Madam Kwa maamuzi hayo inaonyesha kuwa umekomaa kihisia..na mtu wa ivyo anakuwa positive zaidi.. nimeipenda iyo madam..kuwa hata kama tukigombana sikasiliki Wala sikublok sawa kabisa wenye d mbili tushaelewa...kwel kabisa madam
Yan madam kama ukiwa hukasilishwi na watu na unaweza kujizuia kihisia Yan ni ukomavu na machuad ya hali ya juu..kabisa .. nimeipenda iyo akil nataka niichukue iyo madam..mala nyingi watu hawawezi kujizuia kihisia na kujizuia..inabidi mtu akikuuzi usimblok ndio Wala usifute namba ya uyo mtu safiiiiiiiiiiiiiiiiii madam
Hii mada mm nikisema nihadithie Kisa kilichotokea mtafunga kipindi wallah na nitawashangaza Sema tunyamaze maana wazazi wetu wanaheshimika na nimaarufu