Тёмный

MAZITO HAYA! DIDA AMJIBU EX WAKE ''SINA NDOA NAISHI MAISHA YANGU'' 

Wasafi Media
Подписаться 4,6 млн
Просмотров 123 тыс.
50% 1

MAZITO HAYA! DIDA AMJIBU EX WAKE ''SINA NDOA NAISHI MAISHA YANGU''
WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm

Развлечения

Опубликовано:

 

13 июн 2022

Поделиться:

Ссылка:

Скачать:

Готовим ссылку...

Добавить в:

Мой плейлист
Посмотреть позже
Комментарии : 204   
@glorymsopa4221
@glorymsopa4221 2 года назад
Dida nakupenda sana yani mungu akupe maisha marefu my dear
@tallyfa05saeed67
@tallyfa05saeed67 2 года назад
As long hujapewa talaka dida bado ni mke wa mtu labda ujitoe ufahamu tu lkn kama kweli unaijua dini huwezi subutu na kusema umeachika wakt bado hujapewa talaka ni mke wake halali kabisa
@cecyliamhando7156
@cecyliamhando7156 2 года назад
Dada dida Huwa nakupenda sana nimuwazi sana huwa upendi kukaa nakitu moyoni mungu akujaalie
@user-fd2so2tz5o
@user-fd2so2tz5o 2 месяца назад
Dida nakupenda sana mungu akupe maisha marefu
@shaloboy3861
@shaloboy3861 2 года назад
Kwani dida una kitu gani special na kikojoleo kama cha wenzako
@rukyiakimolo4564
@rukyiakimolo4564 2 года назад
Dida kama dida ilanawapenda tu mnapo washushua pia mnajishushua love sana didaaaa mke halali muheshimiwa kimbilamoto
@btylove1870
@btylove1870 2 года назад
I just love Dida wallah.😅😅
@rosediana6327
@rosediana6327 2 года назад
Dida kama sio wewe vile,,,lingekua na mwingine ungecheza atareee🤣🤣🤣🤣
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 года назад
🤣🤣🤣
@loganpoul
@loganpoul 2 года назад
Sio kua huna ndoa,ni imeachwa sababu Una domo kubwa na linanuka,na nilikuambia waniacha mm Kwa sababu Una kazi Ila nilikuvumilia na domo la kunuka
@happynescostat7420
@happynescostat7420 2 года назад
Nimecheka mpaka nimesaau shida zote za dunia,endeleeni kutufurahisha,
@hanifalyembela2716
@hanifalyembela2716 2 года назад
Mtihani kweli kweli yaani kama hata ndoa za mwanzo hakupewa talaka sijui kama ndoa ya muheshimiwa ni halali jambo muhimu waume muwe mnatakiwa kuiyona talaka kwa mtarajaliwa wako kama alishawahi kuolewa
@zainaabdallah809
@zainaabdallah809 2 года назад
Kabisa tena mtoto wa kislamu anaongea maneno kama hayo kweli yani hana hata hofu na muumba wake nasfi inamuhadaa
@zeyananasser625
@zeyananasser625 2 года назад
Lovely 🌹 Da dida
@Byondorujulika17
@Byondorujulika17 2 года назад
Dida tunakupenda sana, hongera kwa kazi yako nzuri, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.
@jorgettemwajuma5428
@jorgettemwajuma5428 2 года назад
Nice
@yusrasalum
@yusrasalum 2 года назад
Kwanini mnachangishaga watu michango lakini hasara tu
@maryamalli9090
@maryamalli9090 2 года назад
Si kwa uvaaji huo dida umeshakua mtumzima ujiheshimu uvae vizuri my
@leylaiddy5815
@leylaiddy5815 2 года назад
Yaaani harusi ilivyotangazwa kipindi watu wakatoa michango mikuuubwa harusi kuuuubwa afu ukaa ndani ya ndoa miezi 2... yaani wanajuuuta na michango yao kabisaaaaa
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 года назад
Yaan ni hatari sana
@aliabdullah8819
@aliabdullah8819 2 года назад
🤣🤣🤣🤣
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 года назад
Nakupenda sana Dida kwa msimamo wako
@merianhalibunyoha2629
@merianhalibunyoha2629 2 года назад
Mh Yani ungwkikua wa maana nungesema ila unavyojipaisha nakuona hovyo sanaaaa ww dada
@nishawangaiwangai9765
@nishawangaiwangai9765 2 года назад
Juma kwa umbea jamani afalio tuzo🤣🤣🤣
@sophiamohamed3116
@sophiamohamed3116 2 года назад
Dida kacharuka huyooo😁😁😁
@fatmaabdi8813
@fatmaabdi8813 2 года назад
Manake kwanza nicheke😂😂😂😂😂
@africano98.
@africano98. 2 года назад
Ina lillah waina ilah rajiun msibaa huu
@mahmoudukusso4488
@mahmoudukusso4488 2 года назад
Swadakta
@abelmipwa9854
@abelmipwa9854 2 года назад
🤣🤣🤣🤣 Dida anakuwa mkali 🤣🤣🤣🤣
@rehemaothman2200
@rehemaothman2200 2 года назад
sanaaaa amevurugwa
@janebihagala5848
@janebihagala5848 2 года назад
dida una pua kubwa sana limekaa kama LA kiume loh, ucwe unawasema wenzio
@njokake6775
@njokake6775 2 года назад
HaCker wa video za WASANII ANASWA Kenya ru-vid.com/video/%D0%B2%D0%B8%D0%B4%D0%B5%D0%BE-iPYLzGpU5pE.html
@jenipherkavusha1661
@jenipherkavusha1661 2 года назад
Hahahaha
@maryjkiosa3380
@maryjkiosa3380 2 года назад
😅😅
@saumuimeda5181
@saumuimeda5181 2 года назад
🤣🤣🤣daaah mungu akusamehe bure
@salimabakari8617
@salimabakari8617 2 года назад
Dida co mzuri ni wakawaida Sana sema ni hela Zina mbeba anajipendezesha ndio mana anaonekana hivyo na umaarufu pia unambeba.
@najuf8021
@najuf8021 2 года назад
Dida alijitapa kumbi lamoto yupo nae miaka2 hakuna asichokijua kuhusu mh sasa kiko wap ndoa miez 3 😁😁
@heyumi2340
@heyumi2340 2 года назад
alisema miaka saba
@Assam8885
@Assam8885 2 года назад
Alisema miaka saba😂
@heyumi2340
@heyumi2340 2 года назад
@@Assam8885 ndoa miezi tatu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
@salmahabdallah7203
@salmahabdallah7203 2 года назад
@@heyumi2340 😂😂😂😂
@heyumi2340
@heyumi2340 2 года назад
@@salmahabdallah7203 hatariiiiiiiiiiii
@AminaAthuman-ub6zd
@AminaAthuman-ub6zd 5 месяцев назад
Nakupenda sna my sista
@omanmuscat1459
@omanmuscat1459 2 года назад
Dada dii💓
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 2 года назад
Leo,leo ni yako Dada kila siku ya wenzio leo Yakooo
@linnetmbotto7212
@linnetmbotto7212 2 года назад
Partner😄😄😄
@princesszai9925
@princesszai9925 2 года назад
Juma mungu anakuona walah 😄😄
@lilianjeremia1024
@lilianjeremia1024 2 года назад
Dida leo kapatikana😂😂😂😂😂😂yupo out in 7 months 🙌🙌🙌😂😂😂😂😂mdomo komoooo😂😂
@ashuraomar4935
@ashuraomar4935 2 года назад
Sanaa hidari wa kusema ya wenzake
@halimaoman8726
@halimaoman8726 5 месяцев назад
Mdigo wengi dida yamekukuta 😂😂 unawatizama na kucheka Mpka rahe nimejikuta nacheka nikitazama lokole na baby ali
@husseingabo5497
@husseingabo5497 2 года назад
Sasa huyo dida gume gume alioshindikana aolewe na nani labda mwanaume ambae hajitaki
@husseingabo5497
@husseingabo5497 2 года назад
@@fadhilaongezaongeza226 mwanamke mcharuko kama huyo wa nini huyo ni msumbe sugu haoleki hata Kwa nini
@dellynevermlanga2772
@dellynevermlanga2772 5 месяцев назад
Ila dida ukiwa Kama kioo Cha jamii hutakiwi kuolewa na kuachika ukafurahi. Angalia watu wengi wapo nyuma yako wanatakiwa wajifunze kupiria kwako. Kuolewa na kuachika mara 4 sio ufahari kabisa. Muombe MUNGU Hilo Pepo litoke uvumilie kwenye ndoa alafu wadogo wako huku chini tukajifunza kupiria kwako
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 2 года назад
Mmmm wa mbeyaaa! Mnapendaa🙃
@dorismwakabenga4392
@dorismwakabenga4392 Год назад
Mzee wa kitaa hajui kucheza anarukaruka tu kama wazungu, ila Jumma lokole. Kiboko yupo vizuri sanaaa
@mariamuharubu6577
@mariamuharubu6577 2 года назад
Wewe dida Rudi Kwa mmeo Acha ujinga umeshakuwa MTU mzima
@samehewaliokukoseya2605
@samehewaliokukoseya2605 2 года назад
Namunukuhu didy. I'm single lady lol 😜
@ashuuuaisha9122
@ashuuuaisha9122 2 года назад
Pua kama tunguja unajishebedua tuu eti mimii adija mpuaa .ulipoolewa hukujua yule kumbilamoto hana mke acha wehu
@user-cy1eb2lh6l
@user-cy1eb2lh6l 6 месяцев назад
Mtihan
@judythasiko8648
@judythasiko8648 2 года назад
akili za Dida nazipendaaaaa😂
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 года назад
Saaana
@berthamakortha8387
@berthamakortha8387 2 года назад
Mnanikosha sanaaaa nyie vijana yaaani naipenda sana Mashamsham 😢 yaaani ukiwa na mawszo. SIKILIZA MASHAMSHAM
@habibaa9503
@habibaa9503 2 года назад
Yamemfika leo Dida🤣🤣
@ummuadam2423
@ummuadam2423 2 года назад
ATI kwa shepu, ipi hyo anaongelelea 😂😂
@ahmadjuma5229
@ahmadjuma5229 2 года назад
Ndoa yako ipo kwangu
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 2 года назад
Jamani mke huyo hamtaki kuowa hapo😶
@pendondossy4181
@pendondossy4181 2 года назад
Duuuuuh mitambo hiiiiiii
@michealnige8871
@michealnige8871 2 года назад
Dida pole dada ake ndio kazi
@prochecyprotacy9847
@prochecyprotacy9847 2 года назад
Leo wakwanza ❤️🤣
@mariamuharubu6577
@mariamuharubu6577 2 года назад
Dida bado hajaachika ni mke WA MTU izo mbwembwe za TV Tu dida ni mke halisi WA MTU ni kweli Hana achika
@saudamayowela7636
@saudamayowela7636 2 года назад
Suruali ya Juma tu mie hoi
@user-yp7lh7pm3o
@user-yp7lh7pm3o 6 месяцев назад
Dida Mimi nakupenda sana
@christinaonditi9341
@christinaonditi9341 2 года назад
🙄
@hassansammy1076
@hassansammy1076 Год назад
Dida ❤️
@nishuuuameee8695
@nishuuuameee8695 2 года назад
Jameni dida haezi rudi uzito wakaburi Ajuwae nimaiti dida siyo mnafik nakama dida Amerudi hege ficha
@salomewandya7257
@salomewandya7257 2 года назад
Hahaha Dida jmn🤣🤣🤣
@omanwoman6713
@omanwoman6713 2 года назад
Kwa uzuri ngan ukatae kuolewa mke wa 3 sura km nyani looooooh!!!
@joycehaule9717
@joycehaule9717 2 года назад
Kwani kajiumba yeye unamkosea Mungu unamtusi Mungu , MUOMBE MSAMAHA Mungu!
@alsam4881
@alsam4881 2 года назад
Kelele tupu hamna nidhamu hovyo kabisa.
@odiliamathias5424
@odiliamathias5424 2 года назад
Dida maneno unayatupa ayo mwanaume anao akiamua ata mke uweje so chunga maneno
@zawadimasula6253
@zawadimasula6253 2 года назад
Nilijua tu akuna ndoa zilikuwa sinatafutwa hela wachangiwe wapige pesa duuuuuu
@mozasaid3869
@mozasaid3869 2 года назад
Dida km umerudi kwa mume sio vibaya! Kwani kuna ubaya gani! Umekuwa mkali! 😅
@user-qb3yh9gq5l
@user-qb3yh9gq5l Год назад
WADADA TUHESHIMU NDOA KUZINI TUNAMUUDHI MUNGU ALLAH ATUSIMAMIE
@user-vt3uq3xv3s
@user-vt3uq3xv3s 5 месяцев назад
Dida leo😂😂😂
@audifacejosephat7071
@audifacejosephat7071 2 года назад
😀😀😀😀😀😀
@nishawangaiwangai9765
@nishawangaiwangai9765 2 года назад
Juma mnafiki
@ashuraomar4935
@ashuraomar4935 2 года назад
Dida kwani wewe ukiwa wa tatu tatizo liko wapi, kama upo wa pili akiwq wq Tatu tofauti yako nini.ACHA UJINGA DIDA WEWE MTOTO WA KIISLAM.MDOMO UNAKUSUMBUA SHOGA.SIO KUJISIFU ACHA USHAMBA LEO KINACHOKUPA KICHWA NI KUFANYA KAZI WASAFI AU?
@joanmbunda1669
@joanmbunda1669 2 года назад
🤔👀
@najmaulaya8819
@najmaulaya8819 2 года назад
😂😂😂😂watu wanaona dunian wamefika hakuna kwingine
@nishawangaiwangai9765
@nishawangaiwangai9765 2 года назад
Did katulia kama.maji ya mvua
@dorismwakabenga4392
@dorismwakabenga4392 Год назад
Nawapenda sana nyie watu jamani, zandaaani chiboko yao
@luciamaduga4208
@luciamaduga4208 2 года назад
Juma jamamiii
@nervnerv470
@nervnerv470 2 года назад
Dida
@priscajames6842
@priscajames6842 2 года назад
😂😂😂😂😂
@wivinemwamini9110
@wivinemwamini9110 2 года назад
Nimecheka sana Dida Lokole Dramapeke
@mishimwarabu1824
@mishimwarabu1824 2 года назад
😂😀😁😀 wallai hawa
@KasminaCreation
@KasminaCreation 2 года назад
Mbona mkali km ndimu kaliiii
@ashuraomar4935
@ashuraomar4935 2 года назад
WEWE HIDARI YA KUSEMA YA WENZAKO LAKINI LIKIJA LAKO UNAKUWA KAMA UMETIWA PILIPILI KICHAA HUKO CHINI KWA BIBI
@fidelitekarigirwamuyangwa973
@fidelitekarigirwamuyangwa973 3 месяца назад
😂😂😂😂😂naceka miye pole dida
@aishahaji3128
@aishahaji3128 2 года назад
Dida nakupnda bure nataka kuongea na ww
@lailaoman3856
@lailaoman3856 2 года назад
Naili uwachike lazima uwe nataraka
@zainabohus4903
@zainabohus4903 2 года назад
😆😆😆😆😆
@catherinekessy3107
@catherinekessy3107 2 года назад
hahahahahah
@mpembaally3889
@mpembaally3889 2 года назад
Dida bana
@merrycharles2972
@merrycharles2972 2 года назад
Huwa mnanifulahisha sana nyie🤣🤣
@catheplatnumz7833
@catheplatnumz7833 2 года назад
Ndoa nikujamiana kma hakuna hilo hakuna ndoa hp
@demicratia4071
@demicratia4071 2 года назад
Yuuu tubuuuu hahahaaa
@mwanaishaali5338
@mwanaishaali5338 2 года назад
Dida una viboko vyko kumbe umerudi kwa muadhama🤣🤣🤣🤣
@gadafinazarigadafinazariga2939
@gadafinazarigadafinazariga2939 2 года назад
mikucha 😅😅😅😅😅😅😅
@user-yp7lh7pm3o
@user-yp7lh7pm3o 6 месяцев назад
Dida kama makaka umepata SEMA lingine
@alicekatondo5940
@alicekatondo5940 2 года назад
Nakupenda Ddida hahhaha WAP michambo..hahahah nakula nashiba km mnavoshiba nyie
@rukyiakimolo4564
@rukyiakimolo4564 2 года назад
Hivi juma umevaa nini kipepensi au macho yangu
@user-wf3dm9vj7s
@user-wf3dm9vj7s 2 месяца назад
Wasafi tupopamoja
@dotnatajoseph2620
@dotnatajoseph2620 2 года назад
Dida 😂😂😂😂😂😂😂tupo pamoja tunawakilisha taif 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
@hemedchuma9603
@hemedchuma9603 2 года назад
Dida weee
@fatmaahmed8637
@fatmaahmed8637 2 года назад
Kwani lazima utoe hadi makohozii 🤣
@hagarbills4023
@hagarbills4023 2 года назад
ahsante dida shaibu😁😁😁
@dellynevermlanga2772
@dellynevermlanga2772 5 месяцев назад
Dida bado wewe ni fiwi. Subir talaka ukae eda
@franklinassey6600
@franklinassey6600 2 года назад
Duh
@ashanassoro5780
@ashanassoro5780 2 года назад
Leo Dida umepatikana mbona unakua mkali
@mauwarashid4823
@mauwarashid4823 2 года назад
atari mnachekesha
@salmaayubunyoka5417
@salmaayubunyoka5417 2 года назад
Dadaangu usibabaishwe muambie akiachwa achike
@mamalandynangy52
@mamalandynangy52 2 года назад
Una shepu gani dida bhana!!
Далее
UTATA! NDOA ya ROSE NDAUKA  KUSEMEKENA KUVUNJIKA....
7:49
RATE THE TOUCH vs JUVENTUS ACADEMY 🙈
00:35
Просмотров 7 млн
LEO USIKU KWENYE CHEKA TU
1:14
Просмотров 1,6 тыс.
BABA YANGU KIPOFU Full episode/15/ #love
50:40
Просмотров 364 тыс.
ELIUD NA MAMA YAKE KWENYE SHOW YA WAISA
18:50
Просмотров 37 тыс.
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
0:29
КАК ДУМАЕТЕ КТО ВЫЙГРАЕТ😂
0:29