Yaani hao ndio utaratibu waliojiwekea Kama ukichelewesha Salio wakikufuata nyumbani ni kipigo Cha mbwa mwizi yaani nashangaa sijui watu wa aina Gani hao
Ndugu wanakijiji jifunzeni kutumia fedha kulingana bakia kipato chenu kukopa ni changamoto sana hasa hasa kama mtakopa ktk benk ambazo sio sahihi Lakini tunaomba tusikie upande wa 2 ktk shauri hili.
Muda wa kudai sio tatizo mpaka mtu aje asubuhi maana yake akija muda hisika munakimbia Acheni mchezo na pesa za watu mkikopa rejesheni kama mkataba unavyosema sasa hapo alaumiw nan aliekopa akagoma kulipa au yotekwa yote wote wanamakosa mungu muweke marehemu pahala pema peponi
Mambo Nimengi Kukopa Nimtihani Nakukopesha Nimtihani. Kwaufupi Umauti Nihaki Hivyo Hizi Ninjia Tu Zakufika. Hivyo Tujipange Hakuna Namna Kukikwepa Kifo ila Namna Yakujiandaa Naumauti.
Sio kweli msisikilize sehemu moja hawawezi kuondoka na mtu kapigwa mpaka kaka kama ni ndugu yako kwa nini uende shambq ndugu yako anapigwa kweli jamani mpangaji pia hakuamka hao labda majambazi sio oya
Neema,huwajui.... Niko kijichi Mbagala, mimi ni mmoja wa waanga wa kampuni hiyo... NI MOTO USIWACHEZEE... NI VIJANA WANAKUJA WAMELEWA SOMETIMES WANAKUJA NA MAGARI 7 KUKUDAI SAA 8 USIKU, NA TAA ZOTE ZIMEMULIKA KWAKO... OGOPA SANA!
Ninachokiona hapo tatizo wakopeshaji nguvu wanayotumia kudai mikopo sio mfumo sahihi ila niwaambie wakopaji kama hawakubali kuziishi sheria za urejeshaji mikopo angalizo ipo siku mtauziwa kila kitu dawa ys feni ni kulipa sio kwa utaratibu wa kujipangia mliokubaliana kwenye mkataba🙏
Hawa jamaa hata ukiwa mdhamini wanakuja mpaka usiku Kwa mdhamini kwahiyo ni shule wamepewa nchi nzima maana Hawa utaratibu wao ndo ulivyo hawafai kiujumla Hawa.
Hizi kampuni zisizo na too Sheria za ukopeshaji zifungwe matapeli wamekuwa wengi mitandaoni selikari inawaona inawaachia sasa wamefikia hatuna ya kuua si Haki kabisa wanachokifanya inabidi lifanyiwe kazi kwa wakopeshaji wote isiwe sababu kuwanyanyasa watu kwa umasikini wao.
Jirani nae chenga tuu,msaada wa marehemu haukuwa na faida kwake, yaani mtu anaonewa kwa kushambuliwa na silaha jirani yupo anashuhudia tuu hata angepiga ukunga ajaze watu pengine ingeokoa maisha ya mtu pale ktk tukio...!!
huwajui.... Niko kijichi Mbagala, mimi ni mmoja wa waanga wa kampuni hiyo... NI MOTO USIWACHEZEE... NI VIJANA WANAKUJA WAMELEWA SOMETIMES WANAKUJA NA MAGARI 7 KUKUDAI SAA 8 USIKU, NA TAA ZOTE ZIMEMULIKA KWAKO... OGOPA SANA!
Laki tau munakatisha uhai wamut kwakweli hii kitu haikubaliki watanzania tunakwenda wapi nakinachi niuzi hivo vigali malanyingi naviona baaa kiongozi wa hilo kambini watu ulio waajili sio waungwana kwanza wengi wao niwalevi kambuni lijitasimini kama muliamuwa kutowa huduma kwawatu fwateni shelia sasa hao wawe findisho kwawote kwahao wanao fanya kazi kwenye hilo kambuni
Hizi kampuni zisizo na too Sheria za ukopeshaji zifungwe matapeli wamekuwa wengi mitandaoni selikari inawaona inawaachia sasa wamefikia hatuna ya kuua si Haki kabisa wanachokifanya inabidi lifanyiwe kazi kwa wakopeshaji wote isiwe sababu kuwanyanyasa watu kwa umasikini wao.