@@AthumanAidan Kama hujajenga nyamaza hujui kitu , sababu kubwa ya watu kupaua mtindo huo ni kupunguza gharama , aina hiyo ya upauaji inatumia mbao chache na bati chache kuliko aina nyingine yyt . Walionielewa wamenyamaza ..
@@AthumanAidan Angalia VIDEO za nyuma za Mr House utaona ameeleza mara nyingi kuhusu aina 3 za upauaji na gharama zake , na kwanini watu wengi sasa hivi wanapaua aina hiyo , ni kukwepa gharama , My tindo huo unatumia mbao chache na bati chache , umeuelewa Bwana Athumani. ???
@@AthumanAidan Haijalishi nyumba Iko wapi , ukubwa wa kiwanja , . Mtu yyt anapotaka kujenga anafikiria kupunguza gharama , kwa aina hii ya upauaji mafundi wengi bado hawajaujua , ndio maana nikasema unakwepa gharama za mbao na bati mwanzoni lakini unakuja kuhangaika na marekebisho baada ya nyumba kuanza kuvuja . Umeuelewa Bwana Athumani ???
watu ukiwaambia hiz nyumba azifai.wanaona huna maana wao wanachodai ni kukwepa gharama kwenye mvua watakiona cha.moto labda wapate mafunzi wajuz kama huyu