Тёмный

Unapomchukia mtu wewe ndie unayeumia zaidi kuliko yeye 

Madam Leila Abubakar
Подписаться 9 тыс.
Просмотров 4,6 тыс.
50% 1

Опубликовано:

 

25 окт 2024

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 21   
@mayisarakarire7104
@mayisarakarire7104 12 дней назад
Jamani nani mwengine alikuwa amewamisi hawa waja wa Allah ❤
@bakarirajabu8305
@bakarirajabu8305 11 дней назад
Kila mara nilikuwa naangalia habar mpya, halafu holaaa😂😂
@fatmaalnabhani3609
@fatmaalnabhani3609 9 дней назад
Subhanallah, Alhamdulillah tunapata faraja sana kwa elimu zenu.
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 11 дней назад
Madam Kwa maamuzi hayo inaonyesha kuwa umekomaa kihisia..na mtu wa ivyo anakuwa positive zaidi.. nimeipenda iyo madam..kuwa hata kama tukigombana sikasiliki Wala sikublok sawa kabisa wenye d mbili tushaelewa...kwel kabisa madam
@fatmakombo9793
@fatmakombo9793 10 дней назад
Layla nakufatilia from sweden unatuponya watu wengi saaanaaaa❤
@ummuhassan2356
@ummuhassan2356 11 дней назад
Kuachwa ni experience nimeipenda
@janetmbwana553
@janetmbwana553 12 дней назад
Mada nzuri sana, shukran sana
@jamilaathumani5481
@jamilaathumani5481 11 дней назад
Yan madam kama ukiwa hukasilishwi na watu na unaweza kujizuia kihisia Yan ni ukomavu na machuad ya hali ya juu..kabisa .. nimeipenda iyo akil nataka niichukue iyo madam..mala nyingi watu hawawezi kujizuia kihisia na kujizuia..inabidi mtu akikuuzi usimblok ndio Wala usifute namba ya uyo mtu safiiiiiiiiiiiiiiiiii madam
@salamashabani1210
@salamashabani1210 11 дней назад
Wallah madam Leila umenichekesha sana naumwa mie sitaki kupuuzwa mie
@AminaMansour-g5z
@AminaMansour-g5z 11 дней назад
@FatmaHamad-g6s
@FatmaHamad-g6s 8 дней назад
Madam leilah mm nilimuacha mtoto akiwa na miaka 2 kwasababu babake ndo alitaka kunikomoa watu walinisema sanaah lkn hawakujua kwannnimeamua vile
@LutfiaMohammed-q3k
@LutfiaMohammed-q3k 12 дней назад
Hii mada mm nikisema nihadithie Kisa kilichotokea mtafunga kipindi wallah na nitawashangaza Sema tunyamaze maana wazazi wetu wanaheshimika na nimaarufu
@nkurunzizaabdul-aziz7211
@nkurunzizaabdul-aziz7211 12 дней назад
Ongeleni bwana hatimu na madam leila
@SalmaKugula-ne5sf
@SalmaKugula-ne5sf 12 дней назад
Alhamdhulilahi imefika😅
@AhmedItea-w4s
@AhmedItea-w4s 12 дней назад
Mola akuhifadhin nyote
@maammsenior5338
@maammsenior5338 12 дней назад
Allah atufanyie wepesi
@MadamLeilaAbubakar
@MadamLeilaAbubakar 12 дней назад
Amiin 🤲🏻
@Siasia209
@Siasia209 12 дней назад
Tusiombe tupuuzwe Madam leyla shukrn kwa darsa
@ummusulaish5586
@ummusulaish5586 12 дней назад
Assalamu alaykum warahmatuLlah Madam naomba namba yako ya WhatsApp Nna matatizo nahitaji Tiba yako
@maammsenior5338
@maammsenior5338 12 дней назад
Long wait ... finally😶‍🌫
@MinahMinah-x4r
@MinahMinah-x4r 11 дней назад
Jamani samahanini kuna wanaume wanakataa mimba utampaje mtoto
Далее
Бокс - Финты Дмитрия Бивола
00:31
MAMA MKWE AMEVUNJA NDOA YANGU
1:04:02
Просмотров 23 тыс.
DACHA Webinar Series: Lunchtime Webinar 2
1:30:48
Просмотров 11 тыс.
I LOVE MY TEACHER | 2 |
24:47
Просмотров 348 тыс.
PLAN B _ Episode 22
1:02:01
Просмотров 126 тыс.
KUNGWI DUME: MAANDALIZI YA MWANAUME
26:13
Просмотров 14 тыс.