Mungu awape kila la kheri mkuu wa majeshi mnadhimu na Raisi Samia suluhu Hasan,muweze kuimarisha jeshi la Tanzania kuendana na majeshi ya ulinzi yaliyo piga hatua.
Mama Samia naomba uangalie swala la ajira kwa jicho la tatu maana Sasa hv tunaitwa kwenye interview lkn watakao ajiriwa tayar wanajulikana kisa tu wanawatu wakushka mikono na kiwavuta,Tusio na watu huko juu tunateseka mama,From 2014-2022,mtu huna ajira kweli jaman,So sad.