Channel hii inaendeshwa na Kampuni ya Magazeti ya Serikali Tanzania (TSN), Wachapishaji wa magazeti ya DAILY NEWS, HABARILEO NA SPORTILEO. Karibu na usiache KU- SUBSCRIBE katika Channel hii kwa habari za kweli na uhakika.
Kwa hiyo huko TAMISEMI wizarani fedha kama hizo zimepelekwa Halmashauri ngapi? Hiyo siyo Kigamboni tu ni nchi nzima!! Mheshimiwa Waziri Mkuu una kazi kubwa sana ya kufatilia hivi vichaka ni vingi kila halmashauri! Mungu akutie nguvu!
Asante Mheshimiwa Waziri Mkuu Kwa kuibua hayo! Wizi huo unatukosesha huduma za jamii! Kigamboni tuko nyuma sana kimaendeleo, Barabara, maji, umeme, usafi nk wilaya zote wana barabara za lami kila kona Kigamboni hakuna hata watu waliojenga wanashindwa kuhamia na wengine waliohamia wakaondoka.
Tushachoka kila siku pesa zetu kuliwa na mafisadi😮 mpaka leo hamjapata dawa hii inaonyesha ni kiasi gani hamuwezi tena kuongoza nchi hii 😮 you must vanish and don't look back
Pole sana Mh Waziri mkuu na Hongera Kwa kazi nzuri lkn naishauri serikali kwamba Fedha zote inazotoa au kulipa kupitia wizara husika ni vzr zikachapishwa kwenye gazeti la serikali au Halmashauri husika na ikiwa hv kutaepusha utoroshwaji wa Fedha kama huuu.asante
Hii ndio nchi ya ahadi. Ukweli ni kuwa akuna nchi yenye resources nyingi kama Tanzania angalia madini, gas, uranium, oils nadhani ifike pahala vijana tujiongeze tuwekeze sana kwenye fursa kama izi kufanya makusudi tuwe na maviwanda hii nchi ukiachia serekali tutabaki lalama tuu.
Nchi hii ina watu waliolaza bongo hadi kero! ... Hivi watalaam wetu hawajawahi kusikia uwepo wa gesi ya kutosha kaskazini mwa Mocambique na kusini mwa Tanzania unapoingilia mto Ruvuma bahari ya hindi?😮
LATR mnampango gani juu ya mativ kwenye mabasi kukomesha tv na miziki humo miziki hiyo ni wasanii wanacheza uchi wamevaa vichupi kwenye mabasi hayo wasafiri wanasafiri humo kuna mama baba na watoto au mama mkwe dada yeke mnaonaje kutoa hizo tv na miziki kwani niaibu tupu hapo kwenye mabasi hayo makelele.makelele yametawala kwenye mabasi mnaona hapo sio utovu wa umomonyoko wa maadili yetu sisi watanzania mbona tunakosa kutambua hili serekali ingilieni hili mnapiga kelele umomonyo wa. Jamii na chanzo cheke ni hawa wasanii waovyo wanaecheza uchi usilaumu jamii inapoteza maadili na kumbe hawa wasanii wanachangia sehemu kubwa sana hamoni hayo mamiziki yaovyo MKUU chukua maamuzi mazito kufufuta mamiziki hayo ilitupate jamii nzuri na ALLAH asituangamize jee halali ipo tuu kwenye nyama tuu halali ipo sehemu kubwa sana kuvaa nguo ukajisiti isionyeshe maungo yako ni halali hiyo tusiwe kama wanyama ndio wanatembea uchi katazeni tunusurike tujitafakari haraka na kujua hili na Latra uchueni hatua ya kufungia mativ kwenye mabasi
Mama nakuomba sana tumechoka na hao wizi wa mali ya umma, wachukulie hatua kali iwe fundisho kwa wengine. Imefikia wakati wafanyakazi hawaogopi mwajiri ambao ni serikali yako.
Koo na wale naofanya kazi car wash wabebe mashine zao wapeleke xheer uo co uungwana mkitaka kuzuia vidum leten mbadala wake kama ilivyo kuwa upande wa mifuko ya nailon