Mwambie aika na navykenzo waoane wao kwanza maana wana watoto tayari na mahusiano yao yana miaka mingi na wanaishi bila ndoa, acha kumwambia diamond mwenye mahusiano na zuchu ya miaka miwili na sehemu hata kuzaa hawajazaa
Hakuna Zanzibarian ni Zanzibari...... halafu pia wazanzibari wa cku hizi wanaachwa kirahisi san kutokan na midomo yao ilojaa ujeur na vibur wazanzibar wa zaman ndo ilikua ngumu kuachika maana walijawa na utiifu na mpnz ya dhat pmj na uvumilivu, anyway mm ni mzanzibar mwenzako
@@menalikechildren8836 sio kila anaetembea na mwizi na yy atakuwa mwizi nadhan hapo utakua ushaelew anyway tuyaache hayo ila jua Kuna watoto ambao wamefunzwa na wazazi wao jinsi ya kuishi na watu vizur kwa upendo , busara na mengneo na pia namanisha kusema kwamba usione uliekutana nae yupo ivo ukaona na wengne pia watakua ivo wengne tumefunzwa wewe
Wasanii ni kioo cha jamii maana yake sio kuwa ni wema maana yake ni kuwa wanareflect yaliyo kwenye jamii, sasa angalia yanayoendelea kwenye jamii yetu halafu ndio ulaumu. Jamii yetu ipo hovyo so usishangae wanayofanya wasanii, tofauti yao na yetu ni platform tu.
Hawa kweli ni kill chetu, wanatuonyesha tunavyovipenda. Sisi tz ni taifa la kuimba sifa za shangwe. Kea kila kila kitu cha kijinga. Uwezi kuelewa tunapenda nini au kuchukua nini. Midhaa ni utamaduni wetu. Hatutafakari mapenzi tunashabikia umalaya wa mtu. Uchumi, mazingira, haki,. Imani, siasa ubabaishaji
Sikuzote watu walikiwa wanaamini Diamond na Zuchu ni wapenzi ila kwa tukio hili mumeshaharibu sana maana Kila mtu ameshajuwa mbinu zenu za kuvutia mashabiki
Wa bongo not all of them but some wataacha ujinga kusema zuchu kwa nini an date na boss wake, pia diamond ni msani kama zuchu so waki date sioni shida, mbona Jay Z ana date na msani mwenzake Beyonce, Rihanna ana date na msani mwenzake, mwache u shamba, ujinga , matharau, matusi, zuchu enjoy mama haters there will always be there ❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️❤️
Haya mwenye wivu ajinyonge ndo kashsmwomba msamaha diamonds huyo ndo mke material achana na waongezamakalio oa zuchu utaenjoy kwenye ndo Hadi ushangaee mtoto hana mambo mengi anajitambua mno
Ukiwa msanii mjinga kma diamond utakoswa akiri zaidi kupata hela si viashiria vya akiri hata kichaa akipata gap la kupata hela anakuwa tajiri lakin haimtoi kwnye ukichaa hata huyu mjinga anafikiri anatumia akiri kuwa na kiki ya kipumbavu kma hii lengo lake kuzimisha video ya harmonize ya i made it lakin kilichopangwa kimepangwa na hakitazimika dawa ya moto ni moto