Utekaji umezidi na sikuhizi gari ikisimama pembeni au popote iwe ipo mda mrefu bas gari hiyo inachomwa moto inaonesha ni gari ya watekaji kama unandugu zako wape tahadhar wasieke gari ovyo ata kama sio mtekaji ukieka gar ovyo unaonekana ni mtekaji na gari inachomwa moto
Matukio haya ya holela ni common kipindi hiki cha huyu mwanamke aliyeota mkia, Samia S. Hassan, mama Ambunduli.....raisi wa Tanzania.. Nchi imemshinda!!