Тёмный

UMASIKINI WETU NDIO MTIHANI KWENU, DUNIA MAPITO 

AL FATAH TV ONLINE
Подписаться 97 тыс.
Просмотров 10 тыс.
50% 1

Kutoka AL FATAH TV .
Usisahau ku like, comment naku subscribe kwenye chanal Alfatah tv online kwa mawasiliano zaidi piga simu: +255 777 858 490
#AlfatahTvOnline​​​​​​​​​​​​
#AlfatahCharitableAssociation​​​​​​​​​​​​
#ZANZIBAR​​

Опубликовано:

 

10 сен 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 19   
@basharahamtzhalisi6871
@basharahamtzhalisi6871 2 года назад
ALLAH AKBAR, ALLAH AKBAR, HAKIKA WAISLAM TUNA KHERI NYINGI ZA KUFANYA, AL FATAH TV ALLAH AWAJAZE BADALA NA KHERI TELE.
@ibrahimomary136
@ibrahimomary136 2 года назад
🙏🙏 hakika tuna uhitaji mkubwa sana shukrani alfatah TV🙏 Allah ni mkareem na anaupendo kwa waja wake
@rossamengo7211
@rossamengo7211 2 года назад
Kabisa...natunaomba atuongoze
@mariamsefukhamissi8809
@mariamsefukhamissi8809 2 года назад
MashaAllah tabarakaAllah Allah awalipe walo jitolea nisi Allah atujalie tuwe miongon mwawo walo jitolea Allah akujalie umri mrefu kaka yetu😍😍😍
@sabriyasuluh3002
@sabriyasuluh3002 2 года назад
Mashaallah Allah awalipe kila la kher aminn inshaallah
@kapondamsita476
@kapondamsita476 2 года назад
Allah awaifadhi Alfataha
@aliy3303
@aliy3303 2 года назад
الله نور قلبك بالقرآن يا شيخ راشد
@OmarMohamed-zf8dp
@OmarMohamed-zf8dp 2 года назад
hainamana kuwatowa kwenye tv haiwezekani usitowo
@sleifikhajjir262
@sleifikhajjir262 2 года назад
Iyo sadaqa sio kama wanatoa alfatah hapana ila inatowelewa na watu wengine ila wanachokifanya alfatah ni yale ya mafanikio ya waislam juu ya wezao kuwaonesha sio kama ria kwao ila ni kuwapa moyo waislam ili watoe zaidi.
@user-he5im1vr7j
@user-he5im1vr7j 2 года назад
لا حول ولا قوة الا بالله نسأل الله أن يسهل اموركم و يساعدكم في مهمتكم العظيمة .
@anwaryabdallah7782
@anwaryabdallah7782 2 года назад
Tuwekeeni account tupate khery zamwezi huu waramadhani ktk masiku haya yaliobaki,kwachochote kdgo kikubwa
@OmarMohamed-zf8dp
@OmarMohamed-zf8dp 2 года назад
radhi hazipati kani kawa kujionesha kwani unapotoa mkonowa kulia wakushoto usijue sasa ulimwengu wote ujuwe nn mmefanya
@ussyussy5
@ussyussy5 2 года назад
Lengo si kujionesha bali lengo ni kuwaonesha kuwaonesha wengine wenye uwezo wa kusaidia ili wafike hapo na vizuri wameweka namba zao. Hata km wao wana dhamira ya kufanya hivyo(kujionesha)mm na ww sio kazi yetu kukukumu Allah anajua vilivyo ndani ya nafsi zao.
@kibabu1574
@kibabu1574 2 года назад
Ww umesoma wapi au sio mwenzetu unajua Kuna watu hawajui kama Kuna wengine wanashida kama hizi kwahio na wengine wanapata kuona hali ya watu
@kibabu1574
@kibabu1574 2 года назад
Pia dini inaruhusu kutoa Kwa Siri na zahiri
@kibabu1574
@kibabu1574 2 года назад
Inategemea mazingira Gani unayotaka kutoa kiufupi kama nimwenzetu kwanza kasome na kama upande mwengine tafuta yanayokuhusu
@abubakarmuhammadsaid3244
@abubakarmuhammadsaid3244 2 года назад
UTAWALA WA CCM NA RAIA WAO
@nasrajuma3160
@nasrajuma3160 2 года назад
Hee machozi yananitok wallwh jmn Kuna watu Wana maisha magumu jamn
@zakiahaji1683
@zakiahaji1683 2 года назад
@@nasrajuma3160 😭😭😭😭
Далее
DUUH…! MTIHANI, MAMA AZALIA CHOONI ZANZIBAR.
7:49
Просмотров 17 тыс.
Мой телеграмм: v1ann
00:14
Просмотров 45 тыс.
HII NDIO SIRI YA UTUKUFU WA MPEMBA
14:30
Просмотров 7 тыс.
MIUJIZA YA WADUDU HAWA  // SHEIKH IZUDINI ALAWY
35:36
Просмотров 23 тыс.
JAMAA PEMBA WATOA MACHOZI KWA FURAHA
3:33
Просмотров 12 тыс.
MUME AMTESA NA KUMTELEKEZA NA WATOTO NANE (8)
6:36
Просмотров 15 тыс.
NATAMANI WAZAZI WANGU WANGEKUA HAI
5:01
Просмотров 10 тыс.
HAWA NDIO WABADHIRIFU KATIKA RIPOTI YA CAG ZANZIBAR
6:24