R.I.P mwamba nakumiss leo nakusikiliza tena mwenyezi mungu akulaze mahali pemA peponi,mkombozi leo tumejua unafiki wa viongozi wetu tanzania R.I.P umefanya vitu ambavyo maraisi wa nne nyuma yako wameshindwa mwamba tangulia cc bado tupo na ww mwamba R.I.P chuma reli ya kati imejengwa na mjerumani zaidi ya miaka 100 umekuja kujenga ww dah mungu fundi kweli R.I.P MWAMBA,CHUMA KUTOKA CHATO
It's hurting guys...mazee hii nyimbo imenigusa Kati ya zote.aki barikiwa Sana na poleni Sana ndugu zetu watanzania na East Africa and entire Arica continent.aki naumia😭😭
Wewe ndo Umeimba wimbo wenye Hisia kuhusu msiba huu, sio wale kina Fulan wanafokafoka tu studio, huu wimbo utatumika kama Kumbukumbu Milele. Asante Peter Msechu, Ila Nakusihi pia punguza Kiwango cha Lami Mwilini.
Hata mimi nimeumia Sana ... Mungu wetu tunaomba umusamehe mazambi yake Raisi wetu jamni Roho inauma sana ... Yale ya unanijua mimi mi Nani yanarudi tena Dahaa
Hongera kwa wasanii wote mlioshiriki kutunga nyimbo za maombolezo ila niwe mkweli tu huu ndio wimbo bora kutokana na Jinsi muimbaji alivyoimba kwa hisia na maneno yaliyo tamkwa.
Daaaa jamani🙆😭😭😭 yaani huu wimbo umenigusa .Pumzika kwa amani baba yetu kiukweli tulikupenda sana lkn Mungu kakupenda sana.Hongera sana msechu kwa wimbo mzuri hakika umejua kutunga 🙏
@@justarmangashini7107 pole sana mpendwa yaani hata mm nikiona Picha zake anazozungumza yaani ni kilio kwangu hakika huyu baba hatutamsahau ktk maisha yetu ya hapa duniani. Mungu amlaze mahali pema peponi🙏
Msechu, you have a powerful voice. Very emotional! Wewe sio kiumbe wa kawaida. Wenzako wameimbaimba tu. Hii sio level yao. Ni hatari sana. Hongera sana kaka!
Kweli kabisa nakumbuka hata uwanja wa uhuru MC aliuomba urudiwe mara nyingi kwenye maombolezo dar uhuru nashangaa minyimbo mingine wameimba wengi lakini haina hata mashiko ya kufariji wala kuleta hisia za kumukumbuka shujaa wetu msechu ametisha sana
Its beautiful emotional songs for alls tme.thanx Peter msechu you best vocalist..with out forget R.I.P. shujaa wetu wa Africa John Makufuli in our heart forever....
bro peter hii nyimbo umeimba kila nikisikiliza huzuni na mkumbuka JPM we are rost a true son of Africa panafricalist leader 😭😭😭 rest in Paradise our beloved president
Very painful and this loss is a tough one to take, especially when listening to powerful tribute songs by you.. May our lovely president rest in heaven Amen..
Shukrani Peter Msechu, wimbo wako huu mzuri wa maombelezo umenifanya niupate wimbo niliokuwa nautafuta muda mrefu bila mafanikio mpaka nikakata tamaa, unaitwa Ekwueme, umeimbwa na Prospa Ochimana.
For my opinion.. This Song deserves to be the best JPM's mourning Song.. it's content and sound are very sensitive 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 Goodbye our Hero Go our Really Patriot.
Katika uongozi WA Africa sijawahi ona rais mwenye utu Kama magufuli sijawahi ona rais mwenye roho ya utu Kama Baba magufuli laiti mungu angekurejesha pumzika Kwa amani Baba magufuli
Mungu wew n mkalimu umechukua shujaa wetu, mlaze pema baba, amefanya mengi kwa watu wa Rika zote, Hali zote na rangi zote, uongozi wako baba umetvsha toka hatua moja kwenda nyingne🙏🙏🙏,nina kilio kikuu moyoni mwangu baba magufuli ctachoka kkuombea na kukuenz jembe letu la Tanzania ,kazi yako Mungu Haina makosa, why watu wema hawadumu😭😭😭😭😭
Kiukweri Wewe msechu unitafute nikuulize kitu mungu akupe uwezo zaidi unajua Sana king najua umeokoka Mwamba mungu akupe uwezo zaidi uspendi kujitangaza Kama wenzako wakitoa kawimbo wanakatangaza ingekuwa wanauwezo Kama huu bongo tungekoma Sasa mungu naye sio mtoto amewanyima
Yaani NYIMBO Bora za maomboloze hatuzipi airtime kubwa kwenye hizi platform, halafu zisizo na touch yeyote ndio tunazipa airtime jamaniii. Tunakwama wapi wapendwa. Good msechu. 100% ya watanzania msiba huu umetuliza sana.ukimuona mtu Hana majonzi ujue anamatatizo.
Hakika ni wimbo pekee wa kuomboleza na uliobeba maudhui sahihi.. Pole Tanzania,Pole Taifa kwa ujumla..Mungu tuangalie kwa jicho la pili kuweza vuka vihunzi mbeleni. Asante kaka Msechu. Mungu ibariki Tanzania na Africa kwa ujumla. Mungu bariki kazi ya JPM na endelea kumbariki mama yetu Samia Suluhu Hassan na Jopo lake zima kuweza kutufikisha.. Allah Bless us all
Msechuuuuu😭😭😭umeamua kutuliza vizuri😭😭😭😭 Go legend 💔go Baba Mr President 💔💔 the heaven has received a new angel😭😭Glory be to God who created such a wonderful leader🙏🙏cheers Mr President 🥂🥂we gonna miss you💔😭😭
Ulisema tutakukumbuka nikweli mzee kila kitu bei juu watu wanyonge tunaumia sana mungu akulaze mahali pema peponi mungu ndio ajue yote yanayo endelea hapa nchin tanzania
Da!!! Noma sana kinachoendelea mpka leo siamin kbs kama namwona Mzee magu akitoa hutuba kwa namna anavopokelewa akiwa hupo tayal ktk jeneza .R.I.P faza