Shekhe Allah Akuhifadhi yaani napenda.sana mafundisho yako. Allah akukutanishe na MTUME wallah napenda mafundisho yako kutoka moyoni shekhe Allah Akulipe
Asalaam aleykum,Shukrani Shekhe Kwa SoMo lako zuri Alhamdulillah.Allah akuzidishie zaidi na akujaalie umri mrefu wenye Mwisho mwema.Shekhe je?tufanye Nini ili tujikinge na husda na hasadi
Macho kweli ni mabaya alikuja mgeni akadhtuka kumsifia mtoto wangu mzuri.....usiku wake mwanangu alikuwa analiaaaaa anahangaika hadi tumbo likawa linamuuma
Miaka 3 iliopita Nilikua Na kibarua changu kizuri sana lakn nimekutana nayo hayo Mambo ya hasad Mpaka ikapelekea kibarua changu kupotea ghafra Wallah Tena Mabos wangu Wamenichukia ghafra yani tafarani
Assalam Aleykum Warahmatullah Wabarakatu sheikh kweli unayo yasema hv unavyoeleza hp kwangu kumezidi mijusi nimeweka dawa za kupuliza tukiwaona twapiga dawa na tubapo wapata twawapiga twawauwa lakini hawaishi na nina mengi sn but kuweleza ni shida kwa kutype but twahitaji dawa tufanye nini naomba utueleza
Asalaam Aleikum warahmatallah wabarakatu vipi hali na jamaa mi nashkuru ni mzima salama salmini,sheikh nilikua na jambo nataka kukuuliza unipe ushauri limenichanganya miaka mitatu Sasa. Ni hivi Mimi kwa kweli kizalia nilizaliwa mkristo na nilikua naenda kanisa la catholic church sote pamoja na mama na baba na ndugi zangu,kufikia darasa la saba mamangu mzazi akaachana na baba akaolewa na mtu mwengine muislamu ikabidi pia sisi atusilimishe tukawa waisilamu sote. Tukasoma madrasa vizuri tukawa twaswali vizuri Mimi kama mtoto mkubwa wa kiume wakwanza kabisa ni msichana halafu Mimi wa pili na huyo wa wakwanza huyo msichana alibahatika akapata mume mkristo akaolewa na akaregelea ukristo na yuaendelea vizuri tuu na mume wake na mambo yake mazuri,Mimi bado naendelea na uislamu pamoja na ndugi zangu wengine lakini kufikia mwaka wa 2021 mwezi wa sita nilianza kupata ujumbe kwa simu yesu kristo yuanitaa ataka nimfate yeye na niende kanisani na niimbe nyimbo za gospel yani kwa ufupi ataka niregee katika ukristo Sasa Mimi hata nimechanganyikiwa Niko njia panda. Hali yangu pia yaki maisha si nzuri sina kazi sina mke Nikoniko tuu naniko katika uisilamu kwa jina naitwa Emmanuel mutua Mudachi jina la kuzaliwa mpaka kubatizwa nilipo silimu nilitwa Abbasi. Sheikh utanisaidia vipi maanake roho yangu pia naumia sana na namba yangu yangu ya simu ni ±254798088270 Niko Mombasa bamburi naomba msaada wako na ushauri pia Asante.
Asalam Aleykum please baki kwa dini ya kiislam kwani sini ya kiislam ni ya kweli, . Hakuna kitu kuwa yessu kakuita yesu ni prophet Jesus Prophet Isa ! Please Nenda Masikini swalinsana na mutana na sheikh weka imani yako iwe strong please uwe na msimamo na dad yako Mwambie arejee katika dini ya uislam na Allah yupo atawasaidia Allahumma Amiin
Mimi mijusi nyumbani kwangu ni mingi sana nimefukiza sana na kuwaua lkn bado wapo kila kona ya nyumba yangu ,na sasa naona ni wengi na nimepata mtihani mzito sana kwa sasa na bado ni mzito kuisha inshallah msaada nifanye nini.yan nyumba yang mijusi ndio kama makazi yao tena hao kafiri je nyumba yang inatawalaiwa na roho chafu au?msaada tafadhali
Asalaam Aleikum warahamatulah wabarakatuh. Haya jaman na kama humjui huyo aliyekufanyia kijijo. Je utafanyaje. Na wengine wanakataa japo amekufanyia. Hapa ndio utafanyaje shekh.?
Hawa jamaa wanavituko sanaa kwamba و أنت أرحم الراحمين tafisiri yake kwa katika wenye huruma wewe ni miongoni mwao? Masheykh wa subscribers watu wawenao makini sanaa