Ahsante nimekuelew sana mwalimu... Lkn mie nimeota tofauti hivi karibuni nimeota ((nimetoka nje ya nyumba yetu nimevaa singlend tu haijafunika ata paja nikajihisi nina uchi mrefu haliyakuwa unashikika, nikaushika nikaupelekea kwa nyuma nikavuta singlend hadi kwenye mapaja na kujifunika vizuri,,,)) sasa hii inamaana gani
Waghaleikum muslamu warahmatullah wabarakatu,mashallaaaah,ALLAH atutimizie katika ya kheri anayotuahidi na atuahirishie Katika mitihani aliyotuonyesha katika njozi .
Walahi nimeota ndoto hizi utupu wa mwanaume mara zingine naona kwa ndoto utupu wa muke jirani yangu .nikiamka siwaoni thank you now I know how to deal wit dat dream
Habari, nimeota nimechuna ngozi ya binadamu nikaweka kwenye begi nikawa naogopa natafuta pa kuificha sikupata hadi naamka naomba uniambie maana yake 👏👏
Nimeota nimeona utupu wa mwanaume (baba) lkn alikuwa amevaa nguo asubuh mapema nimeamshwa na boss wangu kwa maneno ya kejeli bila hata ya salamu kutwa nzima ya leo tumenuniana
Mi nimeota mama yngu ananifukuza kwenye nyumba nitafsirie nijue alafu nikaota tumepanda boti kwenye maji tunaelekea pemba ila zile bot za wazi juu bot ndogo za kuvulia naomba nitafsirie
Hamna tafisili nyingi ukiifuatilua uwa maana zinafanana nyie fuatilieni vizur zinafanana Kama samaki wanasemaga ni riziki ata watafisil wengi wanasemaga ivyo na ATA wachungaj wanatafisil ni riziki nilishawai ota
Asalaam Alaykum shekhe mm nimeota mwanamke amekaa vibaya nikaona utupu ila sasa utupu wake ni wakiume ali yakua yy ni mwanamke tena ninaemjua shekhe nisaidie
Nimekuelewa sana brother. Na nina uliza mimi sasa ni mara ya pili niota sina nguo sehemu za chini niko na nguo but sehemu za juu kuanzia kiononi hadi kichwanu sina nguo ndoto ya kwa niliona aibu nikiwa barabarani sina nguo za juu na wstu walikuwa barabarani nikaomba leso na nilipewa na mtoto wa kama miaka kumi. Na nilifunika kifua tu na kikakimbia nikaenda ila watu wengi walikuwa kwa hio njia nilikuwa. Ya pili nilikuwa uji sehemu za juu vile vile na nilikuwa jikoni natengeneza chakula gafula boss wangu akaingia wa kiume na nikatorokea mlango wa nyuma na sikukuwa na nguo upende wa chini nilikywa na nguo but juu hakuna . Please hii ina maana gani
Shekh dogowangu ameota amemuona mwanaume yupo utupu wake in was mdogo wangu na halo yeye ni wakike yani amembadilishia yule mwanaume kachukua wa mdogo wangu halafu huyu wakike kachukua wayule mwanaume nn maana yakeshekh
aiseee Mimi nimeota nimefumania watu wa nje mwanaume tunaye heshimiana naye na mwanamke ambaye alikuwaga Dem wangu hapo nyuma Tena et wakiwa kitandani kwangu ninacholalaga Mimi na mke wangu tukaanza kupigana na yule mwanaume huku mwanamke yule nikimlushia matusi mabaya Nini maana ya ndoto hii?
Maana ya kuota ndoto ya utupu wa mwanaume anao mwanamke na mdogo kisha mbovu kichwa kimelika chote na nikamuambia nenda Spital ye wala hana habari ubivu wake je inamana au shaitan tu wanasumbuwa
Ukiota kitambaa kinacho funika utupu wako kimeanguka ukaona utupu wako na ukajiona aibu papo hapo ukatoa kile kitambaa ukafunika utupu wako papa hapo maana take ni nini?
Shekhe na he, kama ukiota uko utupu na baada ya hapo ukakimbia kwa mwanamke mwanzio na kumnyanganya kijitenge na kujisitili na kumuacha akiwa uchi inakuaje nisaidie
Nimeota tuko wanawake watatu mwanaume mmoja mara mmoja nikamuona wanakumbatiana mara nikamuona mwanaume kavua nguo zote wanafanya mapenzi mbele yetu maana yake nini
Shekh sik izi naota ndot za ajab kweli .. ivi shekh mwanamke alokuwa hajaolewa akaota una utupu wa mwanamme na ikiwa ana ham ya ile tendo maana yake nn????
Huyu muongo huyu mganga tu mpiga pesa kila kitu Anapeleka ktka Uchawi na mattizo to Wafasiri wa ndoto wawili tu mnajimu KULTHUMU NA MAALIM MTAVAS JAFARI HUYU HUYU HAPA NWIZI TO HUYU MCHAWI