Jeshi la Polisi limetangaza kuanza msako wa kukagua leseni za madereva kuanzia Agosti Mosi, mwaka huu . Lengo ni kuhakikisha kuwa wanaoendesha vyombo vya usafiri wanakidhi viwango. Kamanda wa Polisi Kitengo cha Usalama barabarani, Musilimu anaelezea zaidi zoezi hilo.
24 июл 2018