@Mtangazaji
#diaspora #tanzanianews #Houston #tsa
Tanzania Sharing Association (TSA) ya nchini Marekani inayoundwa na watanzania ilikuwatanisha watanzania katika tamasha lake la kila mwaka ambapo mwaka huu wa 2023 lilikuwa ni maalum kwa ajili ya maadhimisho ya miaka 62 ya Uhuru wa Tanganyika
Waweza pia fuatilia matukio mbalimbali yanayoratibiwa na TSA hapa / @tsa9072
8 сен 2024