Тёмный

Ukiona Dalili hizi Jua mkeo anakusaliti - Madam Leilah Aboubakar 

Kalamutz
Подписаться 152 тыс.
Просмотров 420 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 293   
@jafariabdallahMasukuzi
@jafariabdallahMasukuzi 7 месяцев назад
Mashallah madam tuseme tu ule ukweli nakupendaga saana na laiti ningepata mwanamke mwenyewe swiha yako yalabh ningeweza hata kuweka kiapo juu ya kumsaliti mkewangu.❤❤❤🤝🙏
@jafariabdallahMasukuzi
@jafariabdallahMasukuzi 7 месяцев назад
Please madam naomba hata uisome tu comment yangu jamani love you so much more❤❤🙏
@ahz6907
@ahz6907 6 месяцев назад
Kumpata kama huyo nawewe uwe na sifa za mume bora pia 😊
@AlhajiIssa-jb9hr
@AlhajiIssa-jb9hr 4 месяца назад
​@@jafariabdallahMasukuziAna mume nawe kuwa mstahamilivu😂
@amourmtungo623
@amourmtungo623 9 месяцев назад
Asante Madam Leilah. Ubarikiwe kwa elimu, mawazo na mchango wako katika jamii🤝
@aliahamad7850
@aliahamad7850 8 месяцев назад
Maashallah maashallah dada yangu mola akulipe nini yarab
@abdallahmdiliko8088
@abdallahmdiliko8088 9 месяцев назад
Dada huyu ni smart 🧠 brain. Kizazi chemistry hiki.. mama wa family bora
@JafetiMunishi
@JafetiMunishi Месяц назад
😅😅😅😅
@mohamedshariff6370
@mohamedshariff6370 3 месяца назад
Mash Allah mungu akulinde hapa dunia na kesho akhera lelah
@danielmbatta8841
@danielmbatta8841 15 дней назад
Mungu akubariki sana madam Leilah, mafundisho mazuri.
@kadijahajali3918
@kadijahajali3918 9 месяцев назад
Bass haya ishaalah wapo wasaliti wengi ni wanaume mimi kulikuwa na mwaname nipanga kila kitu kwangu baadae alibadilikiya aposhapata mtono bass kajenga nyumba bass nimemuwachiya mungu ishaalah mungu yupo anamuona atalipa hapa hapa dunia kabla ya khera
@FrankSylvester-eo7zf
@FrankSylvester-eo7zf 9 месяцев назад
Bado hujasema dada Mungu akusaidie wasaliti ni 50% kwa jinsia zote hujawahi sikia maumivu ya mwanaume juu ya mkewe 😢😢😢
@AndulHida-hs5py
@AndulHida-hs5py 9 месяцев назад
Mash Allah tabarak Allah kheri Madan Jazzak Allah kheri
@abdallahkitwana8471
@abdallahkitwana8471 8 месяцев назад
Jazakah Allahu khair
@sharifasuleiman9134
@sharifasuleiman9134 7 месяцев назад
Yani mungu akupe mema ya duni na khera. Mashallah mashallah
@dulabakthir7339
@dulabakthir7339 7 месяцев назад
MashaAllah Allah akupe mema utakayo umegonga ndipo
@JamalAl-Harthy-v1h
@JamalAl-Harthy-v1h 7 месяцев назад
Madame Leila, Allah akulinde In Sha ALLAH
@starlonejadamskp8224
@starlonejadamskp8224 9 месяцев назад
Very smart Mashallah
@unambwenaiman5355
@unambwenaiman5355 8 месяцев назад
Mke mmoja ni changamoto Sana,
@LazaroManyanga
@LazaroManyanga 9 месяцев назад
Mungu ni mwema kwa kweli
@EliaMwasaule-nj1gk
@EliaMwasaule-nj1gk 4 месяца назад
Hongera mm kwa mafundisho Mungu akujalie maisha mema
@juniorsamuelsamuel1224
@juniorsamuelsamuel1224 9 месяцев назад
Ahsante sana mwalimu wangu mzuri, nakupenda
@SaidaliMohamed-e1n
@SaidaliMohamed-e1n 7 месяцев назад
Allah barik madam
@batsajilo3244
@batsajilo3244 7 месяцев назад
Asante sana umenipa mwangaza zaidi
@twahamohamed5745
@twahamohamed5745 9 месяцев назад
Alhamdulillah dah Allah akuongoze dada yangu
@YohanMkunga
@YohanMkunga 6 месяцев назад
Mungu atusamehee kwakweli
@HappinessBulunguti
@HappinessBulunguti 6 часов назад
Ubarikiwe mama
@AbdallahMjahid
@AbdallahMjahid Месяц назад
Nataman mke wangu ackilize huwenda ukamfundishaaa zaidiiii
@FrankKatani
@FrankKatani 7 месяцев назад
❤ni kweli watu Hawa hawamwogopi Mungu
@a.856
@a.856 9 месяцев назад
Jazakallah khayran
@timbetishaban6804
@timbetishaban6804 9 месяцев назад
mashaAllah dada
@wemakyagunya1895
@wemakyagunya1895 3 месяца назад
Dada Leilah nakusalute upo vizuri sana kichwani kwako Mungu akubariki sana kwa ushauri mzuri wa ndoa.
@msabahkhamis9438
@msabahkhamis9438 9 месяцев назад
Maashallah Baarakallahu fiik Nakukubali dr Allah akuzidishie elim na hekma
@abudimuddy517
@abudimuddy517 6 месяцев назад
Madam Leila uko Top.
@RamadhaniChai
@RamadhaniChai 8 месяцев назад
Mungu akubali🤲🤲
@mussaswahib
@mussaswahib 6 месяцев назад
Dada asante.masshallaa
@salimhamid370
@salimhamid370 8 месяцев назад
Swadakta doctor lyleila allah azidi kukupa kipaji na watu waeze fanikiwa kwa maisha na kuwa na imani kwenye ndoa inshallah jaza yako kwa allah
@SaleheMaundi
@SaleheMaundi 8 месяцев назад
Asante.dada.yalinikuta.hayo
@ferickkalengela4451
@ferickkalengela4451 9 месяцев назад
Mama Mungu akibariki nimelioenda sana ushauriwako
@MwahanjeNdegwaNdegwa
@MwahanjeNdegwaNdegwa 3 месяца назад
Amiin amiin inshaallah Nimekuelewa dana my dear sister
@sirajionlinetv856
@sirajionlinetv856 6 месяцев назад
Maashaallah Swadacta
@bihayisefu8810
@bihayisefu8810 8 месяцев назад
Asante sana
@JosephinaKemilembe
@JosephinaKemilembe 9 дней назад
Dada mungu akubariki umenena
@mohdalawiychalapes8749
@mohdalawiychalapes8749 9 месяцев назад
Uko vzur sana dada angu
@AmirySaidOmary
@AmirySaidOmary 9 месяцев назад
Mashaaallah
@jameskivelege8630
@jameskivelege8630 9 месяцев назад
Nimeipenda busara yako, Mungu akubariki uendelee kutujuza
@msafirikushama2193
@msafirikushama2193 9 месяцев назад
Elimu hii nzuri sana.....
@tadessehussein3947
@tadessehussein3947 8 месяцев назад
Kweli kabisa. Asante Dada. Mtu akichoka vizuri kutengana. Kuzuia domestic violence
@saidmwinyi4437
@saidmwinyi4437 8 месяцев назад
Aminah dada!
@IsmailMohamed-yz2wl
@IsmailMohamed-yz2wl 4 месяца назад
Dada yangu unatisha mungu akujalie sana akupe maisha mema
@FraitonMurashani
@FraitonMurashani 25 дней назад
Nimekuelewa sana dada yangu umeelezea vyema
@PhilkevinFelix
@PhilkevinFelix 9 месяцев назад
Mimi mtu mzima ndoa yangu na mke wangu ina miaka 30 na ushee. Nimeshastaafu ila mke wangu bado anafanya kazi. Hayo ya kuambiwa nimechoka, nishaambiwa sana kiasi mpira naumulika na tochi siuoni. Mwisho wake nimeinua mikono kwa Mwenyezi Mungu nikimuomba azidi kumbariki mke wangu aendelee na isimu hiyo ya kuihamisha haki yangu ya ndoa na kuipeleka kusikojulikana.
@kalamuMedia
@kalamuMedia 9 месяцев назад
Pole sana,umefanya jitihada zozote?
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 6 месяцев назад
Hili cm ndoo kisanga cm zimeua+kuvuja ndoa,acha kuchunguza cm oooh,kama hujupendi Allah atakupenda Zaidi cm jamaa zitawamaliza,
@BarnetLaston
@BarnetLaston 6 месяцев назад
Huyu dada mjanja sana hilo ni kweli kabisa
@HAMIDUKijuu
@HAMIDUKijuu 6 месяцев назад
Mashaalah Kwa mawaidha mazuri. Mmungu akupe majazo mema.​@@kalamuMedia
@AbdulBau
@AbdulBau 6 месяцев назад
TV TV​@@HamisMghuna-fj3vz
@abubakarimussa9131
@abubakarimussa9131 9 месяцев назад
Mwanangu leilla mumeo ana neema kwako
@athumannyungundileki9799
@athumannyungundileki9799 9 месяцев назад
Na iwe hivyo asije akawa kama madebe lidai
@officialkamdudu
@officialkamdudu 9 месяцев назад
acha kujidanganya huyo ana mbinu zote za kivita
@samwelidomayo6195
@samwelidomayo6195 9 месяцев назад
Sana
@edlumala9428
@edlumala9428 8 месяцев назад
Bro unaweza kukuta kashaachika hata mara tatu! Ndoa haina formula kaka, kuongea itself is not enough!
@yusufmohdali2617
@yusufmohdali2617 8 месяцев назад
16:20 😢😢😢
@benjaminmumo2992
@benjaminmumo2992 Месяц назад
Upo sawa
@HadinanKimimbi
@HadinanKimimbi 5 месяцев назад
Mungu Nisaidie
@NakiatAbdul
@NakiatAbdul 9 месяцев назад
Masha Allah
@sadikiissa7756
@sadikiissa7756 9 месяцев назад
Mwanaume huwa hasaliti bali kaumbiwa kumiliki wanawake wengi. Ila njia bora kuongeza mke kwa kuoa. Na mawaume haitwi msaliti kwa kuwa anapopenda mwingine haimaanishi hampendi mkewe bali katamani sifa nyingine kutoka kwa mwanamke mwingine ili awamiliki wote.
@sadikiissa7756
@sadikiissa7756 9 месяцев назад
Kiasili mwanaume hasaliti bali hupenda kumiliki wanawake wengi wenye sifa tofauti tofauti.Hivyo ukiona mmeo anatoka nje ya ndoa ni bora umwambie aoe rasmi ili muwe wawili.
@mutomubaya
@mutomubaya 9 месяцев назад
Kama anafanya na huyo mwanamke mambo ya chumbani kabla ya kumuoa je?
@ahz6907
@ahz6907 6 месяцев назад
​@@mutomubayani usaliti na zinaa kama ni muislam hukumu zipo wazi.
@salimnyagala262
@salimnyagala262 9 дней назад
Sure, mwanamke ndio msaliti sio mwanaume
@SaidKhatib-o9q
@SaidKhatib-o9q 14 дней назад
Mungu wangu weeee duh
@abudimuddy517
@abudimuddy517 6 месяцев назад
Madam Leila uko Top, Mashallah tabarakallah
@chandeyusufu9570
@chandeyusufu9570 Месяц назад
Shukran dada nimejifunza kutoka kwako
@dismaspeter2266
@dismaspeter2266 8 месяцев назад
Mungu akubariki dadangu kwa mawaidha mazuri
@NicephoryKangombe
@NicephoryKangombe 7 месяцев назад
Hongera
@Geoffreyobuba
@Geoffreyobuba 6 месяцев назад
Poa dada mungu ni mwaminifu tukitenda alilo litaji pia atatutendea
@CatherineKimoso
@CatherineKimoso 9 месяцев назад
Tatizo ni kuonja onja Kwa wanandoa kunaleta kizazi kiovu.uovu wa watoto unanzia Kwa wazazi.mandiko yanasema mle mtoto ktk njia impendezayo mungu.
@theophilwhiteheart1997
@theophilwhiteheart1997 7 месяцев назад
Ahsante dada🙌🏽🤍🤍🤍
@OmaryIssa-uk4zh
@OmaryIssa-uk4zh 8 месяцев назад
Mashaallah
@jumaramadhani-fp6zl
@jumaramadhani-fp6zl 3 месяца назад
Dada Leyla umetisha sana, nimekusiliza narudiarudiarudia clip yako WONDERFULL
@braystuskibassa3842
@braystuskibassa3842 9 месяцев назад
Usaliti nyakati hizi limekuwa janga maana wengine tunaumia saana lakini aaah ndo hivo tena ukiuliza tu kesi mbona kunichunga sana hutaki mimi niende hata kwa rafiki zangu hata kutembea kidogo basi unaacha maana ukiendelea kuhoji ugovi
@iddkawozya3714
@iddkawozya3714 9 месяцев назад
Asalaam aleyhum,katika madhui yako ni ya kheri kwa jamii, wake zetu ndiyo wakwanza kuchafua ndoa zenu sisi wanaume nikama watoto shida ipo kwenu
@NasraNasra-l9q
@NasraNasra-l9q 8 месяцев назад
Umefiria au umekurupuka
@walkingspringsab-wi9vb
@walkingspringsab-wi9vb Месяц назад
Ni kweli .wameliwa sana
@TofiqueZuberi-ec1zv
@TofiqueZuberi-ec1zv 8 месяцев назад
Masha Allah madam. Wanaume tunachangamoto nyingi sana lakini nyingi tunasababishiwa na wanawake. Mfano sisi mara nyingi husaliti kwasababu ya tamaa na wanawake ni hisia. Sasa mwanamke unakosana nae unamtaka mzungumze yaishe lakini anakataa na badala yake anakunyima unyumba miezi 6. Unadhan mwanaume atafanyaje hapo? Allah atuepushie
@josiahkulwa5318
@josiahkulwa5318 9 месяцев назад
Allah akuzidishie kheri
@DaddySBuda-dp6nq
@DaddySBuda-dp6nq 5 месяцев назад
Dah mama kama unayaona kwa mke wangu Hata kuswali haswali tena amebadilika hatuna mawasiliano ya kujuliana hali kma mwanzo nilipo fika nimeamua kutafuta mke ambae atanijali kama mume
@johnwoshi3459
@johnwoshi3459 3 месяца назад
We mama unakufuru mungu sisi ni 4 in 1= love
@WITNESSSANGA-n5i
@WITNESSSANGA-n5i Месяц назад
🎉🎉🎉❤nakupenda sana Dada angu
@SalamaAli-cv6uj
@SalamaAli-cv6uj 5 месяцев назад
Swadakta 🤝🏻
@SingoMedia
@SingoMedia 9 месяцев назад
Shukrana sana kwa darsa zuri
@samxx411
@samxx411 9 месяцев назад
Darsa zuri sana linafunza
@jumakuswa715
@jumakuswa715 8 месяцев назад
Mungu akuweke u unaelimisha ndoa zetu au mahusiano yetu nivituko v2pu Ila kiukweli unatuweka sawa tutajitambu kaz kufanya maamuz.
@ChweyaIbra-ck2xr
@ChweyaIbra-ck2xr 2 месяца назад
aki umeongea nkanakwamba umeniongelea mm ALLA akujaliw
@YangoNayango
@YangoNayango 8 месяцев назад
Vitimbwi vya wanawake ni vingi sana
@MariamMayadhas
@MariamMayadhas Месяц назад
@twaibumikidadi7377
@twaibumikidadi7377 6 месяцев назад
Tumeambiwa tuoe wenye dini ( iman) kama hana iman jaribu kumfundisha dini! Akiwa na imani sawaswa hawez fanya haya yotee lkn ukıoa mke anayejifunza maisha ya ndoa kwa kuangalia mitandaonı ndıo yatatokea haya yote Allah atuhifafh wake zetu na dada na watoto zetu!!! Aminnn
@yesseikungu7828
@yesseikungu7828 2 месяца назад
Wewe ndio bure Kabisa, ungejua hao wenye dini hovyo kabisa. Kwanza mwenye dini ndio nani?
@HamisMghuna-fj3vz
@HamisMghuna-fj3vz 6 месяцев назад
Jamaa cm zimeua kuvuja ndoa acha kuchunguza cm oooh kama hujipendi Allah atakupenda Zaidi cm jamaa zitawamaliza,
@VioletNamz-tq4tg
@VioletNamz-tq4tg 9 месяцев назад
Barikiwa dada yangu.
@hamidasaif4065
@hamidasaif4065 7 дней назад
Ĺchukrani
@13_young.k.i.d.d
@13_young.k.i.d.d 9 месяцев назад
Eti maisha yetu jeshi, siijapenda 😢
@ummymuya.2060
@ummymuya.2060 8 месяцев назад
😂😂😂! Ma MP😜
@salmamohamedali1912
@salmamohamedali1912 8 месяцев назад
Haaahah
@jamesmwandu9295
@jamesmwandu9295 7 месяцев назад
Sister upo very very smart hongera kwa darasa zuri, Hakika kuna jambo kubwa sana la kujifunza kupitia mazungumzo yako God bless you 👏👏👏🔥🤝🤝
@JumaNgasinda
@JumaNgasinda 9 месяцев назад
Dada hapo weka sawa ,mwanamke kiukweri sekta yake ni mapenzi na mwanamme sekta yake ni upendo.mwanamme anahitajika kupenda na mwanamke sekta yake ni mapenzi.na ndoa za sikuhizi wanawake wanapenda waume zao kama wanawake na wanaume wanapenda wake zao kama wanaume ndio maana mahusiano yanakufa
@shahadamussaefm7310
@shahadamussaefm7310 9 месяцев назад
Mashallah 🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
@michaelmkaro8456
@michaelmkaro8456 9 месяцев назад
Super
@mutomubaya
@mutomubaya 9 месяцев назад
Shukran
@SalumuBakari-io4yy
@SalumuBakari-io4yy 2 месяца назад
Nimeiyelewa sana mada hii Allah akupe badala
@MatayoLoisujaki
@MatayoLoisujaki Месяц назад
Ukweli madam
@bakariathmanathman2187
@bakariathmanathman2187 9 месяцев назад
Sawadactha hili ndilo wimbi lilo nipiga mm paka mfuoni wabahari 😭
@aishaomar2287
@aishaomar2287 9 месяцев назад
Polee
@SalumSaidy-j2f
@SalumSaidy-j2f 3 месяца назад
Nikweli kabisa Dada unajua vzuli kuhsu away wanawake uko vzuli
@AtilioKigahe
@AtilioKigahe 8 месяцев назад
Duuh hii hali naipitia mimi naombeni mnishauri jamani mke wangu hataki kushiriki na mimi days hajisikii.
@radaonlinetv1922
@radaonlinetv1922 8 месяцев назад
Tafuta mwanamke mwengine uoe
@saidsuleiman1753
@saidsuleiman1753 8 дней назад
Sababu ni nini
@JohnMose-b2r
@JohnMose-b2r 8 месяцев назад
Mamangu ❤ KilA la heri kwa Mambo ya hekima Musa kutoka Kenya🇰🇪🕊️💘
@JosephPahali
@JosephPahali 5 дней назад
Dh hilo neno 3:20
@AllyMshamu-p1i
@AllyMshamu-p1i 3 месяца назад
mumeo ana raha sana dada
@dionrwey572
@dionrwey572 7 месяцев назад
Kweli, hisia za mwanamke zaonekana wazi, akisaliti hafichiki, dharau itajitokeza na hajijui kama amebadilika, ...
@Edward-r4z
@Edward-r4z 3 месяца назад
We noma
@purumukamango5013
@purumukamango5013 19 дней назад
Atayeyeuyo, anauzaifuwake, ridhika, nauliyo mpata, usipende kutamanitamani, mambo,,ombo,,simama, usiku mlilie mungu, nataka mwanamke mwema,,
@radaonlinetv1922
@radaonlinetv1922 8 месяцев назад
Wanawake wapo wengi sana hiyo sio tatizo madam
@zainabpessa2329
@zainabpessa2329 5 месяцев назад
Wanawake wako wengi lakini sio kama huyo ulio nae
@mathiasmasolwa5601
@mathiasmasolwa5601 8 месяцев назад
Wewe aliye kuoa awe na kazi sana wewe hakili nyig sana,
Далее
Mkeo akifanya haya muache - Leilah Aboubakar
13:14
Просмотров 50 тыс.
бабл ти гель для душа // Eva mash
01:00
Why is it different from what I thought?
00:15
Просмотров 3,1 млн
SAIKOLOJIA YA MWANAMME
53:34
Просмотров 43 тыс.
sateh nding kairama episode 95
28:08
Просмотров 24 тыс.
DACHA Webinar Series: Lunchtime Webinar 2
1:30:48
Просмотров 10 тыс.