MUNGU kuna sisi ambao atujui wabaya wetu uenda n watu wetu wa karibu pia tunaomba kwa damu yako ututenge na mabaya yote juu yetu mabaya hayato tupata sisi wala tauni haito kariba hema yetu
Mungu endelea kutukomboa na vifungo vyote kwa jina lako wote mnaosoma posti hii mpone kwa Jina la Yesu kristo wapendwa kuna mahali Mungu amenitoa Asante Yesu
Yesu nakuomba uniokoe na wote wanaongea mabaya juu yangu. Wapo wanaonitengenezea story ya uwongo Yesu nakuomba uwe nao wanapotaka kutamka baya juu yangu midomo yao uwe mizito wawe mabubu
Zaburi 24: 1 Nchi na vyote viijazavyo ni mali ya Bwana, Dunia na wote wakaao ndani yake. Wafilipi 4: 19 Na Mungu wangu atawajazeni kila mnachokihitaji kwa kadiri ya utajiri wake, katika utukufu, ndani ya Kristo Yesu. *TUNAPOKEA MLIPUKO WA KUFANIKIWA SANA KWENYE UCHUMI, AFYA, AMANI, BARAKA NA UKOMBOZI KATIKA KILA ENEO KWA JINA KUU LA YESU!!!*