Тёмный

UCHAMBUZI wa ALI KAMWE: SIMBA vs YANGA - "SIMBA WANA HOFU, YANGA HAWANA cha KUPOTEZA" 

Global TV  Online
Подписаться 5 млн
Просмотров 42 тыс.
50% 1

UCHAMBUZI wa ALI KAMWE: SIMBA vs YANGA - "SIMBA WANA HOFU, YANGA HAWANA cha KUPOTEZA"
GLOBAL TV imepiga stori na Mchambuzi wa soka hapa nchini, Ali Kamwe, kuhusiana na Derby ya Kariakoo kati ya SIMBA vs YANGA, utakaochezwa Mei 08, katika dimba la mkapa jijini Dar.]
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 77   
@amanimwankotwa7634
@amanimwankotwa7634 3 года назад
Yanga lazima afe leo
@emmanuelwilliam9882
@emmanuelwilliam9882 3 года назад
Safi sana kamwe
@kaundasutikaunda7769
@kaundasutikaunda7769 3 года назад
Ni kweli kabisa. Big up Kamwe
@kaburaakbar4838
@kaburaakbar4838 3 года назад
Simba baba lao
@bugdadiajm1832
@bugdadiajm1832 3 года назад
Sio kweli, mfano mdg simba inapoint 4 juu hofu itoke wapi
@mohamedjeizan5929
@mohamedjeizan5929 3 года назад
Dada mtangazaji uko vzr. Nimependa maswali yako. Kilango weee bravo
@emanuelkilinga9196
@emanuelkilinga9196 3 года назад
Umekazana tu yanga hawana hofu kocha wao hana hofu ubingwa hawautaki tena?
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 3 года назад
Yanga ni kama Ruvu Shooting tu. Wakishinda wamebahatisha.
@mgeningogomeloathuman7230
@mgeningogomeloathuman7230 3 года назад
Oooh. Utopolo hawana presha eeeeh. Sawa.
@eliasnyondo5528
@eliasnyondo5528 3 года назад
Smb hatuna hofu itakuwa mech Kama zingine wachezaj wa smb mkapambane Kama kawa hakuna hofu. Hatuzalau timu yoyote tutapambana
@meshajoni5662
@meshajoni5662 3 года назад
Arafu wewe mdamwingine unakuwaga napointi,
@habibrwegoshora6624
@habibrwegoshora6624 3 года назад
Mechi ya SIMBA NA YANGA AINA MFUMO UKITEGEMEA HILO UMEUMIA..
@gibsonjosephat6352
@gibsonjosephat6352 3 года назад
Yanga walipo kula 4 mfumo haukuwepo?
@Boaz22
@Boaz22 3 года назад
Mwandishi wa habari she is very beautiful kwakweli
@shaabanimakamae46
@shaabanimakamae46 3 года назад
Ali huwa nakubali katika uchambuzi wako Ila kwa hii mechi siioni sababu yyt ya Yanga kushinda nakubali Derby huwa haina mwenywe Ila kwa hii sijuwi
@bekawizzy7778
@bekawizzy7778 3 года назад
Nic
@emanontkijanga5532
@emanontkijanga5532 3 года назад
Hofu ya nn acha uxenge
@mustafakarib4947
@mustafakarib4947 3 года назад
Tumia lungha nzur kwani mpenz wasimbaa pekeako
@makoyerichard5937
@makoyerichard5937 3 года назад
💥💥💥
@kelvin8324
@kelvin8324 3 года назад
Ali Kamwe uchambuzi mzuri but please keep distance from that queen before i cross border uniambie why🔚
@micdantv1911
@micdantv1911 3 года назад
Team inamuunganiko imepata matokeo mazr club bingwa ndo Mana ina wasiwasi na Yanga Bro.mbona hujui kuchambua soka
@ameirzapy1318
@ameirzapy1318 3 года назад
Na Tutawafunga Simba ,then presha hadi game za kimataifa, Simba anaanza kutiwa Gundu trh 8.
@victorsanga2229
@victorsanga2229 3 года назад
Mtakonda mpaka mkufe
@ahsanteamedson4132
@ahsanteamedson4132 2 года назад
naitakia Simba uxhindi
@magrethandrew681
@magrethandrew681 3 года назад
Ali umeng'ang'ania sana kuwa simba ndio ina pressure nani kakwambia yanga hawana pressure wakati kumfunga simba ndio kombe lao
@ezzyphilipo4357
@ezzyphilipo4357 3 года назад
Anamaanisha yanga wao hatawakifungwa hawanachakupoteza maaa wanaamin watafungwa2
@FRANSKALITUSI4937
@FRANSKALITUSI4937 3 года назад
Very good
@krispinkisanga3261
@krispinkisanga3261 3 года назад
huyu jamaa ana akili nyingi sana🔥
@reubenismail3672
@reubenismail3672 3 года назад
Hapo umechemka Simba tunahofu Nini?tutawapiga kwa aibu Sana hao!
@saimonijonas4356
@saimonijonas4356 3 года назад
Kama haujaelewa usinge coment.
@saidfod3376
@saidfod3376 3 года назад
Simba wanapresha sana
@syksyk7295
@syksyk7295 3 года назад
Ila refa n waamuz wafuate Hak n sheria z soka kwny Penat itoke penat kwny faulo itoke faulo co kubebana bebana n kuonean Aibu
@franshyera8970
@franshyera8970 3 года назад
Uyu dada mtangazaji naomba namba yako ya cm.
@ellyitete938
@ellyitete938 3 года назад
Hapo kwenye confidence nakataa....yanga ndio wanapresha maana wanajua wakipoteza ndio wameliaga kombe msimu huu
@syksyk7295
@syksyk7295 3 года назад
Marefa jamaan Marefaa Marefaa jamaaan tutakj kuuana pal uwanjan marefa waw Makn sn n waspendlee tim yyte ile wafuate Hak /sheria jamaan Waamuz jamaan
@emmanuelmasele8734
@emmanuelmasele8734 3 года назад
Unajitahidi,lkn Yanga washabiki ndani wanayo majibu tarajari.
@fredrickipembe8188
@fredrickipembe8188 3 года назад
Pulesha unayo wewe sio simba
@meshajoni5662
@meshajoni5662 3 года назад
Itajulikanatuu
@suleimanathumani8345
@suleimanathumani8345 3 года назад
Kwan wewe mchambuzi umeambiwa Simba tuna chakupoteza? Peleka utoporo wako kule!!!
@abubahamis1111
@abubahamis1111 3 года назад
We .ni utopoloooo t una lolote simba amna cha. Kupoteza yanga ndy. Wanaofuuuu sio simba we uchambuz. Wako ovyo KBS kelele. Huko
@ismailkatala4792
@ismailkatala4792 3 года назад
Hebu tupe uchambuzi wako na wewe
@mustafakarib4947
@mustafakarib4947 3 года назад
Presha co km unavohis wewe maanayakw kuutaka mchezo zaid kuliko yanga
@abdalajuma8163
@abdalajuma8163 3 года назад
Unashindwa kuelewa nin maana naya presha embu tulia hapo
@kassidpandu866
@kassidpandu866 3 года назад
Hatuwezi kutumia nguvu kubwa kwa utoporo sisi tuna Mechi za kima taifa
@allyshafih4913
@allyshafih4913 3 года назад
Mechi ya simba na yanga amna mwenye uhakika wa kupata matokeo na amna timu mbovu tu subil dakika 90 sawa mikia nadhan tumeelewana.
@egnokinunda4539
@egnokinunda4539 3 года назад
😃
@johnmwita9398
@johnmwita9398 3 года назад
Unajihami, andaa kiroba cha kubebea magoli mkagawane na utopolo wenzako
@alimasauni7896
@alimasauni7896 3 года назад
utembwele siblis fc wanauona wembe wa Mapinduzi unageuzwa wanaanza kuhaha sasa ns ndipo kidomo cha mpepechengo kitakapokatwa
@ellyitete938
@ellyitete938 3 года назад
Gari ya nan hapo
@nurdinmzamilo9886
@nurdinmzamilo9886 3 года назад
A K A MAGOLI YAMBALI DEREVA BAJAJI KWADIWAN KIPUNGUNI UKONGA ALI KAMWE ANAWAZA MUNGU AMTANGULIE HUYU NI KASHASHA WA BAADAE
@adammj6258
@adammj6258 3 года назад
😁😁😁😁kocha wa Yanga :mi mgeni jaman nisingeweza kuandaa timu muda mfupi '😀😀😀😀😀
@emmanuelbonifas3517
@emmanuelbonifas3517 3 года назад
Mfumo gani atutakubali kuchezewa tena wanamsimbazi tarehe 8/ mje mkapa studium muone
@hossenmuhaji9471
@hossenmuhaji9471 3 года назад
Duu aliiii bintii mnaendana huyu changamkia fursaaa
@annasamo7063
@annasamo7063 3 года назад
Hahaha umeanza kufungisha ndoa?
@naybyz4892
@naybyz4892 3 года назад
Dada Huyo anaitwaje Instagram account
@khadijacharles2433
@khadijacharles2433 3 года назад
Mdajidanganya sana
@daudinyenye6875
@daudinyenye6875 3 года назад
Huyu mwehu utopolo mtu
@sadromsemwa6507
@sadromsemwa6507 3 года назад
Nae si shabik wa yang tu
@saadallah6287
@saadallah6287 3 года назад
P
@zuberikupaza1184
@zuberikupaza1184 3 года назад
Mechi iliyopita morrison alicheza against yanga lakini bado walitoka sare ya moja moja!
@hajisoud4612
@hajisoud4612 3 года назад
Morison ajacheza
@zuberikupaza1184
@zuberikupaza1184 3 года назад
@@hajisoud4612 kipindi cha pili dakika za mwisho aliingia.
@UlimeA
@UlimeA 3 года назад
Sio kweli
@daudipeter8759
@daudipeter8759 3 года назад
@@zuberikupaza1184 Morrison hakucheza Wala sub hakuwepo
@chichasam9032
@chichasam9032 3 года назад
Kichaaaa ww
@JK-uq1tv
@JK-uq1tv 3 года назад
Huyu jamaa fundi wa mpira
@mustafakarib4947
@mustafakarib4947 3 года назад
Yap
@mahengomwenyewe4204
@mahengomwenyewe4204 3 года назад
Kwahiyo simba yenye kuongoza kwa points 4 mbele na michezo 2 mkononi wao ndio wanapresha kuliko wasionachochote kweli huu ni uchambuzi
Далее
ДОМИК ДЛЯ БЕРЕМЕННОЙ БЕЛКИ#cat
00:45