Тёмный

Vitu 6 hatari katika Maisha yako - Sheikh Othman Michael 

Kalamutz
Подписаться 129 тыс.
Просмотров 134 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

26 дек 2023

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 129   
@MaridadiRashidilikwesoLikweso
@MaridadiRashidilikwesoLikweso 10 дней назад
asante Leo nimejua maana ya mjusi baba alikuwa ananihusia Sana had it hi ya mjusi
@HeriethChristopher
@HeriethChristopher 2 месяца назад
Allah akutunze sheikh akupe afya njema na baraka tele kwako na familia yako mimi ni mkristo lakini nabarikiwa sana na mafunzo yako 🙏🙏
@AshuraZuberi
@AshuraZuberi 2 месяца назад
Shekhe Allah Akuhifadhi yaani napenda.sana mafundisho yako. Allah akukutanishe na MTUME wallah napenda mafundisho yako kutoka moyoni shekhe Allah Akulipe
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 5 месяцев назад
Yametufika hayo sheikh lakini tumewahiwa bila ya kujua tangu tulipokuwa wadogo sana, hasbiyallah waniimal wakiil waniimal maulaa waniimal nasiir🤲🤲
@MaryAmaiza-th2fo
@MaryAmaiza-th2fo 6 месяцев назад
Asante bwana shek, mm ni mkristo ilah napenda mafunzo yako ni mazuri napata kitu humu, kutoka Kenya 🇰🇪.
@josephndambo3714
@josephndambo3714 5 месяцев назад
mimi pia, napenda sana mawaidha yake, yanafundisha saaana
@rania-xw1vk
@rania-xw1vk 5 месяцев назад
Karibu katika dini yetu​@@josephndambo3714
@MaryAmaiza-th2fo
@MaryAmaiza-th2fo 5 месяцев назад
@@josephndambo3714 nikweli kaka
@imanmohamed2215
@imanmohamed2215 4 месяца назад
Karibu katika dini yetu
@mwamvitaibrahim8594
@mwamvitaibrahim8594 4 месяца назад
Takbir….Allahuwa Akbar
@user-kd9et9hd7y
@user-kd9et9hd7y 14 дней назад
Allah Akbar
@arafaayubu
@arafaayubu 6 месяцев назад
Maa Shaa Allah. Allah akubariki akupe maisha marefu yenye kheri. Allah akupe ujira duniani na aakhera. Allahumma Amiin
@habibaramadhani-xv2ed
@habibaramadhani-xv2ed 6 месяцев назад
SoMo liko vizuri, ALHAMNDULILLAH, ALHAMNDULILLAH.
@user-mt4sd6cj5y
@user-mt4sd6cj5y 6 месяцев назад
Allahu Akbar.
@seiflugendo7141
@seiflugendo7141 6 месяцев назад
Allah akbar
@hawashabani7896
@hawashabani7896 6 месяцев назад
Asalaam aleykum,Shukrani Shekhe Kwa SoMo lako zuri Alhamdulillah.Allah akuzidishie zaidi na akujaalie umri mrefu wenye Mwisho mwema.Shekhe je?tufanye Nini ili tujikinge na husda na hasadi
@ahmadaali4605
@ahmadaali4605 6 месяцев назад
Kuwa na kawaida ya kusoma suratul falaq, Nas na Ikhlas ×3 na qur-an yote ni shifaa
@user-nf8ku2bi9i
@user-nf8ku2bi9i 6 месяцев назад
Mashaallah Allah akulipe kheri Shekh wetu ktk Dunia Yako na Akhera Yako Leo nimepata faida
@user-wq8lp4th2b
@user-wq8lp4th2b 4 месяца назад
Maa shaa Allah ❤❤
@RamadhanCongera
@RamadhanCongera Месяц назад
Ahsante chekhe allah akukinge nahao
@salmaassed
@salmaassed 5 месяцев назад
Mashallah
@drmussa1220
@drmussa1220 6 месяцев назад
Hasbun Allah wa nimal wakeel ) Allahumma inna naj aluka Fi nuhoorihim wa na oozhubika min shuroorihim )🤲🤲🤲🤲
@halimamfaume1925
@halimamfaume1925 6 месяцев назад
MashaAllah ❤ shukraan sheikh
@KIMOCHA1
@KIMOCHA1 2 месяца назад
Allahuma Ameeen
@user-rx9lq6kw4v
@user-rx9lq6kw4v 6 месяцев назад
Sheikh shukran kwailmu yako jee kama humjui aliekuhusudu ufanyeje
@user-qg5yb7sj1s
@user-qg5yb7sj1s 5 месяцев назад
Asante baba
@SamiraBhazizane
@SamiraBhazizane 6 месяцев назад
Subuhanalaah yaani mie nachukiwa iweje mtu nimemusaidia mtu mda huo kasahau ubaya ndo napewa shehe nifanyeje
@smadon5638
@smadon5638 6 месяцев назад
Uwe kipenzi cha ALLAH na udowe na wasiwasi na binadamu
@TwaliathAndrea-dm3dy
@TwaliathAndrea-dm3dy 2 месяца назад
Mswalie mtume mara nying
@user-ok8uh3hh3w
@user-ok8uh3hh3w 6 месяцев назад
Mashaa Allahu karibu kigoma.
@user-hy8yp9qt2o
@user-hy8yp9qt2o 6 месяцев назад
Mashaallah Allah Awe Pamoj Naw Inshallah Shekh Wang
@nuruabdi7806
@nuruabdi7806 5 месяцев назад
Masha Allah sheikh ,walitu elimisha sisi waislamu, mwenyezi mungu akupelekee janatul firdows
@user-il8un5ft9e
@user-il8un5ft9e 5 месяцев назад
Alhamdulillah mwenyez mungu akuondolee mabalaa yote🎉 ya hapa dunian inshaallah ❤❤❤
@bentybenty2343
@bentybenty2343 6 месяцев назад
ALLAHU AKBAR
@faridaally-jp1gx
@faridaally-jp1gx 6 месяцев назад
Ma shaa Allaah
@SwaumuJuma-bc9se
@SwaumuJuma-bc9se 6 месяцев назад
Alhamdullah 🙏🙏 mashaallah
@user-hj7io6qy9n
@user-hj7io6qy9n 3 месяца назад
Allah akufanyie wepes kwa Kila jambo lako
@user-mt4sd6cj5y
@user-mt4sd6cj5y 6 месяцев назад
Allah atuhifadhi hayo macho na roho z kwa nn zitatumaliza.
@sebarua
@sebarua 6 месяцев назад
Mashaallah tutayafanyia kazi lnshaallah
@AishaNIYONKURU-xd2qb
@AishaNIYONKURU-xd2qb 3 месяца назад
Aminiii
@user-qq3gf9xn2c
@user-qq3gf9xn2c 5 месяцев назад
Shukran sheikh Allah akupe amani maishan mwako na Afya njema ili uzidi kutuilimisha inshallah
@user-dc2nv3lu9l
@user-dc2nv3lu9l 6 месяцев назад
Allwa akujalie kila la kher inshallah tuko pamoja sana shekhe we2
@ArseneKyallo
@ArseneKyallo 5 месяцев назад
Maa shaa allah, somo hili ni zuri sana , Asante bwana shelki
@aishamohamed4823
@aishamohamed4823 3 месяца назад
Mashallah .mm na bwanang utuko na hasad tutakupataje ww tuifanyie zunguo
@user-fl3yl4or3e
@user-fl3yl4or3e 6 месяцев назад
Mashallah Tabaraka llah
@user-gx9hg3dp1e
@user-gx9hg3dp1e 6 месяцев назад
Allahu aalam but you make me feel educated sheikh shukran am really appreciate for you lesson mashallah allah baarik inshallah ❤️
@majomasliman7856
@majomasliman7856 6 месяцев назад
Asante sh wetu ila ni ngumu kumfata mtu umwambie akufanyiy ivo Ata kwambia ume hisi yeye ni mchawi mana sisi watu wasasa hivi nimtihani
@user-ec8ig8nn2y
@user-ec8ig8nn2y 6 месяцев назад
Allah atuhifadhi
@ramaaman4020
@ramaaman4020 Месяц назад
Shukran Sana Shekh wetu.
@FatimaFatima-bx8ez
@FatimaFatima-bx8ez 6 месяцев назад
Mashaallah tabaraka Allah ya-ustathi ❤❤asante sana 🙏 somo lako nitazingatia ishaallah 😊.
@abdulragmababdulsalam5107
@abdulragmababdulsalam5107 6 месяцев назад
Mashaallah shukran ❤❤❤
@swabiaa1489
@swabiaa1489 5 месяцев назад
Allah akuhifadh ❤
@rachelmnyimwa4192
@rachelmnyimwa4192 5 месяцев назад
Subhannah Allah😢😢😢😢 Allah atuongoe na
@user-uw4cw2uc3u
@user-uw4cw2uc3u 5 месяцев назад
Jazakallaukher
@user-ou2og1ze9d
@user-ou2og1ze9d 3 месяца назад
Shekhe hongera sana Allah akubarik
@user-mr1hk2ed2w
@user-mr1hk2ed2w 6 месяцев назад
Shukran Sheikh
@user-yr8ib5ni7c
@user-yr8ib5ni7c 6 месяцев назад
Mashaa Allah
@user-jk6xk7id3q
@user-jk6xk7id3q 6 месяцев назад
Jazakallau kheira
@TALLUBOY
@TALLUBOY 5 месяцев назад
Leo nimepata somo kubwa sanaaaa
@asmahasanirashid5059
@asmahasanirashid5059 5 месяцев назад
Maashallh maashallh
@twalibutwaha1632
@twalibutwaha1632 5 месяцев назад
Mashallah sema huyo wakushoto kwako kama wamsema akupiga jicho uyo
@tatutatu1570
@tatutatu1570 5 месяцев назад
Mashallah 🙏🤲☝️
@LeilaShah-ib4td
@LeilaShah-ib4td 5 месяцев назад
Asalaam aleykm,sheikh wangu,namba yasimu mandishi madogo aiyonekani vizuri ,sheikh
@HileHile-ns9xv
@HileHile-ns9xv 6 месяцев назад
Tabaraka Allah
@abdilahally6340
@abdilahally6340 6 месяцев назад
Shukran kwa fuzo lako mugu akupe afya
@DaxMarioo-rq9rs
@DaxMarioo-rq9rs 6 месяцев назад
Ni kweri ostazi wangu
@SmilingCherryBlossoms-ce8md
@SmilingCherryBlossoms-ce8md 6 месяцев назад
Maashallaah
@asianramadhani8315
@asianramadhani8315 3 месяца назад
Hongera sana shekhe
@ftimaramadan4748
@ftimaramadan4748 6 месяцев назад
Shukran
@estheretori3855
@estheretori3855 6 месяцев назад
Mashalla . NShukuru sana kwa ujumbe. Bali niko na swali . Je kama haujui ni nani anekufanyia hasad utatibiwa vipi ?
@user-ol3pb6gt9e
@user-ol3pb6gt9e 6 месяцев назад
A,a utajuaje mwenye kukutia hasadi ya jicho
@user-le7lh1ou2d
@user-le7lh1ou2d 6 месяцев назад
Dah Atari sana
@mamuumuu4999
@mamuumuu4999 4 месяца назад
Macho kweli ni mabaya alikuja mgeni akadhtuka kumsifia mtoto wangu mzuri.....usiku wake mwanangu alikuwa analiaaaaa anahangaika hadi tumbo likawa linamuuma
@user-mg9fg6vc9w
@user-mg9fg6vc9w 5 месяцев назад
Miaka 3 iliopita Nilikua Na kibarua changu kizuri sana lakn nimekutana nayo hayo Mambo ya hasad Mpaka ikapelekea kibarua changu kupotea ghafra Wallah Tena Mabos wangu Wamenichukia ghafra yani tafarani
@hamisimtusi1796
@hamisimtusi1796 3 месяца назад
Allah akufanyie wepesi katika kipindi hiki kigumu Mambo yatakua vzuri inshallah
@emmanuelmudachi6508
@emmanuelmudachi6508 5 месяцев назад
Naomba ulipata huu ujumbe tuwasiliane sina Raha.
@HassanLastman-hh9sw
@HassanLastman-hh9sw 6 месяцев назад
Asalam aleykum shekh wangu me nko nikona shida naomba usaidizi wako kwasababu nmehangaika sana na cjapata msaada yeyote
@MwanajumaSaria
@MwanajumaSaria 17 дней назад
Shekh mm nkifanya mambo yangu yoyote hayafanikiwi alafu sipendi kutangamana n watu nisome dua gani ili nisaidike
@naswiharashid7166
@naswiharashid7166 6 месяцев назад
Assalam Aleykum Warahmatullah Wabarakatu sheikh kweli unayo yasema hv unavyoeleza hp kwangu kumezidi mijusi nimeweka dawa za kupuliza tukiwaona twapiga dawa na tubapo wapata twawapiga twawauwa lakini hawaishi na nina mengi sn but kuweleza ni shida kwa kutype but twahitaji dawa tufanye nini naomba utueleza
@JohnMalengua-jh6ps
@JohnMalengua-jh6ps 5 месяцев назад
Je tufanyeje kujilinda na hayo yote
@emmanuelmudachi6508
@emmanuelmudachi6508 5 месяцев назад
Asalaam Aleikum warahmatallah wabarakatu vipi hali na jamaa mi nashkuru ni mzima salama salmini,sheikh nilikua na jambo nataka kukuuliza unipe ushauri limenichanganya miaka mitatu Sasa. Ni hivi Mimi kwa kweli kizalia nilizaliwa mkristo na nilikua naenda kanisa la catholic church sote pamoja na mama na baba na ndugi zangu,kufikia darasa la saba mamangu mzazi akaachana na baba akaolewa na mtu mwengine muislamu ikabidi pia sisi atusilimishe tukawa waisilamu sote. Tukasoma madrasa vizuri tukawa twaswali vizuri Mimi kama mtoto mkubwa wa kiume wakwanza kabisa ni msichana halafu Mimi wa pili na huyo wa wakwanza huyo msichana alibahatika akapata mume mkristo akaolewa na akaregelea ukristo na yuaendelea vizuri tuu na mume wake na mambo yake mazuri,Mimi bado naendelea na uislamu pamoja na ndugi zangu wengine lakini kufikia mwaka wa 2021 mwezi wa sita nilianza kupata ujumbe kwa simu yesu kristo yuanitaa ataka nimfate yeye na niende kanisani na niimbe nyimbo za gospel yani kwa ufupi ataka niregee katika ukristo Sasa Mimi hata nimechanganyikiwa Niko njia panda. Hali yangu pia yaki maisha si nzuri sina kazi sina mke Nikoniko tuu naniko katika uisilamu kwa jina naitwa Emmanuel mutua Mudachi jina la kuzaliwa mpaka kubatizwa nilipo silimu nilitwa Abbasi. Sheikh utanisaidia vipi maanake roho yangu pia naumia sana na namba yangu yangu ya simu ni ±254798088270 Niko Mombasa bamburi naomba msaada wako na ushauri pia Asante.
@imanmohamed2215
@imanmohamed2215 4 месяца назад
Asalam Aleykum please baki kwa dini ya kiislam kwani sini ya kiislam ni ya kweli, . Hakuna kitu kuwa yessu kakuita yesu ni prophet Jesus Prophet Isa ! Please Nenda Masikini swalinsana na mutana na sheikh weka imani yako iwe strong please uwe na msimamo na dad yako Mwambie arejee katika dini ya uislam na Allah yupo atawasaidia Allahumma Amiin
@TwaliathAndrea-dm3dy
@TwaliathAndrea-dm3dy 2 месяца назад
Kaa kwenye uislam usirutadike jitaid kuwa nasubra utakuwa vizur
@user-ol3pb6gt9e
@user-ol3pb6gt9e 6 месяцев назад
A,a sasa utamjuaje mwenye kukutia hasadi ya jicho
@user-yl2ju4oc9c
@user-yl2ju4oc9c 3 месяца назад
Kweli
@mwajumaally3383
@mwajumaally3383 5 месяцев назад
Naomba msaada yani mimi naumwa kilasku
@imanmohamed2215
@imanmohamed2215 4 месяца назад
Muombe Allah
@TwaliathAndrea-dm3dy
@TwaliathAndrea-dm3dy 2 месяца назад
Haohao
@hawaamabrouck2456
@hawaamabrouck2456 4 месяца назад
Mimi mijusi nyumbani kwangu ni mingi sana nimefukiza sana na kuwaua lkn bado wapo kila kona ya nyumba yangu ,na sasa naona ni wengi na nimepata mtihani mzito sana kwa sasa na bado ni mzito kuisha inshallah msaada nifanye nini.yan nyumba yang mijusi ndio kama makazi yao tena hao kafiri je nyumba yang inatawalaiwa na roho chafu au?msaada tafadhali
@kharifasanto3383
@kharifasanto3383 3 месяца назад
Nishawai mwambia mama ntilie siwezi kosa pesa ata siku moja sasa naenda kukopa jamani jamani bongo nyoso watu wanga
@Ahmed26171
@Ahmed26171 2 месяца назад
Pole ndugu Yangu...
@user-wr6uz1rx1o
@user-wr6uz1rx1o 5 месяцев назад
Nina maongezi yangu kidogoo
@JonathanKebaso-yk8le
@JonathanKebaso-yk8le 6 месяцев назад
Shehe niambie nitafanya aje juu niwengii wame nifanyiya hivoo plz🙏🙏🙏
@fabssaleh7273
@fabssaleh7273 6 месяцев назад
BARAKALLAHU FIIK SHEIKH WETU. JE ikiwa si Waislamu?
@user-pk2km5nj3f
@user-pk2km5nj3f 3 месяца назад
Ukimpiga gongo je haifai
@casualteenfashions8790
@casualteenfashions8790 5 месяцев назад
Asalam aleykum shehk wetu, naomba saidi wako, jee ikiwa hujui alie kuhusudu utaji tibu vipi ama tiba yake nini.
@user-do8hi3oo1d
@user-do8hi3oo1d 6 месяцев назад
Asallam Aleykum sheikh shukran kwa darsa yenye kuelimisha ,je vp nitamvuta huyo malaika wa aslia?
@khadijamohammed7811
@khadijamohammed7811 2 месяца назад
Sheikh if you dont known the person how did kijicho utafanyeje
@maryammakata7849
@maryammakata7849 6 месяцев назад
Asalam aleykum warhama tulai wabarakat vip hali nimependa hiyo fimbo inapatikana wapi nikamchukulie mume wangu
@princessryan5676
@princessryan5676 6 месяцев назад
A.aleikum, shukran sana kwa somo lakin je kama mtu alokupiga kijicho humjui?
@zitoncombo1317
@zitoncombo1317 5 месяцев назад
Asalaam Aleikum warahamatulah wabarakatuh. Haya jaman na kama humjui huyo aliyekufanyia kijijo. Je utafanyaje. Na wengine wanakataa japo amekufanyia. Hapa ndio utafanyaje shekh.?
@ahmedmuhiddin5107
@ahmedmuhiddin5107 6 месяцев назад
Asalaam alykum ,je kama hukumjua aliesababisha hasad hiyo
@user-hi7ry5bc9t
@user-hi7ry5bc9t 6 месяцев назад
Assalaam Alaikum Je kama huyo mtu ameshakufa tiba yake utafanyaje?
@mwajumaally3383
@mwajumaally3383 5 месяцев назад
Mbona huyo ako Na hivo kulia kwako
@aminasaid6555
@aminasaid6555 6 месяцев назад
Mtume (s.a.w)aliumwa nusu ya kufa?mh
@smadon5638
@smadon5638 6 месяцев назад
Mungu anakupa mtihani,hata Mitume walipewa mitihani
@user-zn4bo2vk8l
@user-zn4bo2vk8l 4 месяца назад
Sheikh nlitaka kujua t huyu mjusi ni WA rangi gani lbda manke ndani nnapoish wapo weng snaaa lkn ni weupe
@user-kp7gj9xq4b
@user-kp7gj9xq4b 5 месяцев назад
Mtu mwema anatengeneza watu wema, Ukiona nchi haina amani sio kwamba miti imevuruga amani laah asha wanaoleta amani ni watu aisee
@bihayisefu8810
@bihayisefu8810 21 день назад
Lkn shekh hujui nani kakuhusudu unafanyaje?
@angle3600
@angle3600 6 месяцев назад
Huku kwetu ukimuambia mtu hivyo yawa kesi,siajabu mkafika kotini kaniambia mchawi
@user-wr6uz1rx1o
@user-wr6uz1rx1o 5 месяцев назад
Aslam aleykum sheikhe mim ninashida na namba yako
@OmanOman-dn6dj
@OmanOman-dn6dj 6 месяцев назад
Mie Ninashida na namba ya huyu sheikh
@mwajumaissa2358
@mwajumaissa2358 6 месяцев назад
Mbona namba hizo huzioni hapo zinaoneshwa
@samsonhamery3809
@samsonhamery3809 6 месяцев назад
Wazee wa kisukuma hunywa maji waliyo nawe wageni wake baada ya Kula
@user-pu6pr5jt4n
@user-pu6pr5jt4n 6 месяцев назад
Mhm Sasa jsmii ytu ya Sasa labda ndguyo ndo atafanya lkn mtu baki at ataka uadhirike. Chezea bnadam ww
@minnahdully7894
@minnahdully7894 4 месяца назад
Tutamjuaje uyo mjusikafir mana ni hatar
@mansoursabri4398
@mansoursabri4398 3 месяца назад
Anaetembea kwenye nyuma ndani
@mansoursabri4398
@mansoursabri4398 3 месяца назад
Anaetembea kwenye nyumba ndani
@MojamojaMojamoja-lw2ph
@MojamojaMojamoja-lw2ph 5 месяцев назад
Tena wewe ungekauka mapema sheikh maana na wewe kucheka kwako na macho ni hatar😂😂😂 ila Mimi sikufanyii hasadi nasema tu😂
@salhajuma9761
@salhajuma9761 6 месяцев назад
Assalam alayqum shekh mm nna swali privete sasa nitakuulizaje
@kalamuMedia
@kalamuMedia 6 месяцев назад
namba za Sheikh zipo kwenye video hapo
@ibrahimabdul8257
@ibrahimabdul8257 6 месяцев назад
Hawa jamaa wanavituko sanaa kwamba و أنت أرحم الراحمين tafisiri yake kwa katika wenye huruma wewe ni miongoni mwao? Masheykh wa subscribers watu wawenao makini sanaa
@imanmohamed2215
@imanmohamed2215 4 месяца назад
Una maana gani?? Huyu sheikh mzuri Allahumma Barik Fii
@TwaliathAndrea-dm3dy
@TwaliathAndrea-dm3dy 2 месяца назад
Mbona hajakosea
@user-mx4wi8ic5e
@user-mx4wi8ic5e 6 месяцев назад
Allah Akbar
Далее
Only you are left😭I beg you to do this🙏❓
00:19
Pesa imejificha katika vitu vinne - Sheikh Walid Alhad
20:37
FAIDA ZA KUFANYA DHIKRI MARA KWA MARA
27:25
Просмотров 3,8 тыс.