta wapuuzi wamoja huku kwetu wanasimama jukwaani na kujinadi jifunzeni demokrasia Marekani 😢 sijui wanatuona sie wananchi hatuyaoni yanayoendelea huko kwako 🤔
@Theman-dn8vo
@Theman-dn8vo 2 месяца назад
Sawa sio adi marekan hta hapo kwa jitani zetu tunajifunza ila kwetu hapa hakuna hio
@OmbeniSengambi
@OmbeniSengambi 2 месяца назад
Hahahaha duniani ukiwa tofauti na watu wengine kinachofatia vita tu kwanzia mitume viongozi wa serekari mbaka famiria
@muanashaswaleh5110
@muanashaswaleh5110 2 месяца назад
Hii twataka ruto afanyiwe mana ame tushinda Tabia
@fallykhan2383
@fallykhan2383 2 месяца назад
Hii mbaya sana😭😭
@AllyBabu-kr6lg
@AllyBabu-kr6lg 2 месяца назад
Wauni so watu wazuri😅😅😅😅😅😅
@SabriNgogota
@SabriNgogota 2 месяца назад
Bloo unajua
@TOJOONLINETV-lc2yd
@TOJOONLINETV-lc2yd 2 месяца назад
Muongo huyo hizi tunaita kick kama kweli iligigwa lisasi watu wa nyuma yake mbona awajaasilika
@mussawaziri4702
@mussawaziri4702 2 месяца назад
Nyie jamaa mnamfanya milrad asilale😂😂😂
@SimonJeshi-nq1hs
@SimonJeshi-nq1hs 2 месяца назад
Hio ni nchi yenye democrasia !!!!!!€€€!!!!!!
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 2 месяца назад
Democracy ya ushoga
@African511
@African511 2 месяца назад
Haya sasa wenye Democrasia yao,ndiyo mwalimu sahihi wa kuharibu Democrasia,Africa shitukeni,Rudini kwenye tamaduni zenu.
Далее
When Royal Guards Fight Back!
8:08
Просмотров 6 млн
Harris slams Trump at her first presidential rally
17:25
How to Cook Juicy Steaks? Chef Kanan Recipe 🔥
00:59
Ip Man 2 | The Boxing Competition
15:57
Просмотров 8 млн
How to win a argument
9:28
Просмотров 594 тыс.
Urusi yaishambulia bandari ya Odesa ya Ukraine
2:46
Просмотров 2,1 тыс.