Mchungaji Lusekelo Ameeleza Jinsi Walivyo Fahamiana Na Bishop Dastani Maboya Kwenye Shamra Shamra Za Miaka 25 Ya Kanisa La CALVARY ASSEMBLIES OF GOD Dar es salaam #ChomozaUpadate #Hatunajambodogo #Chomozanews
Maisha yana mambo mengi sana, huyu mzee alikua vzr tu, sijui nini kimempata,hakua amechoka hivi, hayuko vizuri tumuombe Mungu watumishi wa Mungu hua wana mapito mazito
Mtumishi wa Mungu?hivi Mungu mmeshamfanya mjomba eee Msome basi biblia jaman Mungu anasema akikutuma anakwenda na wewe hivi anaenda na Mungu kweli?mlevi anatukana anatishia majiran anakwenda na Mungu?Hakuna mtumishi wa Mungu wa Hivo wote wafanyabiashara tu
Chris Masawe kumbuka hakuna mkamilifu hapa duniani isipokua kila MTU hujitahidi tu kumuishia Mungu, msome mfalme Daudi kwa nini kuna wakati alikua akiomba toba, ni kwa sababu alimkosea Mungu.
Wasijiite watumishi wa Mungu sasa Wa Mungu akikutuma anakutakasa alimtuma yesu aliekuwa mtakatifu hata alipomtuma daudi alimtakasa akawa mtakatifu sasa huyo mtumishi na bado anatukana hivi petro alitukana wengine?kwanza sio watumishi wanajipachika mavyeo tu
@@nyamogafamily4262 pumbafu mwenyewe unashabikia dhambi pambafu kabisa hata Eliya akiwachinja mabaali wsliomkataa Mungu tengeneza ww mwisho wako mimi mwisho wangu najua kwani Mungu kanipa Neema ya kujua Mwisho nikiwa Mwanzo soma Neno acha utegemezi wa kuombewa na matapeli nimekustahi maana Neno linanionya usimjibu mjinga sawa sawa na Ujinga wake
MATHAYO 18:21-22 Kisha Petro akamwendea akamwambia, Bwana, ndugu yangu anikose mara ngapi nami nimsamehe? Hata mara saba?Yesu akamwambia, Sikuambii hata mara saba, bali hata saba mara sabini. Ndo siri yake,Mzee wa upako.
Edward kifungo I wonder even myself as why a Man of pastor Lusekelo looks somehow week, Tanzanian Dr. ,Please a have charge on him so as he recover in case you found unfeet.if okey then we shall keep praising our God in Jesus name .amen.