Simulizi na sauti nawapenda sana kwani you keep inform us on Important news happening in wide world. FREDIRICK BUNDALA, unaijua kazi yako sana, you’re doing the Good job. SNS mko tofauti sana na media zingine Tanzania 🇹🇿, nyie wote huwa mnaandaa topic zenu vizuri. Mimi nikisikiliza habari popote nafuatilia na kila habari mnazotoa ni accurate. Najivunia kuwa na watangazaji wazuri wa kiwango hicho. 👏🏽👏🏽. Guys keep up the good job 👍🏽 🇹🇿🇹🇿
@@SimuliziNaSauti Nawakubali sana Sns kuingia RU-vid lazima nianze na sns Mungu azidi kuwapiganiia nguvu mr FREDICK BUNDALA NA HENDRY MWINUKA DJ SMA NA MASUBI FREDI SAUTI una sauti ya thahabu ndugu yangu mshukuru mwenyenzi Mungu kwa sauti kama hiyo na sisi tunazidi kuwaombea hii BLOG izidi kukuwa na Mungu azidi kuwafungua akili tuendelee kupata madini ya GPS kila wikiendi asanteni sana by NICO PANGA A.K.A PANGA SPACK FROM KARATU ARUSHA
Kwangu wewe ni mtangazji bora, unaweka alama za kufunga na kufungua, una report uhalisia wanavyozungumza kama inavyotakiwa, u r the best sir، kila la heri Trump, Marekani inakuhitaji
allah angekuwa Mungu wa kweli ampaye hekima mtu ye yote .. sumaye a.k.a. (zero) hassan asingeuza bandari zetu kwa waarabu wa DP World ambao ni members wa utandawazi au New World Order .. ambao ni wakoloni mamboleo .. wanatunyima Tanganyika haki ya kutumia bandari zetu ili kunufaika moja kwa moja na biashara za kimataifa na kutumia bandari zetu katika kujinufaisha nchi za kiarabu (Arab Emirates) kibiashara na China (ambayo hatuna uhusiano mbaya nayo .. hivyo tunatakiwa kuingia makubaliano na China na kunufaika kwa kutumia bandari zetu sis wenyewe .. hata kwa kulitumia jeshi letu kusimamia uendeshaji wa bandari!) ili faida ya usafiirishaji wa bidhaa za China kupitia Afrika hadi bahari ya Atlantic kwenda bara la Marekani ziwanufaishe wao waarabu na washirika wao .. na sio Tanganyika! Endeleeni kujidanganya .. na kumuona sumaye aka hassan (zero) anaongozwa na hekima zitokazo kwa Mungu!
Trump ni kweli mropokaji nimble anakurupuka ni mtu selfish somehow mfanyabiashara after all lkn mungu amulinde kwa sababu mtazamo wake uko sahihi zaidi
Before you were very posting a lot about Biden/ Trump??? What's happened now? He is under water. You believe everything Trump said, asked yourself when he was president ( Trump) why he didn't even invite that guy? Again asked yourself. By the way there's no even Russian embassy in US. This is the country of law. He is facing sentencing on September, hopefully you will post this one too. I beg you will post the DEBATE against Kamala on September 10.
Wote ni wale wale kweli ila asiyejua atashabikia tu,Huyu si alitoa amri ya kuuliwa kamanda sulleyman.akahamisha ubalozi wa marekani kutoka Tel Aviv kwenda jerusalem kitu ambacho wenzake hapo nyuma hawakukifanya.akaitambua miinuko ya Golan ya siria kama ni ya israel.Siasa za marekani ni zile zile tu.
TRUMP ANAONA KUSHIDWA HANALAKUSEMA ATARUDI KWAO ALIKOTOKA BABAYAKE UJARUMANI KAMPOZA TESLA ALIKUWA ANAMSAPOTA TRUMP KAMPUNI YA TESLA IMEPATA HASARA 2.7 BILIONI BAIDEN NA UBAMA VAIS PRISDETI SEREKALI INA ISAPOTA KAMPUNI YA G M C