Dah.. Hii nyimbo imejaa utakatifu sana.. Yaani imepikwa vyema..from Harmonization, Organ, message, performance (staili zimetulia, ndizo staili njema za kiibada ), Asanteni sana Kwa Utumishi wenu.. Nturama : Big up sana Kwa utunzi mzuri , u r the best Karama : Kinanda huwa kinaogopa sana vidole vyako.. Maana sio kwa kulia huko.. I've gat more to learn from you. Wanakwaya Kwa ujumla : mmpendeza sana na mmecheza vyema kiliturjia .. Nawaombeeni Baraka Kwa Yesu Wa Ekaristi,.. Awashibishe Mema yake yote