Naunga maneno yako Sheikh .Swalla ya mtume ina ajab.Allah akupe mapenzi zaidi ya kumpenda mtume na akuandalie pepo kwa ajili ya kuhimiza swala ya mtume.
mashaAllah,our religion is amazing,it has an answer to every question,this year have planned to memorize the holy Quran, kindly remember me in prayers🎉
Asalam alaikum warahmatulah wabarakhatu ,unapatikan wapi?naomba nikununulie msahafu iwe swadaka kwa baba angu ALLAH apunguzie adhabu ya kabur 🤲na pia usinisahau kwenye dua zako nifanikiwe kwenye rizki zangu niweze kununua juz na misahafu mingi nigawe kwa watoto wa madrsa 🤲
@@naimahhussein8430 inshallah mwenyezi Mungu Akuripe ,na patikana sinza kwe remy nkaa kwa sister pia nyumbani Bagamoyo, pia kuna wanafunzi wa madarasa lakini sisi tumelelewa katika kuisoma quran sasa hata kka zangu wana mashafu chakavu na uwezo sina wa kununua ila Naamini kupitia wewe watu wataisoma quran na inshallah nia yako kwa mzazi wako kila utaposomwa msahafu basi kher zitaingia
Na Allah kuamrisha maraika wamuandikie mema yule ambaye Aliyefikiria kufanya jema hata km hajalifanya..MUNGU AKUFANIKISHIE NDUGU YANGU.. KATIKA MWEZI HUU WA SHAABANI UWEZE KUPATA KHER NA NEEMAA INSHALLAH
Assalam alaykum warahimatulillah wabarakatuh kwa majina naitwa zawadi natoka kenya me ustadhi niko na shida jambo la kwanza nimesoma lakini sijapata kazi, pili niko na watoto wawili lakini sijaolewa mtu nikishikana nae huwa anaishiwa thamani yakua na mimi mpka tunatenga la tatu huyu mtoto wa pili yuko na kifafa huu mwaka wake wa 4 na bado anafifitika dawa anatumia lakini bado anafifitika hizo ndizo shida zangu
@@ammaryammary3554 mazuri yapi ameongea mbali na uongo na usanii tu nyie wafuateni lakini mi nawambia mashehena wetu hawana elimu wanakalia uchawi wanawake na hadithi za alfu lela ulela za kulaza watoto hawana tofauti na ze comedy
@@ammaryammary3554 nimemuomba anipewe dalil kitabu gani jibril kaja kwa mtume mara elf 24 acha kushobokea mwache anijibu au kama unaweza msaidie kujibu