Тёмный

UCHAWI WA KURITHI FULL MOVIE FILAMU ZA AFRICA 

Sanau Swahili Movies
Подписаться 187 тыс.
Просмотров 1 млн
50% 1

Uchawi wa kurithi ni filamu ya kitanzania inayozungumzia maisha ya mama aliemrithisha mwanae uchawi baada ya mtoto kuwa mkubwa akaanza kutumia uchawi kuwadhuru watu wasiokuwa na hatia ikafikia Hatua akataka kuwa na mahusiano na kijana aliekuwa tayali na mchumba wake kijana alivyokataa msichana mchawi akamfanyia uchawi kijana yule akapofuka macho kijana akaambiwa ili alone lazima akubari kuwa na mahusiano na msichana mchawi baada ya kuwa wapenzi kijana akapata Siri ya kujua ulipo uchawi wa huyo msichana ikabidi auchome Moto na huo ndio ukawa mwisho wa nguvu alizokuwanazo msichana huyo hii ni filamu inayoonyesha maisha ya Africa na tamaduni zake

Кино

Опубликовано:

 

9 апр 2021

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 649   
@mohamedhamza3066
@mohamedhamza3066 3 года назад
Wow great film ,kazi nzuri keep it up guys sio sikuzote tuwe tunaangalia vya wenzetu tu nollywood kumbe wanyumbani pia wanaweza
@shijaabdalah4529
@shijaabdalah4529 2 года назад
Kisukuma moves
@abdallamakame694
@abdallamakame694 2 года назад
@@shijaabdalah4529 dg
@abdallamakame694
@abdallamakame694 2 года назад
Dwload
@Shamawa
@Shamawa 2 года назад
Https://www.RU-vid.com/channel/UCsAaiBp9R5JgkhewFKFF9bQ
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Sanau Swahili movie na sanau two bongo movie nawakubar xana
@biashasuleimanabdalla481
@biashasuleimanabdalla481 3 года назад
Assalamu aleikum warmatulla taala wabarakatu. Ndugu zangu tutoke kwenye ujinga. Yaani unachakumritisha niupotovyu bora unge mridhirisha tabia nzuri sio uchawi.
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Mtihani sana huyu mama
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Usikose kuitazama tamthilia mpya ya jakamoyo kila siku ya alihamisi saa tatu kamili usiku
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Anampa mtoto matatizo tuu
@hamisakawiu2441
@hamisakawiu2441 3 года назад
Ongelen san
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 года назад
Mihogoo haipandi haishukii kwa dada nyamixi anafikiria handsomeboy🤣🤣🤣🤣yani mapenzi pita kushoto mm kulia
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 3 года назад
Nacheka lkn naogopa 🙈 🙈 🙈
@dorcasmueni4042
@dorcasmueni4042 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@johnbernad3990
@johnbernad3990 2 года назад
Hallelujah nimefurah na majibu ya ommy wakuogopewa ni Mungu na wala si mwanadamu, nyamiz kwani yeye ni nani? Yeye anajivunia uchawi mimi najivunia Yesu
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 2 года назад
Habari Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movies Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari Sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante Sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 kwa maoni na ushauri wasiliana nasi kwa namba hii WhatsApp +255658570788
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 года назад
Hawa huwa ni pacha ama edit mana sikwakufanana hukuu🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️subirini awatokee mbio mwajifanya wanaume mbona mwatetemekaa😂😂😂😂😂😂
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 года назад
Hahaha nyamizii chezea maji mana utafulia utapikia lkn usichezee moto uta ungua noma omi gubu😄😄😄😄😄😄😄
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Kabisa nyamizi no shidaaa
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Tunashukuru na tunaendelea kushukuru kwa wote ambao mmeangalia filam yetu na wadau
@malaikajaden6802
@malaikajaden6802 3 года назад
Msijali tuko pamoja
@musamnkondya3629
@musamnkondya3629 3 года назад
Wako vizuri jitahidini kila wiki muwe mnatoa vipya
@edsonelieza7048
@edsonelieza7048 3 года назад
Jamaa kwa kujinadi wakati ana chochote unashindana na mchawi wakati una iman na mungu daaaa pole kwa upofu adi ububu
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Mapenz na uchawi hehehehe mapenz yana nguvu kuliko mapenz
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Pia mmefany vzr xan kuchoma uchaw
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Mimi ni mdau wa karibu sana San sana wa sanau Swahili movie
@anita2965
@anita2965 3 года назад
Hongeren sana wahusika kwa movie nzur sana.
@hamisikassimu555
@hamisikassimu555 2 года назад
🙈🙈🙈
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 года назад
Mnayeendana sijui atakubali kipofu😄😄😄😄😄mana sio kwambwembwe hixo wewe na hayran
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 года назад
🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️🙆🏽‍♀️😂😂😂😂tobaa mtu akiwa mdogo anaonewaa eti fimbo xitakuhusu mtoto wakiume haha
@gadsonydaniel7960
@gadsonydaniel7960 2 года назад
Asa ningefanyeje?
@user-xh7wy2mi2j
@user-xh7wy2mi2j Год назад
Lakini ningekua omy ningemuowa mdogo wake nyamizi. Kwa kweli asante kwa movie nzuri za mafunzo
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies Год назад
Hahaahha 😘❤️
@mariamumariamu1003
@mariamumariamu1003 3 года назад
Ataree na nusu kama.una wakubar sanau Achia like
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Asante Sana Bibi tupo pamoja kuhakikisha tunaleta filamu mpya na Bora kila wakati
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Hii filamu inaujumbe sana na ni nzuri
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Cast nzuri mamb mazur colar nzuri na washiriki pia
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 3 года назад
Wapo vzr mungu. Awazidishie wafike mbali
@esteralnani6838
@esteralnani6838 3 года назад
Ommy nimekupenda
@eastafricaswahilimovie2702
@eastafricaswahilimovie2702 3 года назад
Sanau mpo juu
@mamakomangonakumbukambalis954
@mamakomangonakumbukambalis954 3 года назад
Hii picha nzuli sana hongela sana
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Asante Sana
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Usikose kuitazama tamthilia mpya ya jakamoyo kila siku ya alihamisi saa tatu kamili usiku
@fredericnduwimana9239
@fredericnduwimana9239 2 года назад
Nawapongezeni sana kwa filam hiyi,ila mngetiyaemo maombi hata kidogo mkaomba Mungu alafu pakajionesha miujiza ya Mwenyezimungu
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 2 года назад
Habari Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movies Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari Sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante Sana 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 kwa maoni na ushauri wasiliana nasi kwa namba hii WhatsApp +255658570788
@mwanaidimwangi8477
@mwanaidimwangi8477 2 года назад
Kweli
@GadaonDaniel
@GadaonDaniel Год назад
Haaaaaaaa sawa kaz nyingine tutaweka maombi by G
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Zawad mbasha kazi nzuri
@jenniferbarakha3642
@jenniferbarakha3642 2 года назад
Hongeren snaa kwakwel mmejitahd movie nzur👏👏👏
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 2 года назад
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Shakira a.k.a da shaki nakubari xana hongera
@zawadimbasha6042
@zawadimbasha6042 3 года назад
Jmn hii roho ya mtt kufata kwa mama ni atar mtt kawa mchaw mpk kumzd mama, kifup nawapnd sn masata kikubw kuomba mungu ili kuweza kufik mbl zaid
@shazilimohamedi4762
@shazilimohamedi4762 3 года назад
Sf sn sanau muko vzr sn 🙏🙏🙏🙏
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Kazi nzuri sana xana blessss
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Nakubari sana
@bonnymatheka352
@bonnymatheka352 2 года назад
Nimeipenda Sana filamu yenu, waigizaji wako fiti👏👏👏👏
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 2 года назад
Ubarikiwe sana mkuu
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 2 года назад
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movies tunajivunia kuwa mwanafamilia wa sanau Swahili movies hakika wewe niwathamani kubwa kwetu nakuomba uendelee kutazama sanau Swahili movies kwani tumejipanga kuweka filamu mpya kila wakati Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari Sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya kwa maoni na ushauri wasiliana nasi kwa namba hii +255658570788 kawaida na WhatsApp asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@GadaonDaniel
@GadaonDaniel Год назад
Asante shabik zetu by G
@neemamzande7252
@neemamzande7252 2 года назад
😂😂😂😂😂😂 tajiri WA mahaba na maskini WA mahaba akutaki pole my broo muvi nzuri xna
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 2 года назад
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@aminahhuawei1133
@aminahhuawei1133 3 года назад
Mashaallah mzr sana mungu awabariki sana 👍😘
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Usikose kuitazama tamthilia mpya ya jakamoyo kila siku ya alhamisi saa tatu kamili usiku
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
🙏😘
@veryaloyce3874
@veryaloyce3874 2 года назад
Mko vizuri kazeni mtakuja kua wakubwa kama kanumba
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 2 года назад
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Hehehehehehe mara bubu Mara kipofu dooooh pole ommy
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Hana hata haibu anamkunjia hadi mdogo wake yaan wachawi bhn
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Tupo pamoja sana dooooh
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Uchawi wa kurithi hehehe mtoto amefata loho ya mama yak kabixa
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Shukrani sana masata
@user-gz2zm9ro1h
@user-gz2zm9ro1h 3 года назад
Yani mov zenu zote zinakuwa nimzuri nawakubali san😍🤝
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
🤝🤝🤝🙏
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Usikose kuitazama tamthilia mpya ya jakamoyo kila siku ya alihamisi saa tatu kamili usiku
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 года назад
Nyamixi kafunga kibwebwe🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ommy mbona utakomaa sahii umekuwa bubu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣haya Bora bubu utaona
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Nimeipenda
@KavumbaZigamba255
@KavumbaZigamba255 3 года назад
Mtoto atakuwa Moto zaidi ya mama yake
@saniajuma6123
@saniajuma6123 3 года назад
Tabora moja hiyo home nc move kumbe tunaweza 💗💗💗❤💞💝🙏🙏🙏
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Endelea kufatilia Sanau Swahili movie
@johnbernad3990
@johnbernad3990 2 года назад
Kumbe ni Tabora eeh!
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Kitu kitamu kitu imara kitu bomba
@shariffrojassr3326
@shariffrojassr3326 2 года назад
Iko vizuri mmejitahid sana
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 2 года назад
ASANTE SANA KWA KUTAZAMA SANAU SWAHILI MOVIES sanau Swahili movies tunakushukuru kwa kuwa nasi mwaka 2021 tunakuomba uendelee kuwa nasi mwaka 2022 wafanyakazi na viongozi wa Sanau Swahili movies tumejipanga kukuletea filamu zenye ubora na utofauti mkubwa Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@erickkaburu641
@erickkaburu641 2 года назад
Thanks Sanaa movie nzuriiii yakufunzaaaa nakuss muaaa
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 2 года назад
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Yaan kiukwer story inaelewek na inaxiximua pia inamafunzo
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Baba ngoi nakubar mzaz
@asia9930
@asia9930 2 года назад
Nzuri mashaaallha🙏🏻🙏🏻🙏🏻🥰❤❤❤mmejitahidi ila namm nimempenda omy🤣🤣🤣🤣
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 2 года назад
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@slowkilosakilosakilosakilo3608
@slowkilosakilosakilosakilo3608 2 года назад
Aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaah utakuwa nyamizi wewe👈😂❤️💯🇹🇿
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 года назад
Mumetaja ugali namlendaa mate yamenidondokaa 😋😋😋😋😋😋
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
😂😂😂😂😂😂😂✔️
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 года назад
Haha kweli ss pia tukiwa wadogo chapo wali ukiitwaa unaitikaa mara moja lkn siku yasima siitiki hadi bi mkubwaa akuje kiboko kitembee
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Mapenz y kwer huwa hayafi aixe
@adbashtv6701
@adbashtv6701 2 года назад
Huto dem msenge sana yani uchawi unampelekesha hadi naogopa kwenda kijijini kwetu
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 2 года назад
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@jumaabdala8379
@jumaabdala8379 2 года назад
nimeipenda sana mmejitahidi endeleeni kukaza buti
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 2 года назад
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@baimarrajahbuayan6237
@baimarrajahbuayan6237 3 года назад
Mchawi kakauka kama mie 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 hata kusuka kumemshinda
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
😂😂😂😂 we mbona kibonge mwepesi
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Unatafuta kurogwa wewe nyamizi njo huku umuone huyu
@OmanOman-ky2oo
@OmanOman-ky2oo 2 года назад
🤣🤣🤣
@faustaudamwa6336
@faustaudamwa6336 2 года назад
Nice move nimeipenda sana
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 2 года назад
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 года назад
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣dada kashutukaa mana katoka kwa nyamizi hapo hapo pap nyamizi ako kwenu mashaka
@KavumbaZigamba255
@KavumbaZigamba255 3 года назад
Sanau mpo vizuri sana
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Umetisha sanaa mkuu 🙏🙏
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 года назад
Ommy kweli gubuu yani bdo unataka kuwa kipofu tena jamani ..wewe Bora ukae na nyamizi Bora uhai
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Kazi kazi
@ismailthabeet1797
@ismailthabeet1797 3 года назад
wakwanz ku like jmn fany kam unagusa. 👍
@shakilamasoud2983
@shakilamasoud2983 3 года назад
Mwisho wa ubaya ni aibu' safi sana.
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie
@sallychemtai4900
@sallychemtai4900 3 года назад
Safi Sana keep it up watching 4rom Kenya 🇰🇪
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili
@zamdasaid9982
@zamdasaid9982 3 года назад
Nice move Congratulations for all participants❤
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie
@mawazomfungomisana4148
@mawazomfungomisana4148 3 года назад
jil
@sophiamfaume2555
@sophiamfaume2555 3 года назад
Amina mfaume
@hamisikassimu555
@hamisikassimu555 2 года назад
🙏🙏🙏
@zainabufaidhi4799
@zainabufaidhi4799 3 года назад
Mashaallah nzur Sana na wapenda Sana washirika wote
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Asante Sana
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Usikose kuitazama tamthilia mpya ya jakamoyo kila siku ya alihamisi saa tatu kamili usiku
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Asante Sana
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 года назад
Mdomo uongee mkono ushike bn 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Haha nyamizi Haha
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 года назад
🙄🙄🙄🙄🙄utamu wakujibizana na mtu humjui undani wake haya Ommy pokea 🏑🏑🏑🏑🏑hii itakusaidia🤣🤣🤣🤣🤣kesho ndoukome kujibizana na mtu alieshindikana
@hadijamrope9136
@hadijamrope9136 3 года назад
Hakika
@dorisorangi
@dorisorangi Год назад
Wow hairuni wapendwa lakini hupendeki jani...kayaachia mapenzi pepo🙆🙆🙆🙆🙆
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies Год назад
Ndivyo ilivyo mara nyingi anaependwa hapendeki
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Kilongozi production xaf xana
@mivanampunje9657
@mivanampunje9657 2 года назад
Munaweza kw kwer ongereni sana
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 2 года назад
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie tunajivunia kuwa mwanafamila.wa sanau kwa filamu mpya endelea kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari Sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏 🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@anethwilliam1526
@anethwilliam1526 3 года назад
Nzuri sana asanteni
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Nakubari viajan pigen kazi
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Nyamizi umexidi san bora hat umekufa
@nurusaid4698
@nurusaid4698 Год назад
Naangaliya Nikiwa Qatar 🇶🇦Jameni Ongereni Sana Mloshiriki❤❤❤
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies Год назад
Asante sana 😘❤️
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Filamu tamu mwanzo mwisho
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 года назад
Duuu kumbe mama nyamixi ndoalikuwa mwangaa kaua bn karitisha nyamizii makubwaa maji hufata mkondo nyamizi karithi
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Masata atrs group pamoja san
@KULKID
@KULKID 3 года назад
Ommy Umetia huruma Sana Humu ndani 😂
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 2 года назад
.masikini filamu hii ya mama wa kambo inayozungumzia maisha ya kweli ya watoto waliopitia maisha magumu kutoka.kwa mama yao wa kambo bonyeza maandishi ya blue hapa kuitazama ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-rZPm_6Vrs2U.html Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@KavumbaZigamba255
@KavumbaZigamba255 3 года назад
Nyamizi umetisha sanaaaa
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Nyamizi kama nyamizi
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Yupo vizuri Sana kwenye uwangaji
@hasinarashid5059
@hasinarashid5059 3 года назад
Sipendagi bongo movie ila hiii🙌🙌 nimeipenda balaaa💋💋
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@milliardere9177
@milliardere9177 Год назад
hupendii vya kwenu
@mwananyamalaz4427
@mwananyamalaz4427 2 года назад
Very nice movie thanks watching from Australia Asante Sana'a 2021 🙌
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 2 года назад
ASANTE SANA KWA KUTAZAMA SANAU SWAHILI MOVIES sanau Swahili movies tunakushukuru kwa kuwa nasi mwaka 2021 tunakuomba uendelee kuwa nasi mwaka 2022 wafanyakazi na viongozi wa Sanau Swahili movies tumejipanga kukuletea filamu zenye ubora na utofauti mkubwa Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Vijana wanamzungumzia nyamizi lakini wanakimbia wanamuogop
@erasmusevodius1053
@erasmusevodius1053 2 года назад
Ww
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Story nzuri zipo mkoani na tukiend hivi nadhan mamb yatakaa xaw
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Upo na mwanao tausi
@dericsingirankabo9616
@dericsingirankabo9616 2 года назад
Safi san
@barakaelias5241
@barakaelias5241 3 года назад
Hongeren sana washirika wote
@nacyufoo7852
@nacyufoo7852 2 года назад
Dfhykjn
@nacyufoo7852
@nacyufoo7852 2 года назад
AyghDh
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Kazi nzuri sana
@samiaarimkonekonko5096
@samiaarimkonekonko5096 3 года назад
Nawakubari sana wanyumbani ❤️❤️🙏🙏🙏🙏
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Usikose kuitazama tamthilia mpya ya jakamoyo kila siku ya alihamisi saa tatu kamili usiku
@ommymkwanga9081
@ommymkwanga9081 3 года назад
Sema director u good
@nacyufoo7852
@nacyufoo7852 2 года назад
Fhkjsy
@marionwenani2190
@marionwenani2190 2 года назад
Hii flam iko poa sana nimeipenda
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 2 года назад
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya Asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@LissaIssa-lx1qu
@LissaIssa-lx1qu 9 месяцев назад
sasa Samizi mapenzi haya lazimishwi jmn kpenz af huna tumia sauti ya ukary kwa mwna mume Asa atakupendaje mtu kalihvyo mbele ya mwna mume huna kua mpole Samizi 😂😂😂
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 8 месяцев назад
Nyamizi hataki kuelewa
@nurafedrick378
@nurafedrick378 3 года назад
Hili nayo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ajikazaa kweli kuongea
@poaswahilimovies99k
@poaswahilimovies99k 3 года назад
Next level bless all
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Asante Sana mkuu ubarikiwe sana
@dancanwanyma7226
@dancanwanyma7226 3 года назад
Hy
@maysontorin559
@maysontorin559 3 года назад
Sorry to be off topic but does any of you know of a trick to log back into an instagram account?? I somehow forgot my account password. I would love any help you can give me!
@axelbishop1024
@axelbishop1024 3 года назад
@Mayson Torin instablaster ;)
@junkaomar6304
@junkaomar6304 3 года назад
kipendacho moyo nidawa )
@taysonbahat7745
@taysonbahat7745 2 года назад
Asante sana mungu awabariki
@kelvingodfrey4352
@kelvingodfrey4352 Год назад
Mko vzr ♥️♥️👍💚
@mackiedaim4511
@mackiedaim4511 3 года назад
Kazi ni 💣
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movie
@jumakandy2075
@jumakandy2075 2 года назад
Classic movie safi sana muko poa kazi nzuri sana 👌👌👌
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 2 года назад
Asante Sana kwa kutazama sanau Swahili movies tunajivunia kuwa mwanafamilia wa sanau Swahili movies hakika wewe niwathamani kubwa kwetu nakuomba uendelee kutazama sanau Swahili movies kwani tumejipanga kuweka filamu mpya kila wakati Kama bado hauja subscribe channel yetu nakuomba tafadhari Sana subscribe na hakikisha umebonyeza alama ya kengele ili uwe unapata ujumbe kila siku tunapoweka filamu mpya kwa maoni na ushauri wasiliana nasi kwa namba hii +255658570788 kawaida na WhatsApp asante 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
@suleimashaban4634
@suleimashaban4634 2 года назад
yani mmenifanya nilie kaz mzuli sana mungu awaongoz ili luendelee kuifundisha dunia
@eastafricaswahilimovie2702
@eastafricaswahilimovie2702 3 года назад
Bonge la filamu
@sanauswahilimovies
@sanauswahilimovies 3 года назад
Asante Sana mkuu
@saveryibrah4948
@saveryibrah4948 3 года назад
Mwanzo mwisho
Далее
BABA YANGU KIPOFU Full episode /24/ #love
30:52
Просмотров 75 тыс.
На фейсконтроле 💂
09:41
Просмотров 930 тыс.
SPILLED CHOCKY MILK PRANK ON BROTHER 😂 #shorts
00:12
Иран и Израиль. Вот и всё
19:43
Просмотров 1,5 млн
mateso ya mama wa kambo part 1
8:00
Просмотров 11 тыс.
BINTI SIMBA | full movie |. { season 1}
2:17:26
Просмотров 25 тыс.
SHANGAZI KAJA (Full Movie)
59:14
Просмотров 158 тыс.
MAMA WA KAMBO FULL MOVIE
1:18:49
Просмотров 1,7 млн
MWENYE NYUMBA MCHAWI (FULL MOVIE) MWAKATOBE
1:33:41
Просмотров 827 тыс.
KOSA LA MAMA || Swahili Latest || Bongo Movie 2021
2:00:01