Asalam Alekum warahmatulaah wabarakatul kusema la kweli hii eli yako huwa yanipe utulivu sana huwa napenda sana kuleta dhikir sana Allah akujaze kheri inshaallah
Allah akuzidishie elmu na hekma yake na umri mrefu ili tuzidi kupata mazuri ya hekma inshallah Yarabby tujalie mapato ili tuwe watu wa kutoa zakay ,msaada kwa yatima ,kuchangia msikitini ipate kila kitu ndani na pia kwenda hijja wale tujaenda Yarabby 🤲 tujaalie mwisho wetu uwe bora 😢😢 ingawa Dunya ina mitihani allihamudulila 🤲
Shekhe mimi naitwa Ismail Abdul niko bukoba kagera natamani sana kukuona natamani unifanyie dua mimi nahangaika sana najituma sana nasikiliza sana mawaidha yako lakini elim yangu ya dini ni ndongo maelekezo yako pengine nashindwa kufanya kwa sasababu ya elim ndogo shekhe nifanyie dua kwa kutumia majina yangu Allah atakulipa lakini mambo yakienda vizur nitakutafuta popote niludishe shukrani
Sheikh Othman samahani nakuomba unifanyie dua mambo ya kimaisha yaende sawa kwa jina naitwa chikira jafar kitojo niombee kwa Allah in shaa allah nami niweze fanikiwa sheikh
Assallam aleykum warahmatullahi wabarakatuh Shekh naomba nifanyie dua inshallah mm ni mkenya ila niko Saudiarabia na nina matatizo makubwa mno kutoka nyumbani kenya wabaya wanifata nikiwa huku Saudiarabia wallahi nina mitihani sana naomba dua sheikh 😔😔😔😔
Sheikh niembee dua niko mbali nchi za kiarabu näpata mitihani kila nikija huku inshaallah nikirudi biidhini iilahi nitakutafuta unifanyie dua naitwa Jina mzaliwa na salama Allah akubarki sheik wetu
Salam alaikum Sheikh mm naitwa mwanasomo kutoka Kenya Nina matatizo Maisha magumu niliachana mume Nina watoto mume wngu mlevi said napata tabu mwanagu Nae alinusurika Na kubakwa sijui Ni Nini hiki napitia