Тёмный

UAPISHO, Jionee Tukio la Kuapishwa Mkuu wa Majeshi Jacobo Mkunda na Mnadhimu Mkuu wa Jeshi 

Ulinzi Channel
Подписаться 77 тыс.
Просмотров 64 тыс.
50% 1

#Uapisho #wizarayaulinziMkuuwaMajeshi #MnadhimuMkuuwaJeshi #jwtz

Опубликовано:

 

14 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 30   
@tanzanite9944
@tanzanite9944 2 года назад
Big Up Majeshi yetu, jitahidini Tanzania iwe na jeshi bora Africa.
@amosjohn2873
@amosjohn2873 2 года назад
Kila la kheri mkuu katika uongozi wako....Mungu akuongoze vyema
@Sadock_artist
@Sadock_artist 2 года назад
Mungu azidi kulinda jeshi letu amin
@williamkeita1519
@williamkeita1519 2 года назад
Mungu awape kila la kheri mkuu wa majeshi mnadhimu na Raisi Samia suluhu Hasan,muweze kuimarisha jeshi la Tanzania kuendana na majeshi ya ulinzi yaliyo piga hatua.
@marylibaba2589
@marylibaba2589 2 года назад
AWIIII AWAAAAA!!!!! KARIBU SANA MKUU WA MAJESHI .
@elizabethmvumu1881
@elizabethmvumu1881 2 года назад
Mungu awaongoze viongoz wetu
@abbassalum1864
@abbassalum1864 2 года назад
Mungu ambariki kwa kazi yake Mpya CDF wetu.
@dd-yc1mw
@dd-yc1mw 2 года назад
Ila mtunzi wa huu wimbo wa taifa letu la Tanzay,Mungu ambariki sana tena.
@PeterZacharia-zh7dd
@PeterZacharia-zh7dd Год назад
duh!! Co pw
@sir_ENOCKMACHA
@sir_ENOCKMACHA 2 года назад
Nimetamani sana kuwa mwanajeshi basi tu
@elizabethmvumu1881
@elizabethmvumu1881 2 года назад
Mama Samia naomba uangalie swala la ajira kwa jicho la tatu maana Sasa hv tunaitwa kwenye interview lkn watakao ajiriwa tayar wanajulikana kisa tu wanawatu wakushka mikono na kiwavuta,Tusio na watu huko juu tunateseka mama,From 2014-2022,mtu huna ajira kweli jaman,So sad.
@emmanuelierasto8750
@emmanuelierasto8750 2 года назад
Tzd yenye uhulu
@josephisack8787
@josephisack8787 2 года назад
Nchi ya hvyo sana watu wanatetea matumbo Yao tu,.
@daudirobert7385
@daudirobert7385 2 года назад
Mh Makamu wa Rais sijamuona Nakupongeza mkuu wa majeshi kwa kuapishwa kwako kulitumikia Taifa letu pendwa
@MahidAli-jm6ey
@MahidAli-jm6ey 7 месяцев назад
Good
@bujashidaniel5537
@bujashidaniel5537 7 месяцев назад
Umefanana na wa South Africa 🇿🇦 coz mamdera and Nyerere walkua friends
@RajabuMussa-n2w
@RajabuMussa-n2w 14 дней назад
Mtu akikwambia azinasi na ww mwambie azinasi mta enda mpaka mpumbavu ataonekana
@ismailjuma9972
@ismailjuma9972 2 года назад
Yaan tunaburuzwa kwel Africa 🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️ angalau wangevaa wakiw spital pia inatosh mana uko kw mabeberu tunaowafata wanafanya hivyo saiv
@gabrielmuchangi7318
@gabrielmuchangi7318 Год назад
Embu
@josephisack8787
@josephisack8787 2 года назад
Wananchi wanataka maendereo bhna ,.hzo nyota bila maendereo na uzalendo ni sawa na kaz bure
@tumlakimwaitumule
@tumlakimwaitumule 2 года назад
Kwaiyo ulitaka mkuu wa majesh avalishwe maendeleo au? 😂 Mbona vitu haviusiani?
@bennyceaser8796
@bennyceaser8796 2 года назад
si ndio hapo!? yaan ndio tatizo la kuvamia tukio tu bila kujua anaongea nni
@tanzanite9944
@tanzanite9944 2 года назад
Kichwa kibovu, kazi ya jeshi ni kukulinda sio kukuletea mandeleo. Unataka maendeleo kwanini usilime? Mashamba hakuna?
@ismailjuma9972
@ismailjuma9972 2 года назад
Jamaniiii Tanzania tunamuiga nan saiv🤔🤔🤔🤣🤣🤣 au Korea kaskazin 🤔🤔🤔 mana uko ulaya kunako ayo magonjw ya korona hawavai mask saiv
@Eldiablo_69
@Eldiablo_69 2 года назад
Nchi huru hii unafanya utakayo. Usivunje sheria tuu
@tumlakimwaitumule
@tumlakimwaitumule 2 года назад
Kwani mwanzo mlikua mnamuiga nani? Yani hamtak kuamini kua nchi ipo kwa kiongoz mwingine saizi😂
@isayashayo4777
@isayashayo4777 6 месяцев назад
Rais ni kiongozi mkuu Sana ila kwenye kikao naye anaongozwa hakika BWANA NDIYE MUNGU
@isayamapolu1638
@isayamapolu1638 2 года назад
Mavi
Далее
РЫБКА С ПИВОМ
00:39
Просмотров 521 тыс.
WOSIA KWA MNADHIMU MKUU MPYA - AZAM TWO
16:26
Просмотров 157 тыс.
РЫБКА С ПИВОМ
00:39
Просмотров 521 тыс.