Watu wanapenda sana kiza kuliko Nuru . Hapo Mashoga ndio wamejaa . Makubwa yanakuja janga ili la Upinde litazidi sana kusumbua Dunia . Lakini Marekani Itaanguka vibaya sana .Putin atachukua point kubwa sana kupitia utawara wa uyu mama Shetani
Hakuna kionqozi mwema marekani sera zao zakinyonyaji ubaquzi wa ranqi ubaquzi wa imani za watu na mataifa yao ni watu wakupenda kuuwa watu wenye misimamo ya kweli ya dini zaidi waislamu ndio maaduwi zao wakubwa hawa watu wanaamini imani za kishetani si vinqinevyo na watu ambao wanapenda maisha ya dunia zaidi na ndio maana wanaoqopa kufa wanatamani waishi miaka alfu moja bila kufa lakini hata munqu anqewajaalia hiyo miaka alfu wanqelikufa pia wana mila mila mbaya zaidi ya shetani waamerica
Wewe huogopi kufa? Kweli wengi wao hawana hofu ya Mungu angalau Trump ana jitahidi, hapendi ushoga na hapendi vita. Tatizo wamerikani wenyewe wanapenda ushetani ningependa Trump ashinde ili vita viishe duniani.
Elewa kwamba marekani ni nchi ya kibeberu inaamini kwamba ili iendelee kuwa hai kiuchumi lazima nchi zingine zife kiuchumi Ila trump yeye yupo tofauti kidogo ndo maana kipindi chake hakukuwa na vita yoyote kitu kilichopelekea sanators wa marekani kumuondoa madarakani kwa figusu ingawaje wananchi walikua wanampenda Kwa mm naamn trump akiingia madarakani tutavuta pumz
@@PerfectGirl-dj7zq Sana tutapumzika kusikia watu wanakufa hovyo lakini nahisi America shetani ndo anatawala usikute hawatamchagu ili shetani aendelee kujitukuza. Vita viendelee damu za watu zimwagike, ushoga na utoaji mimba uendelee ili waendelee kumchukiza Mungu.
@@MsAggie5 n wakati wa marekan kudondoka Kama ilivyowahi kutokea kwa mabeberu wengine Kama Roman empire na British empire Watu wamechoshwa na manyanyaso yake kuua watu wanaopigania maslahi ya nchi zao Kama gadafi nk Hivyo ndo sababu mataifa Kama Russia china north Korea Brazil india yameungana na kutengeneza umoja wao lengo ni kuaminisha Dunia kwamba tunaweza ishi vizuri tuu bila mmarekani Hivyo hata akishinda Kamala Harris ndo anaenda kuanguka vizuri maana atataka kundeleza uchochezi wa vita halafu watu hawatamnyamazia tena
@@AfzalShah-gp5ojWacha ufala kondoo hii angalia history ya Marais wote wa Marekani wa hivi karibuni huoni ni nani amekaa Madarakani bila kuwa na Vita ni Trump pekee.....inaonekana unapenda kuamini propaganda sana msee 🫤🫤