Тёмный

UKIOTA UMEONA UTUPU WAKO AU WAMWENZAKO NDOTONI | HAYA NDIO MADHARA YATAYOKUKUTA | SH KHAMIS SULEYMAN 

MASJID MTORO ONLINE TV
Подписаться 432 тыс.
Просмотров 81 тыс.
50% 1

UKIOTA UMEONA UTUPU WAKO AU WAMWENZAKO NDOTONI | HAYA NDIO MADHARA YATAYOKUKUTA | SHEIKH KHAMIS SULEYMAN
#MasjidMtoroTv #NyumbaYatibaNaDua

Опубликовано:

 

8 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 109   
@Mwana-rm2el
@Mwana-rm2el 11 месяцев назад
Walikum msalam warahmathullah wabarakathu mm nimeota exwangu.anafanya mapenzi na mwenzie
@SuleimanBahati-d6q
@SuleimanBahati-d6q 10 дней назад
Asalam alykm Mimi nimeota mwanangu ndogo wakiume nafanyanae mapenzi
@muznehaji4704
@muznehaji4704 Год назад
Ahsante nimekuelew sana mwalimu... Lkn mie nimeota tofauti hivi karibuni nimeota ((nimetoka nje ya nyumba yetu nimevaa singlend tu haijafunika ata paja nikajihisi nina uchi mrefu haliyakuwa unashikika, nikaushika nikaupelekea kwa nyuma nikavuta singlend hadi kwenye mapaja na kujifunika vizuri,,,)) sasa hii inamaana gani
@REBAWANYAMA-mk7ng
@REBAWANYAMA-mk7ng 7 месяцев назад
Yes mimi niliona utupu wangu lakini sikuona aibu.Nishapata jibu
@shukranjazzakhaallahukheir1897
Shukran sheikh jazzakhaAllahu
@AishaMohamedIbrahim-l9i
@AishaMohamedIbrahim-l9i Год назад
A.alykum sheikh mm nimeota nakula keki nn maana yake mana mm kihalisia sipendi keki ila nimeota nakula keki tena kubwa sana
@kidotitv5527
@kidotitv5527 2 года назад
Nmeota nipo mm na radio yangu choon lkn mm npo uchi naoga lkn mwenzangu anaoga na nguo, baadae watu wakafungua mlango na kunichunguli, nisaidie shekh
@Fatma-yz2xr
@Fatma-yz2xr 27 дней назад
Aslamu alikum waramatulliah mm nimeota mume wangu anagalia utupu wangu ila juu niko na nguo but chini sina nguo maana yake nn plz
@HarunaKarimangasi
@HarunaKarimangasi 2 месяца назад
Mm niliota utupu wamanaume ukitoa shawa nyigi sana mpaka nikazama kwenye shawa mpaka tumboni. Inamaana gani
@buhitexmohamed4785
@buhitexmohamed4785 Год назад
Mashalah
@nyamwinukankwera3749
@nyamwinukankwera3749 3 года назад
Asante shehe nimekuelewa vizuri
@fatmaduhllu8164
@fatmaduhllu8164 3 года назад
Subhana Allah....mm nliota mtu alie kufa akiwa tupu yake iko injee kabisaa
@ajaychudere1315
@ajaychudere1315 3 года назад
Sheikh wewe uko vizuri kuelezea ila unaboesha Sana yani naamini ukitoa Khutba Ya Ijumaa basi naamini watu husinzia Sana kwa ulivyo slow
@pilimusa7770
@pilimusa7770 3 года назад
Kabisa yani
@fenrearubeiy4170
@fenrearubeiy4170 3 года назад
Kweli teena
@aminaally9156
@aminaally9156 3 года назад
Yaan huyu waweza lala ukasahau kama kuna kitu wasikiza mmh sio kwaupole huu jman mmh
@AngeMichaellaNGANJI-dm5wh
@AngeMichaellaNGANJI-dm5wh 3 месяца назад
Hhhhh yani unamsema live sheikh wa watu
@zohoraramadan4540
@zohoraramadan4540 4 года назад
Waghaleikum muslamu warahmatullah wabarakatu,mashallaaaah,ALLAH atutimizie katika ya kheri anayotuahidi na atuahirishie Katika mitihani aliyotuonyesha katika njozi .
@julietylady6220
@julietylady6220 Год назад
Shukran
@dr.barasaaugustine7553
@dr.barasaaugustine7553 Год назад
Fit sanaa baba
@shamsamohamed43
@shamsamohamed43 4 года назад
Walahi nimeota ndoto hizi utupu wa mwanaume mara zingine naona kwa ndoto utupu wa muke jirani yangu .nikiamka siwaoni thank you now I know how to deal wit dat dream
@shamsamohamed43
@shamsamohamed43 4 года назад
👍
@muhsininatv2092
@muhsininatv2092 3 года назад
Nitafute mtavassy TV atakusaidia
@MalikiHashim-bb6uh
@MalikiHashim-bb6uh Год назад
Shekh salam aleikum kama umeota umeingia kwenye watu wamefanya makosa aliyakua wew uyafaham alafu wakaukumiwankunyongwa nawewe ukiwemo alafu unamkuta anaesoma majina ya wanao TAKIWA kunyongwa nikaka Yako alafu hukunyongw inamaana gani
@ruqayyahkweji1004
@ruqayyahkweji1004 2 года назад
Assalam alaykum shekh nimeota naangalia utupu wa mwanamke mwenza bila aibu nayeye akiwa Hana aibu nini maana yake
@hajatyyusphu334
@hajatyyusphu334 3 года назад
Asallam allykum sheihk mm niliota nimelala na mmewangu halafu hapohapo Yuko na mwanamke mwingine wakifanya tendo la ndoa
@clementinekieti4894
@clementinekieti4894 3 года назад
Amina
@husseniddy8615
@husseniddy8615 Год назад
Mbona watabiri hampo sawa
@somoeGodhana
@somoeGodhana 4 месяца назад
asalam aleikum shekh
@emmanuellushinge8272
@emmanuellushinge8272 2 года назад
Mm nimeota nmeshika sehem za siri mkononi mwang za kiume lakin ila haziko mwilini,nisaidie shekhe
@merhatyup916
@merhatyup916 Год назад
Habari, nimeota nimechuna ngozi ya binadamu nikaweka kwenye begi nikawa naogopa natafuta pa kuificha sikupata hadi naamka naomba uniambie maana yake 👏👏
@husseinsadick7785
@husseinsadick7785 Год назад
Unakalibia kuwa mchawi
@merhatyup916
@merhatyup916 Год назад
@@husseinsadick7785 🙁🙁🙁
@fatmaabdallah7709
@fatmaabdallah7709 6 месяцев назад
​@@husseinsadick7785😂😂😂
@FayedHamid-k5t
@FayedHamid-k5t 2 месяца назад
😅😅😅😂
@fatumamgaza1602
@fatumamgaza1602 4 года назад
Assalam alaykumshekh mm nimeota kuna mwanamke mtumzima namfahamu amenitoanje nikiwasinanguo hatamoja akaniogesha na yeyehaongeikitu namm siongei tukarud ndan nikiwa hivohivo akanikalisha kwenye stuli akani chanjachale lakinibajaongeakitu
@kabwefrancine99
@kabwefrancine99 Год назад
Jambo mimi nime hota maman mzazi iko na vaha nguo ya ndani kisha nika hona hutupu wake
@aginsagins-jf4vz
@aginsagins-jf4vz Год назад
Nimeota nimeona utupu wa mwanaume (baba) lkn alikuwa amevaa nguo asubuh mapema nimeamshwa na boss wangu kwa maneno ya kejeli bila hata ya salamu kutwa nzima ya leo tumenuniana
@malialungwe3657
@malialungwe3657 2 года назад
Mimi nimeota mtoto wangu anaogerea yupo utupu yupo na wenzakemtoto wa miaka10
@tatuaamuuinyi9633
@tatuaamuuinyi9633 2 года назад
Asalam aleykum.ukiota njozi mbaya unatakajiwa ufanye nini?
@somoeGodhana
@somoeGodhana 4 месяца назад
mimi niliota nimeona uchi mwanamke ninae mjua tena alikua mgonjwa sanaa kakonda hadi nyama zimeshikana na mwili je hiyo inamaana gani nijibu tafadhali
@azizamohamed1767
@azizamohamed1767 Месяц назад
Mi nimeota mama yngu ananifukuza kwenye nyumba nitafsirie nijue alafu nikaota tumepanda boti kwenye maji tunaelekea pemba ila zile bot za wazi juu bot ndogo za kuvulia naomba nitafsirie
@rahmakombo4545
@rahmakombo4545 3 года назад
Yani hawa wanaofasiri hawaeleweki,...kila mtu na tafsiri yake na ndoto ileile
@joharkimaro6188
@joharkimaro6188 2 года назад
Yan ata mm c waelw kabsa🤣
@jasminisharifu7446
@jasminisharifu7446 Год назад
Kabisaaaaaa
@neemambotola1139
@neemambotola1139 Год назад
Wajinga hawa mtu unanunua bundle Ili upate majibu ya maswali Yako ..Wanamikwala mingi Kila mtu anasema yake hupate jibu.
@mercypeter162
@mercypeter162 Год назад
Umesema kweli Sasa sijui tumwamini nani
@VickKulekana-si1ib
@VickKulekana-si1ib Год назад
Hamna tafisili nyingi ukiifuatilua uwa maana zinafanana nyie fuatilieni vizur zinafanana Kama samaki wanasemaga ni riziki ata watafisil wengi wanasemaga ivyo na ATA wachungaj wanatafisil ni riziki nilishawai ota
@AliRahma-tw7cz
@AliRahma-tw7cz Год назад
Mm nmeota utupu wa maremu bwanangu na ckuona aibu nijipu hapa
@ivanamkapa2369
@ivanamkapa2369 2 года назад
Unamaerezo mengi mno...
@رحمهمحمد-ح4غ
@رحمهمحمد-ح4غ 3 года назад
Asalaam Alaykum shekhe mm nimeota mwanamke amekaa vibaya nikaona utupu ila sasa utupu wake ni wakiume ali yakua yy ni mwanamke tena ninaemjua shekhe nisaidie
@malialungwe3657
@malialungwe3657 2 года назад
Namimi hivyohivyo mtoto kakaa utupu mtoto wa kike utupu wa kiume
@royalroyal8633
@royalroyal8633 2 года назад
Ok
@mariammichael2369
@mariammichael2369 5 месяцев назад
Mi nimeota nimetoka nje nakuingia ndani nikiwa mputu.. Nakulikuwa na wanawake wengi.. Akatokea mwanaume akanifunika nguo.. Akaniambia hebu jifunike huoni aibu mbele za watu, akawa kanifunika.....
@najmabozz2998
@najmabozz2998 4 года назад
Asall alkm ,shekhe mm nimeota nimelala. Kitandani na madogo wangu nikiwa mtupu huku najishika sehamu A siri na kujisifia utupu wangu mkubwa
@manirampapascal3617
@manirampapascal3617 3 года назад
Asalam alaikum ww .shehe mimi nimejio sina nguwo
@HusmaMweya
@HusmaMweya Месяц назад
Nimeota mama yupo na mahusiano na mtu ninae mpenda
@majomasliman7856
@majomasliman7856 6 месяцев назад
😭😭😭😭😭😭Nifanye nini shekha wangu 😭😭😭😭😭🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️🤦‍♀️
@majumamasinde1953
@majumamasinde1953 2 года назад
Nimekuelewa sana brother. Na nina uliza mimi sasa ni mara ya pili niota sina nguo sehemu za chini niko na nguo but sehemu za juu kuanzia kiononi hadi kichwanu sina nguo ndoto ya kwa niliona aibu nikiwa barabarani sina nguo za juu na wstu walikuwa barabarani nikaomba leso na nilipewa na mtoto wa kama miaka kumi. Na nilifunika kifua tu na kikakimbia nikaenda ila watu wengi walikuwa kwa hio njia nilikuwa. Ya pili nilikuwa uji sehemu za juu vile vile na nilikuwa jikoni natengeneza chakula gafula boss wangu akaingia wa kiume na nikatorokea mlango wa nyuma na sikukuwa na nguo upende wa chini nilikywa na nguo but juu hakuna . Please hii ina maana gani
@Oman-ew8qe
@Oman-ew8qe Год назад
Ustadh nimeota mumewangu alikua na mwanke wakifanya mapenzi lkn nikamuona mwanke utupu wake inamaanisha nn
@mussaramadhani5808
@mussaramadhani5808 3 года назад
Naomba unisaidie tafsiri yake sheghe
@HamisMdee-lg4tx
@HamisMdee-lg4tx Месяц назад
Me nimeota nimeona utupu mwanaume akifanya mapenz na ndugu yang tena kitanda ambacho nilicholala mpk wakamaliza
@sofiahamisi9373
@sofiahamisi9373 3 года назад
Mmh. Ok swa
@MiradjiAsina
@MiradjiAsina 5 месяцев назад
Je ukiota mwanao wakike iko tupu?
@tausiathumani9408
@tausiathumani9408 3 года назад
Jitahidi kupunguza maneno
@ashurasaid5017
@ashurasaid5017 2 года назад
Shekh dogowangu ameota amemuona mwanaume yupo utupu wake in was mdogo wangu na halo yeye ni wakike yani amembadilishia yule mwanaume kachukua wa mdogo wangu halafu huyu wakike kachukua wayule mwanaume nn maana yakeshekh
@sarahchambega5428
@sarahchambega5428 2 года назад
Niota mme wangu anaoga nje na nikaona utu wake ukiwa umebadilika
@barakadodora6514
@barakadodora6514 3 года назад
aiseee Mimi nimeota nimefumania watu wa nje mwanaume tunaye heshimiana naye na mwanamke ambaye alikuwaga Dem wangu hapo nyuma Tena et wakiwa kitandani kwangu ninacholalaga Mimi na mke wangu tukaanza kupigana na yule mwanaume huku mwanamke yule nikimlushia matusi mabaya Nini maana ya ndoto hii?
@mamaafrika1481
@mamaafrika1481 3 года назад
Amin
@sityjuma3049
@sityjuma3049 2 года назад
Nafran2 me siamin
@KmMk-n7p
@KmMk-n7p 4 месяца назад
Hii yako ni uwongo baana usidanganye waja wa Allah
@mussaramadhani5808
@mussaramadhani5808 3 года назад
Nmeota tumelazimishwa kuoga hadharani wanawake na wanaume kixha tukalazwa kifudifudi uku wengine wakilazimishwa kwa fimbo kuvua nguo ila sikuona utupu
@alisaida4080
@alisaida4080 2 года назад
Ukiota umelala na babako mzazi je maanake ni nimi
@aminiwizze466
@aminiwizze466 4 года назад
Samahani sheikh naomba unisaidie tafsiri yandoto hizo nimeota nimeenda kumsalimia bibialiekufa nanimeota mtu amekufa nabado yupohai
@nancypeter4300
@nancypeter4300 11 месяцев назад
Me nimeota mwanaumee ninae mjua Sasa ananionyesha utupu ila nikamngata kwenye utupu na kumfungia na kukimbia
@FayedHamid-k5t
@FayedHamid-k5t 2 месяца назад
Unakabiri wa wee zombi
@salya8884
@salya8884 4 года назад
Nimeota nimetoga kuoga nikatoga bila nguo but sikuwa na uoga Ata na mama mwingine akanifunika na kitambaa
@kamilali3016
@kamilali3016 3 года назад
Awja
@qayllahkusaga1207
@qayllahkusaga1207 Год назад
Jmn mimi nishachelewa yote yamenikuta na cjui nifanyeje
@zamzamMaulidi-q8s
@zamzamMaulidi-q8s 2 месяца назад
Maana ya kuota ndoto ya utupu wa mwanaume anao mwanamke na mdogo kisha mbovu kichwa kimelika chote na nikamuambia nenda Spital ye wala hana habari ubivu wake je inamana au shaitan tu wanasumbuwa
@bahatiabc4291
@bahatiabc4291 2 года назад
Mi niliota rafiki yangu wa kike marehemu.ukinionesha utupu wake sijui maana yake
@gfyt9036
@gfyt9036 6 месяцев назад
Nakam waota umeona mtu amekuja Uchi kwako na ukamchapa sana uku uwalia
@dennismurusha775
@dennismurusha775 3 года назад
Nimeota nafanya mapenzi na mdogo wangu, ambaye alikua ananyonyeshaa
@jacksonguylight5739
@jacksonguylight5739 2 года назад
Ukiota kitambaa kinacho funika utupu wako kimeanguka ukaona utupu wako na ukajiona aibu papo hapo ukatoa kile kitambaa ukafunika utupu wako papa hapo maana take ni nini?
@Anneekisa-jk7yg
@Anneekisa-jk7yg Год назад
Mmmh huyu anasema hivi yule anasema vile mmmh hata siwaelewi
@hinessprotas25
@hinessprotas25 2 года назад
Shekhe na he, kama ukiota uko utupu na baada ya hapo ukakimbia kwa mwanamke mwanzio na kumnyanganya kijitenge na kujisitili na kumuacha akiwa uchi inakuaje nisaidie
@saumumohamed7441
@saumumohamed7441 3 года назад
Nimeota tuko wanawake watatu mwanaume mmoja mara mmoja nikamuona wanakumbatiana mara nikamuona mwanaume kavua nguo zote wanafanya mapenzi mbele yetu maana yake nini
@mariamsimion3609
@mariamsimion3609 3 года назад
nimeota marehemu bibiyangu mzaa baba analazimisha nilazima afanye mapenzi na babayangu inamaana gani
@sherrymum
@sherrymum 3 года назад
niliota nyanya yangu akitembea uchi na alienda safari ndefu sana, maana ake ni nini ?
@renatusmasunzu7692
@renatusmasunzu7692 2 года назад
Ukiota unakula chakula na Boss wako, haliyakuwa amekutelekeza kikazi, nini maana yake.
@mariamsimion3609
@mariamsimion3609 3 года назад
je ukiota unachawa wengi weupe kichwani ininamaana gani
@rahmamsagati3437
@rahmamsagati3437 3 года назад
Je ukiota umemuona mtoto anajisaidia haja kubwa nyingi ina maana gani
@FayedHamid-k5t
@FayedHamid-k5t 2 месяца назад
Kavi mbiw san🐖
@تةامممن
@تةامممن Год назад
Nime OTA watu wanaziinii
@fadhilarashd8263
@fadhilarashd8263 2 года назад
Shekh sik izi naota ndot za ajab kweli .. ivi shekh mwanamke alokuwa hajaolewa akaota una utupu wa mwanamme na ikiwa ana ham ya ile tendo maana yake nn????
@sarahchambega5428
@sarahchambega5428 2 года назад
Nn tafasiri yake
@johnpepe980
@johnpepe980 Месяц назад
Huyu muongo huyu mganga tu mpiga pesa kila kitu Anapeleka ktka Uchawi na mattizo to Wafasiri wa ndoto wawili tu mnajimu KULTHUMU NA MAALIM MTAVAS JAFARI HUYU HUYU HAPA NWIZI TO HUYU MCHAWI
@elviramlowe1091
@elviramlowe1091 3 года назад
Mhh
@fahidashishi255
@fahidashishi255 Год назад
Yani huyu kaka tafsili yko malanyingi zinakukosesha rahaa zinatishaa 😂
@marrykagame6962
@marrykagame6962 3 года назад
Shekhe umenichekesha eti mwananamke mwenye bichwa kubwa 😂😂
@zuhuraissa2099
@zuhuraissa2099 2 года назад
kuna watu mnakuwa hampo seriously kbz😁😁😁😁😁
@winnieboss9745
@winnieboss9745 3 года назад
Ukiota kama umekanyaga mavi ya 🐐 nini maana yake ?
@nataliamemes5093
@nataliamemes5093 3 года назад
Ukiota mavi ni liziki yani mali au pesa mana yake umekanyaga pesa au liziki
@mwgaadam7261
@mwgaadam7261 3 года назад
Punguza nyodo na kujivunavuna wakati wakufanya kipindi
@aminaally9156
@aminaally9156 3 года назад
Wee kiboko achangamke bhna mtoto wakiume
@mukamanasalamma3123
@mukamanasalamma3123 Год назад
🤣🤣🤣
@alamera5986
@alamera5986 3 года назад
Ok
Далее
Pesa imejificha katika vitu vinne - Sheikh Walid Alhad
20:37
DOTA 2 - ПРОКЛЯТЫЙ АККАУНТ?!
23:03
Просмотров 261 тыс.
TAFSIR YA NDOTO: MWENEYE KUOTA PERIOD USINGIZINI
11:30
TAFSIRI ZA NDOTO ZA MAPENZI ( JIMAI ) Imamu Mponda
10:34
Namna ya Kutibu Majeraha ya Ukewenza - Ukht Khadija Idd
57:38
DOTA 2 - ПРОКЛЯТЫЙ АККАУНТ?!
23:03
Просмотров 261 тыс.