Kuna aina mbili za maji yanayo athiri ukuta, maji yanayo panda kutoka chini ardhini na maji yanayotoka nje nakuingia ndani.
leo tumezungumzia namna yakutibu kuta zilizo athriwa na maji yanayotoka chini na kuingia ndani hivyo kuathiri kuta mfano rangi kubanduka nakadhalika.
Kwa mahitaji ya huduma hii tuwasiliane kwa Simu/Whatsapp; 0716573079
instagram; @lchbuilders
intagram; @thebuilderhometz_
14 окт 2024