Тёмный

BIDEN ajikanyaga kwenye MDAHALO na TRUMP, asahau mengi na kupoteza mwelekeo, Democrats wakata tamaa 

Simulizi Na Sauti
Подписаться 1,3 млн
Просмотров 38 тыс.
50% 1

Tembelea sns.co.tz/ kwa taarifa zaidi

Авто/Мото

Опубликовано:

 

27 июн 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 141   
@paulomaisa340
@paulomaisa340 5 дней назад
Nampenda sana turmpo
@Qqambaa
@Qqambaa 5 дней назад
Umesahau aliamuru waafrika warudi kwao
@MohamedAhmada-ie7ke
@MohamedAhmada-ie7ke 5 дней назад
​@@Qqambaana walirudi au
@user-sn4iq6cu1f
@user-sn4iq6cu1f 4 дня назад
Nampenda sana trump unatulegezea sauti mvulie chupi bs
@Khalidniya380
@Khalidniya380 5 дней назад
Trump bana huyu jamaa ni mchokozi saaana cheko yake yenyewe na vile anamuangalia Biden ni kicheko tosha
@TrinaRoman345
@TrinaRoman345 5 дней назад
😂😂😂😂 cjui nini kinanichekesha..sasa yule msemaji wa Hhite House atajitokeza kwa waandishi kumtetea #Bidenica😂
@yahayaannu3663
@yahayaannu3663 5 дней назад
Hawa wote lao moja tu hamna unafuu 😢
@BillySmart-tk1wu
@BillySmart-tk1wu 5 дней назад
Amuna cha mafua wala mafuta iyo umekwisha 😊😅😊
@user-rw4qn6zh6n
@user-rw4qn6zh6n 5 дней назад
Trump alivyo kuwa anamwangalia sasa😂😂😂😂😂
@MS.independent8934
@MS.independent8934 5 дней назад
😂
@visionstudios6804
@visionstudios6804 5 дней назад
Trump jau sana 😅😅
@redpromediat.o.tstrongteam1679
@redpromediat.o.tstrongteam1679 5 дней назад
Ndo nilikuwa nasubiria. Hii mada kali mno.
@ayshasaid1547
@ayshasaid1547 5 дней назад
Kesha kubwa damu za watu wa gaza ishamlewesha mungu atamlipa hapahapa duniani kwa kuchochea vita
@kassimbayuu5217
@kassimbayuu5217 5 дней назад
Viva Trump Mungu mpe uraisi Trump iwe sababu ya kusimamisha vita
@MohammedGabaye
@MohammedGabaye 5 дней назад
Uyo tramp ndio nsenge kabisa
@mwawekomiuda9779
@mwawekomiuda9779 5 дней назад
Nani kakudanganya?
@Farhah0035
@Farhah0035 5 дней назад
Uyu kama ndo tramp ndo aliziteta mada za ushoga simpendi wallah
@davidsika5292
@davidsika5292 4 дня назад
Kumbe watu hawajui tramp kuwa ndo hatarii
@joshuawenceslaus2466
@joshuawenceslaus2466 День назад
​@@Farhah0035Trump hatetei ushoga acha ujinga kama hufuatilii siasa za marekani Kaa kimya, bora Trump kuliko biden
@mancholotrasco8350
@mancholotrasco8350 5 дней назад
Nilikuwa natizama live last night nilikuwa nacheka kauli za Trump Kwa Biden na watu waliokuwa waki comments ... Aise watu wengi inaonesha hawamtaki Biden... Hata alipoongelea kuhusu Putin, Kim na Xi 😂😂😂
@EzekiaMyila
@EzekiaMyila 5 дней назад
Wote wamezeeka hamna mzima hapo wote wapigwe chini
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 5 дней назад
Safi sana muche ajikanyage tu mda wake wa kuwa mtoto ushafikia
@user-cw8zn2dn6m
@user-cw8zn2dn6m 5 дней назад
Cheki Trump anavyomkata jicho Biden hahahahahahaha inanichekesha 😂😂😂😂 kwelikweli
@dominicksangu8934
@dominicksangu8934 5 дней назад
Very good mh trump. Kwa kufanya vizur
@gaudencemihungo4348
@gaudencemihungo4348 5 дней назад
Thanks Bundara!
@user-vr4vw7dk7j
@user-vr4vw7dk7j 5 дней назад
The 1
@EmanuelNicholaus-of1qg
@EmanuelNicholaus-of1qg 5 дней назад
Raisi ana kigugumzi
@jacksonseverin5670
@jacksonseverin5670 5 дней назад
Tumpu yupo vzr ila sera zake haziibebi africa
@peterilimwa5754
@peterilimwa5754 5 дней назад
jamn democratic mbn hamnaa akili kwann mnamlazimisha biden
@ebengapierre8826
@ebengapierre8826 8 часов назад
Uyu miaka yake imesha pita yy ahache wengine watawale 😅😅😅😅 baiden kachoka kabisa 😢😢😢😢😢 sioni baiden kushinda
@salimali-rf9er
@salimali-rf9er 5 дней назад
Walisahau humpiga shindano ya energiser robot,ili awe active
@Elybwayz
@Elybwayz 5 дней назад
Heee ata wao wanadaiwa duu mimi ni nan 😅
@ce-08
@ce-08 5 дней назад
Angekuwa ndiyo rais wa Afrika hapo wangemsema kweli kweli hajiwezi lakini bahati mbaya ni wao sasa
@mussakiziyzi408
@mussakiziyzi408 5 дней назад
Wazunqu hawana time ya kuwasema watu weusi Mansemana wenyew,mnaibiana wenyewe na kuuwana wenyew kwa wenyewe.
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 5 дней назад
​@@mussakiziyzi408ww choko unatetea mashoga
@user-xl9so6jg1e
@user-xl9so6jg1e 4 дня назад
​@@mussakiziyzi408kwel kabsa
@frank18112
@frank18112 5 дней назад
Tanzania pia tuweke midahalo kama hii...😊
@frankmare1708
@frankmare1708 4 дня назад
Nani atakubali unafikiri
@frankmare1708
@frankmare1708 4 дня назад
Nani atakubali unafikiri
@iddiramadhani5111
@iddiramadhani5111 4 дня назад
Hawa wamarekani eti wanaona hilo ni jambo baya akati wameruhusu uchafu,
@user-vh3hj8mt6l
@user-vh3hj8mt6l 5 дней назад
Trump ww n noma Sana Yan unamuangalia Biden kijeuri kweli aki hii nkali🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@idinado-wk3lx
@idinado-wk3lx 3 дня назад
Kusema ukweli uyu mzee amchoka hajiwezi kabisa
@davismuzahula907
@davismuzahula907 5 дней назад
Lakini mboka kama Amedhohofu sana
@festohaule9716
@festohaule9716 5 дней назад
Dunia hii omba sana usokutane na changamoto ambazo hata pesa haiwezi kukusaidia chochote...omba sana!!!!!
@user-ti5ik2le1i
@user-ti5ik2le1i 5 дней назад
Point kaka
@BabasahdSahd
@BabasahdSahd 5 дней назад
Kwan beiden ninan aswaaa kama mnajua lecode yake nijuzeni😂😂 malekan inachekesha mngu ata walipa xku moja
@mayunga..777
@mayunga..777 5 дней назад
Trump sura yake bwana😂😂😂
@jongosalehe1036
@jongosalehe1036 5 дней назад
kwanza Trump kavaaa tai nyekundu nzuri Sana alitakiwa havae Joe Biden Kama raisi wa sasa.
@personpeter2221
@personpeter2221 5 дней назад
Mbona wazee sana
@89_Media
@89_Media 5 дней назад
Ila wana mitonyo💸💵 Moja ya sifa kushinda uchaguzi mkuu Marekani,ili usiwe mwizi mwizi😂😂😂
@eleven-in5qw
@eleven-in5qw 5 дней назад
Jamaaa na si kumchukia lakini aachane tu na uongozi lakini hii inaonyesha kuna watu au mtu sahii analiendesha taifa
@noelmusa3502
@noelmusa3502 5 дней назад
Eeeh yani anaongea kama roboti
@frankmare1708
@frankmare1708 4 дня назад
Biden ni kama robot vile
@hassanikaawizy2597
@hassanikaawizy2597 5 дней назад
Wakwanza
@Mumewangu
@Mumewangu 5 дней назад
Trump ndie anaefaa kuwa Rais nipo Tanzania lakin kama kunaruhusa ya kupiga kura basi kura yangu nampigia kura mwamba trump
@Fgldesigns
@Fgldesigns 5 дней назад
Hata hao wamarekani wenyewe hawawezi kuchagua, rais anachaguliwa na Masenata wala sio raia
@Mumewangu
@Mumewangu 5 дней назад
@@Fgldesigns alafu utasikia raiya wao wanademokrasia kumbe hawana lolote
@mtenhussein
@mtenhussein 4 дня назад
@@Fgldesigns. Lengo la kupiga kura ni kuwashawishi wapiga kura wanaowakilisha jimbo lako, ambao nao watapiga kura kumchagua mgombea wako. Katika kila jimbo, kura ya watu wengi huamua idadi ya wapiga kura ambao wameahidi kumpigia kura mgombeaji wa chama fulani. Sio uchaguzi wa moja kwa moja; unapiga kura kumchagua mtu ambaye atapiga kura kwa niaba yako. Mshindi sio kila mara mtu aliyeshinda kura nyingi kwa sababu mbili: 1. Majimbo madogo yana uzito kupita kiasi katika idadi ya wapiga kura wanaopata. Kila jimbo hupata wapiga kura sawa na idadi ya wawakilishi pamoja na maseneta wawili. Wawakilishi wanalingana na idadi ya watu, lakini maseneta kuna mfumo tofauti: kila jimbo linapata wawili, iwe Californi au Rhode Island(Ndio state ndogo sana Marekani). Kwa hivyo majimbo madogo hupata kura kadhaa za ziada. 2. Upeo wa ushindi katika jimbo haujalishi. Ukishinda 100% ya kura katika CA na ukingo mdogo kwingineko, bado unaweza kushinda uchaguzi ikiwa maeneo uliyoshinda kwa nywele yatakuwa na wapiga kura wengi kuliko California. Kwa hivyo sio mfumo uliojengwa ili kuakisi kura ya watu wengi; ni mfumo uliojengwa ili kuhakikisha kuwa majimbo makubwa hayaendeshi uchaguzi upande mmoja mara kwa mara. Lakini matokeo kwa ujumla yanawiana na kura za watu wengi. Katika uchaguzi huu uliopita (ambapo Clinton alishinda kwa kishindo kikubwa katika California na New York na kushindwa kwa tofauti ndogo katika majimbo mengine mengi), lakini kwa wingi wa majimbo mengine. Unapaswa kupiga kura kwa sababu ile ile ambayo ungepiga kura katika uchaguzi wa moja kwa moja: kumfanya mtu wako afisini. Ni kwamba tu unampigia kura mpiga kura, sio moja kwa moja kwa mgombea. Chuo cha uchaguzi huchagua, lakini unachagua chuo cha uchaguzi.
@Zuu673
@Zuu673 5 дней назад
Wala hakuna wa maana apo
@salehkhalfan7345
@salehkhalfan7345 5 дней назад
Lkn panapo na vbaya viwili bs ki1 kitakua afadhali
@LUJIGA_PODCAST
@LUJIGA_PODCAST 5 дней назад
😅😅😅😅😅😅 ila Trump
@michaeljames3480
@michaeljames3480 5 дней назад
Kamaaa unamkubal Trump
@luckkaserekadancer6832
@luckkaserekadancer6832 4 дня назад
Huyo biden ni robot😂😂😂mnipe like zangu
@Agath45
@Agath45 5 дней назад
Nilingojea kwa hamu sana. Ila trump kauwa
@Yassinseleman
@Yassinseleman День назад
Trump hii sura yake sasa na alivyo jaariwa zarau😂
@zayumar2955
@zayumar2955 5 дней назад
Trump Sasa alivyo kunja mdomo 🤣🤣🤣🤣🤣
@shabanimataka8418
@shabanimataka8418 5 дней назад
Angekuwa rais wa wenzao uyu sijui ingekuaje bahat mbaya ni wao
@katayaloveness5529
@katayaloveness5529 5 дней назад
😂😂😂😂trump siyo mambo yake 😂😂😂
@hemedjackson2261
@hemedjackson2261 5 дней назад
Mara anajamba huyo mzee, kun clip km tatu au nne hiv anajamba
@BaboumitengaMutenga
@BaboumitengaMutenga 5 дней назад
1❤
@ammaherman3391
@ammaherman3391 4 дня назад
Hamjuagi Biden ni Robort? Ile ni AI. Biden alishafariki.
@malkiawagiza1327
@malkiawagiza1327 5 дней назад
Biden ni mzee mwenye shida ya akili wapaswa kumwacha astaafu 😕Hata hajui anachozungumza.
@personpeter2221
@personpeter2221 5 дней назад
Kaz kwen waislam mambo yameanza kuchangamka mnajifanya kmsifu Trump nnasahau kpind chake alizuia nch za kiislam kuingia america viva tramp
@hemedisufiani3219
@hemedisufiani3219 5 дней назад
Mpumbavu baideni kauwa watu wengi sana huyu mzeeee loho zitamtesa sana kabuli lake litawaka moto milele 😢😢😢
@MarryCharles-rc6ei
@MarryCharles-rc6ei 5 дней назад
Najarbu kutafakar ikifika tz hi democracy, huku samia vs mbowe! Naamin siku hyohyo kuna mtu ataomba kujiuzuru😂😂😂
@bryanzeconfesor5476
@bryanzeconfesor5476 5 дней назад
Trumph kajikaza sana kuto kumwingilia Biden na kumchamba Kwa udhaifu wake😂😂😂
@joshuawenceslaus2466
@joshuawenceslaus2466 День назад
Sanaaaaaa😂😂😂
@MS.independent8934
@MS.independent8934 5 дней назад
Team Trump 🎉
@sa3dasa3da87
@sa3dasa3da87 5 дней назад
Hawa wazee wote wana bore,kwani hakuna vijana hukooo
@KS-iw7qv
@KS-iw7qv 5 дней назад
😂😂 trump hivyo anavyomtizama..... Biden
@stellanyamuhogota1832
@stellanyamuhogota1832 5 дней назад
Wote wamezeeka wakwende huko kwan America haina vijana wa kugombea urais😢
@partnersah8802
@partnersah8802 5 дней назад
Wampe Kanye West tu
@wadantz123
@wadantz123 5 дней назад
​@@partnersah8802😂😂😂😂😂😂
@BenjaminMetanyau
@BenjaminMetanyau 5 дней назад
😂😂😂
@omarymwaluko9765
@omarymwaluko9765 5 дней назад
America wote mashoga
@KarisBaya
@KarisBaya 5 дней назад
Bado biden atashinda tu,hakuna wa kumzuia hapo
@Nyanda506
@Nyanda506 5 дней назад
Ina maaana wa democrats hawana wagombea wengine zaidi ya Biden😂😂
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 5 дней назад
Wasioleweka
@MHDFURNITURE-jn2rx
@MHDFURNITURE-jn2rx 4 дня назад
baiden kama lowasa
@kassimramadhani3198
@kassimramadhani3198 5 дней назад
Mbona haujachambua na alio yasema Trump
@BigZhumbe
@BigZhumbe 5 дней назад
DT for the president hii Amerika inamhitaji mwamba wa sheria kali Trump akishinda tu wenye upinde wakatafute kwa kuishi 😂
@flavourboyke
@flavourboyke 5 дней назад
Mimi kama mkenya niko team trumph,,, huyu biden amepea ruto kiburi they mus go
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 5 дней назад
Speech diosder 😂😂😂
@MohammedGabaye
@MohammedGabaye 5 дней назад
Watu wengi wanamtaka tramp ila tramp ndio mpumbav akiwa rais
@sarastephano3409
@sarastephano3409 5 дней назад
hakuna waislam wanaomkubali Trump maana Ni myahudi😂
@paulvimbamvula9508
@paulvimbamvula9508 5 дней назад
Make American great again, Viva Trump
@hebertotanaely6607
@hebertotanaely6607 5 дней назад
Marekani toka atoke Obama Bado hawajapata Raisi, Antony Blinken anafaa
@Awatee
@Awatee 5 дней назад
😂😂😂😂
@Ibrah__
@Ibrah__ 2 дня назад
Ulafi wa madaraka Jaman, Biden kazeeka vibaya, aachie madaraka. Kufiamadaraka
@muhammadmbaraka4515
@muhammadmbaraka4515 5 дней назад
Trump kama kichaa flani hiv 😂😂 kumbe ni genius
@democritenzoisaba9117
@democritenzoisaba9117 5 дней назад
TRUMP /YES
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 5 дней назад
Sasa😅 kwanini wanajua na wana uhakika kama hayuko vuzuri alafu wana kuhusu hii midahalo kwani ni lazima?😅😅😅
@AjiaMohamed-rt5pb
@AjiaMohamed-rt5pb 5 дней назад
Sio tz hiyo utake usitake lazima ufanye
@personpeter2221
@personpeter2221 5 дней назад
Hyo ni katiba ya USA🇺🇸
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 5 дней назад
@@personpeter2221 okay!
@Sidrasidra636
@Sidrasidra636 5 дней назад
@@AjiaMohamed-rt5pb eeh kumbe!
@alexbahindolwa3921
@alexbahindolwa3921 5 дней назад
Huo muono wa Trump sasa 😂😂.jpt
@joshemman520
@joshemman520 5 дней назад
plz like video
@joshuawenceslaus2466
@joshuawenceslaus2466 День назад
Roe vs wade iliondolewa chini ya Biden😂😂😂 asimseme Trump, halafu sasa mahakama ya marekan imempa kinga Trump, hahahahahahah kwahyo huyu mzee bado yupo yupo, na hii ni kesi ya biden, kwasababu mahakama ya juu ilisema Mahakama haina mamlaka ya kuamua utoaj mimba bunge ndio ina hiyo haki, so wabunge wa democrats ilibidi walete muswada bungeni wa kupromote utoaj mimba walishindwa, so wasimlaumu Trump🤣🤣🤣🤣 hawa jamaa hawashindi tenaa
@user-it7ih1it3m
@user-it7ih1it3m 5 дней назад
Ilipaswa kichwa cha habari kiandikwe biden kayakanyaga lkn sio kajikanyaga😂😂
@NoblessePatriote
@NoblessePatriote 5 дней назад
😂😂😂
@kembopere4961
@kembopere4961 5 дней назад
Nyie acheni habari za uongo...ndo kuongeya kwa Baden.
@MosesHarerimana-ku2cp
@MosesHarerimana-ku2cp 5 дней назад
Trump ipo makini san😂😂
@hajjiomary2383
@hajjiomary2383 5 дней назад
😂😂😂😂😂
@omarmohammed5157
@omarmohammed5157 5 дней назад
Trump anamwangalia biden kama vile helewi
@e11said23
@e11said23 5 дней назад
Trump kawapa mayahudi mji mkuu jerusalem nauyu baiden kaja kupiga haya karibuni wote mbwa nyie uwanjani mpaka muombe poo
@Brunotarimo10
@Brunotarimo10 5 дней назад
Trump direct white house ❤
@HarounRashid-rh6jr
@HarounRashid-rh6jr 5 дней назад
😂
@user-dg7wf6fg2j
@user-dg7wf6fg2j 5 дней назад
Trump apewe nchi Baden apumzike
@fasterwalker1464
@fasterwalker1464 5 дней назад
Biden inasemekana ni Robot tu sio mtu sahihi
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 5 дней назад
Inasemekana wapi Biden kawa kwenye siasa miaka zaidi ya 50 , ni sawa we Leo useme yusuph makamba sio mtu ni robot
@emmaonalloh5515
@emmaonalloh5515 5 дней назад
​@@FahadAbubakariakili yake haiko sawa anasahau sahau vitu
@FahadAbubakari
@FahadAbubakari 5 дней назад
@@emmaonalloh5515 uzee
@fasterwalker1464
@fasterwalker1464 5 дней назад
@@FahadAbubakari inasemekana huyu Biden sio yule halisia wakawa wanaonesha na tofauti za Biden Og na huyu Robot wanaamini yule halisi ashafariki
@fasterwalker1464
@fasterwalker1464 5 дней назад
@@emmaonalloh5515 unatakiwa kabla hujajibu uelewe kwanza sijasema huyu sio Biden kwamba nna uhakika 100% ila nimeongea kwa baadhi ya madai ya wa2 yanaweza yasiwe yakwel pia ndomaana shule mkaambiwa read instructions yaan jibu kitu ambacho unaelewa nacho ok!
@salimali-rf9er
@salimali-rf9er 5 дней назад
Huyu biden ni gay, hayo sio mafua, hiyo sauti ishaanza kubadilika, hivyo ndio mahanis wanavyokuwa
@ezekielphilemon7343
@ezekielphilemon7343 5 дней назад
Trump latima ashinde
@AjudeKaluwa-bp1zz
@AjudeKaluwa-bp1zz 5 дней назад
Welcome trump Biden buried
@ramadhanikazimoto3052
@ramadhanikazimoto3052 5 дней назад
Uwe unanyama kaka tuwasikilize viongozi mda wotw unaongea wewe tu unakera bana
@kingpunzy194
@kingpunzy194 5 дней назад
Kaka Sky sie wengine tulikuwa tunasubiria hatma ya GAZA na URUSI, ila jamaa wamecheza trick Kwenye kuuliza maswali na kujibu maswali. Biden & Trump are Zionists Brothers
Далее
Hallie Jackson NOW - June 28 | NBC News NOW
1:45:48
Просмотров 277 тыс.
치토스로 체감되는 요즘 물가
00:16
Просмотров 4,5 млн
😍😂❤️ #shorts
00:12
Просмотров 909 тыс.
How to win a argument
9:28
Просмотров 265 тыс.