Kila binadamu anapenda anachokipenda shetani wa yanga nakukubali,wewe upo wazi umetoa hisia zako wazi,tofauti na wengine,tena wapo wanaopenda zaidi yako wamejificha,na wanafanya matendo zaidi yako,safi sana shetani.wasiokuwa na akili watakuona wewe chizi,kumbe wao ndio machizi
Shetani bhana na kushauri ubaki na mama Rabiati ni mwanamke mzuri sana ukimuacha atachukuliwa mapema sana wewe jichanganye utakuja juta na huyo Dida wako atakapo kupiga teke