Mchungaji Kimaro Baba yetu wa Kiroho hata tulio nje ya Tanzania, Mungu akutumie Sanaa. Unatusaidia sana tunapona bila hata kuombewa Wala kuwekewa mkono.
Kwa kweli mchungaji umenihubiria Mimi binafsi kwetu nyumbani Mimi ndie Rahabu naomba Mungu anikumbuke, naishi na nembo ya umalaya baada ya kuzaa watoto 6 na wababa tofauti, Mungu nikumbuke
Isaya 1:16-19. Mungu ni Mwema Wakati wate. Omba akupe Nguvu na Maongozi yake uishi sawasawa na Mapenzi yake. Tazama ya kale yamepita na yamekuwa mapya.
Wapelelezi walikuwa ni wawili si 12 . Joshua Mlango wa 2 Rahabu ndiye aliye funga kamba wala si wale wapelelezi wa 2. Hakuna mahali ambapo Biblia inasema ndugu zake Rahabu walimtenga. Na ndio maana aliweza kuwakusanya wakaja kwake kama sharti la wao kuokolewa na mashambulizi. Rahabu alijua nguvu za Mungu wa Israeli na Matendo yake makuu ya kuwaangamiza maadui wa Israeli. Aliwaapiza wale wa pelelezi kwa Mungu wao wa Israeli. Waebrainia 11:31. Rahabu aliokolewa kwa Imani yake kwa kuukiri Ukuu wa Mungu wa Israeli na kwa vile aliwapokea wale wapelelezi wawili kwa Amani. Ni vizuri kuchukua muda kuandika mahubiri kuliko kujiamini na kuhubiri uongo na kweli madhabahuni
@davidkawesa3594 Nimeelewa kwamba Mungu ni Roho nao wamuabuduo hufanya hivyo katika Roho na Kweli. Yohana 4:24 Bila ya Roho Mtakatifu utakuwa unachekelea hata ukihubiriwa uongo ulio cha nganywa na ukweli kwa kujua/kutokujua ama kutetea anaye fanya hivyo badala ya kumshauri..