Assalam alykum nilikuwa nataka ku i correct qaul ya ustadh kuhusu eda, alisema ni miezi mitatu na siku kumi, nafikiri alipitikiwa kidogo, eda ya kuacha ni hedhi tatu au twahara tatu na eda ya kufiwa ni miyezi minne na siku kumi
MashaAllah Tabarak Allah Masheikh wetu kwa mafundisho bora kabisa. Allah awazidishie elimu na baraka nyingi kwa kazi ambayo haifikiwi na kazi yoyote hapa duniani.
Kumbukumbu la Torati 24:1 [1] Mtu akiisha kutwaa mke kwa kumwoa, asipopata kibali machoni mwake, kwa kuwa ameona neno ovu kwake, na amwandikie hati ya kumwacha, akamtilie mkononi mwake, na kumtoa katika nyumba yake.