Militia mbali Bwana wangu Riziki😂huo ubalikiwe alikua zezeta ukamtibu saahii anajitambua sanaa alikaa myaka 14 Amerika akipata pesa anazirushina mwanamke hajui kisha ukamtibu akajua kwamba ako anaibiwa asante sana Riziki mkali
Wenye Wana comment ,mjue ya kuwa hii ndio ndio desturi mwafaka kwa mwafrica kabla mzungu kuigiza desturi inayo muinua kibiashara. Asiri ni hii na ninaitabua kiukweli. Hawa sio wachawi ni wajadi kiuhalisia❤
Camera man kazi mzuri sana jaribu kuwazimu vizuri naweza shangazi wangu hapo kwamaana kwa kikimbiya usiku yeye anashinda kipchoge kwa utewo nampea kongelo
Ni wapi paliandikwa Tutachomwa Ivi Kwa Akili yakawaida Mungu Anavo tupenda ivii then atuchome ??? Isome Biblia uielewe Mwanadamu alipewa Adhabu ya kifo full stop hayo Mengine Ni Shetani anataka 2 kumchamfua Muumba wetu
@@MrJyddyMBINGU ipo na Jehanamu ipo na Moto pia upo Kwa watu wasiompokea Yesu mioyoni mwao pindi wanapokufa, Unaweza ukaona saivi kama ni utani au mchezo Fulani ivi ila siku utakapokufa ndipo utakuja kuelewa na kujuta Kwa Nini hukuzingatia kumpokea YESU.
Hawa mafillmasson ... Washenzi hawa ndiyo wanatuletea mibalaa maajali mabarabarani kumbe wana mambo yao Allah atuongoze hu mtihani kiyamakipokalibu kuabudu mizimu na wakati Allah alokuumbeni yupo nyie moto unawaita msipoacha hayo
@@ZagambaMnubiYesu yupo na yuu hai Leo, woote wasiompokea wanapokufa huenda kuzimu na Jehanamu Mpokee Yesu Leo kabla hujafa hivi sasa mlango Bado upo wazi kwako saivi.