Тёмный

"Nilibadili Dini, Marafiki Wakaanza Kunitisha, Ilikuwa Inanitesa Sana" |SALAMA NA GODLIVER PT1 

YahStoneTown
Подписаться 395 тыс.
Просмотров 210 тыс.
50% 1

#SalamaNa #SendTip Through MPESA #5578460
LUVVIE
Jina la episode litosheleze kumuelezea mgeni wetu wa wiki hii, hodari, mahiri, mcheshi na mwenye kujielewa ila kikubwa kuliko yote ni Mwanamke. Alipotoka na mipango yake ya maisha ilikua ni moja ya chachu zilizotufanya mimi na wenzangu tuone anastahili kukaa kitako kwenye kiti chetu kile kilichopauka. Na hakukua na mjadala juu ya yeye kuipata nafasi hii.
Godliver kwa sasa ndo nyota yetu ing’arayo kila kona ya bara na dunia kwa ujumla, kwa imani niliyonayo kwake naamini huu ni mwanzo tu wa mengi makubwa na mazuri na pengine ya kushangaza na kuiandikia historia Taifa letu yanakuja, kiu hiyo ya kupata hayo na zaidi unaiona kwenye macho yake na kujiamini alikonako. Ukibahatika na kuangalia kazi zake basi ndo utazidi kuamini na kumtakia kila lenye kheri.
Mitihani na kupanda na kushuka kwenye maisha yake naye alipitia kama kila mmoja wetu, jinsi alivyokua anayapangua na kutengeneza kinywaji kila mara alipokua anarushiwa malimao kumemfanya awe na kiu zaidi na kutaka kusonga mbele zaidi kwa kasi ya majaaliwa.
Alianza kama mas’hara tu na mengine ni historia tu kwa sasa. Mama wa mtoto mmoja ambaye ni kila kitu kwake, Godliver ananihadithia moja ya mikasa mingi ilowahi kumkuta maishani mwake, na pia amenikumbusha umuhimu wa kuchagua marafiki na watu ambao unawaweka karibu kwenye maisha yako.
Alishawahi kubadili dini na kuwa Muislamu, bahati nzuri alikua na wazazi ambao ni waelewa sana, hakuna aliyekua anamhukumu kwenye maamuzi yake, pengine walikua disappointed kwa kiasi fulani, zaidi Mzee wake lakini wala hakuonyesha kushutushwa au kutaka kumsema vibaya kwa maamuzi yake, badala yake waliheshimu na kumpa support tu kwenye maamuzi na maisha yake.
Maisha yamemumfundisha mengi tu, pengine kwa adhabu zaidi yamemfundisha kuwa marafiki ambao ndo aliwaona wanampenda sana waliishia kumhusisha na mambo ambayo si mazuri na ambayo yalimfanya ajaribu imani yake kwa kiasi kikubwa sana.
Humu anakumbuka jinsi alivyokua anahangaika kwa waganga na kujaribu kwa nguvu vitu ambayo vilikua hata havihitaji hiyo njia ambayo alikua anaaminishwa kama ndo zilikua sahihi.
Anakumbuka Imani yake ilivyo jaribiwa na utukufu wa Mungu alipokuja kumuongoza.
Hapo juu nilisema huyo ndo muigizaji BORA wa kike kwa sasa, pengine wengine wanaweza wakawa na mawazo tofauti kidogo na haikatazwi, ila kwenye vitabu vyangu? Kwa hesabu ya leo? Huyu ndo Mama yao.
Sasa aliwezaje kutoka huko? Alikutana vipi na Baba wa mtoto wake? Na filamu au kazi yake ya kwanza ilikua inatwaje? Na aliipataje hasa? Nani ndo anamuangalia sana maishani mwake? Ambaye angependa kuwa kama yeye? Wapi anajiona huko mbele kwenye kazi yake hii?
Natumai utajifunza mawili matatu kutoka kwa Dada Mkali na uta enjoy pia.
Love,
Salama.
Support us through anchor.fm/yahstonetown/support
SUBSRIBE TO OUR CHANNEL bit.ly/YahStoneTownSubs
Listen our Podcast on
Spotify Link spoti.fi/2Uxr6Cm‬
‪ApplePodcast Link apple.co/2Ou1bru‬
GooglePodcast Link bit.ly/GooglePodcastSalamaNa
Audiomack Link bit.ly/YahStoneTownAudioMack
‪RU-vid Link bit.ly/RU-vidSalamaNa
Soundtrack Yeah by @MarcoChali • Marco Chali Feat One T...
Follow:
Twitter: / yahstonetown
Instagram: / yahstonetown
Facebook: / yahstonetown
Channel Administered by Slide Digital
Instagram: slidedigitaltz

Развлечения

Опубликовано:

 

17 июл 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 426   
@magiehermess9949
@magiehermess9949 Год назад
Kila ulimi utakiri Yesu ni Bwana
@user-ls8rn4tz5m
@user-ls8rn4tz5m Год назад
Make apo kwanza nicheke 😂😂😂
@mishyomar3567
@mishyomar3567 9 месяцев назад
​@@user-ls8rn4tz5m😅😂
@AyubuKalukula
@AyubuKalukula Месяц назад
Usiwe mkristo tu kua sister kabisaa afu uwone kama aloumba mbingu atapungukiwa kitu uislamu ndo dini Tu no duscas
@luckyshija6649
@luckyshija6649 2 года назад
Godliva is awesome in each way, Salama unajua mpka unaboa yani ni balaa
@_fizzle
@_fizzle 2 года назад
Umeniletea mtu ninayempenda sana, personality yake tu mimi inanikosha mno. Big love Anna 😍
@user-wo8dz3tu5b
@user-wo8dz3tu5b Год назад
Mungu wa mbinguni akubariki sana na uzidi kumpenda mungu na mungu bila shaka ataoneka ndani yako
@neemashao5328
@neemashao5328 Год назад
Wow!Godliver umesema vizur umeokoka na unampenda Yesu:Nakupenda unajua kuigiza pia luv❤
@halimajumanne9778
@halimajumanne9778 Год назад
Kwa hiyo ana uliacha uislam kwa sababu ya marafiki wabaya wewe hukua na msimamo usitudanyanye bana
@jacquelinelukambuzi5085
@jacquelinelukambuzi5085 Год назад
Mi pia nakupenda sana Godliver Mungu atukuzwe kwa ajili yako
@choggysly3541
@choggysly3541 Год назад
Umeongea vizuri...Pili uislamu na ushirkina ni vitu viwili tofauti ulipata watu sio sahihi kabisa
@floramarinyo3517
@floramarinyo3517 Год назад
Jina la YESU ni dawa ni faraja linaponyaa linauwisha Lina fariji aisee kam ww umebahatikaa kumpata Yesu , mashukuru Mungu aisee hii ni NEEMA , NEEMA nikwamba umepata kitu ambacho hukistaili so aiseee tushukuru kuwa wakristo 💒🙏👍💪❤️😘
@FaridaSilwani
@FaridaSilwani Год назад
🙏🙏
@hamadmohamed3056
@hamadmohamed3056 Год назад
Yesu awe Mungu Kisha wanaadamu wamkamate wamuuwe!
@Oldskulgemini9991
@Oldskulgemini9991 Год назад
@@hamadmohamed3056 punguzeni kutupia watu majini mnazingua kinoma😂😂
@noahyavinmlela859
@noahyavinmlela859 2 года назад
Nazani Interview hii itakuwa Nzuri sana ngoja tuone
@Fatmafo6gojh
@Fatmafo6gojh Год назад
Hao marafiki ni sababu tu ya ww kurud ukristo coz haukua na Imani na amani na ujasir w kutosha w kufocus na dini ambayo ni ngeni kwko ata muislam ambaye ange shift ukristo ange do the same even if asingekutana na marafiki hovyo.
@WahidYahya-bf4lq
@WahidYahya-bf4lq Год назад
mskini , nilikuhukumu ktk nafsi yangu kumbe kosa lilitokana na waislam wenyewe. ungepata misingi sahihi ya dini usingerudi kwenye ukristo
@yassintaibrahim3541
@yassintaibrahim3541 Год назад
Nawapenda Wote Kwaajili Ya M/MUNGU 🙏🙏🙏😘😘😘
@laoiyadi1176
@laoiyadi1176 2 года назад
Ila salama ni mrembo jamani ❤️❤️ I love you 💚
@khadijasalama6074
@khadijasalama6074 Год назад
Ahsante ila ndivyo tulivyo masalama ama vp
@virendavictoria5174
@virendavictoria5174 Год назад
Godliver my favourite and the best actress
@thomaslyimo1729
@thomaslyimo1729 2 года назад
She is story teller, she is good and smart.
@amazing_grace5392
@amazing_grace5392 Год назад
She is very humble
@majaliwamussa1343
@majaliwamussa1343 Год назад
Qur an inatosha sana kikubwa ni kujuwa vipi utaitumia kwa shida zako
@yousramutwale2463
@yousramutwale2463 2 года назад
Nakupenda God live
@gracejasson8690
@gracejasson8690 Год назад
Nlikuwa najiuliza kwa nini nampenda kumbe ndo maana 💞💞 Nakupenda wewe Dada jamani
@atuganileabrahamu4582
@atuganileabrahamu4582 Год назад
Tupe Sababu Ya Kumpenda By Loveness Ibrahimu
@neemaandera5514
@neemaandera5514 Год назад
Nakupenda wewe Dada
@pastorvincent9851
@pastorvincent9851 Месяц назад
Uliwekwa huru dada, baada ya Uhuru na gharama zake! Inafurahisha!
@isacksaimon4532
@isacksaimon4532 Год назад
Huyu salama ana jua kuuliza sana
@azinarashidi5204
@azinarashidi5204 2 года назад
Nice interview
@michaelchuwa1879
@michaelchuwa1879 2 года назад
It's marvelous interview waited along time .
@AyubuKalukula
@AyubuKalukula Месяц назад
Polesana ulikutana na waislamu jina afu ukisema dini unakihukumu uislamu kwajiri ya hao matapeli umejichanganya sana mana hayo majini kanisani ndo kilasiku wanaombea sasa mwamposa na wenzie ndo kaziako yesu anafanyinini
@alphredinaalphonce7043
@alphredinaalphonce7043 Год назад
Kumbe nishomile mwenzangu🥰🥰
@cailesatieno4998
@cailesatieno4998 Год назад
LOVE HER SO MUCH❤❤❤
@saidimtera6665
@saidimtera6665 2 года назад
Nice show
@pendondossy4181
@pendondossy4181 Год назад
Yan salama na Godliver❤️❤️❤️❤️💋💋💋
@alonto8159
@alonto8159 2 года назад
I love this gal
@user-mo1ui4qm7x
@user-mo1ui4qm7x 6 месяцев назад
Ulikuwa ukipendeza sana ulipokuwa ukivaaa ushungi
@fatmasaidi5965
@fatmasaidi5965 Год назад
Big up
@deborahkabwe6057
@deborahkabwe6057 Год назад
Nakupenda Sana dada kazi yako nzuri sana
@ramadhaninkondeja2018
@ramadhaninkondeja2018 Год назад
Dada huo ni mtihami ujue wislamu ni dini ya kweli Sasa wanachikifanya watu wengi hawaamini maandiko wànawafuata watu Hilo balaa Quran haijabakisha kitu, manake hata hao wanaosali halafu wanaroga au kwenda kwa wagani wote motoni
@nicholousmtemi3902
@nicholousmtemi3902 Год назад
Kwa yesu ndo mahali sahihi hajakosea
@rizoibrahimovich605
@rizoibrahimovich605 Год назад
Inategemea unaenda Kwa mganga kufanya nn, kama unaenda kujikinga sidhani kama ni dhambi
@winfridahaule4364
@winfridahaule4364 11 месяцев назад
​@@rizoibrahimovich605Mungu ataki kuchanganywa Kinga ni Mungu pekee
@lilianmoyo9369
@lilianmoyo9369 Месяц назад
Tuonyeshe alierudi kutoka wafu akakwambia hayo au ndio bendera fuata upepo
@laurenciam2i459
@laurenciam2i459 Год назад
Thank you for coming back to Christian 🙏
@magiehermess9949
@magiehermess9949 Год назад
It's true. Getrude she is the best
@hilaryarande-gs8ht
@hilaryarande-gs8ht Месяц назад
Tha beautiful story of testimony of the blood of Jesus very powerful
@jacquelinekahamba7872
@jacquelinekahamba7872 11 месяцев назад
yote maisha cha muhimu kumjua Mungu
@catherinemathew5742
@catherinemathew5742 Год назад
I love u Anna wa jua kal.....
@jacksonkendavis8689
@jacksonkendavis8689 Год назад
I LOVE YOU GODLIVER..YOU ARE SUCH AN INSPIRATION!!! 🔥🔥❤❤❤💥💥
@omarkhamis4220
@omarkhamis4220 Год назад
Takbir
@ahiakkessy5949
@ahiakkessy5949 Год назад
Nampenda salama
@bustani-inn7328
@bustani-inn7328 2 года назад
Great interview ila part 2 siioni
@mwanahamishassan8017
@mwanahamishassan8017 Год назад
unafanya kazi yako vizuli dada Ana mungu akubariki
@user-sh7vv6wd3l
@user-sh7vv6wd3l Год назад
Hakuna muislam yeyote anemchukia yesu. ila nyiny wa kristo sio waelewa
@dullydullahsenior756
@dullydullahsenior756 Год назад
Godliver 🔥🔥🔥🔥🔥❤️🏆
@faudhiasalum7279
@faudhiasalum7279 2 года назад
💙Yeah nakupend sana 😘
@zakhiamsuya4922
@zakhiamsuya4922 2 года назад
Mzur
@rodrickmataba8999
@rodrickmataba8999 2 года назад
Shout out kwa Mwanangu Mboghochov...
@BhokeWarioba
@BhokeWarioba Год назад
Woooh ubarikiwe sana anna
@lucydelina1749
@lucydelina1749 Год назад
Salma my dada kaz nzuri sana na godlvar
@rosegideon336
@rosegideon336 Год назад
God bless u sanaaa
@mariambakari7796
@mariambakari7796 Год назад
Salama umenenepa Mashaallah
@maisarahnassoro814
@maisarahnassoro814 Год назад
Tena kanenepa na nusu
@user-mo1ui4qm7x
@user-mo1ui4qm7x 5 месяцев назад
Dunia ni gereza kwa waislam na dunia ni dunia ni pepo kwa makafiri unajihisi km maisha umeyapatia kumbe ni starrehe ya dunia tu
@user-ke8yz8eu2l
@user-ke8yz8eu2l Месяц назад
Allah akuongoze
@jacklinenestory9945
@jacklinenestory9945 Год назад
Jaman kitu cha bk hicho nakupenda mno anna
@modestamashoke9038
@modestamashoke9038 Год назад
Nampenda huyu dada sana
@irenemlay9769
@irenemlay9769 Год назад
Nampenda sana huyu dada jamani
@tynercolin5060
@tynercolin5060 2 года назад
Wooow
@nasekilebwaya8925
@nasekilebwaya8925 Год назад
Wooh 😍🥰G
@user-lm2rc7qm5d
@user-lm2rc7qm5d Год назад
Sio tuu nakupenda nakupenda zaidi yasana
@user-xw6ml2uy9v
@user-xw6ml2uy9v Год назад
Nakupenda❤❤ dada Ana MUNGU awe nawe
@jelistinajoel5888
@jelistinajoel5888 Год назад
Dah umemleta mtu Makin Sanaa🥰💓
@hawasapi5480
@hawasapi5480 Год назад
I never watch interview za kiswahili like this hadi mwisho, I love this actress.
@ngoni7944
@ngoni7944 Год назад
But English belong to white people
@kennedybernard564
@kennedybernard564 2 года назад
aww i love her jamn 🥰🥰
@ilhamrachel8474
@ilhamrachel8474 Год назад
nampenda sna hyu dada kutoka moyoni i wish nije kuwa kma yy mbelen coz napend sn uigizaji
@pendozakariya2601
@pendozakariya2601 Год назад
Nakupenda maira
@angelraphael4500
@angelraphael4500 Год назад
Ubungo kisiwani my best school,,
@rukiaussi2764
@rukiaussi2764 Год назад
Nakukumbuka kweny nusura ulikuw mke wa cheche❤
@gaspamgasa2366
@gaspamgasa2366 Год назад
Thank u Jesus ulirudi ukristo nilikua nimeanza kkuchukia kujua kumbe we muislam tena fata mkumbo, abarikiwe baba aliekuombea, atukuzwe Yesu alikurwjesha
@brigithadidas5128
@brigithadidas5128 Год назад
Sasa hata kama angekuwa muislam tena why umchukie?
@fatmazullu4933
@fatmazullu4933 Год назад
@@brigithadidas5128 chizi huyo!
@happyhousekeeper
@happyhousekeeper Год назад
Chuki haitakiwi
@agnessjohn1222
@agnessjohn1222 Год назад
Wenzetu ushirikina nikawaida Yao ninao ndugu zangu ndio maisha Yao wamefilisika kwakuendekeza waganga wanaishi maisha ya hofu Sana wao kilamtu ni mchawi wanaishi maisha ya hofu siku zote
@annahulilo6719
@annahulilo6719 Год назад
@@brigithadidas5128 Yes! Chuki sio mbele za Mungu.
@upendokiwanga9538
@upendokiwanga9538 3 месяца назад
Safi dada una ujasiri wa kusema habari za Yesu kwa ujasiri mkubwa
@brendagabriel2052
@brendagabriel2052 Год назад
My biggest brother khaaaa kinge hiki hahahaha, my Elder brother
@abdul-razaksheha7793
@abdul-razaksheha7793 Год назад
Nawachukia hao marafik waliokusumbua Kupitia uislam but I love 💞 so much anna
@majaliwamussa1343
@majaliwamussa1343 Год назад
Hawa waganga Mtihani sana
@ashahajji6876
@ashahajji6876 Год назад
Nampenda huyo dada htr
@hilaryarande-gs8ht
@hilaryarande-gs8ht Месяц назад
Ni dhairi waislamu wanatumia majini, sule akuwa wazi Kwa ilo,lakini DAMU,ya YESU Iko na nguvu ya toa Kila nguvu za giza
@arjunelly540
@arjunelly540 Год назад
Salama mnafiki et hata mimi nampenda Yesu😂😂😂😂😂
@magiehermess9949
@magiehermess9949 Год назад
She knows what she is doing 🔥🔥
@neemaandera5514
@neemaandera5514 Год назад
Penda sana❤❤
@queenmwaweya9691
@queenmwaweya9691 Год назад
We dada ninakupenda mpaka najishangaa natamani siku nionane nawew lakini naona hixhokibali sina ila nakupenda sana Anna
@aminarichard4302
@aminarichard4302 Год назад
Inshaallh utamuon tu
@user-sh7vv6wd3l
@user-sh7vv6wd3l Год назад
Hukuingia kweny uislam. Si kwa7bu mungu
@aishasalehe9710
@aishasalehe9710 Год назад
Mwaaaa ana love you so much
@josephernest4500
@josephernest4500 Год назад
I love you my Ana wa jua kali
@mkaapwekekariakoo6417
@mkaapwekekariakoo6417 Год назад
Sijui Christina Shusho anafuatilia hii Interview🙂 Nadhani akiangalia atakuwa mtu ambaye alikuwa mwanzo... Mnyenyekevu
@michaeljulias878
@michaeljulias878 Год назад
Kwanini
@damariszuckschwert9489
@damariszuckschwert9489 Год назад
Sikuhizi kawehuka, Roho wa Mungu ashatoweka, tunajionea mapichapicha tu.
@christermademla5802
@christermademla5802 Год назад
Jaman nampenda uyu dada...
@samsoniadamu2727
@samsoniadamu2727 Год назад
Yan huyu dada jmn...nampenda mno mno
@annamerykamala4152
@annamerykamala4152 Год назад
Godliver 🥰🥰❤
@janemwakapala3542
@janemwakapala3542 Год назад
Woow
@mmn7480
@mmn7480 2 года назад
Wakwanzaaa
@marygregory7566
@marygregory7566 Год назад
Wewe umeongea UKWELI
@melinaferuzi7842
@melinaferuzi7842 11 месяцев назад
Nakupenda wewe ni kitu usicho kijua❤
@Nadia-fg8yr
@Nadia-fg8yr Год назад
Salama,, ni mzuri ,,hazeeki,,,love salama,,❤❤
@lovelyliliy5822
@lovelyliliy5822 4 месяца назад
Ulishajua sio watu sahihi ungetafuta watu sahihi wangekusaidia km kweli ulikua na nia na unaupenda uislamu
@florakomba2867
@florakomba2867 Год назад
Salama umenenepa dada
@jacklinejerr2447
@jacklinejerr2447 Год назад
short hair but smart😍 love you godliver
@sophiamfikwa7340
@sophiamfikwa7340 Год назад
I love your story sstr GODLVR
@mwajumasuleiman9767
@mwajumasuleiman9767 Год назад
Nampenda.ana.kama.ninavyo.kupenda.madam.salama.mmmmwaaaaaa
@moses_2555
@moses_2555 Год назад
Safi
@rebecapeter8694
@rebecapeter8694 2 года назад
Nice..Waoo
@Annie-tt8fi
@Annie-tt8fi 2 года назад
Salama tuwekee part 2 jmn
Далее
Salama Na RIYAMA Ep 32 | UTAKWENDA UTARUDI Part 1
34:34
🍁 Поверил в себя
0:19
Просмотров 1,5 млн