Mashallah madam tuseme tu ule ukweli nakupendaga saana na laiti ningepata mwanamke mwenyewe swiha yako yalabh ningeweza hata kuweka kiapo juu ya kumsaliti mkewangu.❤❤❤🤝🙏
Bass haya ishaalah wapo wasaliti wengi ni wanaume mimi kulikuwa na mwaname nipanga kila kitu kwangu baadae alibadilikiya aposhapata mtono bass kajenga nyumba bass nimemuwachiya mungu ishaalah mungu yupo anamuona atalipa hapa hapa dunia kabla ya khera
Mimi mtu mzima ndoa yangu na mke wangu ina miaka 30 na ushee. Nimeshastaafu ila mke wangu bado anafanya kazi. Hayo ya kuambiwa nimechoka, nishaambiwa sana kiasi mpira naumulika na tochi siuoni. Mwisho wake nimeinua mikono kwa Mwenyezi Mungu nikimuomba azidi kumbariki mke wangu aendelee na isimu hiyo ya kuihamisha haki yangu ya ndoa na kuipeleka kusikojulikana.
Mwanaume huwa hasaliti bali kaumbiwa kumiliki wanawake wengi. Ila njia bora kuongeza mke kwa kuoa. Na mawaume haitwi msaliti kwa kuwa anapopenda mwingine haimaanishi hampendi mkewe bali katamani sifa nyingine kutoka kwa mwanamke mwingine ili awamiliki wote.
Kiasili mwanaume hasaliti bali hupenda kumiliki wanawake wengi wenye sifa tofauti tofauti.Hivyo ukiona mmeo anatoka nje ya ndoa ni bora umwambie aoe rasmi ili muwe wawili.
Usaliti nyakati hizi limekuwa janga maana wengine tunaumia saana lakini aaah ndo hivo tena ukiuliza tu kesi mbona kunichunga sana hutaki mimi niende hata kwa rafiki zangu hata kutembea kidogo basi unaacha maana ukiendelea kuhoji ugovi
Masha Allah madam. Wanaume tunachangamoto nyingi sana lakini nyingi tunasababishiwa na wanawake. Mfano sisi mara nyingi husaliti kwasababu ya tamaa na wanawake ni hisia. Sasa mwanamke unakosana nae unamtaka mzungumze yaishe lakini anakataa na badala yake anakunyima unyumba miezi 6. Unadhan mwanaume atafanyaje hapo? Allah atuepushie
Dah mama kama unayaona kwa mke wangu Hata kuswali haswali tena amebadilika hatuna mawasiliano ya kujuliana hali kma mwanzo nilipo fika nimeamua kutafuta mke ambae atanijali kama mume
Tumeambiwa tuoe wenye dini ( iman) kama hana iman jaribu kumfundisha dini! Akiwa na imani sawaswa hawez fanya haya yotee lkn ukıoa mke anayejifunza maisha ya ndoa kwa kuangalia mitandaonı ndıo yatatokea haya yote Allah atuhifafh wake zetu na dada na watoto zetu!!! Aminnn
Dada hapo weka sawa ,mwanamke kiukweri sekta yake ni mapenzi na mwanamme sekta yake ni upendo.mwanamme anahitajika kupenda na mwanamke sekta yake ni mapenzi.na ndoa za sikuhizi wanawake wanapenda waume zao kama wanawake na wanaume wanapenda wake zao kama wanaume ndio maana mahusiano yanakufa