Assalam alaikum brother and sister tuzidini kumuombea Shekh wetu Ramazan kwa Kazi mbayo Tulip achiwa na Mtume wetu Muhammad s.a.w. Kuamrisha Mema na Kukataza Maovu. Na tuungane katika Kuchangia Kumsaidia katika Kazi hii Allah. Allah Atatulipa soteni Katika Kazi Hii ya kujitolea. Allah atuezeshe kutenda Mema na atujaalie katika Kukataza Maovu. Amin
@@NathanielNathan-m4o ... Wewe hata hatuna haja nawe.... Maana kama unamasikio unasikia, kama una macho unaona, kama unahakili unaerewa, ila mwenyezi Mungu humuongoa anaemtaka na humuacha anaemtaka ili apate wa kuwachoma moto
@@NathanielNathan-m4o YESU ni njia ya kwenda kwa Mungu, sio yesu tu, mitume wote ni njia ya kwenda kwa Mungu. Ukimkataa YESU hutoboi, ukimkataa mohamad, Musa, Ibrahim, NUHU, luti n.k. hutoboi mjomba, na hiyo ndo iman ya watu wote wa kale na mitume wao, ,,,, shida yenu mnamuabudu YESU nyie ni wanafik. Marko 7:6-7,8,9. Sasa kama ukristo ni kuamini YESU alikufa kwa ajiri ya dhambi zako, kipind yesu hajafa hao wa nyuma waliamin nn 😢❓❓
nawapenda sana masheikh wangu kwa ajili ya allah❤kuna mda napenda kukusikilizah apa ila kuna mda napenda pia kumsikiliza sheikh salim kwaiyo kuna mda nikiwa kwako naona nakosa na nikiwa kule naona nakosa hapa kwa kweli mnajuwa na mungu awazidishie insha allah, much Love💖❤
@@mohamedhozi8110 hujasom vizur biblia sio wakat ule yeye ni jan leo hatamilele mnawadanganya watu ambao ata biblia hawajui kiukwek nyie waislam mnamuabudu shetan mkizan mnamwabudu mungu geuken sam shamour mtafute akuelekeze
Takbirrr takbirrr allah awafanyie wepesi wote wanaosilim na amjaliye shekhe Ramadhan umri mrefu wenye afya na hekma na umzidishie elimu na wingi wasubra
Quran 110 : 1 Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi, Quran 110 : 2 Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi, Quran 110 : 3 Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba.
Yesu alimaanisha wanafunzi wafate matendo yake Kwa mfano kutawadha kusujudu. Kuingia msikitini kukataza machafu na haya yote hakuna mkirsto anae fanya haya
Asalam aleikum warahmatullahi wabarakatu ustadh Ramadhan. Uko tayari kusilimu? Kuna mtu anakulazimisha? Kuna pesa umepewa au hongo? Unasilimu kwa mapendeleo yako? Ustadh Waonaje uwaulize zaidi kwa maneno haya. #Zakir naik
Mtu ambaye amekubali kufa na yesu na kufufuliwa na yy hawezi kujichanganya. Na dini zetu hazitupeleki mbinguni .ila tunaenda mbinguni kupitia yesu kristo ambaye yeye ni njia ya ukweli